KWANINI WABUNGE WALIKWENDA DUBAI? AIDA KHENANI WA CHADEMA AIBUA JAMBO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 вер 2024
  • Ni mbunge wa Nkasi Kaskazini. Ajibu maswali ya msingi kuhusu ziara ya wabunge Dubai

КОМЕНТАРІ • 675

  • @lotimwansule5017
    @lotimwansule5017 Рік тому +24

    Dada Ada kweli umejitoa mghanga kwa ajili ya maslahi ya nchi ,unatakiwa kumwomba Mungu sana akusaidie Watu wanakutazama vibaya.Tunakuombea kwa mungu

    • @amosnaqbarxanaabddallah2730
      @amosnaqbarxanaabddallah2730 Рік тому

      Hyo hawamuwez kwani nkasi unapajua niwapi??na alipita yeye2 Tanzania nzima nakula walimuubia ila kumbe hawakujua wanajiibia wenyewe

  • @cantonacantona7015
    @cantonacantona7015 Рік тому +24

    Mungu akulinde ukaapo,uamkapo, utembeapo, unapoendesha gari n.k Msimamizi mkuu awe roho mtakatifu na malaika wa Mungu. Dada msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Na ukweli hata upitapo motoni hautaungua. Ubarikiwe.

    • @GideonMalyego
      @GideonMalyego Рік тому

      Hiki kichwa kilkuwa na haki zote zakumpga chini yule mzee mpumbvu mwimba mapmbio na mtukanaji hvyo mzee Kesi.Big up Mh Dada😂😂

  • @mwanache
    @mwanache Рік тому +39

    Hawa ndio viongozi na wawakilishi tunaowahitaji… hapepesi maneno na anasimama ktk kweli. Hongera sana Dada Aida.

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 Рік тому +25

    Hongera sana Aida. Bunge zima na Spika wake mwenye akili ni wewe tuu. Tunakushukuru sana sana. Mungu akubariki sana sana

    • @menshitunze
      @menshitunze Рік тому

      Hakika ni yeye pekee.

    • @DandasiKundi-t7g
      @DandasiKundi-t7g Рік тому

      Mama umenifurahisha sana uko makini sana nilitamani sana ungekuwa mbunge wetu niliko sasa hivi. Napenda sana wabunge wenye kujua sisi wananchi wa hali ya chini, nakupa hongera sana, elimu uliyopata ina upeo mkubwa sana, mungu akulinde na tutazidi kukuombea amen.

  • @nestorylawrencemsoffe6539
    @nestorylawrencemsoffe6539 Рік тому +15

    Hongera sana sana Madam Smart Lady. You have done your duty to our nation.

  • @kiliantereba6502
    @kiliantereba6502 Рік тому +13

    Asante sana kaka Ngurumo kwa kuandaa kipindi kizuri. Nimeamini Mbowe na huyo mbunge wa Nkasi Aida Kenani ni wazarendo wa hali ya juu

  • @amoskasese6687
    @amoskasese6687 Рік тому +15

    Wabunge kama hawa ndio wanatuwakilisha kweli bungeni👏

  • @francissimwinga-gb2vd
    @francissimwinga-gb2vd Рік тому +13

    Hongera sana dada Aida Kwa ukweli mungu akulinde amina

  • @emmanuelsulle911
    @emmanuelsulle911 Рік тому +4

    Naipongeza pia chombo hiki cha Habari Kwa kutoa taarifa ipasavyo, Hongern Sana 👍👍👍

  • @NeemaJohn-z6q
    @NeemaJohn-z6q Рік тому +23

    Katika wanawake wachache waliobaki duniani kuwa na akili, wewe ni mmoja wapo. Big Up sana. Wewe ni mzalendo.

  • @madamrita9685
    @madamrita9685 Рік тому +10

    Very good leader 👏 👍. President she have to promote her to the high position in the government.
    She have a big.
    vision.. Tanzania 🇹🇿 we really need a serious leader like her.

  • @aminieljohn5475
    @aminieljohn5475 Рік тому +11

    ...huyu mbunge uwezo wake yeye peke yake ni zaidi ya uwezo wa bunge zima!!...na anajua valuations change, Values don't!! Anajua pia majority opinion does not make the right wrong or the wrong right!!...ameonesha uadilifu mkubwa. "BE OPEN TO CHANGE BUT STAY FIRM ON VALUES" Hongera sana, wewe ni shujaa!..Aida Kenan.

