ALIYEKUWA MSAIDIZI WA RAYVANNY KAFICHUA KUONDOKA WCB, KUFUTA TATTOO YAKE NA MENGINEYO TUSIYOYAJUA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 242

  • @oneloveplatnumz5514
    @oneloveplatnumz5514 2 роки тому +12

    Daa anae mkubarii chui naomba like

  • @sophiamfikwa7340
    @sophiamfikwa7340 2 роки тому +3

    Sure ..I really like this interview..nice brother...don't give up💪💪💪🤲🤲

  • @msofelighitrider5748
    @msofelighitrider5748 2 роки тому +7

    Kwenye maisha yakawaida kunakusaidiana na kufanya kazi vijana tunapenda kupoteza muda

  • @daktar_kapaku_natural529
    @daktar_kapaku_natural529 2 роки тому +3

    Hongera kwa kujitambua

  • @ayubumwaipopo8203
    @ayubumwaipopo8203 2 роки тому +1

    ,,,dddaaahh..live mjubaa..atkuj atmbue uwep wko bdayeee..daah htree kwelii..

  • @Kokafamil
    @Kokafamil 2 роки тому +2

    Ndio ukome kushobokea wasanii na nyinyi wengine mnaopenda kushoboka kwa wasanii ndio mjifunzege huyo jamaa namjua Robby alikuaga derewa wangu pale magomeni mwembechai kaniendesha sana 2014-2015
    Ungeendelea na kazi yako Robby ungekua mbali sana aiseee Pole lkn umepata umaarufu utumie vzr ukuletee mafanikio

    • @leonardagnatio258
      @leonardagnatio258 2 роки тому

      Ila sio vizuri na ww kusema akome na kusema alikuwa dereva wako sasa unamuambia nani km c kupandikiza chuki kila mtu ana safari yake ya maisha (weka hakiba ya maneno)🙏

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 2 роки тому +14

    Ukitaka kuonekana mbaya dai chako ndy dunia ilivyo Roby leo anaonekana mbaya hatujui yaliyopo huko nyuma lkn interview zishaanza kuonekana anamchafua Rayvanny
    Allahu Yaalam🙏

  • @murtan5027
    @murtan5027 2 роки тому +1

    Utu haulazimwishi bro fanya kazi zako

  • @fakiikibakola1300
    @fakiikibakola1300 2 роки тому +2

    Bg chawa in dar more than bb lv. Mwjk

  • @shaqdizo7678
    @shaqdizo7678 2 роки тому +12

    😂😂😂eti mwanaume unasema unachezewa😂😂jamaa vp huyu choko nini

  • @cypriankatindo9979
    @cypriankatindo9979 2 роки тому +21

    Diamond ana akil sana kuna kitu kinaendelea hapa tutajua tu lkn Rayvan ni mnyakyusa mtoto wa mbembela nzovwe mbeya town kuanzia kabila mpaka alipotokea ni jeur mno huwez mcontrol mnyakyusa kama hauna akil timamu kibur jeur umalaya umelala hapo🤣

  • @chibudenga8977
    @chibudenga8977 2 роки тому +3

    M nadhani bro haya mambo ungekaa kmya ilikuwa Hamna namna yakuongea kwenye media haya maisha kiume tunakaa nayo moyoni Kuna Leo na kesho bro ila kila la kheri katika haso zako usichoke kupambana tunakutana na mambo mengi katika maisha yetu so relax bro

  • @shimadosun
    @shimadosun 2 роки тому

    Much love from to Mr #Shimado

  • @waragaronline578
    @waragaronline578 2 роки тому +1

    H baba ni wengi sana

  • @startwithginegine1891
    @startwithginegine1891 2 роки тому +3

    Mi namfeel uyu mshikaji licha yakua namkubali rayvanny but kufanyishwa Kazi Bila pesa Kwa Dunia ya Sasa apana

  • @suleimanrashid3918
    @suleimanrashid3918 2 роки тому +11

    Huyu si anatafutwa na afande kira ivi hajui km yupo studio saiv.
    Ila hawa jamaa itakua wameibiana mabibi kwa bifu hili maana km ilikua ni urafiki basi jamaa angejikata kimya tu.

