MBWADUKE: OHOOO... KI NINI TENA?

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 жов 2024
  • Usisahau ku-subscribe, ku-like na comment...

КОМЕНТАРІ • 23

  • @begumisachristopher4697
    @begumisachristopher4697 2 місяці тому +3

    Mbwaduke ni Dr wa uchambuzi wa michezo. Wengine bisheni

  • @SilmanOfficial-ss6oq
    @SilmanOfficial-ss6oq 3 місяці тому +2

    Utopolo tu Wanajitekenya na Kucheka Wenyewe.
    Wanaforce Kutrend kupitia mgongo wa Mnyama Simba hawana lolote.
    Watu wasidanganyike Simba haina wala haikuwa na Mpango na K aziz a.k.a Domo Bakuli😂😂

  • @LindaMbilinyi-n3n
    @LindaMbilinyi-n3n 2 місяці тому

    Duh zangu zote kwa Azizi ki kuondoka inshallah na iwe hvyo🤲

  • @muddywatown
    @muddywatown 3 місяці тому +2

    Wanataka wasitoke midomoni mwetu Simba hawana mpango Angekua namiaka 21 au 23 kweli tungeamini ila huyo abaki hukohuko

  • @jamallnyello5743
    @jamallnyello5743 2 місяці тому +1

    Na akiondoka azizi K tujiandae kuishia robo fainal na tunaeza pia tusifike huko

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania 2 місяці тому +4

    Simba hawana ata habar nae.

  • @RamadhanpMwakilasa-di5hc
    @RamadhanpMwakilasa-di5hc 3 місяці тому +1

    Bwana eeeh unatuchelewesha lete habr ya Aziz

  • @mskJr1993.
    @mskJr1993. 3 місяці тому +1

    Duuuh

  • @bonifassimon7909
    @bonifassimon7909 2 місяці тому

    Kama wanachama na mashabiki wa yanga tumeshindwa kulipia kadi zetu sishangai Azizi kuondoka japo ningetamani wananchi tuchangamke kulipa ili hizi 60%zimbakishe Azizi vinginevyo kila lenye heri kwako uko uendako mwamba

  • @begumisachristopher4697
    @begumisachristopher4697 2 місяці тому

    Azizi Ki ni mchezaji bora acha tu. Kuongoza hata kwa mashoots Afrika ni hatari

  • @jamallnyello5743
    @jamallnyello5743 2 місяці тому

    Kwakweli akiondoka azizi K nawaambia ukweli wajuetu usajili wao wote walofanya umeharibika haunamana tena, faida yahuu usajili wa yanga nikubakisha nyota wake, hasa huyo kimataifa

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le 2 місяці тому

    Cmba wala hawana mpango huo msi

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida7908 2 місяці тому +4

    Yani tunasema yanga nikubwa na tunashikwa na homa na mchezaji mmoja wakati wenzetu wamesajili na wakawacha nyota kibao tu na wazuri kwa hii yanga sio timu kubwa barani africa tunajipa tu ukubwa wa michongo papatupapatu siku zisonge

    • @Jimmymanasseh_Official
      @Jimmymanasseh_Official 2 місяці тому

      Uko Sahihi ila Kuna sehem uko na changamoto!!! Tanzania huwa ni ngumu kwa wachezaji muhimu kwenye kikosi kubak hasa wakipanda gharama so kumbakizia mchezaji kama uyo ni kazi nzur sana kabisa ivyo wakihaha kumbakiza na akabaki ni kazi nzuri sana

    • @Adolphine-if
      @Adolphine-if 2 місяці тому

      Wewe ni mpumbavu na siyo tu mjinga, kichwani mwako una matope sasa.

    • @Adolphine-if
      @Adolphine-if 2 місяці тому

      Abdallah Akida, hana akili kabisa huyo ni matope yamejaa kichwani mwake.

    • @Jimmymanasseh_Official
      @Jimmymanasseh_Official 2 місяці тому

      @@abdallahakida7908 kipindi miksoni wa moto Simba si mlimuuza? Kwa vigezo vip ,kaenda kuharibika amerudi Kawa bonge mkamuuza mbona hatusem

    • @HimilMussa
      @HimilMussa 2 місяці тому

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida7908 2 місяці тому

    Mnajua kuna ujinga wakutafuta kiki ili uonekane mbabe azizi ki nimchexaji wa yanga kinachotafutwa nikwamba eng hirsi anatafuta kiki kwa washabiki wao ,ili aonekane amempambania aziz k aje aseme yeye ndio amembakisha huu ni upuzi .hakuna chakuogopa kuficha au kutengeza kiki kwa mchezaji ambae unasema nimali ya yanga hizi kiki ni za nini si tuache huu ujinga wakutubeba mashabiki ufala.

    • @EdwardJeremiah-bd8rl
      @EdwardJeremiah-bd8rl 2 місяці тому

      Mchukue mchezaji wako na ww utafute kiki😂😂😂

    • @LindaMbilinyi-n3n
      @LindaMbilinyi-n3n 2 місяці тому

      Km nakuelewa Kwa yule Mzee anavyopenda sifa😂😂😂😂

    • @gracemtonga3263
      @gracemtonga3263 2 місяці тому

      Yale Yale!
      Na wewe mbona unatafuta kiki kwenye comment? Acha makasiriko kolobwenzi