Mungu akulinde ukaapo,uamkapo, utembeapo, unapoendesha gari n.k Msimamizi mkuu awe roho mtakatifu na malaika wa Mungu. Dada msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Na ukweli hata upitapo motoni hautaungua. Ubarikiwe.
Mama umenifurahisha sana uko makini sana nilitamani sana ungekuwa mbunge wetu niliko sasa hivi. Napenda sana wabunge wenye kujua sisi wananchi wa hali ya chini, nakupa hongera sana, elimu uliyopata ina upeo mkubwa sana, mungu akulinde na tutazidi kukuombea amen.
Very good leader 👏 👍. President she have to promote her to the high position in the government. She have a big. vision.. Tanzania 🇹🇿 we really need a serious leader like her.
...huyu mbunge uwezo wake yeye peke yake ni zaidi ya uwezo wa bunge zima!!...na anajua valuations change, Values don't!! Anajua pia majority opinion does not make the right wrong or the wrong right!!...ameonesha uadilifu mkubwa. "BE OPEN TO CHANGE BUT STAY FIRM ON VALUES" Hongera sana, wewe ni shujaa!..Aida Kenan.
Hongera Sana Mheshiwa Aida, Umekuwa wa maana peke yako kuliko Rundo la wanaojiita wabunge. Usiogope vitisho vyao, Mwanadamu ni Nani ni udongo, majivu, na Tena ni Mbwa mfu.
Thank you so much, Ms Khenani. You are a great patriot. Only the truth can set us free. May God continue to bless you, guide you and give you more courage.
Against Idea of Dubai Agreement (AIDA) Against Incomprehensible Dubai Agreement (AIDA) Against Inconvenient Dubai Agreement (AIDA) Against Implusive Dubai Agreement (AIDA) YOU WERE BORN FOR THIS .GOD IS WITH YOU AIDA.
MUNGU akubariki Mno dada Aida hakika nimekusikiliza kwa kina,Una uzalendo mkubwa kwa taifa letu, na ujasiri mkubwa katka kutetea haki za Watanzania,May Almighty God bless you 💯💯💯 I appreciate you 💯💯💯
Nimemkubali Mbunge Aida, leo umekosha nafsi za wengi, nimependa msimamo wa unachokisimamia, umeoonyesha ujaisiri wa kupinga dhuluma, hata ukiwa mmoja pekee bungeni. I wish hii video yako ingesikilizwa na watu wengi zaidi wapate uelewa! Good Interview!!!
Aida mungu azidi kuktetea ubalikiwe Sana katika wabunge wote wa tanzania aida pekeyako tu maneno yako tmeyaelewa Sana Tena sana wewe unafaa kuwa waziri kwa uwezo wako wa akili upo juu Sana Tena sana nataman waje watokee wabunge ata watano kwa akili km yako tu Tanzania yetu atasimama vizuri Sana
Smart lady from Nkasi we love you.... Kuna wasomi serikalini wana play part kuharibu taifa afu serikali inasisitiza watu wasome,,sasa wasome kwa faida ipi??? Me nazani wasomi wangesimama kutetea taifa but ndio hivo,,,,God bless Tz and get rid of money Hunter in our governance
Mbowe tuna kupenda sana❤❤❤ tuna zidi kuku mbea kwa mwenyezi mungu ata viongizi wengine wa chama chako ipo siku tutashinda mungu ibariki tanganyika mngu ibariki viongozi kama awa mungu ibariki watu wako pamoja nawatoto watanganyika nalasilimari zake tanzania ninguvu moja wanaoreta udini na uchonganishi kueni makini
Hii INCHI ni shida mtu anaongea mambo muhimu yenye maslahi ya nchi na wananchi kuna viongozi wa wananchi wanasimama bungeni na kusema mkataba wa mama haupingwi wanaopinga washughulikiwe tuna hasara kubwa kwa viongozi wetu wachache
Na huyu Dada ilimlazimu alale juu ya masanduku ya kura ndio ashinde kwa sababu tu mgombea wa chama cha chadema , hivi ni lini sisi watanzania tutasimama kama Taifa tukiacha hivi vyama vichafu vyenye maslahi ya watu wachache wasiojali Taifa ila heshima ya Vyama vyao, mwisho sitaki kuamini kama kuna wasomi wasioweza kujisimamia kwa sababu ya njaa basi acha Mimi nife na njaa lakini sitaweza kuwa na wadhalimu kwenye mambo yanayogusa maisha ya watu kama mkataba huu mbovu , eti hatutaweza kuanza kazi mpaka tukawaeleze Dp world ,who are they ? Ni akina nani hawa au wana share na sisi ,tuache kuzubaa watanzania tuna maeneo mengi ambayo tumeyauza kizembe na tuna lia nayo kwa mfano angali wavuvui katika maziwa kama Victoria na samaki tunaokula Leo ,utagundua ni mikataba ambayo haijafikiri zaidi juu ya watanzania
Mungu akubariki sana dada haida tunaitaji watu kama wewe yawezekana hao wanao penda kuongwa na ku saliti nchi hii sio watanzania arisi watakua waamiaji kabisa ata baba wataifa alisema watu kama ao wana tabia ya kimalamala
Dada Aida rait mungu angekuwa anasemaga tuu wewe unafaa kuendesha nchi Wala usingepigiwa kula maana unavoongea ni ishala tosha unaweza kulipigania taifa lako mungu akulinde ukupiganie Kwa ajili ya taifa lako mama Amina.