  • @robertmisako9443
    @robertmisako9443 2 роки тому +6

    Hii naona ni media tour jamaa ameamua afanye,lkn sidhani kama atafaidika nayo

  • @jamilahathumani4222
    @jamilahathumani4222 2 роки тому +5

    Minamuelewa Sana Kaka,,Yani mtu ukijitoa kwake asilimia Mia,alafu akuthamin lazima uumie,,,pole Kaka mim nakuelewa kipenz,,kwer mtu akikutumia bure lazima ujisikie vibaya

  • @hastomatumla5017
    @hastomatumla5017 2 роки тому

    Hii imewahi kunitokea nilikua nafanya kazi tunazunguka mikoa yote Yan mpaka songea uko maporini uko zaid ya miezi sita unapewa ela ya kula na gesti 15 Kwa siku alaf siku narud dar boss ananipa elfu 20 niliumia Sana nafika home nimeshindwa ata kupeleka zawad nyumban alaf baada ya siku tatu napigiwa Tena sim et nisafiri Tena dah acha tu hii situation ishawah nkuta pole Sana brother

  • @yasyntapaul9242
    @yasyntapaul9242 2 роки тому +2

    Wew nae unaongea Sana jamani dah Kaka angu pumzika nenda ukaripoti mahakamani uwez ukasema wew ndio umesota na Ray wakati Ray anamanagement bwana 😂😂😂

  • @salimhassan3369
    @salimhassan3369 2 роки тому +12

    What goes around comes around... 💪

  • @winnesakara6957
    @winnesakara6957 2 роки тому +2

    Duuuuuuu roby noma

  • @tonygee5680
    @tonygee5680 2 роки тому +13

    Jamaa anazunguka media zote kuchafua Rayvanny badili ya kujitafutia yake mwenyewe

    • @gabylove4602
      @gabylove4602 2 роки тому

      Hamucafui anamufanyia promo😂😂😂😂

    • @Fks856
      @Fks856 2 роки тому +1

      Acha uongo midia gani nyingine kafanya

    • @tonygee5680
      @tonygee5680 2 роки тому

      @@Fks856 We bwege kweli hii ni ya Tatu sasa

  • @charlsesospeter9449
    @charlsesospeter9449 2 роки тому +1

    Kweli kaka umefanya chaa maana achana nae huyo mjanja mjanja

  • @dremmytz888
    @dremmytz888 2 роки тому +3

    Nyi si mnapenda kuwa masupastaa endeleeni kuwatumikia ao mshahara wenu umaarufu

  • @ticktoktube
    @ticktoktube 2 роки тому +2

    Kaka unge ji brand kupitia yeye ungepata makubwa zaida ya mshahara...

  • @teamleader429
    @teamleader429 2 роки тому +2

    ni noma mzee

  • @uwezogroupcomedy1135
    @uwezogroupcomedy1135 2 роки тому +7

    Mtangazaji kaa shoga 😄🙊 analegeza macho tu 😀

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr 2 роки тому +4

    Huyu ovyooo,,,kwanza hiyo kauli ya kusema sitaki kupatanishwa, unaonekana una roho mbaya na sio ubinaadam

  • @yasyntapaul9242
    @yasyntapaul9242 2 роки тому +1

    Daimond unaona eeh angalia Sana hao wafanya kazi wako 😂😂😂

  • @hamidusibye5241
    @hamidusibye5241 2 роки тому +6

    het anajiproud hayupo kwenye mahusiano na hajawai kupendwa,TAHIRA SANA HUYU,JITAHIDI USIWE MWINGI WA KUINGIA KWENYE 18 ZA KUHOJIWA HOJIWA KIJANA AU BRO,,,,,ACHA KUJIELEZEA KUPITA KIASI

  • @celinekenedy870
    @celinekenedy870 2 роки тому +5

    Sasa hizo media unazoenda kutia huruma mwanaume mzima kulia lia tuu zitakusaidia nn? Ovyo tu kujizalilisha kuongea sana ndo maana wanawake wanakukimbia. Fanya kaz zako mwenyewe na Mungu atabariki tuu kaka.