    • @rithaurassa
      @rithaurassa Місяць тому

      Aida wewe ni ZAIDI wanawake Tz .Hongera sana MUNGU aendelee kukupa macho ya rohoni.

  • @faridamatata1950
    @faridamatata1950 Рік тому +6

    Mimi nimempenda sana Aida Mungu awe nae kusaidia nchi yetu TZ❤

  • @stephenmalilo9833
    @stephenmalilo9833 Рік тому +3

    Humu kuna mtu haswaaaa. Hongereni watu wa Nkasi.....mnae mtu haswaaaa......🙌🙌🙌🙌🙌

  • @davidmwaikokoba2974
    @davidmwaikokoba2974 Рік тому +5

    Hongera Sana Mheshiwa Aida,
    Umekuwa wa maana peke yako kuliko Rundo la wanaojiita wabunge.
    Usiogope vitisho vyao,
    Mwanadamu ni Nani ni udongo, majivu, na Tena ni Mbwa mfu.

  • @godfreyhaule4512
    @godfreyhaule4512 Рік тому +18

    Hongereni wana nchi wa Nkasi kwa kuchagua dhahabu 🙏🙏🙏🙏

  • @amaningalla9420
    @amaningalla9420 Рік тому +10

    Nalazimika kuhamia nkansi kumbe kuna watu wakweli sana. Nakupongeza sana Aida Mungu atakulinda usiwe na shaka. Tupo nyuma yako

  • @patriciamuganda4498
    @patriciamuganda4498 Рік тому +6

    Thank you so much, Ms Khenani. You are a great patriot. Only the truth can set us free. May God continue to bless you, guide you and give you more courage.

  • @patrickkalengela7125
    @patrickkalengela7125 Рік тому +8

    Huyu ni Mbunge Mwenye ufaham Mkubwa sana, hongera sana Nkasi kumpata Mbunge Mahiri mhe. Aida

  • @evansmtalo8924
    @evansmtalo8924 Рік тому +19

    Against Idea of Dubai Agreement (AIDA)
    Against Incomprehensible Dubai Agreement (AIDA)
    Against Inconvenient Dubai Agreement (AIDA)
    Against Implusive Dubai Agreement (AIDA)
    YOU WERE BORN FOR THIS .GOD IS WITH YOU AIDA.

  • @simonlulenga7062
    @simonlulenga7062 Рік тому +2

    Duh! Mh. Ukoo vizuri sana na Mungu akusimamie katika msimamo wako.

  • @emmanuelsulle911
    @emmanuelsulle911 Рік тому +1

    MUNGU akubariki Mno dada Aida hakika nimekusikiliza kwa kina,Una uzalendo mkubwa kwa taifa letu, na ujasiri mkubwa katka kutetea haki za Watanzania,May Almighty God bless you 💯💯💯 I appreciate you 💯💯💯

  • @MCNgakungaJunior
    @MCNgakungaJunior Рік тому +2

    AISEEEE! HONGERA SANA MH AIDA.UNAONESHA WAZI UWEZO WAKO WA KIAKILI NI WA JUU SANA.WEWE NI MMOJA WA VIONGOZI AMBAO TUNAOWAHITAJI.MUNGU AKUBARIKI SANA.

  • @halimamatumba8898
    @halimamatumba8898 Рік тому +6

    Mungu atakulinda siku zote msema kweli Ni mpenzi wa mungu,

  • @gracesimba7828
    @gracesimba7828 Рік тому +2

    Nimemkubali Mbunge Aida, leo umekosha nafsi za wengi, nimependa msimamo wa unachokisimamia, umeoonyesha ujaisiri wa kupinga dhuluma, hata ukiwa mmoja pekee bungeni. I wish hii video yako ingesikilizwa na watu wengi zaidi wapate uelewa! Good Interview!!!

  • @amosibilingi4299
    @amosibilingi4299 Рік тому +11

    Inawezekana ulihongwa kama wenzio akina msukuma, lakini umenifurahisha jambo Moja zuri, hukujali pesa zao ukachagua kuokoa taifa letu la Tanganyika

  • @salockmahenge5416
    @salockmahenge5416 Рік тому +10

    Aida mungu azidi kuktetea ubalikiwe Sana katika wabunge wote wa tanzania aida pekeyako tu maneno yako tmeyaelewa Sana Tena sana wewe unafaa kuwa waziri kwa uwezo wako wa akili upo juu Sana Tena sana nataman waje watokee wabunge ata watano kwa akili km yako tu Tanzania yetu atasimama vizuri Sana

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 Рік тому +13

    Definitely, mama anafanya kusudi kutoa mali ya za watanganyika na sio za zanzibar.

