NANDY NA MUMEWE BILLNASS WATUA SONGEA, AFUNGUKA SAUTI INAYOSAMBAA AKIMSEMA ZUCHU “MALIPO DUNIANI”

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 лип 2022

КОМЕНТАРІ • 128

  • @nissispuppies5990
    @nissispuppies5990 2 роки тому +10

    Nandy is glowing and growing. Kelele za chura hazizuii chochote

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 роки тому +18

    Karibu sana nyumbani kwetu songea,ila mwanangu nandi uwe unavaa nguo pana usivae viguo vya kubana tumbo hilo linaenda uķingoni au sio.

  • @lovenessaron2669
    @lovenessaron2669 2 роки тому +1

    Tulia Nandy 😍 wetu,Nandy Achana na huyo kichaa mwijaku hajitambui wala asikusumbue kichwa kipenz,Furahia Ndoa yk na Muziki wako 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @sharifanyumayo6314
    @sharifanyumayo6314 2 роки тому +21

    Hongera mno na karibu sana nyumbani kwetu twawapenda mno. Ila nandi mdogo wangu ungepumzika kwani jmn naumia cz najuaga inavyochosha hyo hali.

  • @Userog254
    @Userog254 2 роки тому +12

    Kiki hizo hamna ugomvi mwijaku na Nandy

  • @sadanassor6158
    @sadanassor6158 2 роки тому +6

    MashaAllah mr and mrs William

  • @mwanaidsalehe1109
    @mwanaidsalehe1109 2 роки тому +11

    Achananao nandy wangu wachawaseme piga kazi.

  • @LUCY-hb9vq
    @LUCY-hb9vq 2 роки тому

    Hongera Mandy mungu akutie nguvu zaidi katika Yale unayoyafanya

  • @malina9320
    @malina9320 2 роки тому +10

    Beyoncé and Jay-Z
    mungu awasimamie maana hakuna anaependa maisha yenu

  • @SophieSpira
    @SophieSpira 2 роки тому +16

    Billnass mchunge mkeo apumzike maana ni mja mzito, asipate nuksi akizaa. Nandi ni mwanamke mwerevu sana na taajiri, kwa hivyo lazma awe na maadui wengi wa karibu. Mlinde na umuombee sana....

    • @nahanakadiri3969
      @nahanakadiri3969 2 роки тому +4

      Sophia ckia Nandy wala billnas awawezi pata nukc,balaa Wala mkoc ivi unajua nguvu za MUNGU walizokua nazo?!unamjua MUNGU wanaemtumikia awezi ruhusu mazingaumbwe yyte yawasogelee maana Ayo sisi tunaitaga mazingaumbwe fake power,Apo hao wako na nguvu origional hakuna anaewasogelea weee

    • @adamfundikira4556
      @adamfundikira4556 2 роки тому

      @@nahanakadiri3969 yaani katika wapumbavu inawezekana ukawa namba 1 wanamtumikia Mungu shetani

    • @mmasymerry1233
      @mmasymerry1233 2 роки тому

      @@adamfundikira4556 tulia ww

  • @lizahadongo1801
    @lizahadongo1801 2 роки тому +8

    Nandy bado naangalianga harusi yenu UA-cam ilikuwa noma sana 🇰🇪🇰🇪

  • @nadanasser1020
    @nadanasser1020 2 роки тому +2

    Wooow karibu songea kwetuuuuuuuuuuu

  • @martharugwana2130
    @martharugwana2130 2 роки тому +1

    Big up African Princess ❤️❤️❤️💚💃💃💃💃. . .piga kazi 🙏🙏

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement2534 2 роки тому

    Mashallah ALLAH barik

  • @barakaotto7899
    @barakaotto7899 2 роки тому

    Safi sana momyy Nandy! Majibu nimeyapenda

  • @leiratykisura6718
    @leiratykisura6718 2 роки тому

    Allah azid kuwarinda na madui na wanajionesha bayana kbsaaa km uyo mwijaku sio mtu mzr kwenu kueni makin nae km iyo m moja mpeni akafie mbere na njaa zake