  • @bongotrendingtv9525
    @bongotrendingtv9525 2 роки тому +8

    Hapo ndo mnafeli mnafanyia interview machoko Kama Hawa tunajua mnataka maudhui Ila ukitaka taarifa ya rayvan si mufuate mwenyewe au hata simu hamna nyie mbona mnafeli Sana mtapitw Hadi na sns

  • @hassan0256
    @hassan0256 2 роки тому +1

    Hivi kwa Mwanaume Aliekamilika si huwa Kuna ile Aibu ya kiuanaume ya kuona noma kumshambulia Mwanaume mwenzio hadharani au kwa wengine huwa haipo ... Ok sawa basi

  • @nasrakakiva7308
    @nasrakakiva7308 2 роки тому +1

    Uo ni ushamba katika maisha hauitajiki maana hujui nani ata kusaidia

  • @yohanasamwel1539
    @yohanasamwel1539 2 роки тому

    Jamaa analia aixee

  • @tildahongkong6086
    @tildahongkong6086 2 роки тому

    Mitatuu yenyewe michafuuu mibaya local sanaa hayana mpangilio inaonekana michafuu michafuu

  • @8pistons194
    @8pistons194 2 роки тому +4

    Huyu ashapotea Kama qboy wanatoka kwa mbwembwe mwisho wanaangukia pua

    • @janetahmed6948
      @janetahmed6948 2 роки тому

      Umeona mdomo tu mbona hakukua anaongea tu

  • @musason1680
    @musason1680 2 роки тому

    Katika fala n huyu unakuja mara sina tatizo na mwenye next level Nina tatizo na rayvanny akiulizwa mwenye nayo n nan huyo rayvanny mnaemjua ukiwa huna Nia ya kusema kt Bora uache sa mamb ya kike haya n ya kufanywa na wanawake na anajiharbia kwa nafasi nyingne sa unamsema mtu na unasema hutak kupatanishwa nae sa unaendelea kusema Ili iweje

  • @hassankhb8815
    @hassankhb8815 2 роки тому +1

    Mwambie nipo mimi😢

  • @jimmymkongwe3420
    @jimmymkongwe3420 2 роки тому +3

    Kazi kweli kweli

  • @khadhiriramadhan5984
    @khadhiriramadhan5984 2 роки тому +2

    Sasa nyinyi mirad ayo mkitaka habari za wasanii toka WCB nendeni wasafi mtaelewa kilakitu acheni uchoko pambaneni nahari zenu 😎😎😎

    • @petermbwana2454
      @petermbwana2454 2 роки тому

      Mwanahabar anataka habar ya uvungun sasa huwez zipata kwa msanii

  • @man90silayo32
    @man90silayo32 2 роки тому

    Roby usifiche zambi itakuja kukutafuna.hakuna Chaga boy fala.go on dam yangu

  • @sistersade9039
    @sistersade9039 2 роки тому

    Muandishi hujapata uzushi 😂😂kijana yuko sharp na smart. Unaonesha unataka kumgombanisha na wcb😁😁

  • @bernardmongi5642
    @bernardmongi5642 2 роки тому +5

    Ni Vizuri kutunza Ulimi😔

  • @eliasparf4m
    @eliasparf4m 2 роки тому +1

    Pôle Kaka.🇨🇩🇨🇩

  • @northerntanzaniatv4033
    @northerntanzaniatv4033 2 роки тому +3

    Wasanii njaa sana

  • @salmasmith123
    @salmasmith123 2 роки тому +1

    Kumbe dereva wa bajaji ndio maana una mameno ya kishamba sasa ulilazimishwa ata uje uongee shobo? Unajizalilisha tu Bure sungeongea Toka mwanzo?😂😂 Mmechujwa walio kua hawana kitengo lazima waondolewe sasa una mind Nini😂😂😂😂😂

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 2 роки тому

    Duh
    Pole sana

  • @yusufm1
    @yusufm1 2 роки тому +11

    Katika Interview Zishanipotezea Muda ni Hii 🤣🤣🤣

    • @binaljabirmshihirzanzibar8369
      @binaljabirmshihirzanzibar8369 2 роки тому

      🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂 kwel kabsa

    • @bahatiathuman4589
      @bahatiathuman4589 2 роки тому +1

      Pole sana kaka ww ni mvumilivu umeongea kwa hisia sana

    • @yusufm1
      @yusufm1 2 роки тому

      Yani Sijaona Content Kwenye Hii Interview Bora Angehojiwa Chikumbalaga Tuhh

    • @narrissajackson3869
      @narrissajackson3869 2 роки тому +1

      @@yusufm1 wanafiki. Hawa

    • @narrissajackson3869
      @narrissajackson3869 2 роки тому +1

      @@yusufm1 Wanoko tu hawa, washaanza kupoteana unafiki unawaponza, wanawaogopa sana WCB wanataka story zao but huwezi waona wakiwahoji direct