  • @Kanumbasteven
    @Kanumbasteven Рік тому +14

    Big up Aida 👏👏

  • @neisphormabula7286
    @neisphormabula7286 Рік тому +6

    Keinan ni mzalendo wa kweli wa taifa hili nimkweli ana hofu ya Mingu anajitambua anajua wajibu wa uwakilishi keinan hold on you are a hero

  • @mariamtemba4221
    @mariamtemba4221 Рік тому +8

    Mwanamke unayejitambua sana hongera dada

  • @estermgata9617
    @estermgata9617 Рік тому +16

    Huyu mama and uwezo wa kufikiria na kutafakari. Kwanza ana uzalendo sana. MUNGU mwenyezi azidi kukulinda na kukuongoza ili uwapiganie watanzania.

    • @SamwelEdward-on7if
      @SamwelEdward-on7if Рік тому +1

      Mama amesitahili kupongezwa kwa ujairi alionao kikubwa tumkabidhi mikononi mwa mungu

  • @NeemaMwalukasa-ui3lv
    @NeemaMwalukasa-ui3lv Рік тому +4

    Hongera sana Dd Haida uko vizur sana. Unaongea ukweli tupu Mungu akupe maisha maref uendelee kuwatumikia wana Nkasy.

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION Рік тому

    Smart lady from Nkasi we love you....
    Kuna wasomi serikalini wana play part kuharibu taifa afu serikali inasisitiza watu wasome,,sasa wasome kwa faida ipi??? Me nazani wasomi wangesimama kutetea taifa but ndio hivo,,,,God bless Tz and get rid of money Hunter in our governance

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 Рік тому +15

    Raisi ang'atuke!
    Haraka!
    She has lost the legitimacy to govern the country she should go. 🚶‍♀️

  • @castorymhoja6050
    @castorymhoja6050 Рік тому +3

    Ubarikiwe kiongozi Sema kweli na roho yako itulia big up.

  • @JudithJackson-we6iu
    @JudithJackson-we6iu Рік тому +2

    Mbowe tuna kupenda sana❤❤❤ tuna zidi kuku mbea kwa mwenyezi mungu ata viongizi wengine wa chama chako ipo siku tutashinda mungu ibariki tanganyika mngu ibariki viongozi kama awa mungu ibariki watu wako pamoja nawatoto watanganyika nalasilimari zake tanzania ninguvu moja wanaoreta udini na uchonganishi kueni makini

  • @senyaelzephania2967
    @senyaelzephania2967 Рік тому +2

    Mungu akulinde mpendwa aida,
    Nawe we uwe makini sikuzote,
    Ila Mungu hatakuacha, tutakuombea KWA Mungu.

  • @geofreyspela1620
    @geofreyspela1620 Рік тому +1

    Hongela sana Aida Dada yangu hao wabunge wenzeko mamburura Wana itikiaga bila kufanya utfiti ukipitisha Shelia mbovu unaangamiza taifa

  • @user-le7ek2zs4t
    @user-le7ek2zs4t Рік тому +2

    Your a good mother God bleess and be with you

  • @josephmwabange9633
    @josephmwabange9633 Рік тому +13

    Yaani machozi yamenilenga kwa mbunge huyu, dada yetu mpendwa ,kumbe Tanzania bado tuna watu !

  • @ransonlema3916
    @ransonlema3916 Рік тому +1

    Mungu aliyekupa nafasi hii muhimu akulinde, akuinue, akubariki kutetea maslahi ya taifa, umemheshimu Mungu, umewajali watanzania

  • @diversetv74
    @diversetv74 Рік тому +8

    Great job Godless you!

  • @thadeimhengilolo3994
    @thadeimhengilolo3994 Рік тому +10

    Safe sana dada Mungu awe nawe

  • @sporahmilimu9524
    @sporahmilimu9524 Рік тому +1

    Uko vizuri sana Aida uko vizuri Mungu akutunze sana.

  • @hezekiamtera3559
    @hezekiamtera3559 Рік тому +4

    God analysis my brother. Tuendelee hivyo.Asante Aida

  • @godfreymushi6966
    @godfreymushi6966 Рік тому +8

    Hongera sana dada mungu akujalie

  • @crisantisindani3830
    @crisantisindani3830 Рік тому +3

    Aida upo vizuri sana mama Mungu akutangulie,

  • @willibroadwilliam6798
    @willibroadwilliam6798 Рік тому +1

    Dada Uko vizuri sana kwa msimamo wako wewe ni mzalendo waukweli Asante.

