Tunawaona waturuki wanatumia nyumba moja wanabadikisha tuu qama wale walitumia upande huu hawa wanatumia upande mwingine nyumba iyo iyo moja ,,,inaonyesha jinsi gani ile ni eneo spesho qwa ajili hiyo
Mlipatikanaje??? Ikiwa mliondoka kwa niaba, je? Ni kigezo gani kilitumika mpaka mkapatikana.. Je? Wewe unaeongea kabla ya hapo umewahi kufanya nini kwa wasanii? Halafu hata kuzungumza kwenye conference hujui.... watakao bahatiika kukuelewa. Niseme hongereni sana kwa ubinafsi
Ni kweli Steve ulichosema
Anza na mungu kwanza na sio mh Raisi
Asante baba
Tunawaona waturuki wanatumia nyumba moja wanabadikisha tuu qama wale walitumia upande huu hawa wanatumia upande mwingine nyumba iyo iyo moja ,,,inaonyesha jinsi gani ile ni eneo spesho qwa ajili hiyo
Mlipatikanaje??? Ikiwa mliondoka kwa niaba, je? Ni kigezo gani kilitumika mpaka mkapatikana..
Je? Wewe unaeongea kabla ya hapo umewahi kufanya nini kwa wasanii?
Halafu hata kuzungumza kwenye conference hujui.... watakao bahatiika kukuelewa.
Niseme hongereni sana kwa ubinafsi
😂😂