  • @ramadhanikilumile1363
    @ramadhanikilumile1363 2 роки тому +14

    Shida ya sanaa yetu Ina uongo mwingi, huyo Roby aliingia kwa Rayvanny kwa picha kubwa sana, shida vijana wana amini Diamond na Rayvanny ni matajiri sana. Mali nyingi ni washika dau. Matajiri ni hao hao Joseph Kusaga na wengine wengi

    • @missmwayway4704
      @missmwayway4704 2 роки тому +5

      Alafu kila siku Mwijaku huwa analizungumza hili watu wanaishia kumtukana na kumuona anachuki na Mwambino

    • @northerntanzaniatv4033
      @northerntanzaniatv4033 2 роки тому +3

      Kweli broo huo ndio ukwel

    • @50kb35
      @50kb35 2 роки тому +1

      haters wa mond bhn hua mnahangaika sana jamaa kawatesa sana kwa hii miaka kumi kmmke😅 na bado ndo kwanza anaanza

    • @unclepwechnov1381
      @unclepwechnov1381 2 роки тому +1

      @@50kb35
      🤣🤣🤣🤣🤣🤣
      Umewabaini haters, dawa inawaingia taratibu kwani Rayvanny na Diamond wanazidi kutusua internationally.
      Always looking for loopholes to criticize.

    • @50kb35
      @50kb35 2 роки тому

      @@unclepwechnov1381 yani alaf walivyo hawanaga akili sasa hua wanapelekwa kama upepo leo wapo kwa huyu kesho wapo kwa huyu wanahis wanamshusha mshikaj kumbe ndo wanazd kumuongezea baraka

  • @rodgermusa6845
    @rodgermusa6845 2 роки тому +5

    Usha sema hauna mahusiano asa hela ya demu wako yupi tena

  • @lucylucy3678
    @lucylucy3678 2 роки тому +1

    Kwahy unamanisha ulikuwa chawa tu ,alafu unatuangusha madume kusema umechezewa san kwel unasema unachezew mwanaume 🤣🤣🤣

  • @mrpvx6221
    @mrpvx6221 2 роки тому +1

    Kweli bro

  • @narrissajackson3869
    @narrissajackson3869 2 роки тому +6

    Millard mkihitaji taarifa za WCB mkawahoji wao acheni indirect interview, naona mna kasoro. Lakini mmeface failure kubwa sana vs WCB. Mnaulizia issue za NLM, wakati mnaweza mkamuuliza direct, naona mnaogopa kuwahoji mnashida sana hakika. Media inataka kuwa na mambo ya mchangani sana.

    • @africanbeauty6556
      @africanbeauty6556 2 роки тому +2

      Kweli kabisa hawaoni hata aibu.

    • @yumnasuleiman
      @yumnasuleiman 2 роки тому +1

      @@africanbeauty6556 na hlf hao millard ayoo wao wakion mtu wamegombana na WCB au NLM,bas ndo wanaenda kufany interview na huyo mtu alotoka kulee ,wanasubir mpk wagombane hawaend kuhoj kabla ya kugomban au kutoka voo ata sijuw wapojeee😂😂😂

    • @africanbeauty6556
      @africanbeauty6556 2 роки тому

      @@yumnasuleiman Umeona eheee kweli kabisa tabia chafu sana . Sijui unakumbuka Zaribosslady alivyokuwa hawamawasiliano na mzazi mwenzake Diamond platnumz huyu kijana alienda South Afrika na kufanya interview na Zaribosslady . Wanapenda sana kufuatilia ugomvi wa watu .