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Рік тому +13

    THANK YOU ÀIDA YOU ARE GREAT ❤

  • @sebastianmwantuge5597
    @sebastianmwantuge5597 Рік тому +16

    Halafu watu wanaandamana kupinga mkataba mbovu polisi wanakamata waandamanaji,kweli elimu ni kitu muhimu sana!😭😭😭

    • @donaldbenedict5761
      @donaldbenedict5761 Рік тому +1

      Hii INCHI ni shida mtu anaongea mambo muhimu yenye maslahi ya nchi na wananchi kuna viongozi wa wananchi wanasimama bungeni na kusema mkataba wa mama haupingwi wanaopinga washughulikiwe tuna hasara kubwa kwa viongozi wetu wachache

    • @williamgaonyangasa352
      @williamgaonyangasa352 Рік тому

      Polisi wanatumia Sheria gani kuwazuia kuandamana?

    • @januarysungura8119
      @januarysungura8119 Рік тому

      Na huyu Dada ilimlazimu alale juu ya masanduku ya kura ndio ashinde kwa sababu tu mgombea wa chama cha chadema , hivi ni lini sisi watanzania tutasimama kama Taifa tukiacha hivi vyama vichafu vyenye maslahi ya watu wachache wasiojali Taifa ila heshima ya Vyama vyao, mwisho sitaki kuamini kama kuna wasomi wasioweza kujisimamia kwa sababu ya njaa basi acha Mimi nife na njaa lakini sitaweza kuwa na wadhalimu kwenye mambo yanayogusa maisha ya watu kama mkataba huu mbovu , eti hatutaweza kuanza kazi mpaka tukawaeleze Dp world ,who are they ? Ni akina nani hawa au wana share na sisi ,tuache kuzubaa watanzania tuna maeneo mengi ambayo tumeyauza kizembe na tuna lia nayo kwa mfano angali wavuvui katika maziwa kama Victoria na samaki tunaokula Leo ,utagundua ni mikataba ambayo haijafikiri zaidi juu ya watanzania

    • @user-pe9nq3wu4p
      @user-pe9nq3wu4p Рік тому

      Wewe kazi na ufitina tu kwkua raisi atoka Zanzibar aduwi wee

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Рік тому

      ​@@user-pe9nq3wu4pakili za kitumwa..mbona bandari za Zanzibar hazipo...hizo neema hamzitaki. Dhamira kwenye hili jambo sio njema

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 Рік тому +2

    HAPA KUMBE KULIKUWA NA MPANGO WA MUDA MREFU ILI RASLI MALI ZETU ZIPOTEE CHADEMA HUWA NI SMART CHARACTERS LIKE THIS BEAUTIFUL GIRL

  • @JudithJackson-we6iu
    @JudithJackson-we6iu Рік тому +2

    Mungu akubariki sana dada haida tunaitaji watu kama wewe yawezekana hao wanao penda kuongwa na ku saliti nchi hii sio watanzania arisi watakua waamiaji kabisa ata baba wataifa alisema watu kama ao wana tabia ya kimalamala

  • @marthaemanuel8912
    @marthaemanuel8912 Рік тому +5

    Jeshi la mtu mmoja! Hongera sana Mh. Aida

  • @ijumaawikienda5435
    @ijumaawikienda5435 Рік тому +3

    Aida uko vizuri sana, umeongea ya maana sio bendera fuata upepo

  • @markokisonga2982
    @markokisonga2982 Рік тому

    Dada Aida rait mungu angekuwa anasemaga tuu wewe unafaa kuendesha nchi Wala usingepigiwa kula maana unavoongea ni ishala tosha unaweza kulipigania taifa lako mungu akulinde ukupiganie Kwa ajili ya taifa lako mama Amina.

  • @helenarhobi1250
    @helenarhobi1250 Рік тому

    Kadada upo vizuri hata kuwashinda wanaume. Unamzidi hata rais hoja. Upo vizuri nampongeza mwalimu wako. Asante.

  • @FulbertFisoo
    @FulbertFisoo Рік тому +3

    Hongera dada kwa kuongea ukweli mwenyenzi mungu akulinde

  • @EmmyKanjanja-qi1vl
    @EmmyKanjanja-qi1vl Рік тому +1

    Hongera sana aida kwa ujasiri,chadema msiwatoe bungeni watu kama hawa wanao tetea wananchi pamoja na nchi yao

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  Рік тому

      Huyu ni mbunge wa Chadema. Hakuna anayemtoa.

