Enyi wezi kwenye pochi la taifa tunaomba mtuhurumie. Sante sana waziri mkuu kwa kuchukua hatua kupambana na hili tatizo. Zitungwe sheria hasa kwa walio na mamlaka ya kutokuweza kuhamisha pesa from one place to another just as they wish.. System ipo weak pengine au kuna loop holes.
Kodi yetu inavyoishia mifukoni. Taratibu na sheria za uwajibishaji ni nyepesi mno. Walioshiriki na kuwezesha wakiwanajuwa kinachoendelea, hao wote ni wezi. Wafukuzwe na sio kushushwa vyeo na mishahara
Wajanja wanatajwa kila leo na CAG mpaka Raisi akakasirika akatumia maneno makali kuonyesha akichukizwa na wizi uliokithiri. Waziri alikuwepo hajafuatilia mpaka leo. Hawa wanaotajwa labda hawana jina ni dagaa tuu mapapa wametulia. Huu ni wakati wa uchaguzi ndio mnatuambia mnafanya kazi? Hagudanganyiki
Mungu akupe maisha marefu
Kazi imanza🎉🎉🎉
Enyi wezi kwenye pochi la taifa tunaomba mtuhurumie. Sante sana waziri mkuu kwa kuchukua hatua kupambana na hili tatizo. Zitungwe sheria hasa kwa walio na mamlaka ya kutokuweza kuhamisha pesa from one place to another just as they wish.. System ipo weak pengine au kuna loop holes.
Hapo mjomba nakuamini kula nao 👏👍
Bab nakukubali kweli kweli hupindishi unapenda ukweli
Mh.Waziri mkuuu ktk ziara ya mkoa wa Dar es salaam njoo kata ya msigani eneo la shule limeuzwa Kwa mtu anajenga katikati ya majengo ya shule
Tumewachoka cc mnaajiri wezitu
Wakati Magufuli anawatupa jela mlisema anafanyaje? Ni Dictator? Haya twendelee kunywa mtori nyama ziko chini
Tatizo ajila za kujuwana zinadhaifisha taifa letu letu wakufunga kengele Nani konekisheni nimbaya inauwa taifa
Ndo matokeo ya kuwa na madiwani wa chama kimoja hakuna wa kumchunga mwingine
Warudishe fedha zetu
Ma ccm chokolaaa nyie endeleeni kutuibia pesa tuu ipo siku Mungu atakuja kujibutuuu wezi wakubwa nyieeee
🇹🇿🇹🇿🫡💯
Kodi yetu inavyoishia mifukoni. Taratibu na sheria za uwajibishaji ni nyepesi mno. Walioshiriki na kuwezesha wakiwanajuwa kinachoendelea, hao wote ni wezi. Wafukuzwe na sio kushushwa vyeo na mishahara
Alec Meadow
Tatizo nipale ambapo watu wa kutuletea maendeleo ndo majizi wakiwa hawajapata ajila kama watu vile
Acha kutuzuga waziri miaka yote ulikua wapi sahiv ndo mnatuektia mnafanya kazi
Toeni jina wajanja jua mkuu hakuna asietaka ujanja watafutie jina litalofanana Una ualifu wao
Ualifu ni uhalifu
Wajanja wanatajwa kila leo na CAG mpaka Raisi akakasirika akatumia maneno makali kuonyesha akichukizwa na wizi uliokithiri. Waziri alikuwepo hajafuatilia mpaka leo. Hawa wanaotajwa labda hawana jina ni dagaa tuu mapapa wametulia. Huu ni wakati wa uchaguzi ndio mnatuambia mnafanya kazi? Hagudanganyiki
Timu, kamati, tume, kikosi kazi bla bla bla ... BUSINESS AS USUAL
Tatizo nipale ambapo watu wa kutuletea maendeleo ndo majizi wakiwa hawajapata ajila kama watu vile