RICARDO MOMO afunguka SABABU ZA KUACHANA NA MALAIKA "SIKUSHINDWA KUMTUNZA, MAPENZI YALIISHA"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 24 кві 2024
  • www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 124

  • @Official83640
    @Official83640 3 місяці тому +17

    Kwa vile alivyo sasa hivi shukuru Mungu maana sio wakuwa nae mtu kafikia kuvaa uchi vile Astaghafilullah 😢

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 3 місяці тому +18

    Nakuombea kwa Mungu upate mke mwengine mwema na mwenye heri na wewe Momo.❤

  • @HusseinSeif-wi2st
    @HusseinSeif-wi2st 3 місяці тому +8

    Unajua kuongea momo 👏

  • @mwanjumajongette8187
    @mwanjumajongette8187 3 місяці тому +3

    Momo Allah akupe ungine mke mwema inshallah

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 3 місяці тому

    Nampendaga tu licado yupo na busara ti brother mm nakuelewa sana na yupo na heshima kwa mwenza x wke wote awajadhalilishana safi sanaMungu awafanyoe wepesi ndoa ni rehema na barasa na ndoa nyingi zina changamoto nyingi hakika umeongea hasaa na sote tuna mapungufu mkamilifu ni Mungu tusinyoosheane vidole❤

  • @BibieMakame
    @BibieMakame 3 місяці тому +5

    Kaka momo mstaarabu sana

  • @kbjr1115
    @kbjr1115 3 місяці тому +37

    Jamaa linajua dini ila maisha ya kidunia yanemfanya aingie ktk mambo yaliyo nje ya misingi ya dini ktk masuala ya kubeti na kujiingiza ktk masuala ya miziki na mastarehe, ALLAH amuongoe IN SHAA ALLAH

    • @meyuuabdallah4674
      @meyuuabdallah4674 3 місяці тому +1

      Fact

    • @JOHNJOHN-pu7wb
      @JOHNJOHN-pu7wb 3 місяці тому +1

      Asa hapo linajua kwan yeye ni tembo gurudumu flani?

    • @aminaabasi2146
      @aminaabasi2146 3 місяці тому +1

      Me pia namkubali sana ricaldoh

    • @imamuhamisi4421
      @imamuhamisi4421 3 місяці тому

      Nj​@@JOHNJOHN-pu7wb ametumia ninjia yakusifia kitu , nd maan unawez kitu mfano jamaa linajua hili

    • @ahmedmakkuka9348
      @ahmedmakkuka9348 3 місяці тому

      Mziki uko juu unaathiri maongezi

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 3 місяці тому +3

    😂😂Mzee wa kudelee za ndaaaaaaniiiiii kabisaaaaa linapenda kulamba mdomo wake wajuu uyu momo big up to you bro Mimi shabiki Ako Niko hapa

  • @aminahomary2532
    @aminahomary2532 3 місяці тому +3

    Ricardo anafanana na caleb wa malkia karen ❤

  • @Shadia544
    @Shadia544 3 місяці тому +1

    Inshaallah allah atajalia mke mwema na mwenye kujistiri pia inshaallah 🤲🤲🤲🤲

  • @toyikudratullah1466
    @toyikudratullah1466 3 місяці тому +4

    Recardo momo soon i,m coming to bongo taku check apo unyamani from burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @user-gz4fb6if7u
    @user-gz4fb6if7u 3 місяці тому

    Hiii interview nimeipenda sanaa cjui kama itatokea

  • @toyikudratullah1466
    @toyikudratullah1466 3 місяці тому +3

    Me my self from burundi mola akuwekey wepes recardo momo ex wif wako alipo kuwa anahojiwa na sns dada yule amekuw namaneno machach san san yahekima hiyo itoshe kusema nimisingi bora y recardo momo amerithi kwake pesa majumba nivitu vikubwa mnoo

  • @emmajuma896
    @emmajuma896 3 місяці тому +6

    Ricardo ana ngozi nyororo. Handsome boy

  • @KhalilaTi-vw6vt
    @KhalilaTi-vw6vt 3 місяці тому

    Kiukweli ukweli ulichoongea ni sahihi masha Allah Allah atuongoze biidhnillah

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 3 місяці тому +6

    Ricard unaonekana ni mtu wa dini saana. Namuomba ALLAH akuzidishie na ucbadilike mdogo wng.