    • @meryshekoloa961
      @meryshekoloa961 Рік тому

      Hodi hodi nyumba ina mtu Tanzania ina mbunge 1 tuu aida kenaan tumuombee

  • @charleslukumai7875
    @charleslukumai7875 Рік тому +2

    Big up sana Mh. Aida. Unajitambua. Barikiwa sana.

  • @ShabaniIseluka
    @ShabaniIseluka Рік тому +3

    Dada uko vizuri sna!

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 Рік тому +6

    Hongera!
    Dada.

  • @hamisihemedi1099
    @hamisihemedi1099 Рік тому +1

    Hongera dadaaa mungu akuweke wewe.nikatika viongozi wanaofaa nchini asante sana.dadaa mimi binafsi ninakufuatilia sana ukiwa bungeni ukosawa dadaa usiogopee jibulao ni 2025 kuingusha ccm tuu basii ndio dawa iliobakituu.

  • @user-uc7pv3jx1o
    @user-uc7pv3jx1o Рік тому +2

    Hongera sana dada Aida unafaa kabisa kuitwa muwakilishi

  • @KishaKisha-ux4ul
    @KishaKisha-ux4ul Рік тому +1

    Safi Sanaa Aida Khenani kwa nini wana haraka . Kuna kitu nyuma ya pazia. Kitajulika tuuu. Hakuna siri sasa

  • @amoskinunda5762
    @amoskinunda5762 Рік тому +1

    Ubarikiwe Sana kwa uzalendo wako, usikate tama uraisi unakufa mdee atakuwa wazir wako

  • @EliatoshaLema-rw5hm
    @EliatoshaLema-rw5hm Рік тому +1

    Watanganyika tuvae magunia tumlilie Mungu ili Mungu awaondoe hao matapeli na wanafiki walioko bungeni.Dada Aida Mungu akuinue zaidi tumeiona wewe na Halima mkipigania ardhi yenu.yupo Mungu asiyelala Wala kusinzia atawalinda na atashughulika na hao wanafiki wakiongozwa na lisipika la hovyo

  • @godlistengodlisten7552
    @godlistengodlisten7552 Рік тому +2

    SAFI SANA MOJA YA VITU NILIVYOVIELEWA KWA HUYU DADA AIDAN NI ALIHOJI, KUHOJI NI KITU KIZURI SANA.

  • @victoriamazula5592
    @victoriamazula5592 Рік тому +1

    Big up Aida wewe ni kichwa nzuri. Tamaa na uchawa tu unawauwa warafi

  • @faustinejemsi1488
    @faustinejemsi1488 Рік тому +2

    Ubarikiwe sana mdada mungu ni mwema

  • @severiningungulu1290
    @severiningungulu1290 Рік тому +1

    hongela sana Dada Aida, kwani wabunge wa ccm wana nini? mbona mi ciwaelewi ivi kweli wamefikia hapo wabunge wa ccm mnatia aibu hamshibagi

  • @carolinenicholaus8363
    @carolinenicholaus8363 Рік тому +1

    Hawatatuchonganisha na Mbowe milele.
    Asante Aida kwa kuwa mzalendo

  • @user-fc9ro5fh9m
    @user-fc9ro5fh9m Рік тому +1

    Sawa kabisa kataa ukiritimba

  • @user-fc9ro5fh9m
    @user-fc9ro5fh9m Рік тому +1

    Kenani yuko sawa

  • @georgemaganga3804
    @georgemaganga3804 Рік тому +1

    Wabunge mnatudharau.Watanzania.Iweje kila mara mnapitisha mambo haraka haraka kwa siri kubwa.Bunge limetumiwa kupitisha ili baadaye ionekane hata Bunge lilipitisha.Kwa rasilimali hizi ni za Serikali au za Chama fulani.

  • @davidmwaikokoba2974
    @davidmwaikokoba2974 Рік тому +6

    Inasikitisha Sana tunapoona wasomi wetu wanakuwa mbele kupayuka hovyo badala ya kujenga hoja ya kile kinacholalamikiwa.

  • @ramadhaniismail7649
    @ramadhaniismail7649 Рік тому +1

    Hongera sana mh. Aida hivi kwa nini wasikae pamoja na Rais wa Zanzibar wakaweka Mkataba mpaka Zanzibar si kitu chenye Faida? Vinavyo binafsishwa ni vya Bara tu ni kwa nini? Hapo kwa kweli inaogopesha kaeni mtafakari Hatuna vyeo ila tunajuwa Baya lipi na zuri ni lipi? Big up Aida kwa kuwa mkweli.

