NAMPENDA MKE WANGU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 437

  • @thomaskarama3521
    @thomaskarama3521 Рік тому +95

    Wakwanza Leo toka Congo naomba likes zenu hapa hata kumi tu kwa heshima yake clam .❤️❤️🔥🔥🇨🇩🇨🇩🇨🇩

    • @Teddy-fq5oc
      @Teddy-fq5oc Рік тому

      Unataka like umefanya nini kikubwa

    • @kettymaggie5202
      @kettymaggie5202 Рік тому +1

      @@Teddy-fq5oc nashangaa maybe anataka kuzipika

    • @naumi2302
      @naumi2302 Рік тому +1

      Badala yakutoa maoni unaomba likes shenzi hii

    • @thomaskarama3521
      @thomaskarama3521 Рік тому

      @@naumi2302 we njo shenzi kama hutaki soache

    • @thomaskarama3521
      @thomaskarama3521 Рік тому

      Usi muzarau mtu usiye mujua ni zambi chauri yako

  • @ibrahimuselemani4076
    @ibrahimuselemani4076 Рік тому +50

    King of Comedy🇹🇿❤️likes za heshima kwa CLAM pliz🙌

  • @EagleEzra
    @EagleEzra Рік тому +73

    KUTOKA Kenya 🇰🇪 napenda kipawa chake CLAM Sana,,,si mnikaribishe Na likes kaka zangu Na dada zangu..... Hii ndio taswira kamili vijijini

  • @kinyasigeneral7069
    @kinyasigeneral7069 Рік тому +12

    Tunapenda tuone kazi nzur sana nauyo dada yupo vizuri sana respect kaka clam

  • @efraimrichard6440
    @efraimrichard6440 Рік тому +23

    Ila Sonia very beautiful na anajua Sana kuigiza

  • @allymachejo2996
    @allymachejo2996 Рік тому +21

    😂😂😂 Ila uyo dada kaanguka kwel bana hapo Daaaah

  • @ahkalboy7064
    @ahkalboy7064 Рік тому +18

    Tunakukubali clam. Huna baya broo🔥🔥🔥

  • @janethnjochanilo6945
    @janethnjochanilo6945 Рік тому +11

    Macho ya huyo dada ❤

  • @indexchitanda4477
    @indexchitanda4477 Рік тому +15

    Nampenda mke wangu nice movie❤❤❤

  • @josephsananga6573
    @josephsananga6573 Рік тому +5

    Ila sonia anitafute nampataje kaka clamvevoo namba iyo kauwaaa sonia nimetokea kumpenda sana👨‍❤️‍👨💋💋

  • @douglasbideri6113
    @douglasbideri6113 Рік тому +6

    Super star Clam juuuu sana nakukubali sana babu

  • @josephsananga6573
    @josephsananga6573 Рік тому +7

    Tunapenda kuona kazi nyingi mkifanya pamoja dem anaigiza nauwalisia watendo linalofanyika

  • @layaniking9991
    @layaniking9991 Рік тому +8

    Clam Mimi ndo wakwanza kuona iyi video from Minnesota use🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @mbogazamajanicrew3326
    @mbogazamajanicrew3326 Рік тому +36

    Heri sisi tunaojipendea zetu chapati na maharage hatuna shida😂😂😂

  • @ankolt9111
    @ankolt9111 Рік тому +6

    Mfalme wa comedy clam Vevo piga moja kali mkiwa na kicheche kikofia aka amrish pul
    Tumeipata kutoka Kenya 🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸 twawapenda sana

  • @Man_Freja
    @Man_Freja Рік тому +6

    Clam ila wamekutesa sana mzee umeuacha utamu

  • @lilianalmas5911
    @lilianalmas5911 Рік тому +16

    🤣🤣🤣🤣🤣 You are the best Clam lakin Hilo teke la Kwanza ni la kweli kabisa 😂😂😂😂

  • @jollywillson-gs5co
    @jollywillson-gs5co Рік тому +11

    Mmmh!huyo mke wa clam hapo kaanguka za ukwelii kwelii❤️

  • @angeloremigiotadeu8305
    @angeloremigiotadeu8305 Рік тому +29

    Voce é Unico tanzaniano, melhor clam, força ai sucesso para sempre, boa noite

  • @ivanokillerfadhili525
    @ivanokillerfadhili525 Рік тому +8

    Etiii mimi na kibamia 😂😂 aya kumbe ndoto tu inge kuwa live sasa clam verry good

  • @rosellaabraham13
    @rosellaabraham13 Рік тому +7

    Huyo dada hapo alidondoka kweli😔 na lile teke la tako ni la ukweli ukweli😅😅😅

  • @asiasalim9323
    @asiasalim9323 Рік тому +2

    Una bahati Clam ni ndoto ingekua kweli ingekula kwako ukiona cha nini wenzio wasema watakipata lini 😂😂😂😂

