Ila me nakushauri Dora nibora umrudie hugo mpenzi wako anamapenzi ya dhati kwako kwakuwa anakujuwa vizuri . Muaminishe tu atakuwa sawa km kweli wampenda ukienda kwenye mambo yko unamchukuwa itafika time atakuamini tn sn ila ukisema umuache kisa hicho wanaume ndivyo walivyo . Ukipata mtu mwengine anakupenda kwasabb ww Dora ili akujuwe tu ila huyo mwanaume anakupenda kweli mbadilishe tu niushauri wangu tu
Dora nakupenda Sana lkn unanikela kitu kimoja unapenda kuzungumzia mambo yanyuma sijui hua unalaha gan kuanika Mambo yako kiasi hicho nikwambia sio ww pekeako wengi wanapitia magum angalia yalio mbele yako kamaunavo sema maisha yaendelee
sickle cell haitokei tu ni maradhi ya urithi na yanapatikana kwenye family , na hivyo unavyoelezea ni dhahir wewe huna sickle cell ni matatizo mengine tu , ila yaonekana wewe mwenyewe hujenda deep kwenye checking umetosheka hapo hapo kwa kuambiwa na wazee .
Lakn dora sijui kwa nini? hutak kujikubali interview zako nyingi ww ni kumwaga machozii pole my ukiona kwako kunaungua kwa wenzio kunateketea mit.hani tumeumbiwa sote viumbe haii
Tausi kiboko Yao haoneshi unyonge wala hamwagi machozi ingawa hata yy ana magumu mengi aliyopitia na hata Sasa bado anajikubali Sana hiyo ndo dawa Dora acha kulia lia kila siku ifike sehemu ujikubali ndivyo ulivyo huwezi kujibadilisha changamoto zipo kwa kila kiumbe kilicho hai jikubali funga mkanda songa mbele ww ni shujaa
Tausi alizaliwa vile na wapo vile kwenye familia yao. Dora hakui kwa sababu ya maradhi ya sickle cell. Analia kutokana na unyanyapaa uliomtokea kutokana na maradhi hayo
Dorah wangu wew ni jasiri naelewa unayopitia...ninamdogo angu mwenye tatizo lilomsababishia kunyanyapaliwa na jamii lakini familia tulisimama kumlea na kumpaa moyo ...sasa ni kijana bado anapitia matatizo lakini ni jasiri sanaa na yuko imara😚
Pole dora kila binadam hupitia mitihani wew mshkuru mungu kwa kila jambo maana kuna wapo walkuwa na ugonjwa kama wew hawapo duniani jua wew mungu kakupenda mpaka kakupa nyota sema alihamdullah kila mara
Pole sana dora mie kiukweli nakupenda sana maneno ya mwanadamu yasikuvunje moyo wasamehe waachilie na usahau yote iliyofanyiwa wew muangalie aliyekuleta duniani kisasi muachie Mungu
Dada yangu zamaradi nakupendaga sana,Ila ningekukumbu kuwa unanaharushiya wageni wako kinywaju kama jus, basi ilimradi ata chupa la mayi, kwa babu interview zako uwa zinakawa sana, sasa wanaongeta Mpaka koromeo zina kauka ,maji ni muhimu Sana, dada yangu🇧🇮
Mnyiramba mwenzangu Dorah pole sana kwa yote uliyopitia ila tunacho omba jamii inayo mzunguka imtafutie Cancelling jamani interview zake zote mara nyingi lazima huwa aliye akikumbuka alikotoka.
Dora wewe ni super woman,mungu aliyekuumba anakusidi na ndio maana anakufungulia njia za baraka,shukuru mungu kwa Ilo maana Kuna watu wanatamani nafasi Kama yako uliopo wameshindwa ingawa kibinadamu wanakila sifa na hawana matatizo
Zamaradi this girl will go far, she needs counselling because she needs to heal of her past.
you're right my dear I have gone through a lot of her interview she's always un happy but one day she will be ok
She needs love.Nd more affection.. Its not her alone in the community but alot of ppl pass through shit
@@maryammamuu4206 So true!
