#NYUMBA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 жов 2024
  • SOMA CAPTION HII
    Karibu ujipatie hii nyumba ya kisasa kabisa ambayo imekusanya sifa zote za nyumba bora ya #familia.
    SIFA ZA NYUMBA HII
    ■Ukubwa wa eneo ni Sqm 500 ambalo linakupa nafasi nzuri ya #parking kwa ajili ya gari zako.
    ■Ina vyumba vinne kimoja ni Master bedroom na vitatu vinavyobakia ni vyumba vya kawaida.
    ■Nyumba ipo kwenye eneo la kishua (ni sehemu ambayo sio uswahilini) Mtaa umepoa na hakuna vurugu.
    ■ Nyumba inafikika kirahisi kutokea pale Stend (Chamazi Magengeni) kwa mguu utatumia dakika 5
    ■ Nyumba imefanyiwa finishing ya kisasa na imekamilika yaan unaingia na kuamia tu.
    BEI YA NYUMBA
    Bei ya nyumba hii ni Tsh. Milioni miamoja ishirini tu! (120,000,000/=)
    46512 US DOLLARS
    Usisubiri tena njoo ujipatie #nyumba hii uishi maisha matamu wewe na familia yako.
    Samabamba na nyumba hii pia sisi tuna miradi ya viwanja vizuri vilivyopimwa kuanzia Tsh. 500,000/= na kuendelea
    Wasiliana nasi kwa namba +255747141871
    Au fika Ofisini kwetu
    KISEMVULE
    A tembelea kwenye accoount zetu za mitandao ya kijamii kupata updates zote!.
    #kigamboni #nyumba #viwanja #investment #africancity #hati #hatimiliki #property #house #zanzibar #zanzibarbeach #zanzibar
    #simba #yanga #viwanja #mpira

КОМЕНТАРІ • 6