  • @mussamadua1079
    @mussamadua1079 Рік тому +5

    Jamani sonia kaanguka kweli pale aliposukumwa na clam

  • @LameckJoachim-ex6mv
    @LameckJoachim-ex6mv Рік тому +142

    mmh kila aliyemuona clam nakuanza kucheka piga like

  • @ndmox3017
    @ndmox3017 Рік тому +5

    Leo wa kwanza mm jmaan namkubali clam kama nyie naomben likes kama views za clam

  • @makondeshortFilme3
    @makondeshortFilme3 Рік тому +5

    ❤❤❤😂😂😂😂 Saluty sana kaka CLAM VEVO ❤❤❤🔥🔥💥💥🇲🇿🇲🇿📺📺

  • @marthinethomas3020
    @marthinethomas3020 Рік тому +10

    Hakika nimeludi kwenye Gang langu 💥💥

  • @Seifbrown
    @Seifbrown Рік тому +6

    Demu uyu ni mkali sana bana ❤na mu miss

  • @nashmirihamisi2417
    @nashmirihamisi2417 Рік тому +8

    Nampenda clam na wivu wake😂😂😂😂😂😂

  • @rogatusmeleki1660
    @rogatusmeleki1660 Рік тому +2

    Sehemu ya kufukuzwa uyo dada kama mhindi flani kama alidondoka kweli ,hakuumia kweli
    But ujumbe mzuriii

  • @LeonardoCiprianoSufo-rb2mo
    @LeonardoCiprianoSufo-rb2mo Рік тому +2

    CLAM wewe ndio namba moja

  • @shanyabuzefa5855
    @shanyabuzefa5855 Рік тому +7

    Hongera sana clam natizama nikiwa saudi

  • @JohnIssaAbacar
    @JohnIssaAbacar Рік тому +7

    Força clam esta perfeito

  • @Kib-jsanley
    @Kib-jsanley Рік тому +1

    Kutoka Kenya Nairobi utawala🇰🇪 naipenda

  • @Umiminhaamanal
    @Umiminhaamanal Рік тому +5

    Mwili moja ya nyokoo 😂😂😂😂😅😅😅

  • @kinyasigeneral7069
    @kinyasigeneral7069 Рік тому +4

    Sonia mzr sana ❤❤❤

  • @emmanueloinoth
    @emmanueloinoth Рік тому +37

    kwa Sasa top Five yangu ni
    1)Clam
    2)kicheche
    3) Steve mweusi
    4)Mr bigi bigi
    )bailam