    • @user-td8bp9kz8d
      @user-td8bp9kz8d 3 місяці тому

      Kwa sasa anapiga mixa 😂😂the ushekhe umekua wamchongo

  • @shadiwaigwa9230
    @shadiwaigwa9230 3 місяці тому +5

    Malaika amekuwa shapeless

  • @mhabimina4023
    @mhabimina4023 3 місяці тому

    True that 👌

  • @HusinaKarama-ti9jm
    @HusinaKarama-ti9jm 3 місяці тому +6

    Mashaallah momo mi nakupenda Sana ❤❤❤

  • @toyikudratullah1466
    @toyikudratullah1466 3 місяці тому +3

    Nimeyipenda san bro uko vizuri san kiyasi cha dini kipo i,m talking as ustadh

    • @MinskBelarus-il2tl
      @MinskBelarus-il2tl 3 місяці тому

      Ustadh,samahani saaaana kama nitakukwaza. Nini maana ya USTADH

  • @toyikudratullah1466
    @toyikudratullah1466 3 місяці тому +2

    Nikupem tena mauwa yako bro wng from burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 before one year nimekuj usafini umekuwepo hapo injee ila skuweza kukusabayi ila next time i,will come back to you kwa mimi binafsi ex wife wako malikiya misimamo ya uchache wamaneno pia kaathirika n hekma zako n busara zako my bro call me Abdoul ntaku check one day apo usafini bro umenyook san mola akupe faraja badala n Allah atuongezeye malikiya wetu frm burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @husseinrashidi5828
    @husseinrashidi5828 3 місяці тому

    Jamaa anajua kujibu kabisa majibu safi sana

  • @hilalalhabsi2047
    @hilalalhabsi2047 2 місяці тому

    KWAKWELI WANAWAKE WENGI HAWAJIELEWI SANA, WAKIPATA BASI WANASAHAU SANA NINI DUNIA. NDIO MAANA WENGI WANAWAKE WATAINGIA MOTONI. MAMBO MWENGINE YANASIKITISHA SANA NA YANAUMIZA NI MTIHANI KWELI

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 3 місяці тому

    Majibu mazuli momo acha dunia imunyooshe maana sio kwa shape ile eee m/mungu naomba nijalie mwisho mwema vijana tunapotea snaa na ujana wallah😢

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 3 місяці тому +2

    Kwa kweli mimi namkubali saana Momo. Cmjui sana, ila kwa mtazamo wng namuhic ni kijana mstaarabu saana.

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu 3 місяці тому

    Yaani broo momo memo unakubalije kuhojiwa na bachela anajua chang a moto za kuishi na mwanamke

  • @sarahmcharo1548
    @sarahmcharo1548 3 місяці тому

    onekanwaaa eeeh sawa sawa

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja4729 3 місяці тому +4

    Studio Pambe Sanaa Maua Yako Mbunifu

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale2463 3 місяці тому

    Nikweli

  • @hassannyale6901
    @hassannyale6901 3 місяці тому

    Bro ulifanya sawa kuwachana naye...huo ulikuwa ni Moto..Fitna..urembo likuwa niwewe Tu uone... lakini malaika alitaka kuonesha kila kitu Kwa waume wa inje... ALLAH akusimamie.. Brother Momo

  • @adijaniyonkuru9731
    @adijaniyonkuru9731 3 місяці тому

    Inshallah atapata mwingine❤

  • @ahnafaykhan698
    @ahnafaykhan698 3 місяці тому +1

    yani bro ukiaondokatu katika tasnia ya muziki pepo unaiona. mungu akuongoe zaidi

  • @itso.f.f.i.c.i.a.l
    @itso.f.f.i.c.i.a.l 3 місяці тому +2

    dogo mchaga amemshikilia sana mzee wa kudere humu ndani 😂

  • @user-jy4pm3hh9s
    @user-jy4pm3hh9s 3 місяці тому

    Mzee wa kudele nakukubar sana hawa wanawake hawana shukuran kaka tena ata mawasiliano ungekataa mazima tunaumia sana kupenda watu wasiotupenda

  • @nguyekorajabu1592
    @nguyekorajabu1592 3 місяці тому

    17:21 hadi 17:40 Momo Umeongea Madini sana . Superb.NAZINI HADI NAKUFA . SIKU UKIFA UNAMJIBU NINI MOLA WAKO.