    • @SwahiliFilmTz
      @SwahiliFilmTz 2 роки тому

      JINSI YA KUTUMA MAOMBI YA KAZI ZA SENSA 2022 👇👇
      .
      ua-cam.com/video/OkY_Stm70Hw/v-deo.html

    • @kemmypius2035
      @kemmypius2035 2 роки тому

      Hii media ndio kazi yake kufatilia maisha ya watu na hii ndio inakuza wasanii ...wasanii wanapenda kuongelewa ....ss unadhani mziki tu utatosha kumfanya msanii a trend ....so lazma ugomvi , wachochezi na media viwepo kama viungo

  • @azimmussa7622
    @azimmussa7622 2 роки тому

    Duh ray choko tu

  • @SwahiliFilmTz
    @SwahiliFilmTz 2 роки тому +2

    JINSI YA KUTUMA MAOMBI YA KAZI ZA SENSA 2022 👇👇
    .
    ua-cam.com/video/OkY_Stm70Hw/v-deo.html

  • @Vampiretrust.
    @Vampiretrust. 2 роки тому +4

    Hata kama una mapenzi kaka hayo matattoo hapana...

    • @unclepwechnov1381
      @unclepwechnov1381 2 роки тому +1

      Huyu jamaa nahisi ni choko, unawezaje kuchora tattoo ya mwanaume mwenzio🤔🤔

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 2 роки тому

      Yaani kwanza ukimgusa kama jini vile akuuuu 🤕! Wacha nibaki na mangii wng

  • @janetahmed6948
    @janetahmed6948 2 роки тому +3

    Nacheka kama mazuli sasa weye wcb mbona hukua unasema haya yote yani watu nilizzni ni wanawake tuna mdomo n'a nyinyi kumbe

  • @muyatz8556
    @muyatz8556 2 роки тому

    True story🧨

  • @philipojacob8741
    @philipojacob8741 2 роки тому +1

    Huyu Chawa tu🤣🤣🤣🤣

  • @مونيكمونيك-ع1غ
    @مونيكمونيك-ع1غ 2 роки тому +1

    Mmmmh mnafiki huyo

  • @ernestjohn3489
    @ernestjohn3489 2 роки тому +4

    Surely let's watchout social media kills....
    I can't wait seeing a man with brain claiming abt other man this is totally stupid bro watch out reality do not belong to public na huwezi nambia ulikuwa na mwana .....😅😅😅 bro ulishindwa jitambua since the scrach acha lawama zisizo na msingi life is always unfair fanya kazi acha maneno bro... u a man fanya kazi acha maneno bro wana sio maisha wana wanamaisha yaona weweu have tofight on ur own

  • @samdandennis4508
    @samdandennis4508 2 роки тому +8

    🥰🥰

  • @jareengeorge5478
    @jareengeorge5478 2 роки тому

    Video shemella.nakuelewa

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 2 роки тому

    Njoon uku kijijini tulimage tu mpunga Mbeya Mbaral, na alijua ata akiwa anakupa hela huwezi kusaidia ndugu zako mbona unaonekana ni mtu wa mademu sana Braza!

  • @christiannyamamba9089
    @christiannyamamba9089 2 роки тому

    Wanaume tunazidi kubaki wachache ila walio na jinsia ya kiume ni wengi mark my words

  • @denicegabriel6616
    @denicegabriel6616 2 роки тому +10

    Anafanya media tour kumdiss mwanaume mwenzie aliyrmzidi kipato🤣🤣🤣🤣 kijana fanya kazii acha kutegemea mwanadamu mwenzio, fanya kazii kwa mkataba💔 limit shobo

    • @nellymatalanga5033
      @nellymatalanga5033 2 роки тому

      Huyu mnafki tu ,kila mtu ananza chini and if you don't like sticking around when a company is still growing unatoka tu polepole sio kelele .

    • @MtuSafi
      @MtuSafi 2 роки тому +1

      @@nellymatalanga5033 ana miaka mingap anafanya kazi na ray?..unataka awe kimya wakat maisha yanataka pesa?..Ukiweka ushabiki kwa ray utaona anatafuta kiki lakini huu ni ukweli..Tatzo wengi mnaongepewa sana kuwa mond na ray wanapesa sana kumbe wawekezaji wapo lakin mkiambiwa mnatukana.Yani mtu akiwasifu hawa viumbe utaona wanakwambia daah jamaa ana IQ sana. Jamaa alipaswa alipwe kulingana na alichokuwa anafanya lkin kama holaa yeye ataishi vip?.. Ujinga ni hivi:Unamwaga maandazi ya mtu kwa bahat mbaya halafu unategemea samahani halafu imsaidie nini wakat anatakiwa kununua unga mwingine?..Jibu lake mpe pesa anunue mahitaji ndo samahani ya mwisho.