  • @AizackKalenge-ro5rc
    @AizackKalenge-ro5rc Рік тому +2

    Hongera sana,

  • @mossesisaack5066
    @mossesisaack5066 Рік тому +4

    God bless you dada Aida kweli humuweka mtu huru.

  • @jeremiatitus4414
    @jeremiatitus4414 Рік тому +5

    Mm ni CCM lkn mboww namkubali, alichosema ni hofu yake Kama mtanzania

  • @maginasabah-mb9od
    @maginasabah-mb9od Рік тому +3

    Chadema wamlinde sana huyu mama, ni dhahabu ya chama katika kipindi hiki kilichojaa changamoto

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 Рік тому +1

    mbunge wa chadema upo pekee yako bungeni mungu akurinde mtumikiee mtanganyika na sio mzanzibari samia mpinge mpaka ukutane na yesu atakusaidia

  • @benedictoshadrack2573
    @benedictoshadrack2573 Рік тому +1

    Pole sana mh kumbe na ww uliingizwa mkenge hiyo ziara ya kwenda Dubai na nikupongeze kwa kupinga huo mkata wa kuuza bandari zetu na inchi yetu pia

  • @johnandrewmsigala7803
    @johnandrewmsigala7803 Рік тому +1

    Aida nimekuelewa Mungu na akulinde na akubariki sana

  • @abeldaud6033
    @abeldaud6033 Рік тому +8

    Huyu dada jamani, kumbe tuna hazina jamani, dada mungu aendelee kukutumza sana

  • @LabanAmbakisye-ue6dq
    @LabanAmbakisye-ue6dq Рік тому +1

    Hongera sana _mungu akubari na kukulinda 1petro1:5.

  • @lazaromollel381
    @lazaromollel381 Рік тому

    aida ubarikiwe sana na Mungu akuongezee msimamo maana mko wachache ndani ya inji yetu

  • @annaniasbyarugaba5788
    @annaniasbyarugaba5788 Рік тому +4

    Nlikuw najiuliza kwann wananchi walimchagua huyu dada, kumbe ni kichwa

  • @user-pe9nq3wu4p
    @user-pe9nq3wu4p Рік тому

    Nyinyi watu wa bara mwalalamikia bandari tu na sisi wazanzibar hatutaki muungano mama samia kodisha sisi tupamoja nawe kazi iendelee mwaaaa

  • @user-ec7qn8hr4l
    @user-ec7qn8hr4l Рік тому +1

    Uko vizuri kiongozi wangu

  • @PurityNakana-og9ln
    @PurityNakana-og9ln Рік тому

    Nilimpigia kura huyu dada nikiwa like nkasi najivunia hlo nikiwa zambia now

  • @gabrielzakaria2810
    @gabrielzakaria2810 Рік тому +1

    We dada mungu akulinde una hofu ya mungu ila kuna hilo jmaa linaitwa msukuma me naona bora mungu aliite tu

  • @richimuniko3578
    @richimuniko3578 Рік тому +1

    Hongera mzazi unafaa Sana tumesikiliza Hoja zko Yani Wewe Mungu akulinde sana

  • @mashannapapaaa9582
    @mashannapapaaa9582 Рік тому +3

    Hongelasama mwamba

  • @babyakasha4002
    @babyakasha4002 Рік тому +1

    Huyu ndo Mbunge sasa🎉

  • @tumainikilembe1008
    @tumainikilembe1008 Рік тому +1

    Mungu akulinde.tuwakute wapi wanawake wanajua kuomboleza.

  • @gerraldchristian2001
    @gerraldchristian2001 Рік тому

    Wewe sio mmja wa wanafiki ndani ya CCM
    Nice AIDA

  • @timothymtenga6967
    @timothymtenga6967 Рік тому +3

    You are so great!

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 Рік тому

    Asante Mhshimiwa Aida, kumbe mkataba unatekelezwa Baada ya Rais na wabunge wa Ccm kula rushwa, tena kwa fedha za anayetaka kuwekeza. Zanzibar funga virago rudi Kwenu.

  • @YusuphJilala-it9bo
    @YusuphJilala-it9bo Рік тому +2

    Hawa ndio wafia nchi wazalendo kwelikweli !!!!siyokama tulia na wenzake😢😴😢😢