TAZAMA RAIS WA YANGA ATOA TAMKO HILI/NIPO TAYARI KUONDOKA YANGA/MZEE MAGOMA ANATUMIKA NA MAADUI ZETU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 сер 2024
  • #alikamwe #hersisaid #live_ #mayele #msuva #yanga #yangasc #azizki #yangaleo #yangatv

КОМЕНТАРІ • 12

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 Місяць тому +1

    Uchawi mbaya sanaaaaa ,mchawi hana jema maana boss wake (shetani)Sio mwema😂😂😂😂

  • @mswakisaid2320
    @mswakisaid2320 Місяць тому

    Hahahaaa nchi ina mambo hiiiiiii😂😂😂

  • @Henrickie-boe
    @Henrickie-boe Місяць тому +2

    Scope acha kuandika vitu ambavyo havipo tunapenda taarifa unazozitoa ila sasa uwandishi wako ndio unachangamotoo na picha unazoziweka

  • @MariaGarende
    @MariaGarende Місяць тому

    viongozi kuweni makini sana na uyu mzee maana kuna shabiki kutoka simba alisema laki saba inatosha kuiaribu yanga

  • @allyjuma7319
    @allyjuma7319 Місяць тому

    Kwanini mnakubali kusikilizwa na mahakama ya kiserikali? Wakati Mambo haya ya kimichezo yanatakiwa kusikilizwa na mahakama ya zakimichezo?.

  • @marcobulili4341
    @marcobulili4341 Місяць тому

    Hao wanamkono wa kolo! Eng anasumbua sana msimbazi, wameamua kununua watu ndani ya yanga kumdhoofisha Rais wetu. Hatukubali! Walisema mzizi wa yanga ni Eng akitoka yanga itakwisha ndo maana wajitshidi kumsogeza buddies jangwani na wameahidi wataroga badala ya kucheza mpira. Walaaniwe hao.

  • @user-ef2zr4un2u
    @user-ef2zr4un2u Місяць тому

    Ediga unachambuwa sawa na wenzio hapo klaizi kuhusu michezo lakini mnakosa busala takribani mda mwingi mnakuwa ni watu wakukejeli kejeli na kejeri mara zote kiswahili sahihi ni dharau simamieni imara mnapokuwa kazini kuliko kuwa mda mwingi mnakuwa nimashabiki na kusherehesha mambo badilikeni mambo mengi mnapeleka kishabiki sana na kejeli huo siyo weredi Kwa mwanahabari acheni kejeri

  • @omarymtotela3751
    @omarymtotela3751 Місяць тому

    Achana haya Mambo nyie tutakuwa atufungui video zenu

  • @japharymohamed6297
    @japharymohamed6297 Місяць тому

    Kichwa cha habari na yaliyomo ni tofauti kabisa.

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 Місяць тому

    Kama kazi ni batili kwa nini wanaomba ripoti ya mapato na matumizi tu??

  • @clausemsemwa297
    @clausemsemwa297 Місяць тому

    Kuku wewe