  • @RizikiPonsiano
    @RizikiPonsiano 3 місяці тому

    Huyu mtangazaji Bado ni mtoto,hajaoa Bado,hajui challenges za ndoa especially ndoa ikiwa na mtoto.Wanawake wakiwa kwenye ndoa baadhi ni mwiba, especially wakiwa au kupata umaarufu.

  • @user-mt3cg6iv6d
    @user-mt3cg6iv6d 3 місяці тому

    Mchaga anamaswali ya kukera ningekua Mimi kashakula mikono mingi hapohapo 😂😂

  • @rubbymusa1971
    @rubbymusa1971 3 місяці тому

    Mwanamke alifika hatua hakuwa anamuheshimu tena mumewe, Pole dada hana hofu na chochote yupo busy na urembo

  • @queenbibisha1961
    @queenbibisha1961 3 місяці тому

    Ila momo alimpenda sana malaika , yani inavyoonekana malaiki akimwambia turudi pamoja yupo tayari 😂😂😂🙆🏼‍♀️🙆🏼‍♀️🙆🏼‍♀️

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n 3 місяці тому

    Mtaka mbele mpishe bora umempisha kaka utapata mke mwema mke mkeo

  • @naimasbuguza2395
    @naimasbuguza2395 3 місяці тому

    Hahahaaa dah, jamaa amemkamia momo balaaa

  • @tinotyno679
    @tinotyno679 3 місяці тому

    Ndo maana mnaambiwa redio ya ndugu

  • @Zenny89
    @Zenny89 3 місяці тому

    Masheheee!!! Huwa wanakwama pabaya…usichezeee misambwanda🤣

  • @Maryam-vj1rb
    @Maryam-vj1rb 3 місяці тому

    😂😂😂 amekukomesha kwa majibu yake Rigal Naam

  • @gloryassey3962
    @gloryassey3962 3 місяці тому

    Mapenzi peke yake hayatoshi kuishikilia ndoa kuna sacrifice uvumilivu nk

  • @malikamohammed6641
    @malikamohammed6641 3 місяці тому

    Hii family ya kina diamond ukiwachana nao tu lazima wakuseme vibaya kama wao niwakamilifu ili hali wao ndio Wanaongoza kwa skendo siwapendi

  • @hezronjoseph405
    @hezronjoseph405 3 місяці тому

    Jibu sahihi umejibu,ndomana nmemuacha finish😂😂😂

  • @NM-yl2uw
    @NM-yl2uw 2 місяці тому

    eti mtoto wa kslamu, kwan wakristo ndo wanaruhusu

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 3 місяці тому +1

    Huyo malaika sijui shetani surgery ikijakubuma ndia atajua hajui

  • @samchris1914
    @samchris1914 3 місяці тому

    Watoto wazuri wote ni malaika muulize Ricardo momo😂

  • @user-zw4tf5os8b
    @user-zw4tf5os8b 3 місяці тому

    Li momo dini linajua lkn dogo lake linampoteza Allah atuongoze sote

  • @EvaWaziri-so3gi
    @EvaWaziri-so3gi 3 місяці тому

    Wadada wa mjini wana mambo yao na wanaume wa mjini wana mambo yao

  • @khamisisuedi1056
    @khamisisuedi1056 3 місяці тому

    Umpe ushauri nduguyo ni mzinifu mkubwa na kuzalisha kila aina ya wanawake nje ya ndoa

  • @erickdanielkasindi564
    @erickdanielkasindi564 2 місяці тому

    Hallow

  • @MichaelLukindo-ix4qz
    @MichaelLukindo-ix4qz 3 місяці тому

    Hizi ndio kero za kuweka mahusiano Public..

