#zandaaani

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 сер 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 45

  • @donlinechanell4760
    @donlinechanell4760 Місяць тому +1

    Hans katudanganya 😂😂😂😂😂😂

  • @DM_15
    @DM_15 Місяць тому +2

    Mayele top score misiri

  • @othmantv2654
    @othmantv2654 Місяць тому +3

    Code ya leo haihitaji hata D 2....😂😂😂

    • @GEORGERUTANGANTEVYI
      @GEORGERUTANGANTEVYI Місяць тому

      ❤😊😊😊
      ❤❤❤❤❤❤❤😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂❤❤❤😂😂😂❤😂😂😂❤😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂❤❤😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂❤❤😂❤❤❤❤😂😂❤❤😂😂❤❤❤😂😂❤❤❤❤❤❤❤

    • @mtotowamanka
      @mtotowamanka Місяць тому +1

      F

  • @josephchuwa1206
    @josephchuwa1206 Місяць тому

    Code nyepesi sana Fei totooooo

  • @RobertChacha-hb9re
    @RobertChacha-hb9re Місяць тому

    Kweli code ya leo haiitaji d 2😂😂😂

  • @chuchumeta8374
    @chuchumeta8374 Місяць тому +1

    Eti Kama wanamtaka wao kumbe wanaenda kutoa sadaka😂imeenda

  • @MohdAli-fl2ef
    @MohdAli-fl2ef Місяць тому

    Nobody knows about tomorrow tusimalize maneno

  • @jamespeter5882
    @jamespeter5882 Місяць тому +1

    Kila siku nawauliza huwa mnachambua mpra au ushabiki

  • @baharanimasoud
    @baharanimasoud Місяць тому +1

    Momo upo kama chawa wayangaa

  • @msomiadam250
    @msomiadam250 Місяць тому

    Ujawai kuongea k2 cha ukweli wew

  • @user-px6jj4tu7m
    @user-px6jj4tu7m Місяць тому +2

    Ndio tabia zao tunawajua hawa, kama wanataka wao kumbe wanatoa sadaka.

  • @victorronald1449
    @victorronald1449 Місяць тому +1

    Simba hakuwahi kumihitaji

  • @richardkokoro3269
    @richardkokoro3269 Місяць тому

    Kajisahau kaongeza kama yeye ni kiongozi wake eti hakuna anayeweza kukataa. Kwani hivyo vitu haviwezekani?

  • @zickdeus5497
    @zickdeus5497 Місяць тому

    Man yani na paul mkai mmemwachia aende duuh!!? Mbn chama letu hili tumekuwa wanyonge san kias hiki

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw Місяць тому

    Madunduka hawataki kuukubali ukweli hawana uwezo wa kumsajili mayele wala feisal wanawapumbaza mashabiki wao wasiojielewa

  • @invocavitykitaly2483
    @invocavitykitaly2483 Місяць тому

    1

  • @olaislukumay2208
    @olaislukumay2208 Місяць тому

    Belive me Fei anakuja Simba

  • @SIMONHERMAN-qv2ln
    @SIMONHERMAN-qv2ln Місяць тому

    2

  • @BADAWY575
    @BADAWY575 Місяць тому

    Sikieni nyie hao wote ni Bakhresa ikiwa farmily kazi ndio huko Azam na Azam ndio Bakhresa .mchukueni ila Eng Hers ,yuko sawa kwa hiza kazi tena imara sana .nitafurahi sana kina bakhresa wakiachiana wampeleke simba .nitafurahi tena na chochea kuwa Fei ni mzawa apandishwe anatakiwa acheze Simba mpelekeni plz.Hers atafurahi sana ndio kutakua nabushindani lakini maisha ya wachezaji wenu yatakua ni magumi tu hayana raha paka Mo atoke pala nyie omba omba wa babu jiii amkeni mpira biashara ijengeni timu yenu mutaomba paka lini

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 Місяць тому

      Inakuhusu nini huko kuomba omba alaaaaa

  • @AthumanAlly-zw9ni
    @AthumanAlly-zw9ni Місяць тому

    Duuh huyu jamaa hana utofauti na shoga

  • @GabrielAmma-jp1oo
    @GabrielAmma-jp1oo Місяць тому

    Tatizo unakuwaga mwongomwongo sana

  • @majaliwamussa9268
    @majaliwamussa9268 Місяць тому

    Feisal

  • @SenoNorbertKiemena
    @SenoNorbertKiemena Місяць тому +1

    Ama kweli nimeamini nyie wachang'ombe wawa wasafi mnatumiwa na nyuma mwiko acheni uchambuzi uchwara mbw nyie

    • @murshidyabdallah1356
      @murshidyabdallah1356 Місяць тому

      Sio wasafi tu midia zote hapa tz nikama wanaitumikia nyuma mwiko wanabaki kuonesha kuchambua mpira kumbe waelezea mambo yao ya nyuma mwiko

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Місяць тому

    Momo leo umeongeya kikubwa

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 Місяць тому

    Mbona sielewi

  • @cosmasthomas9164
    @cosmasthomas9164 Місяць тому

    Kwani mo na bakhresa nani bilionea?

    • @TwalibKwelii
      @TwalibKwelii Місяць тому +1

      Wewe hujuwi kama bakhresa ndio niloneya na kama huamin fuatiliya

    • @cosmasthomas9164
      @cosmasthomas9164 Місяць тому

      @@TwalibKwelii heee kaka kuuliza siyo ujinga,miaka yote jarida la Forbes huwa linatuambia kuwa mo ndiye bilionea wetu wa tz.ila Asante kwa kunisaidia👍👍

    • @TwalibKwelii
      @TwalibKwelii Місяць тому

      @@cosmasthomas9164 waarubu kiuhalisiy ndio matajr wa dunia ila umewah kuwasikiy hata cku moja kutajwa kwenye forbers watu basi na mzee wetu bakhresa huwez kumsikiy kwenye hizo takwimu za mitandaon yule mzee kipaj kwa biashara na Mungu kambarik hana mpinzani na tena ama msaada mkubwa xan sio kwa tz tuu bali ni Africa kiujumla

    • @user-pb3ub3gl4q
      @user-pb3ub3gl4q Місяць тому

      ​@@cosmasthomas9164 Bakharesa kazisambaza mali zake kwa watoto wake ndiyo maana,ila yuko juu sana kamzidi mo

    • @cosmasthomas9164
      @cosmasthomas9164 Місяць тому

      @@user-pb3ub3gl4q Asante ndugu👍👍

  • @ekisuka1
    @ekisuka1 Місяць тому

    Huo mkataba ni wa kiuonevu na kama aliusign ni kwa sababu ya shida na umru, bado ana uwezo wa kuupinga na kwenda atakako, akamuone mama amsaidie.

  • @user-ww4so9ks9c
    @user-ww4so9ks9c Місяць тому

    Fei huyo

  • @stn4873
    @stn4873 Місяць тому

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @chillogeorge1383
    @chillogeorge1383 Місяць тому +2

    Ningewashangaa Azam kama wangemtoa Feisal aende simba akacheze ndondo, wakati wao wanakibarua kirefu kwenye Ligi ya Mabingwa.
    Simba bado wanadhani Azam hii ni ile waliyozoa akina Manula, Kapombe, Erasto nyoni, Boko, nk.
    Wanatakiwa wajue kuwa kitonga hio ilisha isha kitambo. Lazima waongeze ubunifu

  • @stanleymwaselela1849
    @stanleymwaselela1849 Місяць тому

    Feitoto