Wasanii wetu kufanya collabo inawezekana ila shida huwa inakuja pale je, nani atakuwa mstari wa mbele kumfata mwenzie kuomba collabo? Tatzo liko hapo bwana Armando 🙄
Kwaza yeye mwenyewe hana upendo na wasanii hivi nikuulize umesshawai kuona anatoa mapungufu wimbo wa hata uwe wa kucoppy ila ni kutoka wcb?manguf ni kaz ni kwenyekaz Za wasanii ambao sio anaowapenda tu je yupo fea? Huyo mtu ni chawa tu hana lolote anakatisha tamaa wasanii
@@furahachuma9039 alikiba kawasprize sana hawaamini wanachokiona asaivi naona watangazaji wengi wanatamani kwenda crown mana naskia wasafi pale wananyanyaswa sana na familia ya boss hawana uhuru
Bro. Mbona hauja fanya Recap juu ya studio na vipindi za Crown media? Love from Congo
Kwa nini asiemde yeye kwanza kimataifa mbwa huyu kwani yeye hafai kwenda huko kimataifa
Kweli kabisa..jamaa mnafki sana
Mi nishamsona hivi ushawai kuona anatoa mapungufu wimbo hata wa msanii mmoja wa wcb ? Hata aimbe hovyo
Huku kila siku nilikutoa nilikutoa nilikutoa nilikutoa Haaaaaa
Mapungufu yanakuaga kwenye nyimbo ambazo sio za WCB tu hahaha yan hata huna aibu et upendo wakati roho inakuima
Huyu huwa ni chawa kindakindaki wa WCB
umeona eeeh huyu jamaaaa mapungufu Anaona nyimbo nje na wcb tu huyu jamaaa sijui yukoje
Wasanii wetu kufanya collabo inawezekana ila shida huwa inakuja pale je, nani atakuwa mstari wa mbele kumfata mwenzie kuomba collabo? Tatzo liko hapo bwana Armando 🙄
Kulilia kolabo zakimkakati tu ... Kusapoti wasanii waendembele aaaah utaki
Nadhani unaota ndoto ya mchana sana ww hakuna kolabo apo
Wabongo atupendani
Hapo kwenye Alikiba na Diamond daaaahh hatari....
Asante sana mchambuzi wetu umeongea vzr sana kweli wasanii wetu wawe wamoja
Kwaza yeye mwenyewe hana upendo na wasanii hivi nikuulize umesshawai kuona anatoa mapungufu wimbo wa hata uwe wa kucoppy ila ni kutoka wcb?manguf ni kaz ni kwenyekaz Za wasanii ambao sio anaowapenda tu je yupo fea? Huyo mtu ni chawa tu hana lolote anakatisha tamaa wasanii
Nani kakudanganya King na Dainamoo ni jambo la kibiashara?
Acha ujinga fanya recap ya vipindi crownfm mana ww ulisemaga kiba hana uwezo wa kusimamia media....ebu tufanyie recap tuone
Hawezi, ni wivu tu unamsumbua huyu mtangazaji.
@@furahachuma9039 alikiba kawasprize sana hawaamini wanachokiona asaivi naona watangazaji wengi wanatamani kwenda crown mana naskia wasafi pale wananyanyaswa sana na familia ya boss hawana uhuru