  • @josephsananga6573
    @josephsananga6573 Рік тому +2

    Sonia yupo vizur clam

  • @mireillemanirambona4422
    @mireillemanirambona4422 Рік тому +3

    🤣🤣🤣🤣🤣clam mimi unaniuwa sana kwa kucheka Big up sana bro

  • @fa.fa.9713
    @fa.fa.9713 Рік тому +2

    ❤❤Nyie achen kunchngnya duu😂😂 ila Clam wewe Allah akzdshie kipaji❤

  • @abdulazizabdulrahmaan8412
    @abdulazizabdulrahmaan8412 Рік тому +3

    Unyamaa nmekuwa wa kwanza

  • @chatila2115
    @chatila2115 11 місяців тому +1

    We jamaa unajua 😅😅

  • @nassoroPaul-tg5si
    @nassoroPaul-tg5si Рік тому +3

    Nakupenda sana kak 😅😅😅

  • @lwimikomwambene
    @lwimikomwambene Рік тому +5

    Ni wamemnyooooosha clam Leo hahahahaha

  • @theopistersaimon9664
    @theopistersaimon9664 Рік тому +4

    Hahaha, nimecheka kidogo nife

  • @gerysongratian
    @gerysongratian Рік тому +2

    Kumbe clam mwananchiiiiii ...💚💛💚💛

  • @kingsalvamzuka76897
    @kingsalvamzuka76897 Рік тому +3

    ❤nzur sana hiyo 😂🎉🎉😮😊

  • @Ahmedali-fb2dy
    @Ahmedali-fb2dy Рік тому +1

    Mwili mmoja wa nyoko 😂😂😂😂😂

  • @Gerardirankunda2885
    @Gerardirankunda2885 Рік тому +1

    Eeee clam mbon ushakua cizi🤣🤣🤣🇧🇮🇧🇮🇧🇮🙏🙏

  • @ankonzala01
    @ankonzala01 Рік тому +11

    Leo wa kwanza kamaunamkubali clam naomba like

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg 4 місяці тому

    We clam fundi sijawai ona kama we🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @SaidiMtaita
    @SaidiMtaita Рік тому +1