    • @junior-zj6bs
      @junior-zj6bs 2 роки тому

      @@MtuSafi yaan next level imeanza rasmi last year...afu MTU anadai mkataba akt at kampuni ilkuwa bado Changa... yaan wakt ule macvoice ndio anatoka... rayvanny akjua huyu n snitch akampunguza ...afu plus alkuwa anajitolea km alivyosem...

    • @unclepwechnov1381
      @unclepwechnov1381 2 роки тому +1

      That's what is surprising me, I think alianza kama yeye lakini sasa hivi yuko sponsored na rivals wa Rayvanny kufanikisha hii 'media tour' yake.
      Jamaa anaji-contradict mwenyewe, anadai Rayvanny is not a sole owner wa NLM lakini issue ya mkataba anamlalamikia mtu huyohuyo anayedai si mmiliki.
      Vijana tegemezi hawa sijui wamelelewa malezi gani.

    • @MtuSafi
      @MtuSafi 2 роки тому +2

      @@unclepwechnov1381 kwanza roby hajajulikana sababu ya ray bali movie ya maneno ya kuambiwa ndo imemtambulisha...Halafu naona wengi wanamtetea ray kwakuwa wanamshabikia hata mm nashabikia mziki wake ila kwenye ukweli nitabaki huko..Huyu hakuwa muajiriwa wa NLM bali Ray alikuwa anamtumia katika mambo ya kimuziki ukiongelea NLM hyo ni company na issue NLM rasmi juzi tu ndo imeanza lakin before alianza kwa mond mwishowe akaona sababu wote ni Wasafi hakuna ila hata kama alikuwa chawa basi alipwe kwa kaz ya uchawa Inshort alipwe anachostahili sio mjinga huyu alalamike bila sababu zamsingi.

  • @hanifamasudi9732
    @hanifamasudi9732 2 роки тому +1

    Kukupenda nahizi tatu kutoboa sikio daah Allah atuifazi

  • @abuukamanda.s.mkenga6687
    @abuukamanda.s.mkenga6687 2 роки тому +1

    Mtu mwenyewe ni comedian kumbe waiii aend zakee

  • @djtwinstar254
    @djtwinstar254 2 роки тому +3

    Fikeni kwangu pia washikaji 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @bokabecca5473
    @bokabecca5473 2 роки тому +1

    #vita

  • @fedrickavela7527
    @fedrickavela7527 2 роки тому +1

    Daah

  • @junior-zj6bs
    @junior-zj6bs 2 роки тому +8

    Ata ungkuw wewe umeanzisha kampuni yako ....haina ata miezi afu MTU anadai mkataba 🤣...uyo s snitch🤣

    • @piumagoha
      @piumagoha 2 роки тому +1

      Kwani ukifungua ofic tayari ina budget yake kwa hy toka siku ya kwanza unajua ofc inaitaji watu wangapi na mishahara yao tayari ipo.

    • @junior-zj6bs
      @junior-zj6bs 2 роки тому +3

      @@piumagoha mzk upo tofaut inhtj Wana unaowamn ...km mtu humuamn bdae atakugeuka.... rayvanny Ana akili🤣..ndio maan at kin zuchu, Lava Lava walikaaa miak mi4 WCB hawajkutn n diamond..uvumilv ndio Kil kitu..

    • @SwahiliFilmTz
      @SwahiliFilmTz 2 роки тому

      JINSI YA KUTUMA MAOMBI YA KAZI ZA SENSA 2022 👇👇
      .
      ua-cam.com/video/OkY_Stm70Hw/v-deo.html

  • @irenechris5418
    @irenechris5418 2 роки тому

    Love robby

  • @francissamson8028
    @francissamson8028 2 роки тому +8

    Rayvan ana management na iweje yy aseme ndiye anapambana kusimamia kazi za rayvan? Aseme yy alikuwa chawa wa wcb nitamuelewa.

    • @petermbwana2454
      @petermbwana2454 2 роки тому

      Unakataa ukweli kwa ukweli unaohis eeeh

    • @francissamson8028
      @francissamson8028 2 роки тому

      @@petermbwana2454 ww unafahamu vannyboy yupo chini ya wcb na babu tale ndiye msimamizi Mkuu wa vannyboy, iweje aseme alikuwa akitumwa na kupewa posho ila alitaka awe mwajiriwa lkn ni maamuzi ya msanii na management. Issa azam anachofanya hakina tofauti na yy lkn hajaajiriwa wcb lkn anapata posho kulingana na kazi azifanyazo.