Mumefanya sana interview na Dora kwann musifanye interview na wazaz wake pia tuwackie changamoto walizopitia kwa huyu binti, wazo tu zama
Wazo chanya
mfanyie interview tausi na yule bwana wake aliyezaa nae bila shaka tutajifunza kitu kutoka kwao
Ila me nakushauri Dora nibora umrudie hugo mpenzi wako anamapenzi ya dhati kwako kwakuwa anakujuwa vizuri . Muaminishe tu atakuwa sawa km kweli wampenda ukienda kwenye mambo yko unamchukuwa itafika time atakuamini tn sn ila ukisema umuache kisa hicho wanaume ndivyo walivyo . Ukipata mtu mwengine anakupenda kwasabb ww Dora ili akujuwe tu ila huyo mwanaume anakupenda kweli mbadilishe tu niushauri wangu tu
Amekupenda Mungu ona Ulipo Sasa
Dora mwanzo umetuliza 😭 ila mwisho umetuchekesha 😂 kweli ww msanii 👏
This beautiful girl cries everytime she is on interview. She needs counselling so that she can say what is bitting her inside. 254 loves Dorah.
exactly my siz
yah her heart is bitter
ua-cam.com/video/l30WeLf88GU/v-deo.html Je umekwama katika wimbi la madeni na hujui utatokaje? Karibu upate suhulisho
Zamaradi wew ni mpole km mamaang hadi nakupend
Mimi zamarad nnachokupendeaa ni mwanamke Ambae huvai uchi kweny interview zko..cjw njee ya kaz zako hio ni maamuz yko binafs..uwe unawashauri na wanwake wenzio wasojielewa
Pole my ukiwa duniani unapitia mitihani mingi sana subra muhimu ili usonge mbele, nimelia sana wallah
''najitambua naijua thamani yangu.." (Dora) keep it mama
Pole mama angu usilie mungu yupo pamoja nawe sahau yaliopita usiweke kinyongo umeona Ana wa jua kali amesema 😁😁😊 Smile.
Usijali mdogoangu Mara zote moyo wangu unakupenda sana kingine hakuna marefu yasiyo Na ncha.
Dorah wewe ni malkia wa Nguvu.🥰
Sanaa
Dorah kipenzi changu. Nampenda sana huyu bint natamani nimuone siku moja❤❤❤😘😘
Inshallah
Dora nakupenda Sana lkn unanikela kitu kimoja unapenda kuzungumzia mambo yanyuma sijui hua unalaha gan kuanika Mambo yako kiasi hicho nikwambia sio ww pekeako wengi wanapitia magum angalia yalio mbele yako kamaunavo sema maisha yaendelee
Hivi watu wataelewa lini kwamba Mwenyezi Mungu anafanya kitu kwa matakwa yake Mwenyewe?
sickle cell haitokei tu ni maradhi ya urithi na yanapatikana kwenye family , na hivyo unavyoelezea ni dhahir wewe huna sickle cell ni matatizo mengine tu , ila yaonekana wewe mwenyewe hujenda deep kwenye checking umetosheka hapo hapo kwa kuambiwa na wazee .
Nimelia sana pole sana dola Allah Bless you
bt kunamda cpendi kuangalia interview za dorah coz ananiumiza sana anavyo lia yan huwez kumsikiliza bila kulia aisee
Yn km me ndo namsaidiaga kuliaa yn naumia kuliko
Lakn dora sijui kwa nini? hutak kujikubali interview zako nyingi ww ni kumwaga machozii pole my ukiona kwako kunaungua kwa wenzio kunateketea mit.hani tumeumbiwa sote viumbe haii
Dora wewe ni kusudi la Mungu kuwepo duniani songambele. Neno kuu
Heshimu uumbaj wa Mungu.
Je unapenda kuendelea na uanahabar Dora? Ili tukuchangie uendelee na chuo
Pole sana Dorah mdogo wangu
ZAMA MAMA KIJACHO🤰🤰CONGRATULATIONS
Kabadilika hadi sura Allah ampe wepesi
Ayomaradhi kapona au
Aliyemuina dhamard kifuani ziwa moja kubwaaa na moja kidogo anisaidie kugonga like. I love you Dora Mungu hajakutupa.
We umekamilika hakika binaadam hatuoni mazuri ao uzuri wamtu huwa tunaona machafu nakasoro zao tu mhhh mwenyezi mungu atusamehe
@@ayshaothman3995 ulikosa pakutuoa comment yko!?
