HOTUBA NZIMA YA MAGUFULI KUHUSU TRA NA UKUSANYAJI WA KODI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 гру 2018

КОМЕНТАРІ • 10

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 4 роки тому

    Kumbe Kenya wanajitaidi sana na ukusanyaji wa kodi. hongera sana Kenyatta na administraton yako..Kenyatta oyeeee...Magufuli oyeeeee!!!!

  • @alexkihongola798
    @alexkihongola798 5 років тому +2

    JPM huwa anatoa pindi LA hatari Sana, yupo vizuri hatari chuma chuma Dahaaa.

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 4 роки тому

    natamani tungepata matokeo ya huu mjadala..dah jmni wanatakiwa waje na strategy nzuri sana. wafanye pia research ya nchi za ngambo wanakusanyaje kodi..tax base yao ikoje an ni tactic gani wanatumia kukusanya...systems zao zikoje...pia kuwepo na ushindani mkoa kwa mkoa kwa namna wanavyokusanya kodi na maendeleo ya mikoa yao..Mkuu wa mkoa ndio governor wa state yake..

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 4 роки тому

    Naskia wafanya biashara wadogowadogo bado kunausumbufu mkuu..

  • @karimmohamed4989
    @karimmohamed4989 5 років тому +1

    Ningeiomba serikali kwsababu tuko kwny mfumo wa soko huria na pia inataka kukuza sekta binafsi basi tuangalie wenzetu waliokuw ktk mifumo hii kw miaka mingi utaratibu wa kodi zao ukoje ili kuondoa malalamiko na manunguniko toka kw wafanyabiashata na wananchi kw ujumla

  • @juliethsamwel4151
    @juliethsamwel4151 5 років тому

    Ubarikiwe sana rais wetu

  • @stephanomapai7970
    @stephanomapai7970 5 років тому +1

    20000×3000000=? Mhhhhh hyu baba ni balaa

    • @petermanyambo8558
      @petermanyambo8558 5 років тому +1

      Bima pia imepanda

    • @antonykahwage2189
      @antonykahwage2189 5 років тому +2

      thanks my beloved president, penye kivuli cha chama hapo nimeelewa sana kwani,wasijisahau kwamba ibada njema huanzia nyumbani.

  • @hamadshein935
    @hamadshein935 5 років тому +1

    Kipi kinatakiwa kilipiwe kodi Mtaji au Faida?