Hofu ya Vita yatanda Mashariki ya Kati
Вставка
- Опубліковано 6 жов 2024
- JARIDA LA WIKIENDI linaangazia mzozo wa Mashariki ya Kati, vita kati ya Israel na Wanamgambo wa Hezbollah, Hamas, wa wahouthi wanaorusha makombora kutoka Yemen, wakati Iran pia inayorusha makombora ya masafa marefu kuelekea Israel.
VOA Swahili inarusha matangazo ya Duniani Leo kupitia Tovuti yetu na jukwaa la Facebook Jumatatu hadi Ijumaa tukikuletea habari mbalimbali za siasa na uchambuzi kwa lugha ya Kiswahili. Tembelea tovuti yetu voaswahili.com/duniani-leo na Makala Maalum ya Jarida la Wikiendi.
Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Matangazo yetu yanasambazwa kupitia satellite, cable, FM na MW, na and kupitia mtandao wa vituo vya matangazo vya washirika wetu takriban 3000.
Tangu kuanzishwa mwaka 1942, Sauti ya Amerika imeendelea na azma yake ya kutoa habari za kina na kuwaambia wasikilizaji wake ukweli. Tangu kipindi cha Vita Vya Pili vya Dunia, Vita Baridi, Vita dhidi ya ugaidi wa kimataifa, na juhudi za ukombozi duniani kote hivi leo VOA imekuwa mfano katika kutekeleza kanuni za vyombo vya habari huru.
Jiunge na VOA Swahili:
» Tembelea Tovuti Yetu: bit.ly/3PtyNWc
»Angalia Video Zaidi za VOASwahili: bit.ly/3TNTiiI
»Pakua VOA+ katika vifaa vya Apple : bit.ly/VOAPlus
»Download VOA+ katika vifaa vya Android bit.ly/3KykriI
»Tembelea Tovuti yetu: www.voaswahili...
»Upende ukurasa wetu wa Facebook: / voaswahili
»Tufuatilie katika Instagram: / voaswahili
»Tufuatilie katika X: / voaswahili
»Tufuatilie katika UA-cam: / @voaswahili
Ibrahimu shukrani kwakuwa mkweli na mwazi kwa hao wafuasi wa Israel. Uko vizuri kwakweli
Ni mtu na nusu
Ongereni
mimi nipo tayali kupgana kwajili yawapalestina
Wahi sasa maana nafasi ni chache 😂😂
Tupo pamoja
Walipigwa sawa sawa na Iran
wacha unazi ww profesa hapo An apigana mmarekan
Yetu machooo😂
Israel haiwezi kuyakabili
Mwisho wenu umefika uraaaaaa
HAWA WAARABU NI WABAYA SANA
WANAPENDA VITA NA KUMWAGA DAMU SIJUI KWA NINI
WANAJUA KABISA ISRAEL NI TAIFA LA MUNGU LKN WANAZIDI KUSHINDANA NAO!!!
MBONA MUNGU HALILINDI 😢😢😢😢😢MASHOGA NDIO WANALILINDA MWISHO WAKE UNAKARIBIA
●msimuonyeshe dhalimu😢😮
Ha ha haa mmechemka Ibrahim kawashida
Mda utaongea 2 tunawasubili mjib
Indeed israel is a tough country. As small state as it is being attacked by countries and big economies surrounding it but they unable to defeat it.
Zipigwe tu kwani vp kila mtu atakufa ata uyo netanyahu atakufa tu siku moja so vita iendelee tu
Poa tu babu wazichape tu
EE MUNGU ENDELEA KUIPIGANIA ISRAEL
Hakuna mtu yeyote atakaye wafumba kinywa Israel maana hawajui wanachokifanya lait wangejua wanacho kifanya wangeomba msamaha Kwa Israeli ,maana ukimgusa Israel umemgusa MUNGU ayewaumba kumbuka taifa lakwanza kutengeneza makombora ni Israel kutafuta ushindi zidi ya Israel nikutafuta AIBU.
Puguza ujinga ww soma vzuri