Asante doctor kwa mafunzo yako itabidi nitoe kila kitu moyoni kwa sababu n hatari kwa afya yangu karibia dalili nne nko nazo kwa sababu ya kueka vitu katika moyo wangu kutosamee kuanzia leo ntasamee na kusahau pia ntajaribu kutoa maumivu yote moyoni ntaanza maisha mapya naomba sana Mungu anisadie
Kaka Chris naomba msaada Mimi naamua kabisa kusamehe na ninamtangazia muhusika msamaha ila najikuta siwezi kusahau na ninakuwa na uchungu Mimi nilikuwa kwenye mahusiano mpk tukapata mtoto sasa ana miaka 7 ila baba wa mtoto hajawahi kuja hata kumuona mtoto hivyo ni jambo linaloniumiza sana nikaamua kumpigia na kumtangazia msamaha na nikakata Mawasiliano naye nikawa na amani sana moyoni na ninamshukuru Mungu ananibariki nalea mwanangu,yeye baba wa mtoto hajawahi kuhudumia mtoto kwa miaka yote hiyo 7 kwa kitu chochote kile hivyo inaniumiza ila wk iliyopita kanipigia kuomba msamaha nikifikiri nimepona ila moyo umejaa uchungu nashindwa kusahau naomba msaada wako nifanye nini niweze kutoka kwenye hii hali, nahitaji kufurahia maisha na mwanangu naomba msaada wako
Forgiving is about you, if he or she doesnt accept is non of your business. • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Hapo mwisho nimecheka Sana,,,ni kweli kubeba mizigo haifai mpe MUNGU
Asante doctor kwa mafunzo yako itabidi nitoe kila kitu moyoni kwa sababu n hatari kwa afya yangu karibia dalili nne nko nazo kwa sababu ya kueka vitu katika moyo wangu kutosamee kuanzia leo ntasamee na kusahau pia ntajaribu kutoa maumivu yote moyoni ntaanza maisha mapya naomba sana Mungu anisadie
Asant mtumishi wa mungu balikiwa🙏🙏🙏🙏🙏
Kabisa Doctor ndo ya kwanza hili ndo somo linaloendana na mm moyo wangu mzito nlikua kusamehe nashkuru ntajifuza asante
Asante mtumishi mungu
Asante dr nawezaje kuongea nawewe mimi nipo Mozambique 🇲🇿
Asante sana dr umenibadilisha
Kaka Chris naomba msaada Mimi naamua kabisa kusamehe na ninamtangazia muhusika msamaha ila najikuta siwezi kusahau na ninakuwa na uchungu Mimi nilikuwa kwenye mahusiano mpk tukapata mtoto sasa ana miaka 7 ila baba wa mtoto hajawahi kuja hata kumuona mtoto hivyo ni jambo linaloniumiza sana nikaamua kumpigia na kumtangazia msamaha na nikakata Mawasiliano naye nikawa na amani sana moyoni na ninamshukuru Mungu ananibariki nalea mwanangu,yeye baba wa mtoto hajawahi kuhudumia mtoto kwa miaka yote hiyo 7 kwa kitu chochote kile hivyo inaniumiza ila wk iliyopita kanipigia kuomba msamaha nikifikiri nimepona ila moyo umejaa uchungu nashindwa kusahau naomba msaada wako nifanye nini niweze kutoka kwenye hii hali, nahitaji kufurahia maisha na mwanangu naomba msaada wako
🙏🙏 Dr kwa kunisaidia lakini ningependa kuwasiliana na wewe ili unisaidie zaidi coz I feel like bitterness and temper won't let me live with peace.
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Piga 0713407182
Natakataa kumbeba mtu moyoni,,,, MUNGU nisaidie
Dr Chris mm nahitaji ushauri wa kisaikologia
Pole
For sure Dr Chris.......!!!
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@@ChrisMauki1 nime subscribe ndiomana napata jumbe zako Mara zote
@@joycehaule9717 thanks so much Rafiki, I do appreciate so much
Dr Mental Health ndio Afya ya mtu na maendeleo binafsi na taifa
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
🙏
👏🙏🙏🥰
Dr je kusamehe means mpk huyo mtu huwe nae kama ni mahusiano?
Thanks alot. What about one whose does no accept to forgive especially in a marriage?
Forgiving is about you, if he or she doesnt accept is non of your business.
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Sasa inakuwaje kwa wale ambao unawasamehe lakini bado hawasamehe
Hakikisha wewe umesamehe, kuhusu nini wanafanya wao waachie wao
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Asante dr nawezaje kuongea nawewe mimi nipo Mozambique 🇲🇿