    tuko pamoja sana clam tunakupenda

  • @teophilisirili-sh7vw
    @teophilisirili-sh7vw Рік тому

    Mwili mmoja wa nyoko daaah clam ongera xana unaweza hadi unaweza tena

  • @salumabdu5415
    @salumabdu5415 Рік тому +2

    Wakwanza mm leo nipeni lk zang

  • @badboyrozay254
    @badboyrozay254 Рік тому +4

    Hii Inauma zaidi ya ile ya aslay!!😂

  • @rashidmsiga
    @rashidmsiga Рік тому +1

    Oya upo vizur🎉🎉🎉

  • @FRANKTV04
    @FRANKTV04 Рік тому +5

    Wa kwanza leo naombeni like zangu hata 1k

  • @alfredtebeka2497
    @alfredtebeka2497 Рік тому +1

    Mbwa nyoko, naongea na weye naongea uyu, kumbe unawivu🤣🤣🤣🤣🤣

  • @wizocomedy
    @wizocomedy Рік тому +15

    Oee Clam Wakwanza Kutazama nipeni like zangu basi🎉🎉🎉

    • @moneemusic76
      @moneemusic76 Рік тому +1

      Wazi uko paka huku Broh

    • @wizocomedy
      @wizocomedy Рік тому

      @@moneemusic76 sana Clam mwanangu

    • @moneemusic76
      @moneemusic76 Рік тому +1

      @@wizocomedy WAZI HATA MIMI NAMKUBALI KINOMA ..NDONIKASHTUKIA NIMEKUONA FULLII PAMOJA MAN

    • @thwahirjuma740
      @thwahirjuma740 Рік тому +2

      WIZO WACHAUSHAMBAA

    • @wizocomedy
      @wizocomedy Рік тому +1

      @@thwahirjuma740 na nini

  • @layaniking9991
    @layaniking9991 Рік тому +2

    Mimi nikama mudogo yako nice bro

  • @eljonasvikumba8709
    @eljonasvikumba8709 Рік тому +1

    Niaje clam nakubali kazi zako bro

  • @irakozeeveline3919
    @irakozeeveline3919 Рік тому +6

    Number one ku comment we love you from Australia 🥰

  • @Therealsaum77
    @Therealsaum77 Рік тому +2

    😂😂😂😂 nmecheka sana, yaani nakupenda bure clam

  • @sifajosephe6135
    @sifajosephe6135 Рік тому

    😊 hapo. Mwishoni nili subiri useme na ijuwa hiyoo

  • @allydjuma8645
    @allydjuma8645 Рік тому +1

    Clam pia anaigiza vizur sana, naongea nawey naongea nauyu hhh

  • @kinyasigeneral7069
    @kinyasigeneral7069 Рік тому +8

    Gonga like tunaependa kazi za clam na sonia😊😊

  • @angelmjema7429
    @angelmjema7429 Рік тому

    Nakupenda sana clam vevo

  • @chichialmas4256
    @chichialmas4256 Рік тому +3

    Mbona pala gwaduu🤣🤣🤣

  • @jaliamartinz
    @jaliamartinz Рік тому +2

    Clam mbona una wivu 😂😂😂

  • @FiniasBugobola
    @FiniasBugobola 2 місяці тому

    Ila clam noma🎉🎉

  • @kafumutv.6082
    @kafumutv.6082 Рік тому +2

    Aya Leo nmekuwa wa kwanza... Naomba msiguse COMMENT YANGU.....😂😂😂😂

  • @mrengineer8901
    @mrengineer8901 Рік тому +1

    Namtaka you dem Sonia naoa kabisa

  • @priscajustine2456
    @priscajustine2456 Рік тому +2

    Makubwa mwanaume anabebwa😂😂😂

  • @PerisSabari
    @PerisSabari 2 місяці тому

    Nikiwa na heartbreak huwa Natafuta video za clam vevo,nikiwatch na tulia roho

  • @zeckie255
    @zeckie255 Рік тому +2

    Clam vevo you the best

  • @judithkadhengi7230
    @judithkadhengi7230 Рік тому

    Clam sijawai kcomment lkn kwa hii upo vzr kaka

  • @Welte-fabrication
    @Welte-fabrication Рік тому

    Ebu tupee maana ya palagwado clam😁😁😁😁

  • @liylahahmed829
    @liylahahmed829 Рік тому +8

    MaEX wanateseka kwel😆😆😆😆😆

  • @mchyaguchyna2230
    @mchyaguchyna2230 Рік тому +2

    🙄😂😂😂😂😂jamn clam mtambo san

  • @usumanezana1775
    @usumanezana1775 Рік тому +3

    Hahahaha 🤣🤣🤣 nakubali kazi

  • @rashidmsiga
    @rashidmsiga Рік тому +2

    Upo vizur. Mwanetu wa mlandiz😅😅😅😅❤

  • @josephsananga6573
    @josephsananga6573 Рік тому +2

    Tunaemkubali sonia tujuane likes apo chini🥰🥰🥰😍😍😍😍😍

  • @djsmoky2544
    @djsmoky2544 Рік тому +1

    hamwezi hata sku moja mkanipisha nami nkawa wa kwanza😏😏😏

  • @NanjalaDorine
    @NanjalaDorine 15 днів тому

    Waaah iyo imeweza😅😅😅

  • @shadyarif653
    @shadyarif653 Рік тому +2

    Hilo take broo no la mtu Ana kinyongo na mwenzake wallab😂😢

  • @ianohmadollar2627
    @ianohmadollar2627 Рік тому +4

    Ndiyo kuingia 💯

  • @IbrahimIsmail-te7mw
    @IbrahimIsmail-te7mw Рік тому

    Kibamiaaaaa clam una kidolee

  • @mkacibeiib7278
    @mkacibeiib7278 Рік тому +2

    mapenzi jamani❤❤❤

  • @Amoryegon678
    @Amoryegon678 Рік тому +1

    Clam you are the best👌👌

  • @frankstakus9527
    @frankstakus9527 Рік тому +1

    Mwili mmjoa wa nyoko🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @reddysanois
    @reddysanois Рік тому +2

    Mungu wa Comedy Tz nzima

  • @weynzlavie
    @weynzlavie Рік тому +10

    First to watch in less than an hour likes hapa jameni 😎

  • @MosesObuya-zg6ug
    @MosesObuya-zg6ug Рік тому +1

    Mimi nko Kenya napenda kazi zako vipi naezakua kama wewe.

  • @ElisantyNovath
    @ElisantyNovath Місяць тому

    Dah hiyo dada ban mapenzi kweli yana uma

  • @josephsananga6573
    @josephsananga6573 Рік тому +1

    Kaka kazi nzur sana clam

  • @Bintluckas3918
    @Bintluckas3918 Рік тому

    😂😂😂😂Sonia pole kwa kuanguka pia we Clam vevo umempiga Sonia teke la ukwel

  • @ezrafredricks2397
    @ezrafredricks2397 Рік тому +2

    Hio teke ya makalio nayo ilikuwa personala ama😅😅😅😅😅😅

  • @bensonlameck6348
    @bensonlameck6348 Рік тому +1

    Clam hujamalizia fresh leo,piga part 2

  • @fredrickfuraha
    @fredrickfuraha Рік тому

    Sem hapo hyu dada alidondoka kwel bwana xio maigizo 😂😂🥹🥹🥹🥹🥹

  • @BIGTARENTD.FAMILYOCHU
    @BIGTARENTD.FAMILYOCHU Рік тому +5

    Para gwaduuu😂😂😂😂