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z 3 місяці тому

    ATA MWANZO ULIMSHUPALIA TU,,SIJUI TAKO LILE,,,,SIO JAMII YA MWANAMKE UTAKAYEMUWEKA NDANI AKAFATA MISINGI YAKO,,,WE UNA HOFU,,MWENZIO HAJUI HATA HOFU YA MUNGU NI NN,,,

  • @Igauf3
    @Igauf3 3 місяці тому

    Let’s see what are you going to do with that “one” next to you. Africa is watching.

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn9382 3 місяці тому

    Bora mumeachana mwanamke anathamini makalio kuliko ndoa

  • @josephatjordan2150
    @josephatjordan2150 3 місяці тому

    4:59 pumbavu😂😂

  • @abdulrahimomar8554
    @abdulrahimomar8554 3 місяці тому

    Maaalim kapatikana leo😅

  • @wardawarda6535
    @wardawarda6535 3 місяці тому +1

    Momo ukitaka mke mwengne miye nipo mwaya@Warda wa Momo 😂😂

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc 3 місяці тому

    Mchaga alikua ywambamiza MOMO tuu!!!! Momo alimkataa Malaika sababu za ustar

  • @joshua.o.makundi3079
    @joshua.o.makundi3079 3 місяці тому

    🤣🤣🤣🤣 ZA NDAAAAANI , NIMESKIA UJANA PLUS HAIFANYI KAZI.
    ZA NDANIIII LEO ZIMEHAMIA KWAKE HAHAHAHAHAHAHA

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 3 місяці тому

    Momo Malaika ni bomu bora mlivyoachan ungekufa umesimama

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n 3 місяці тому +1

    Momo njoo unioe mie
    Lkn naogopa mkirudiana na Malaika je. Ukiniona Malaika haiingii hata robo😂😂😂😂😂😂cku hiz wanaume Hakuna. Malaika ataka KUDANGA. Sie twataka kustiriwaaa. Ila atakuja kumbuka shuka kumekuchaaaa😂😂😂😂

  • @kibirigeahamed7557
    @kibirigeahamed7557 3 місяці тому

    pvbav kwan boss wako anafanye😂😂😂

  • @user-kg8dn6qr8o
    @user-kg8dn6qr8o 3 місяці тому

    Mzee wakudele ulikosea Sana huyu Dada heshima isipotee ulitakiwa utie mimba akuzalie mtoto paka Leo angekua anakueshimu hawa ukiwa change hivi hivi wana dhalau sana

    • @faidhamyovela179
      @faidhamyovela179 3 місяці тому

      mtot gan amezaa nae watot 2 mbon

    • @trice_yanga
      @trice_yanga 3 місяці тому

      saivi hata mzae watoto 10 km mtu kashaamua lake anafanya tu mbona mtoto wanae sema huyu dada baad y kupata umaarufu kaona momo wa kazi gani

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 3 місяці тому

    Hivi hizi tv hazina mambo ya maana kuwahabalisha watanzania huu ni upuuzi , huyo malaika ndio Nani Na huyo momo ndio nani wengine hatumjui na

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 3 місяці тому

    duuh watu wawili wawili kweli..huyu wanaimuinterview anaufanano na Daimond hivi..

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 3 місяці тому +2

    huyu nae siasa nyingi malaika kakuacha wew ulipambana sanaa kurekebisha ukashindwa

    • @jut1161
      @jut1161 3 місяці тому

      Sasa kwani kuna shida gani.
      Si kakubali kushindwa ndio akaamua kumpa talaka ili Aishi Maisha anayoyapenda