Hongera dadaaa mungu akuweke wewe.nikatika viongozi wanaofaa nchini asante sana.dadaa mimi binafsi ninakufuatilia sana ukiwa bungeni ukosawa dadaa usiogopee jibulao ni 2025 kuingusha ccm tuu basii ndio dawa iliobakituu.
Watanganyika tuvae magunia tumlilie Mungu ili Mungu awaondoe hao matapeli na wanafiki walioko bungeni.Dada Aida Mungu akuinue zaidi tumeiona wewe na Halima mkipigania ardhi yenu.yupo Mungu asiyelala Wala kusinzia atawalinda na atashughulika na hao wanafiki wakiongozwa na lisipika la hovyo
Wabunge mnatudharau.Watanzania.Iweje kila mara mnapitisha mambo haraka haraka kwa siri kubwa.Bunge limetumiwa kupitisha ili baadaye ionekane hata Bunge lilipitisha.Kwa rasilimali hizi ni za Serikali au za Chama fulani.
Hongera sana mh. Aida hivi kwa nini wasikae pamoja na Rais wa Zanzibar wakaweka Mkataba mpaka Zanzibar si kitu chenye Faida? Vinavyo binafsishwa ni vya Bara tu ni kwa nini? Hapo kwa kweli inaogopesha kaeni mtafakari Hatuna vyeo ila tunajuwa Baya lipi na zuri ni lipi? Big up Aida kwa kuwa mkweli.
Asante Mhshimiwa Aida, kumbe mkataba unatekelezwa Baada ya Rais na wabunge wa Ccm kula rushwa, tena kwa fedha za anayetaka kuwekeza. Zanzibar funga virago rudi Kwenu.
Dada Ada kweli umejitoa mghanga kwa ajili ya maslahi ya nchi ,unatakiwa kumwomba Mungu sana akusaidie Watu wanakutazama vibaya.Tunakuombea kwa mungu
Hyo hawamuwez kwani nkasi unapajua niwapi??na alipita yeye2 Tanzania nzima nakula walimuubia ila kumbe hawakujua wanajiibia wenyewe
Mungu akulinde ukaapo,uamkapo, utembeapo, unapoendesha gari n.k Msimamizi mkuu awe roho mtakatifu na malaika wa Mungu. Dada msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Na ukweli hata upitapo motoni hautaungua. Ubarikiwe.
Hiki kichwa kilkuwa na haki zote zakumpga chini yule mzee mpumbvu mwimba mapmbio na mtukanaji hvyo mzee Kesi.Big up Mh Dada😂😂
Hawa ndio viongozi na wawakilishi tunaowahitaji… hapepesi maneno na anasimama ktk kweli. Hongera sana Dada Aida.
Hongera sana Aida. Bunge zima na Spika wake mwenye akili ni wewe tuu. Tunakushukuru sana sana. Mungu akubariki sana sana
Hakika ni yeye pekee.
Mama umenifurahisha sana uko makini sana nilitamani sana ungekuwa mbunge wetu niliko sasa hivi. Napenda sana wabunge wenye kujua sisi wananchi wa hali ya chini, nakupa hongera sana, elimu uliyopata ina upeo mkubwa sana, mungu akulinde na tutazidi kukuombea amen.