  • @fabbymusic1
    @fabbymusic1 2 роки тому

    Nimependa anavyo ongea Rayvanny mludishe njoo

  • @agreyyohana5368
    @agreyyohana5368 2 роки тому

    Kusudio la hii interview nnn haswa nisaidieni jamani

  • @jumaamohamed2815
    @jumaamohamed2815 2 роки тому +3

    Sema wasanii wa Kibongo na Washkaji zao wanafake sana Life Sasa Yale Makoti yote ya suit mnayovaaga kumbe hamna kitu , Hata siku Chopa nae Atakuja na Malalamiko kama haya, Someni, amkeni pambaneni vijana , Sasa umri huo huna hata family mzee focus yako nini kimaisha"

    • @mgallason...5686
      @mgallason...5686 2 роки тому +1

      Ndio Hapo sasa, Tatizo la Wabongo wanapwnda sana Sifa za kijinga, mavazi, viwanja vya starehe kwao ndio mchongo. Mbupu kabisa.

  • @julianusjameskimodoi4186
    @julianusjameskimodoi4186 2 роки тому +1

    Sasa uku alipo baki mbona alipwi

  • @bovickpascal6554
    @bovickpascal6554 2 роки тому

    Watu wasenge banaa If I will need tattoo Nita mchora my baba and mam only is the people Hawa wezi nizingua

  • @othmanhamad775
    @othmanhamad775 2 роки тому

    Yeah

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 2 роки тому +1

    Wasanii wanachukulia sana poa wafanyikazi wao

  • @KubwaStudios
    @KubwaStudios 2 роки тому +1

    Huyu jamaa hajajijua anataka nini

  • @jennifermchungaredi2641
    @jennifermchungaredi2641 2 роки тому

    Vido napenda icho kicheko chako tu wallah😆😆😆😆

  • @MikiGermany210
    @MikiGermany210 2 роки тому +1

    Huyu sio mzima, anavuta madawa

  • @masolavachui1728
    @masolavachui1728 2 роки тому +2

    Kama umetoka kunahaja gani ya kumchafua ray ???fanya yako

  • @charlesmponzi1597
    @charlesmponzi1597 2 роки тому

    Jamaa kaongea ukweli

  • @pablomshatiii5097
    @pablomshatiii5097 2 роки тому +1

    Fyuuuu yaani ni pumba tu ayo tv mbachuki na wcb

  • @salmasmith123
    @salmasmith123 2 роки тому

    Simu ya laki5😂😂😂

  • @mrthreesix280
    @mrthreesix280 2 роки тому

    Sa ulitaka ulipwe Nini?ya Nini?ulifanya kitu gani?Kama ulifinya for love malipo ni ya Nini?si ulifinya for love?

  • @imaculathamhagama7424
    @imaculathamhagama7424 2 роки тому

    Mwanaume kuwa single ni kashfa

  • @b-brightakapella7734
    @b-brightakapella7734 2 роки тому

    True kaka

  • @edithlameck8170
    @edithlameck8170 2 роки тому

    Acha kujichubua bro

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 2 роки тому +3

    Mwanaume wa dar huyu dogo mlaini sna

    • @laurentraphael5470
      @laurentraphael5470 2 роки тому +2

      😎😎😎 Laini, Laini yani nyam nyam. Mungu tunusuru na balaa.

  • @aishablessings2961
    @aishablessings2961 2 роки тому

    Bona wanabonga mwapendeza kuchora tatoo juu ya kitu bila kujua ,mathala badaaye

  • @kokolebrain7274
    @kokolebrain7274 2 роки тому +4

    👀

  • @BenLeeBl
    @BenLeeBl 2 роки тому

    wanajuag wakiongea ivo ndo watafanikiwaaaa kumbe ndo wanajiharibia

  • @sanyajuutv2679
    @sanyajuutv2679 2 роки тому +3

    Uyu jamaa kuna kitu kafanyiwa kikubwa sana ndio mahna anaongeya kwa uchungu sana

  • @James-e7h3h
    @James-e7h3h 2 роки тому +8

    We huna lolote unasema huwezi fanya kazi na Jeshi bwege wew