  • @laurenciamanyanda9479
    @laurenciamanyanda9479 2 роки тому +4

    Big up kipenz Keep it I love you Nandy🥰😍

  • @c75923
    @c75923 2 роки тому +1

    Yaani ningefurahi siku moja tajiri ampe hela mwijaku alafu ajirekodi anamfira kumamake amekaa kishoga shoga sana

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 2 роки тому

    Karibuni kwetu

  • @islammjema6211
    @islammjema6211 2 роки тому +1

    Ao wa chaga na wapare ela wanaitafuta hakikaa soon from wedding

  • @mdta8161
    @mdta8161 2 роки тому +3

    Mashallah mumependeza sana

    • @jan6703
      @jan6703 2 роки тому

      Yeah hasa hizo sun glasses 😠😠

  • @elizabethfokoro4049
    @elizabethfokoro4049 2 роки тому

    Yan mmpendza Canada u know I like it

  • @roqayaro9439
    @roqayaro9439 2 роки тому

    Mependeza mungu awabaliki mkae ssalama nimewapemda

  • @misojibahati6110
    @misojibahati6110 2 роки тому

    Hongera nandy

  • @johnkamau4115
    @johnkamau4115 2 роки тому

    Jibuu lakoo nimelipendaaaa ....

  • @sizadarati1064
    @sizadarati1064 2 роки тому

    Karibun kwetu bombi nyumbi

  • @halmaguyogaya942
    @halmaguyogaya942 2 роки тому

    ok karibuni kwamapenzi ndukuu ilaa bado

  • @nicemushi524
    @nicemushi524 2 роки тому

    duuu nandy ananguvu mm nikifika hivyo sijiwezi jmn

  • @winnersstore9161
    @winnersstore9161 2 роки тому +1

    Hilo li-Billnass lina akili sana

  • @mariamkitwana6148
    @mariamkitwana6148 2 роки тому +6

    mungu ailinde ndoa yenu

  • @OmanOman-bx5du
    @OmanOman-bx5du 2 роки тому +4

    Atazaria njiani uyu Nandi kunaulazima gani utulie nyumbani sasa

  • @Donrugi
    @Donrugi 2 роки тому +12

    Kweli pesa issue ingine 😁 sisi masikini baada ya ndoa mke anatakiwa kukaa ndani kwanza siku kadhaa, hawa wenyewe wamechukulia kawaida tu

    • @aishajuma7402
      @aishajuma7402 2 роки тому

      Mm nimpenda sana siyo tunamaliza shughuli na kukaa ndani .

    • @tusajigwemathias9185
      @tusajigwemathias9185 2 роки тому +1

      Ndio vizuri hawajaridhika na walichonacho bado wanatafuta

    • @nunuodo3401
      @nunuodo3401 2 роки тому +1

      Ata akikaa ndani hakuna jipya kati yao hahahha watu wanakaa ndan watafute mtoto sasa teyar washampata kuna kipya kip

    • @swaumdodoma7591
      @swaumdodoma7591 2 роки тому

      @@nunuodo3401 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Weee usinambie kumbe lengo la kukaa saba ni kwaajili ya kutafuta mtoto? 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂

    • @Donrugi
      @Donrugi 2 роки тому

      @@swaumdodoma7591 😂😂😂

  • @rehemamgongwe300
    @rehemamgongwe300 2 роки тому +1

    Umependeza nand

  • @silverboy3065
    @silverboy3065 2 роки тому

    Sema saiv nandy ananenepa

  • @magreciousthomas3527
    @magreciousthomas3527 2 роки тому

    Kibongee

  • @scholarmawala1403
    @scholarmawala1403 2 роки тому +3

    Mwijaku ni mdhalilishaji sana anazidi kutukumbusha ya Menina. Mtu mbadi sana huyo jamaa