Hongera sana sana Madam Smart Lady. You have done your duty to our nation.
Good
Asante sana kaka Ngurumo kwa kuandaa kipindi kizuri. Nimeamini Mbowe na huyo mbunge wa Nkasi Aida Kenani ni wazarendo wa hali ya juu
Wabunge kama hawa ndio wanatuwakilisha kweli bungeni👏
Hongera sana dada Aida Kwa ukweli mungu akulinde amina
Naipongeza pia chombo hiki cha Habari Kwa kutoa taarifa ipasavyo, Hongern Sana 👍👍👍
Katika wanawake wachache waliobaki duniani kuwa na akili, wewe ni mmoja wapo. Big Up sana. Wewe ni mzalendo.
Very clever woman
P
Llll
Very good leader 👏 👍. President she have to promote her to the high position in the government.
She have a big.
vision.. Tanzania 🇹🇿 we really need a serious leader like her.
Which president?
@@fahadfaraj6474 😄 SSH
...huyu mbunge uwezo wake yeye peke yake ni zaidi ya uwezo wa bunge zima!!...na anajua valuations change, Values don't!! Anajua pia majority opinion does not make the right wrong or the wrong right!!...ameonesha uadilifu mkubwa. "BE OPEN TO CHANGE BUT STAY FIRM ON VALUES" Hongera sana, wewe ni shujaa!..Aida Kenan.
Aida wewe ni ZAIDI wanawake Tz .Hongera sana MUNGU aendelee kukupa macho ya rohoni.
Mimi nimempenda sana Aida Mungu awe nae kusaidia nchi yetu TZ❤
Dada natamani nikuone nikuombe uko vizuri
Humu kuna mtu haswaaaa. Hongereni watu wa Nkasi.....mnae mtu haswaaaa......🙌🙌🙌🙌🙌
Big up dada
Hongera Sana Mheshiwa Aida,
Umekuwa wa maana peke yako kuliko Rundo la wanaojiita wabunge.
Usiogope vitisho vyao,
Mwanadamu ni Nani ni udongo, majivu, na Tena ni Mbwa mfu.
Hongereni wana nchi wa Nkasi kwa kuchagua dhahabu 🙏🙏🙏🙏
saafi
MUNGU Ni mwema.
Nalazimika kuhamia nkansi kumbe kuna watu wakweli sana. Nakupongeza sana Aida Mungu atakulinda usiwe na shaka. Tupo nyuma yako
Mbunge umewachana vizuri
Karibu sana
Amen
Hamia chadema huyu ni zao la mbowe
Aida Hongera ninazawadi yako!
Thank you so much, Ms Khenani. You are a great patriot. Only the truth can set us free. May God continue to bless you, guide you and give you more courage.
Kweli mbowe ni mfano WA kuigwa duniani kongole mbowe
😊
Huyu ni Mbunge Mwenye ufaham Mkubwa sana, hongera sana Nkasi kumpata Mbunge Mahiri mhe. Aida
Mbunge waTaifa sio Nkasi pekee
Tunakushukuru sana wanankasi tunakuombea sana mbunge wetu
Against Idea of Dubai Agreement (AIDA)
Against Incomprehensible Dubai Agreement (AIDA)
Against Inconvenient Dubai Agreement (AIDA)
Against Implusive Dubai Agreement (AIDA)
YOU WERE BORN FOR THIS .GOD IS WITH YOU AIDA.
We really need MPs like AIDA.
🎉
Tupiganien jamn
Big brain washer
THIS IS GREAT. Keep up AIDA
Duh! Mh. Ukoo vizuri sana na Mungu akusimamie katika msimamo wako.
MUNGU akubariki Mno dada Aida hakika nimekusikiliza kwa kina,Una uzalendo mkubwa kwa taifa letu, na ujasiri mkubwa katka kutetea haki za Watanzania,May Almighty God bless you 💯💯💯 I appreciate you 💯💯💯
AISEEEE! HONGERA SANA MH AIDA.UNAONESHA WAZI UWEZO WAKO WA KIAKILI NI WA JUU SANA.WEWE NI MMOJA WA VIONGOZI AMBAO TUNAOWAHITAJI.MUNGU AKUBARIKI SANA.
