PART 5: MZEE SENI AFICHUA WALIVYOMCHOMA MNYAMPARA USONI kwa MAFUTA ya MOTO GEREZANI...
Вставка
- Опубліковано 1 жов 2024
- PART 5: MZEE SENI AFICHUA WALIVYOMCHOMA MNYAMPARA USONI kwa MAFUTA ya MOTO GEREZANI...
HII ni sehemu ya kwanza ya mahojiano maalum ya Global TV na Mzee Seni Hassan Seni mkazi wa Mkolani jijini Mwanza ambaye ameeleza mkasa wake wa kweli wa kufungwa jela miaka 30 kwa kosa la ubakaji...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
Ana miliki watoto 😂😂
Sasa huyu mbona anachanganya babu seya aliingia jela kama 2004 inakuaje tena eti miaka ya 2002/3 akikutana nao gerezani
Mtu kafungwa Toka 90 kumbukumbu inapoteaa ya miakaa
ana miliki watoto 😁😁😁😁
Mbona mnachelewa Sanaa kuleta part nyingine
Wanatafuta subscription
Interview nyingi za hawa jamaa waliowahi kufungwa gerezani ni waongo sana, hawaelezi ukweli kuhusu changamoto walizokutana nazo. Athari za kisaikolojia zinachangia sana kutokuwa wakweli.
Yaani wanachelewa haswaa mpakaa wana bore