Utopolo tu Wanajitekenya na Kucheka Wenyewe. Wanaforce Kutrend kupitia mgongo wa Mnyama Simba hawana lolote. Watu wasidanganyike Simba haina wala haikuwa na Mpango na K aziz a.k.a Domo Bakuli😂😂
Kama wanachama na mashabiki wa yanga tumeshindwa kulipia kadi zetu sishangai Azizi kuondoka japo ningetamani wananchi tuchangamke kulipa ili hizi 60%zimbakishe Azizi vinginevyo kila lenye heri kwako uko uendako mwamba
Kwakweli akiondoka azizi K nawaambia ukweli wajuetu usajili wao wote walofanya umeharibika haunamana tena, faida yahuu usajili wa yanga nikubakisha nyota wake, hasa huyo kimataifa
Yani tunasema yanga nikubwa na tunashikwa na homa na mchezaji mmoja wakati wenzetu wamesajili na wakawacha nyota kibao tu na wazuri kwa hii yanga sio timu kubwa barani africa tunajipa tu ukubwa wa michongo papatupapatu siku zisonge
Uko Sahihi ila Kuna sehem uko na changamoto!!! Tanzania huwa ni ngumu kwa wachezaji muhimu kwenye kikosi kubak hasa wakipanda gharama so kumbakizia mchezaji kama uyo ni kazi nzur sana kabisa ivyo wakihaha kumbakiza na akabaki ni kazi nzuri sana
Mnajua kuna ujinga wakutafuta kiki ili uonekane mbabe azizi ki nimchexaji wa yanga kinachotafutwa nikwamba eng hirsi anatafuta kiki kwa washabiki wao ,ili aonekane amempambania aziz k aje aseme yeye ndio amembakisha huu ni upuzi .hakuna chakuogopa kuficha au kutengeza kiki kwa mchezaji ambae unasema nimali ya yanga hizi kiki ni za nini si tuache huu ujinga wakutubeba mashabiki ufala.
Mbwaduke ni Dr wa uchambuzi wa michezo. Wengine bisheni
Utopolo tu Wanajitekenya na Kucheka Wenyewe.
Wanaforce Kutrend kupitia mgongo wa Mnyama Simba hawana lolote.
Watu wasidanganyike Simba haina wala haikuwa na Mpango na K aziz a.k.a Domo Bakuli😂😂
Duh zangu zote kwa Azizi ki kuondoka inshallah na iwe hvyo🤲
Wanataka wasitoke midomoni mwetu Simba hawana mpango Angekua namiaka 21 au 23 kweli tungeamini ila huyo abaki hukohuko
Na akiondoka azizi K tujiandae kuishia robo fainal na tunaeza pia tusifike huko
Simba hawana ata habar nae.
Bwana eeeh unatuchelewesha lete habr ya Aziz
Duuuh
Kama wanachama na mashabiki wa yanga tumeshindwa kulipia kadi zetu sishangai Azizi kuondoka japo ningetamani wananchi tuchangamke kulipa ili hizi 60%zimbakishe Azizi vinginevyo kila lenye heri kwako uko uendako mwamba
Azizi Ki ni mchezaji bora acha tu. Kuongoza hata kwa mashoots Afrika ni hatari
Kwakweli akiondoka azizi K nawaambia ukweli wajuetu usajili wao wote walofanya umeharibika haunamana tena, faida yahuu usajili wa yanga nikubakisha nyota wake, hasa huyo kimataifa
Cmba wala hawana mpango huo msi
Yani tunasema yanga nikubwa na tunashikwa na homa na mchezaji mmoja wakati wenzetu wamesajili na wakawacha nyota kibao tu na wazuri kwa hii yanga sio timu kubwa barani africa tunajipa tu ukubwa wa michongo papatupapatu siku zisonge
Uko Sahihi ila Kuna sehem uko na changamoto!!! Tanzania huwa ni ngumu kwa wachezaji muhimu kwenye kikosi kubak hasa wakipanda gharama so kumbakizia mchezaji kama uyo ni kazi nzur sana kabisa ivyo wakihaha kumbakiza na akabaki ni kazi nzuri sana
Wewe ni mpumbavu na siyo tu mjinga, kichwani mwako una matope sasa.
Abdallah Akida, hana akili kabisa huyo ni matope yamejaa kichwani mwake.
@@abdallahakida7908 kipindi miksoni wa moto Simba si mlimuuza? Kwa vigezo vip ,kaenda kuharibika amerudi Kawa bonge mkamuuza mbona hatusem
Mnajua kuna ujinga wakutafuta kiki ili uonekane mbabe azizi ki nimchexaji wa yanga kinachotafutwa nikwamba eng hirsi anatafuta kiki kwa washabiki wao ,ili aonekane amempambania aziz k aje aseme yeye ndio amembakisha huu ni upuzi .hakuna chakuogopa kuficha au kutengeza kiki kwa mchezaji ambae unasema nimali ya yanga hizi kiki ni za nini si tuache huu ujinga wakutubeba mashabiki ufala.
Mchukue mchezaji wako na ww utafute kiki😂😂😂
Km nakuelewa Kwa yule Mzee anavyopenda sifa😂😂😂😂
Yale Yale!
Na wewe mbona unatafuta kiki kwenye comment? Acha makasiriko kolobwenzi