Mungu atakulinda siku zote msema kweli Ni mpenzi wa mungu,
Nimemkubali Mbunge Aida, leo umekosha nafsi za wengi, nimependa msimamo wa unachokisimamia, umeoonyesha ujaisiri wa kupinga dhuluma, hata ukiwa mmoja pekee bungeni. I wish hii video yako ingesikilizwa na watu wengi zaidi wapate uelewa! Good Interview!!!
Inawezekana ulihongwa kama wenzio akina msukuma, lakini umenifurahisha jambo Moja zuri, hukujali pesa zao ukachagua kuokoa taifa letu la Tanganyika
Well
Aida mungu azidi kuktetea ubalikiwe Sana katika wabunge wote wa tanzania aida pekeyako tu maneno yako tmeyaelewa Sana Tena sana wewe unafaa kuwa waziri kwa uwezo wako wa akili upo juu Sana Tena sana nataman waje watokee wabunge ata watano kwa akili km yako tu Tanzania yetu atasimama vizuri Sana
Definitely, mama anafanya kusudi kutoa mali ya za watanganyika na sio za zanzibar.
Big up Aida 👏👏
Keinan ni mzalendo wa kweli wa taifa hili nimkweli ana hofu ya Mingu anajitambua anajua wajibu wa uwakilishi keinan hold on you are a hero
Mwanamke unayejitambua sana hongera dada
Huyu mama and uwezo wa kufikiria na kutafakari. Kwanza ana uzalendo sana. MUNGU mwenyezi azidi kukulinda na kukuongoza ili uwapiganie watanzania.
Mama amesitahili kupongezwa kwa ujairi alionao kikubwa tumkabidhi mikononi mwa mungu
Hongera sana Dd Haida uko vizur sana. Unaongea ukweli tupu Mungu akupe maisha maref uendelee kuwatumikia wana Nkasy.
Smart lady from Nkasi we love you....
Kuna wasomi serikalini wana play part kuharibu taifa afu serikali inasisitiza watu wasome,,sasa wasome kwa faida ipi??? Me nazani wasomi wangesimama kutetea taifa but ndio hivo,,,,God bless Tz and get rid of money Hunter in our governance
Raisi ang'atuke!
Haraka!
She has lost the legitimacy to govern the country she should go. 🚶♀️
Rais anga’atuke Halafu Bibi yako awe Rais NYAU nini
@@ameedamilja7992njoo uchukue soda aise
Ubarikiwe kiongozi Sema kweli na roho yako itulia big up.
Mbowe tuna kupenda sana❤❤❤ tuna zidi kuku mbea kwa mwenyezi mungu ata viongizi wengine wa chama chako ipo siku tutashinda mungu ibariki tanganyika mngu ibariki viongozi kama awa mungu ibariki watu wako pamoja nawatoto watanganyika nalasilimari zake tanzania ninguvu moja wanaoreta udini na uchonganishi kueni makini
Mungu akulinde mpendwa aida,
Nawe we uwe makini sikuzote,
Ila Mungu hatakuacha, tutakuombea KWA Mungu.
Hongela sana Aida Dada yangu hao wabunge wenzeko mamburura Wana itikiaga bila kufanya utfiti ukipitisha Shelia mbovu unaangamiza taifa
Your a good mother God bleess and be with you
Yaani machozi yamenilenga kwa mbunge huyu, dada yetu mpendwa ,kumbe Tanzania bado tuna watu !
Mungu aliyekupa nafasi hii muhimu akulinde, akuinue, akubariki kutetea maslahi ya taifa, umemheshimu Mungu, umewajali watanzania
Great job Godless you!
Safe sana dada Mungu awe nawe
Uko vizuri sana Aida uko vizuri Mungu akutunze sana.
God analysis my brother. Tuendelee hivyo.Asante Aida
Hongera sana dada mungu akujalie
Aida upo vizuri sana mama Mungu akutangulie,
Dada Uko vizuri sana kwa msimamo wako wewe ni mzalendo waukweli Asante.
