PART 1: JAMES MBATIA, NILIKUA NATUMIKA NA MAGUFULI?/SERIKALI IMEFANYA NJAMA KUNING'OA NCCR
Вставка
- Опубліковано 3 чер 2024
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media
Interview kali sana
Hongera sana Mbatia endelea kusimamia kupigania Tanganyika.
Wamevaa sout za kufanana ujue
Mtu mmoja makini sana Joseph Francis Mbatia
Roly mode wangu
Unajua unapoiangalia tanzania ,unaiona tanzania,tunahitaji wanasiasa makini ambao wanaokua na uchungu juu ya utaifa wetu wa tanzania,ni moja wapo ya tunu na mentor wa wanasiasa wengne ambao wako sehem fulani,tunachotaman wananchi nikuona taifa linafika wapi,
Kwa kumaliza hakuna binadam mkamilifu,tamat kabisa kabisa tunahtaj tanzania salama,tusiache kutoa elimu sahihi ya utafakar juuu ya uzalendo
Yoooh
Majanga zaidi bwana mbatia ni machinga ccm iliyo mwagwa barabarani hao ndio wataleta vyama wakishika panga hawataludi nyumba asante
Yuniform kijani kabisa
NCCR mageuzi ilianzishwawaka 1992 na sio 1993
Nilikuwa nakukubqli sana ukiotoa ufafanuzi juu ya majanga ya kiaifa
Huyu mzee ana uwezo mkubwa! Much love to him!!
Hamuna haki Tanzania labda makonda au silaa wawe maraisi ndio haki itapatikana
Sasa yeye aliemtoa Mbatia amenya nini ?
Yeye huyo yuko kwa ajili ya CCM that is all
Muheshimiwa mbatia ni hazina ya taifa .....kwanini asiende atc wazalendo ...kwa siasa zake panamfaa sana kwa anaendana na siasa zake za kistarabu
Ili Walpole vizuli
Into 👍🏾🔥🔥🔥🔥🫡
mbatia nampenda saana ila goli alilopo halifungiki
Kwa kweli wewe ni zaidi ya Lissu na akina Mbowe
Wewe ni chawa kama chawa wengine ni nani asiyekujua!!!!!!
Kama Siyo Migogoro ya Ndani Kupitia Wanasiasa Mamluki Vyama Vya Upinzani Tanzania Vingekuwa na Nguvu sana Kwa Sababu ya Hazina Ya Viongozi Wasomi Wenye Akili sana.
Shida kubwa ni Usaliti.
What? Goes Around Comes Around.
Wewe Na Yule Mch. Aliyekuwa Mw.Kiti Wa Kanda ya Nyasa Uwezo Mnao.
Tatizo kubwa ni kutanguliza Maslai Binafsi na Maslai ya Wachache kwa Baadhi ya Viongozi wa Vyama Vya Siasa.
Tanzania hamuna upinzani wote ni chawa wa chama chamapinduzi mustuni hawawezi
Stupid interview