Hii interview mwishon nimesheka kwa kweli dora we upo kama mm mtu mwenye gubu simuwezi,ila nakupendaga sana Dora
Nataka kuuliza swali
Tausi kiboko Yao haoneshi unyonge wala hamwagi machozi ingawa hata yy ana magumu mengi aliyopitia na hata Sasa bado anajikubali Sana hiyo ndo dawa Dora acha kulia lia kila siku ifike sehemu ujikubali ndivyo ulivyo huwezi kujibadilisha changamoto zipo kwa kila kiumbe kilicho hai jikubali funga mkanda songa mbele ww ni shujaa
Tausi alizaliwa vile na wapo vile kwenye familia yao. Dora hakui kwa sababu ya maradhi ya sickle cell. Analia kutokana na unyanyapaa uliomtokea kutokana na maradhi hayo
Pole dear nilipitia Hayo Mimi nilikimbiwa na kila mtu Ch muhimu tu ni kufocus
Pole my love dollah Allah yu pa1 nawe
akisahau majonzi anakua mcheshi. Moyo wake umejaa makovu lakini ni moyo safi sana.
Dorah wangu wew ni jasiri naelewa unayopitia...ninamdogo angu mwenye tatizo lilomsababishia kunyanyapaliwa na jamii lakini familia tulisimama kumlea na kumpaa moyo ...sasa ni kijana bado anapitia matatizo lakini ni jasiri sanaa na yuko imara😚
Mbona tausi mwenzio halilii mama jikubali bibie ww nibinadamu mkamilifu jikaze acha kulialia nidhambi kwa mungu jmn eeenh
Tausi hakuwahi kuuumwa Maradhi kama Dora
Dorah mamii usilie Mungu amesha ongea badala yako umekuwa famous kuliko walio kunyanyapaa I love you
Raha ya interview ya Dora alie bhna 🥰🥰🤣
😀😀😀
Anatuliza pia
😂😂😂😂we kiboko
Like really uko na furaha mtu analia ???
Pole sana kwa yote uloyopitia. Mungu uwa na kusudi lake, una inspire watu wengi sana
Usimdharau mtu doraa mshukur MUNGU wako alipokutoa ni mbali sana
Nani kamuona zamarad kama mama kijacho 😀😀😀
Siyo kama mama k
Hee ana mimba kubwa tu yakujifungua mda wowote
dora amenenepa saivi
Pole dora kila binadam hupitia mitihani wew mshkuru mungu kwa kila jambo maana kuna wapo walkuwa na ugonjwa kama wew hawapo duniani jua wew mungu kakupenda mpaka kakupa nyota sema alihamdullah kila mara
Nimelia jamani, Dora wewe😭😭😭😭😭....
Pole sana Dorah
Mimi anachoongea Dorah nimemuelewa sana wivu ukizidi ni kero sana mimi nishaachana na mwanaume ambaye tunapendana lakini nilichoka.
Hv kumbe kuna unyanyapa wa kiwango hichi pole sana mdogo angu
This is sooo sadd😖❤️ she needs healing alot of emotional damages....
Machoziii yako yanaumiza Sana dora polee ila yote kwa yote Mungu atabaki kuwa Mungu
Super woman Dora big up
Ho dorah nakupenda sana acta wangu. Tivoglia bene cara mia 💞💞💞💞💐💐💝💝💝🤧
Napenda vipindi vya zamaradi Tv (Idagadure TV from Burundi)
Pole sana dora mie kiukweli nakupenda sana maneno ya mwanadamu yasikuvunje moyo wasamehe waachilie na usahau yote iliyofanyiwa wew muangalie aliyekuleta duniani kisasi muachie Mungu
Pole Dora!! So emotional 😭 Mungu ana kusudi na maisha yako! Wewe ni wa thamani
Zama we ni my super woman
Namuelewa dora jamani ACHANENI NA KITU KINAITWA GUBU 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Nampenda sana Dora❤❤❤
Nikweli usimzalau mtu kwa upungufu wake uwezi jua kesho yake atakua nani
ua-cam.com/video/l30WeLf88GU/v-deo.html Je umekwama katika wimbi la madeni na hujui utatokaje? Karibu upate suhulisho
She is really hurting....more love from kenya
Dada yangu zamaradi nakupendaga sana,Ila ningekukumbu kuwa unanaharushiya wageni wako kinywaju kama jus, basi ilimradi ata chupa la mayi, kwa babu interview zako uwa zinakawa sana, sasa wanaongeta Mpaka koromeo zina kauka ,maji ni muhimu Sana, dada yangu🇧🇮
Mungu akuzidishia baraka nankufanikisha ndoto yako Dora👏👏👏💪🌞🙏🇰🇪@Kenya.