THANK YOU ÀIDA YOU ARE GREAT ❤
Amen
Halafu watu wanaandamana kupinga mkataba mbovu polisi wanakamata waandamanaji,kweli elimu ni kitu muhimu sana!😭😭😭
Hii INCHI ni shida mtu anaongea mambo muhimu yenye maslahi ya nchi na wananchi kuna viongozi wa wananchi wanasimama bungeni na kusema mkataba wa mama haupingwi wanaopinga washughulikiwe tuna hasara kubwa kwa viongozi wetu wachache
Polisi wanatumia Sheria gani kuwazuia kuandamana?
Na huyu Dada ilimlazimu alale juu ya masanduku ya kura ndio ashinde kwa sababu tu mgombea wa chama cha chadema , hivi ni lini sisi watanzania tutasimama kama Taifa tukiacha hivi vyama vichafu vyenye maslahi ya watu wachache wasiojali Taifa ila heshima ya Vyama vyao, mwisho sitaki kuamini kama kuna wasomi wasioweza kujisimamia kwa sababu ya njaa basi acha Mimi nife na njaa lakini sitaweza kuwa na wadhalimu kwenye mambo yanayogusa maisha ya watu kama mkataba huu mbovu , eti hatutaweza kuanza kazi mpaka tukawaeleze Dp world ,who are they ? Ni akina nani hawa au wana share na sisi ,tuache kuzubaa watanzania tuna maeneo mengi ambayo tumeyauza kizembe na tuna lia nayo kwa mfano angali wavuvui katika maziwa kama Victoria na samaki tunaokula Leo ,utagundua ni mikataba ambayo haijafikiri zaidi juu ya watanzania
Wewe kazi na ufitina tu kwkua raisi atoka Zanzibar aduwi wee
@@user-pe9nq3wu4pakili za kitumwa..mbona bandari za Zanzibar hazipo...hizo neema hamzitaki. Dhamira kwenye hili jambo sio njema
HAPA KUMBE KULIKUWA NA MPANGO WA MUDA MREFU ILI RASLI MALI ZETU ZIPOTEE CHADEMA HUWA NI SMART CHARACTERS LIKE THIS BEAUTIFUL GIRL
Mungu akubariki sana dada haida tunaitaji watu kama wewe yawezekana hao wanao penda kuongwa na ku saliti nchi hii sio watanzania arisi watakua waamiaji kabisa ata baba wataifa alisema watu kama ao wana tabia ya kimalamala
Jeshi la mtu mmoja! Hongera sana Mh. Aida
Aida uko vizuri sana, umeongea ya maana sio bendera fuata upepo
Dada Aida rait mungu angekuwa anasemaga tuu wewe unafaa kuendesha nchi Wala usingepigiwa kula maana unavoongea ni ishala tosha unaweza kulipigania taifa lako mungu akulinde ukupiganie Kwa ajili ya taifa lako mama Amina.
Kadada upo vizuri hata kuwashinda wanaume. Unamzidi hata rais hoja. Upo vizuri nampongeza mwalimu wako. Asante.
Hongera dada kwa kuongea ukweli mwenyenzi mungu akulinde
Hongera sana aida kwa ujasiri,chadema msiwatoe bungeni watu kama hawa wanao tetea wananchi pamoja na nchi yao
Huyu ni mbunge wa Chadema. Hakuna anayemtoa.
Hodi hodi nyumba ina mtu Tanzania ina mbunge 1 tuu aida kenaan tumuombee
Big up sana Mh. Aida. Unajitambua. Barikiwa sana.
Dada uko vizuri sna!
Hongera!
Dada.
Hongera dadaaa mungu akuweke wewe.nikatika viongozi wanaofaa nchini asante sana.dadaa mimi binafsi ninakufuatilia sana ukiwa bungeni ukosawa dadaa usiogopee jibulao ni 2025 kuingusha ccm tuu basii ndio dawa iliobakituu.
Hongera sana dada Aida unafaa kabisa kuitwa muwakilishi
Safi Sanaa Aida Khenani kwa nini wana haraka . Kuna kitu nyuma ya pazia. Kitajulika tuuu. Hakuna siri sasa
Ubarikiwe Sana kwa uzalendo wako, usikate tama uraisi unakufa mdee atakuwa wazir wako
Watanganyika tuvae magunia tumlilie Mungu ili Mungu awaondoe hao matapeli na wanafiki walioko bungeni.Dada Aida Mungu akuinue zaidi tumeiona wewe na Halima mkipigania ardhi yenu.yupo Mungu asiyelala Wala kusinzia atawalinda na atashughulika na hao wanafiki wakiongozwa na lisipika la hovyo
SAFI SANA MOJA YA VITU NILIVYOVIELEWA KWA HUYU DADA AIDAN NI ALIHOJI, KUHOJI NI KITU KIZURI SANA.
