Billnass mchunge mkeo apumzike maana ni mja mzito, asipate nuksi akizaa. Nandi ni mwanamke mwerevu sana na taajiri, kwa hivyo lazma awe na maadui wengi wa karibu. Mlinde na umuombee sana....
Sophia ckia Nandy wala billnas awawezi pata nukc,balaa Wala mkoc ivi unajua nguvu za MUNGU walizokua nazo?!unamjua MUNGU wanaemtumikia awezi ruhusu mazingaumbwe yyte yawasogelee maana Ayo sisi tunaitaga mazingaumbwe fake power,Apo hao wako na nguvu origional hakuna anaewasogelea weee
Allah azid kuwarinda na madui na wanajionesha bayana kbsaaa km uyo mwijaku sio mtu mzr kwenu kueni makin nae km iyo m moja mpeni akafie mbere na njaa zake
Weee na tumbo lako kama mwehu hizo hela sasa zinaenda kukutoa roho sasa na wewe mwanaume kama huyo mwanamke ndio anakuongoza kwa hela zake atakunyanyasa saana
Yaan mara nyingi hawa wasanii hawana chuki za kijingajinga shida machawa wanapenda wagombane ili wapate mahali pakulia ugali na familia zao, hata Mond na Kiba kama si uhasama unaochochewa na wanafiki machawa wala wasingekuwa hasama mpaka leo
Nandy is glowing and growing. Kelele za chura hazizuii chochote
Karibu sana nyumbani kwetu songea,ila mwanangu nandi uwe unavaa nguo pana usivae viguo vya kubana tumbo hilo linaenda uķingoni au sio.
Tulia Nandy 😍 wetu,Nandy Achana na huyo kichaa mwijaku hajitambui wala asikusumbue kichwa kipenz,Furahia Ndoa yk na Muziki wako 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hongera mno na karibu sana nyumbani kwetu twawapenda mno. Ila nandi mdogo wangu ungepumzika kwani jmn naumia cz najuaga inavyochosha hyo hali.
Watu wanatofautiana
Hayo ni mazoezi yatampa uharaka wa kupata mtoto kwa njia rahisi bila shida,. SS wanawake tupo happy hajajilekeza
@@Ann-Strong 🔥🔥🔥
@@Ann-Strong pole
Ndio ya kwanza bado ana nguvu
Kiki hizo hamna ugomvi mwijaku na Nandy
MashaAllah mr and mrs William
Achananao nandy wangu wachawaseme piga kazi.
Hongera Mandy mungu akutie nguvu zaidi katika Yale unayoyafanya
Beyoncé and Jay-Z
mungu awasimamie maana hakuna anaependa maisha yenu
Billnass mchunge mkeo apumzike maana ni mja mzito, asipate nuksi akizaa. Nandi ni mwanamke mwerevu sana na taajiri, kwa hivyo lazma awe na maadui wengi wa karibu. Mlinde na umuombee sana....
Sophia ckia Nandy wala billnas awawezi pata nukc,balaa Wala mkoc ivi unajua nguvu za MUNGU walizokua nazo?!unamjua MUNGU wanaemtumikia awezi ruhusu mazingaumbwe yyte yawasogelee maana Ayo sisi tunaitaga mazingaumbwe fake power,Apo hao wako na nguvu origional hakuna anaewasogelea weee
@@nahanakadiri3969 yaani katika wapumbavu inawezekana ukawa namba 1 wanamtumikia Mungu shetani
@@adamfundikira4556 tulia ww
Nandy bado naangalianga harusi yenu UA-cam ilikuwa noma sana 🇰🇪🇰🇪
🤣🤣🤣🤣
@@sophiaabdallah7821 hahahaha
Wooow karibu songea kwetuuuuuuuuuuu
Big up African Princess ❤️❤️❤️💚💃💃💃💃. . .piga kazi 🙏🙏
Mashallah ALLAH barik
Safi sana momyy Nandy! Majibu nimeyapenda
Allah azid kuwarinda na madui na wanajionesha bayana kbsaaa km uyo mwijaku sio mtu mzr kwenu kueni makin nae km iyo m moja mpeni akafie mbere na njaa zake
Big up kipenz Keep it I love you Nandy🥰😍
Yaani ningefurahi siku moja tajiri ampe hela mwijaku alafu ajirekodi anamfira kumamake amekaa kishoga shoga sana
Karibuni kwetu
Ao wa chaga na wapare ela wanaitafuta hakikaa soon from wedding
Mashallah mumependeza sana
Yeah hasa hizo sun glasses 😠😠
Yan mmpendza Canada u know I like it
Mependeza mungu awabaliki mkae ssalama nimewapemda
Hongera nandy
Jibuu lakoo nimelipendaaaa ....
Karibun kwetu bombi nyumbi
ok karibuni kwamapenzi ndukuu ilaa bado
duuu nandy ananguvu mm nikifika hivyo sijiwezi jmn
Hilo li-Billnass lina akili sana
mungu ailinde ndoa yenu
Kabisa ❤❤❤❤❤🙏
Atazaria njiani uyu Nandi kunaulazima gani utulie nyumbani sasa
Ni masifa tu ya kuonekana.
Kweli pesa issue ingine 😁 sisi masikini baada ya ndoa mke anatakiwa kukaa ndani kwanza siku kadhaa, hawa wenyewe wamechukulia kawaida tu
Mm nimpenda sana siyo tunamaliza shughuli na kukaa ndani .