  • @josephkiwale374
    @josephkiwale374 3 місяці тому

    Momo anafanana xana na mama dangote,na RJ hapa kuna kitu chakuchukua

  • @EvaWaziri-so3gi
    @EvaWaziri-so3gi 3 місяці тому

    Alafu uyo engel zamani ndyo alikuwa mnzuri syo now,ameenda kujiaribu tyu

    • @mwanamisiali5712
      @mwanamisiali5712 3 місяці тому

      Umeonaeeh juzi niliona akihojiwa anaongea km mzee

    • @faidhamyovela179
      @faidhamyovela179 3 місяці тому +1

      @@mwanamisiali5712 hilo dom kachemkaa😂

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n 3 місяці тому +1

    Lkn ukinioa msije pasha viporo na Malaika NTAUA😂😂😂😂NINA WIVU BALAHA. SHEM WANGU WA UKWEEE ATAKUA DAIMOND❤😂NAMI NIWE SUPERSTAR😂😂😂😂😂

  • @nehemia397
    @nehemia397 3 місяці тому

    wakuu huyu dem nampataje

  • @SalminiSamama
    @SalminiSamama 3 місяці тому +2

    😂😂

  • @trice_yanga
    @trice_yanga 3 місяці тому

    huyu manzi umaarufu ndo umemponza

  • @khelefmatelephone9653
    @khelefmatelephone9653 3 місяці тому

    Sasa huo mdomo umeufanya nn mzee au unataka ufanane na kaka😅😅

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 3 місяці тому

    wewe na malaika mnamtoto mmoja tu yule wa pili ulimkuta kwa malaika sio wako acha uongo

    • @MinskBelarus-il2tl
      @MinskBelarus-il2tl 3 місяці тому +1

      Sio Muongo Dada mdogo.....ila ni Hekima katumia. Huyo mtoto bila Shaka anamchukulia Momo kama BABA yake,na anaishi na kusoma na Mdogo wake. Busara imetumika kutokumkana kwenye Social Media.Ujue hii interview haitofutika iko siku huyo mwanae wa kumzaa anaweza kumwambia BABA.....mbona ulimkana ndugu yangu???? Halafu acha kumwita mwenzio "MUONGO" Unamjua kiundani??

  • @coolson2925
    @coolson2925 3 місяці тому +2

    jamaa analamba lamba domo ananikera kinomaaa

  • @user-td8bp9kz8d
    @user-td8bp9kz8d 3 місяці тому

    Usijitetee ulikosea kuoa wewe ustadh mvaa kanzu kaoe wavaa majuba wenzio sio kuoa shangingi la mji kisha useme status ilifuata ndoa kwa nn msiikemee 😂tatizo hamfuati miongozo ya dini ktk kutafuta mke huo ndo ukweli sheikh isemwe hata kama inauma stahamili sheikh😂

  • @khelefmatelephone9653
    @khelefmatelephone9653 3 місяці тому

    Momooo mbna unauvuta sana huo mdomo shda nn😢😢

  • @marrykigabimk
    @marrykigabimk 3 місяці тому

    𝚁𝚒𝚌𝚊𝚛𝚍𝚘😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 3 місяці тому +1

    Hivi momo mpaka arambe rambe lips 😅

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 3 місяці тому +1

    Huyu jamaa kwa yule manz alicjochola

    • @mwanaidimussa
      @mwanaidimussa 3 місяці тому

      Tatiz wanawake ,,, kubla ya kuolewa ni wema sana ngoja sasa umuoe

  • @chimamilion
    @chimamilion 3 місяці тому

    Cjui analambaje midomo km ndan nae yn liulim lote nje

  • @Bashitetako
    @Bashitetako 3 місяці тому +1

    Kajilamba midomo mara 112

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 3 місяці тому

    Wewe mchaga unamlazimisha mwenzio km kashindwa kumtunza. Mbona waliishi mpaka wamezaa wtt wawili?

  • @jumalihumbo5314
    @jumalihumbo5314 3 місяці тому

    Leo ndio nimeelewa ndoa sio lelemama😅😅😅

    • @user-uo8xw9kr4b
      @user-uo8xw9kr4b 3 місяці тому

      Ni kweli unaeza pata mke balaa na mwanmke ukapata mume kisanga ni kuomba Mungu atusaidie tu

  • @SalminiSamama
    @SalminiSamama 3 місяці тому

    😂😂