Big up Aida wewe ni kichwa nzuri. Tamaa na uchawa tu unawauwa warafi
Ubarikiwe sana mdada mungu ni mwema
hongela sana Dada Aida, kwani wabunge wa ccm wana nini? mbona mi ciwaelewi ivi kweli wamefikia hapo wabunge wa ccm mnatia aibu hamshibagi
Hawatatuchonganisha na Mbowe milele.
Asante Aida kwa kuwa mzalendo
Sawa kabisa kataa ukiritimba
Kenani yuko sawa
Wabunge mnatudharau.Watanzania.Iweje kila mara mnapitisha mambo haraka haraka kwa siri kubwa.Bunge limetumiwa kupitisha ili baadaye ionekane hata Bunge lilipitisha.Kwa rasilimali hizi ni za Serikali au za Chama fulani.
Inasikitisha Sana tunapoona wasomi wetu wanakuwa mbele kupayuka hovyo badala ya kujenga hoja ya kile kinacholalamikiwa.
Hongera sana mh. Aida hivi kwa nini wasikae pamoja na Rais wa Zanzibar wakaweka Mkataba mpaka Zanzibar si kitu chenye Faida? Vinavyo binafsishwa ni vya Bara tu ni kwa nini? Hapo kwa kweli inaogopesha kaeni mtafakari Hatuna vyeo ila tunajuwa Baya lipi na zuri ni lipi? Big up Aida kwa kuwa mkweli.
Hongera sana,
God bless you dada Aida kweli humuweka mtu huru.
Mm ni CCM lkn mboww namkubali, alichosema ni hofu yake Kama mtanzania
Chadema wamlinde sana huyu mama, ni dhahabu ya chama katika kipindi hiki kilichojaa changamoto
mbunge wa chadema upo pekee yako bungeni mungu akurinde mtumikiee mtanganyika na sio mzanzibari samia mpinge mpaka ukutane na yesu atakusaidia
Pole sana mh kumbe na ww uliingizwa mkenge hiyo ziara ya kwenda Dubai na nikupongeze kwa kupinga huo mkata wa kuuza bandari zetu na inchi yetu pia
Aida nimekuelewa Mungu na akulinde na akubariki sana
Huyu dada jamani, kumbe tuna hazina jamani, dada mungu aendelee kukutumza sana
Hongera sana _mungu akubari na kukulinda 1petro1:5.
aida ubarikiwe sana na Mungu akuongezee msimamo maana mko wachache ndani ya inji yetu
Nlikuw najiuliza kwann wananchi walimchagua huyu dada, kumbe ni kichwa
Sana atashinda tena
Nyinyi watu wa bara mwalalamikia bandari tu na sisi wazanzibar hatutaki muungano mama samia kodisha sisi tupamoja nawe kazi iendelee mwaaaa
Uko vizuri kiongozi wangu
Nilimpigia kura huyu dada nikiwa like nkasi najivunia hlo nikiwa zambia now
We dada mungu akulinde una hofu ya mungu ila kuna hilo jmaa linaitwa msukuma me naona bora mungu aliite tu
Hongera mzazi unafaa Sana tumesikiliza Hoja zko Yani Wewe Mungu akulinde sana
Hongelasama mwamba
Huyu ndo Mbunge sasa🎉
Mungu akulinde.tuwakute wapi wanawake wanajua kuomboleza.
Wewe sio mmja wa wanafiki ndani ya CCM
Nice AIDA
You are so great!
Pokea mauwa yako toka kwangu mungu nasisi hapa duniani tukulinde
Asante Mhshimiwa Aida, kumbe mkataba unatekelezwa Baada ya Rais na wabunge wa Ccm kula rushwa, tena kwa fedha za anayetaka kuwekeza. Zanzibar funga virago rudi Kwenu.
Hawa ndio wafia nchi wazalendo kwelikweli !!!!siyokama tulia na wenzake😢😴😢😢
Mtanzania yeyote anae comedi mzuri