Ndio vizuri hawajaridhika na walichonacho bado wanatafuta
Ata akikaa ndani hakuna jipya kati yao hahahha watu wanakaa ndan watafute mtoto sasa teyar washampata kuna kipya kip
@@nunuodo3401 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Weee usinambie kumbe lengo la kukaa saba ni kwaajili ya kutafuta mtoto? 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
@@swaumdodoma7591 😂😂😂
Umependeza nand
Sema saiv nandy ananenepa
Kibongee
Mwijaku ni mdhalilishaji sana anazidi kutukumbusha ya Menina. Mtu mbadi sana huyo jamaa
Sauti niyake lakini 😂😂😂😂😂
Jamaniii,uvae nguo Pana bwana usim bane mtt,hizo nguo utavaa baada ya kujifungua lkn kwasasa mjali mwañao
Ni maendeleo tu huoni teddy bear linatembea
Zingebana asingevaa huwezi kubana ujauzito, ukiona kaivaa inamtosha kwa hali aliyonayo.
ok
Kweli Mungu analipga hapa hapa sema mwijku limekaa ki Uongo uongo sana cjui msimbe fulani hivi....
Kila laher uko mliko,mlilokusudia mwenyezi mungu awafanikishie kwa ukubwa ili mtimize malengo yenu nawapenda bureeeeee
Kumbe ndiyo maanaa mwijaku Alianguka siku ile
Mapenz ya kijionyesha haya yana mhmh wasanii sijui hua hamji funzi kupitia kwa 🤴 KIBA
Karibu songea ndio kwetu
Wanawake wote wanastahili pongezi na shukrani za dhati 🙏 ua-cam.com/video/iYjijfV-YRw/v-deo.html
😘😘😘😘😘😘
Nikwelidada..megine...niyakupita
Umeona ee una vitu vingi vya kufanya bhn achana nae piga kazi
Na kama ni ukweli ulikuwa na huo mpango wa kumharibia kiboko yako Zuchu umesema mwenyewe malipo ni hapa hapa duniani...
Nandy.umekosea.sana.tu
Hio.njaaaa.inasumbua.tu.mymetumia.pesa.nyingi.sana.sahivi.lazimaa.musikawe.mukambuzika.sanaa
Mwijaku mwanamke achana nae
Mh! Zuchu asisemwe kawa nani?
Nchi hii matamasha kila leo
Ehh
Mtoto atazaliwa amechokaa
Mimba haijawahi acha pua salama
Mi nilijua nimeona peke yangu kumbe nawew umeona
Ndo kitambulisho Cha mimba
Isha komaa
Achaneni na Mwijaku hana fadhila
Nandy ungetulia tu jamani
Mimi sijui kwanini English na kiswahili vinachanganyika.
Nilifikiri baada ya doa takatifu watakuwa wahubiri wa injiri
Zuchu.nandy.umekosea.sana.tu
Milard kuwa makini na lugha yako ya kiswahili, umeelewa hyo caption ulioiandika hapo?
Waandishi wa habari wa siku hizi hovyo sana .. huyo ni mfanyakaz wa millard ,sio millard mwenyew
Wakazi wa Shongea😂😂.. . ... Tumeisikia io Nenga
😂😂😂🤭🤭🤭
Jinga sana ww 😄 🤣 😂 😆 😄 🤣 😂 😆 😄
Mwijaku mnafiki
Wasanii wengi wakifunga ndoa nyota ya mziki kwisha
Unataka wazini
Ulichonifurahisha Pete ya ndoa hujavua
Na wapenda bure
Kama mnjua siku zimeisha kwann mrande simkae ajifunge Kisha kazi zitaendelea ATI ana doctor wake, nazii imepata wakunaji
😂😂😂😂
Kaone kalivyonenepa mashavu yake😂
Weee na tumbo lako kama mwehu hizo hela sasa zinaenda kukutoa roho sasa na wewe mwanaume kama huyo mwanamke ndio anakuongoza kwa hela zake atakunyanyasa saana
Acha makasiriko tafuta pesa..
Ndoa juzi Leo mimba mtoto karibu kuzaliwa. Jamaa mwendo kasi kweli
😂😂😂
🏃🏃🏃🤣😂😅
Wabariki walishaowana siku nyingi hao
Vido honey moon ni kwa watu ambao hawajajuana uchi aisee dont be like uneducated plz
Utazalia jiani
Shongea🤣
Nice one brother angu billy vs nandy ote gonga like hapa 👇👇👇ua-cam.com/video/Pla6c5WGotA/v-deo.html
🙏❣️🤣
Yaan mara nyingi hawa wasanii hawana chuki za kijingajinga shida machawa wanapenda wagombane ili wapate mahali pakulia ugali na familia zao, hata Mond na Kiba kama si uhasama unaochochewa na wanafiki machawa wala wasingekuwa hasama mpaka leo
Lipa deni mashavu ya paka wa wodi
Nina wasiwasi na uanaume wako! Nilifikiri ni binti 🙄
@@rehemamkalawa3801 kua na wasiwasi na unaempa kuma yako chafu iyo wala sio mm kunguru ww
@@rehemamkalawa3801 Thought the same
Una true love kwa wasanii wote wakati unamlipa mtu amchafue mwezio pumbavu🤯😂😂
Unauhakika Gani adi umtusi mtu
Hahaha binadam hatuja kamilika mwachen atafute pesa
Wivu tu na mara zote mti wenye matunda ndio hupigwa mawee
Siwez kukosa