Ukiacha vichekesho ameongea point nyingi sana humo ndani 1. Kupima ukimwi 2. Wajibu wa mzazi kwa familia 3.Elimu bora 4.uchapakazi 5. Kuachana na ulevi wa kupindukia 6. Kuunga mkono juhudi za maendeleo 7. Kujenga taifa kwa umoja 8. Usafi wa mwili na mavazi
Huyu mkuu siyo hivyo tu. Ni zaidi ya hapo, hata ofisini kwake ukienda ukiwa na shida inayohitaji maamuzi ya kiutawala hapepesipepesi. Anamaamuzi yalionyoka, kama Raisi wetu, Dr. JPM. Hongera Mkuu wa mkoa wa TBR na pia pongezi kwa Raisi wetu kwa kumteuwa huyui. Mh. Raisi na Agrey Mwanry MUNGU na aendelee kuwapa kibali cha kutumikia Taifa hili kwa moyo huo wa kizarendo, nasi tutaendelea kuwaombea. Barikiwa! Barikiwa!
Huyu mzee ni Comediani kwelikweli, Nilikuwa sijui kama hata kuchekesha anachekesha hivo ila bora yeye kuliko Bashite na sera zake za kusadikika. JPM tuletee huyu Mzee Dar es salaam tunamhitaji sana.
Yaani wewe baba nikija kweli wine nitanunu sema ngapi unafurahisha pia unaelimisha kweli watavyopata kweli lazima wache ulevi wa kijinga na malamiko ubarikiwe sana
Gonga like kama upo nyuma ya huyu mzee jpm4life
Ukiacha vichekesho ameongea point nyingi sana humo ndani
1. Kupima ukimwi
2. Wajibu wa mzazi kwa familia
3.Elimu bora
4.uchapakazi
5. Kuachana na ulevi wa kupindukia
6. Kuunga mkono juhudi za maendeleo
7. Kujenga taifa kwa umoja
8. Usafi wa mwili na mavazi
Dhamira zilizojitokeza @@@@
Kabisa🤘🏿👏🏿
yani mkuu unafurahisha kisha unaelimisha balikiwa sana
Kweli ww msani sana God bless you.
Mzee nakuelewaga sana
mzee rudi home siha bado twakuhitaji mno!
Hahaha huyu baba nanichekeshaga hatari magufuri wapili
Kama umesikia kg Newton gonga like hapa twende sawa
Ni kweli Mkuu.
Leo umenifanya nienjoy mzee dah upo safi
Huyu mkuu siyo hivyo tu. Ni zaidi ya hapo, hata ofisini kwake ukienda ukiwa na shida inayohitaji maamuzi ya kiutawala hapepesipepesi. Anamaamuzi yalionyoka, kama Raisi wetu, Dr. JPM. Hongera Mkuu wa mkoa wa TBR na pia pongezi kwa Raisi wetu kwa kumteuwa huyui. Mh. Raisi na Agrey Mwanry MUNGU na aendelee kuwapa kibali cha kutumikia Taifa hili kwa moyo huo wa kizarendo, nasi tutaendelea kuwaombea. Barikiwa! Barikiwa!
zacharia mseswa nimeipenda meseji yako
@@bahishaalexander3641 Asante Kiongozi Bahisha Alexander. Barikiwa!
Exactly RC
Kweli kabisa, kulalamika inamaanisha umeshindwa kufikiri, na unataka wengine wafikiri kwa niaba yako.
👍👍👍👍👍👍
Pank kama mkate umesikia like hapa
KumuelewA inaitaj uwe muelewa sana huyu mzee
Tuleteeni huyu kiongozi huku kwetu Mara tuna bahati mbaya ya kuletewa wakuu wa mikoa ambao hawaendani na changamoto za mkoa wetu
Jamaa comedian mzuri sana
cku nyingine unacheka na wanao safi sana
Huyu mzee ni Comediani kwelikweli, Nilikuwa sijui kama hata kuchekesha anachekesha hivo ila bora yeye kuliko Bashite na sera zake za kusadikika. JPM tuletee huyu Mzee Dar es salaam tunamhitaji sana.
Mtasukumwa ndani
Nmekukubali mkuu wa mkoa
Hakuitajika MAGUFULI aje ili kazi zifanyike vizuri.MWANRI anatosha
Mkuu
hahaAahaaaa kaa kaa yenu hiyo waza mambo makubwa
mzee mwari unatukumbusha kipindi cha jiwe alipokuwa waziri ujenzi?
Kama umesikia tutako gonga like
Betriiii haichaji
Kweli mzee huyu anatakia mji mazuri jamani watanzania unga yeye mkono
Yaani wewe baba nikija kweli wine nitanunu sema ngapi unafurahisha pia unaelimisha kweli watavyopata kweli lazima wache ulevi wa kijinga na malamiko ubarikiwe sana
Huyu ndiye rais mtarajiwa baada ya baada maghufuli kustaafu mwaka wa 2025.
Vitako viko nje ha ha ha ha ha
Kamanda huyo
😂😂😂😂😂😂😂😂nampenda huyu baba
Hahahahaahqha yaani watu wafikirie juu yako
Hahaaaa Mzee huyu bwana
Me pank kama sufuria ndo hoi
Tabora sf
Kangara ina itwa kg hahaha mabutu wa mama
😂😂ndo kusema
🤣🤣🤣🙏
Ya maana 😂😂
Hahahaha
😁😁😁😁😁😁😁😁