  • @walidsultan7486
    @walidsultan7486 2 роки тому +1

    Sauti niyake lakini 😂😂😂😂😂

  • @aishalaizer8132
    @aishalaizer8132 2 роки тому +2

    Jamaniii,uvae nguo Pana bwana usim bane mtt,hizo nguo utavaa baada ya kujifungua lkn kwasasa mjali mwañao

    • @vickylupemba6055
      @vickylupemba6055 2 роки тому

      Ni maendeleo tu huoni teddy bear linatembea

    • @savioursimon458
      @savioursimon458 2 роки тому

      Zingebana asingevaa huwezi kubana ujauzito, ukiona kaivaa inamtosha kwa hali aliyonayo.

  • @maryammarjan4015
    @maryammarjan4015 2 роки тому

    ok

  • @victorbugobola2276
    @victorbugobola2276 2 роки тому

    Kweli Mungu analipga hapa hapa sema mwijku limekaa ki Uongo uongo sana cjui msimbe fulani hivi....

  • @theresiamagnius1503
    @theresiamagnius1503 2 роки тому

    Kila laher uko mliko,mlilokusudia mwenyezi mungu awafanikishie kwa ukubwa ili mtimize malengo yenu nawapenda bureeeeee

  • @hellenmassawe7284
    @hellenmassawe7284 2 роки тому

    Kumbe ndiyo maanaa mwijaku Alianguka siku ile

  • @ibrahimshabani8168
    @ibrahimshabani8168 2 роки тому +3

    Mapenz ya kijionyesha haya yana mhmh wasanii sijui hua hamji funzi kupitia kwa 🤴 KIBA

  • @nancyanthony8739
    @nancyanthony8739 2 роки тому

    Karibu songea ndio kwetu

  • @johnnytravo
    @johnnytravo 2 роки тому +3

    Wanawake wote wanastahili pongezi na shukrani za dhati 🙏 ua-cam.com/video/iYjijfV-YRw/v-deo.html

  • @dabrathludovick1477
    @dabrathludovick1477 2 роки тому

    😘😘😘😘😘😘

  • @mkasiali6956
    @mkasiali6956 2 роки тому

    Nikwelidada..megine...niyakupita

  • @fridakimwanya1158
    @fridakimwanya1158 2 роки тому +2

    Umeona ee una vitu vingi vya kufanya bhn achana nae piga kazi

  • @ramadhankakai7303
    @ramadhankakai7303 2 роки тому

    Na kama ni ukweli ulikuwa na huo mpango wa kumharibia kiboko yako Zuchu umesema mwenyewe malipo ni hapa hapa duniani...

  • @dilipdab3714
    @dilipdab3714 2 роки тому

    Nandy.umekosea.sana.tu

  • @dilipdab3714
    @dilipdab3714 2 роки тому

    Hio.njaaaa.inasumbua.tu.mymetumia.pesa.nyingi.sana.sahivi.lazimaa.musikawe.mukambuzika.sanaa

  • @rosejoely4518
    @rosejoely4518 2 роки тому

    Mwijaku mwanamke achana nae

  • @mariambosiro4508
    @mariambosiro4508 2 роки тому

    Mh! Zuchu asisemwe kawa nani?

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 2 роки тому

    Nchi hii matamasha kila leo
    Ehh

  • @judyngowi391
    @judyngowi391 2 роки тому +1

    Mtoto atazaliwa amechokaa

  • @fatumajeremiha6349
    @fatumajeremiha6349 2 роки тому +4

    Mimba haijawahi acha pua salama

  • @matildamkombachepa2149
    @matildamkombachepa2149 2 роки тому +1

    Achaneni na Mwijaku hana fadhila

  • @agnellapius8142
    @agnellapius8142 2 роки тому

    Nandy ungetulia tu jamani

  • @tiffahkidoti8954
    @tiffahkidoti8954 2 роки тому

    Mimi sijui kwanini English na kiswahili vinachanganyika.