Tausi shujaa zaidi haonyeshi unyonge nae alifiwa na mamake Akiwa mdogo.
Tausi hakuwahi kuuumwa Maradhi kama Dora
Pole mdogo wangu,Mungu akufungulie njia
Duuu ila zama wee kauzuuu sisi tunalia huku wewe walaaa
Umenifanya nicheke kwa sauti,na nilikuwa nalia ety kauzuu
Angekuwa madam rita hapo pangekuwa msiba 😂
Acha tu
Poreeeeeeee sana dolla
Nakupenda mama shubi
Yan umelia nimejikuta na me nalia,umeanza kutabasamu Hali kadhalika nimejikuta natabasamu tu mwenyewe hapa.....utafika mbali Sana Dorah nakupenda Sana
Mtani wangu huyo supu ya punda imeshaiva ikotoka hapo upitie😁😁
Pole nimelia mwenzio shida haina adabu
Chozi lako linaniumiza mno mwanangu ❤️
Mbali na mitiani mungu amempa ujasiri na moyo wa. Maisha mengine kuendelea kpt up girl
Mungu atakutetea cku zote Dola,nakupenda Sana 🌟 wangu
Mnyiramba mwenzangu Dorah pole sana kwa yote uliyopitia ila tunacho omba jamii inayo mzunguka imtafutie Cancelling jamani interview zake zote mara nyingi lazima huwa aliye akikumbuka alikotoka.
Ukole
@@jasmineedamu6089 nkoli mntua umpangane? Upunile lyamba la mpee?
@@noxlosingida2369 iguguno mamy
Ata mm dadangu ana sicklecell....nahitaji kujua dora alitumia dawa gani hadi haumwi sana
Vipo virutubisho lishe ambavyo vinaboost kinga za mwili kwa mtu mwenye sickle cell...mchek 0652223888 atakusaidia.
Uko wapi mpendwa?kuna alimsaidia mdogo angu pia alikuwa na shida hii imekwisha kabisa
Same one to hagy her Please During cry
Dora usijali zaa Kuna dada anahuo ugonywa na anawatoto mshukuru mungu anasababu nakupenda Dora❤️🙏
Dora wewe ni super woman,mungu aliyekuumba anakusidi na ndio maana anakufungulia njia za baraka,shukuru mungu kwa Ilo maana Kuna watu wanatamani nafasi Kama yako uliopo wameshindwa ingawa kibinadamu wanakila sifa na hawana matatizo
I think this gal need councelling maana amepitia mengi sana isije muathiri kwa kazi zake
Pole Sana dada Dora mungu akusimamie
Tunakupenda sana dora wewe ni mtu muhimu sana katika jamii ya kitanzania
Jamani nampenda sana dola natamani kukutananae najambo nataka kumshauli
Dada zamarad umennepa mashaalh
mimba mama
Mungu alie kuleta duniani, ndio anaruhusu yote yakufike hakika mitihani tumeumbiwa wadamu
pole sana dora nakupenda una sura sweety mungu atakusaidia inshaallah
Daaaahhh,,, I love you Dorah speak it out Mumyy.. You will heal as by time goes ❤️❤️❤️
yani dorah mwazo umetuliza mwisho uku tuna cheka pole kwa changamoto ulizo pitia pia nakupenda da zama unavyo itikia mmmmh 😘
Dora jamani huwa nakufatilia sana ila badae unanitia huzuma mama😭😭😭
Umepiga hatua my dear dora love 😘
Pole mwaya ila punguza Julia bac
Kiukwli napenda Dora wng mungu amujalie kwa kila hali
Sasa unamuhoji wann ww
Love you Dorah❤
Nc Allah atakujalia kila la khery
❤️❤️❤️❤️
Maskin usjali ww nibora kuliko wengine
Be strong dorah mungu akusimamie inshalah
Umeniliza sana dora wang
Nawapenda tu ivoivo!
Pole mdg wangu
Dora nakupenda ukiriya na umiya dora💕