  • @joelikilinga1269
    @joelikilinga1269 2 роки тому

    Nilifikiri baada ya doa takatifu watakuwa wahubiri wa injiri

  • @dilipdab3714
    @dilipdab3714 2 роки тому

    Zuchu.nandy.umekosea.sana.tu

  • @mussamun6546
    @mussamun6546 2 роки тому

    Milard kuwa makini na lugha yako ya kiswahili, umeelewa hyo caption ulioiandika hapo?

    • @reganshao
      @reganshao 2 роки тому

      Waandishi wa habari wa siku hizi hovyo sana .. huyo ni mfanyakaz wa millard ,sio millard mwenyew

  • @liamlifa2787
    @liamlifa2787 2 роки тому +2

    Wakazi wa Shongea😂😂.. . ... Tumeisikia io Nenga

  • @asyakareem2416
    @asyakareem2416 2 роки тому

    Mwijaku mnafiki

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 2 роки тому +1

    Wasanii wengi wakifunga ndoa nyota ya mziki kwisha

  • @abidandastan2331
    @abidandastan2331 2 роки тому

    Ulichonifurahisha Pete ya ndoa hujavua

  • @zawaditamari9752
    @zawaditamari9752 2 роки тому +1

    Na wapenda bure

  • @majomamajoma8776
    @majomamajoma8776 2 роки тому

    Kama mnjua siku zimeisha kwann mrande simkae ajifunge Kisha kazi zitaendelea ATI ana doctor wake, nazii imepata wakunaji

  • @ummycheedy2809
    @ummycheedy2809 2 роки тому

    Kaone kalivyonenepa mashavu yake😂

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 2 роки тому

    Weee na tumbo lako kama mwehu hizo hela sasa zinaenda kukutoa roho sasa na wewe mwanaume kama huyo mwanamke ndio anakuongoza kwa hela zake atakunyanyasa saana

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 2 роки тому

    Ndoa juzi Leo mimba mtoto karibu kuzaliwa. Jamaa mwendo kasi kweli

  • @dintazdintaz7311
    @dintazdintaz7311 2 роки тому

    Vido honey moon ni kwa watu ambao hawajajuana uchi aisee dont be like uneducated plz

  • @consolatatemu8613
    @consolatatemu8613 2 роки тому

    Utazalia jiani

  • @henrymsomi8669
    @henrymsomi8669 2 роки тому

    Shongea🤣

  • @tonymaster3619
    @tonymaster3619 2 роки тому

    Nice one brother angu billy vs nandy ote gonga like hapa 👇👇👇ua-cam.com/video/Pla6c5WGotA/v-deo.html

  • @siliviasimon7970
    @siliviasimon7970 2 роки тому

    🙏❣️🤣

  • @imanibakili8028
    @imanibakili8028 2 роки тому

    Yaan mara nyingi hawa wasanii hawana chuki za kijingajinga shida machawa wanapenda wagombane ili wapate mahali pakulia ugali na familia zao, hata Mond na Kiba kama si uhasama unaochochewa na wanafiki machawa wala wasingekuwa hasama mpaka leo

  • @timelessdaddy.2542
    @timelessdaddy.2542 2 роки тому +2

    Lipa deni mashavu ya paka wa wodi

    • @rehemamkalawa3801
      @rehemamkalawa3801 2 роки тому +3

      Nina wasiwasi na uanaume wako! Nilifikiri ni binti 🙄

    • @timelessdaddy.2542
      @timelessdaddy.2542 2 роки тому

      @@rehemamkalawa3801 kua na wasiwasi na unaempa kuma yako chafu iyo wala sio mm kunguru ww

    • @savioursimon458
      @savioursimon458 2 роки тому

      @@rehemamkalawa3801 Thought the same

  • @shabiruponera4323
    @shabiruponera4323 2 роки тому

    Una true love kwa wasanii wote wakati unamlipa mtu amchafue mwezio pumbavu🤯😂😂

  • @timyshine4863
    @timyshine4863 2 роки тому

    Siwez kukosa