BILA WOGA MUHA AMTAJA POLISI ANAYEWASUMBUA MBELE YA WAZIRI MKUU "ANAITWA MPEMMBA"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 жов 2024
  • Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
    We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
    #entertainment #news #music #funny

КОМЕНТАРІ • 28

  • @gtgmediaproduction764
    @gtgmediaproduction764 Рік тому +2

    Nilikuwa tu mha lazima akichafue tu good job

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 Рік тому +4

    Mungu Yuko upande wetu,Waziri Mkuu ni Tunda la Inchi yetu Mungu ambaliki sana,

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe9976 Рік тому +3

    Tanzania Toka umeondoka baba magu wengne nchi imewashinda msimpake mafuta mama haya yote hayakuepo kipindi Cha uhai wake

  • @ndolepeter2770
    @ndolepeter2770 2 місяці тому

    mmh jaman Tanzania tunaishi kama wakimbiz,sababu tu viongozi wetu wanasbili kupelekewa taarifa ofisin cc wananch wanyonge tunaumia wengine wamefilisika sababu ya viongozi wetu

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 4 дні тому

    Hakuna watu dhalimu kama tre niwatu laana kubwa yarabii mola watu hawa wape maradhi yalokosa dawa duniani

  • @martinsokoi397
    @martinsokoi397 Рік тому

    Heshima kwa watumishi wa uma wizara zote imeishiya kama magufuli alipoishia mbinguni wana kiburi ,magari ya stm stj su yamegeuka kuwa magari ya kuendea toroka uje ,shivas, hawatoi huduma bila kitu kidogo,Ili wapate Hela ya kwenda toroka uje,

  • @mcbartonkesh3664
    @mcbartonkesh3664 Рік тому +2

    Kweli huyu Muha

  • @AbdalahMtambuka-rh1dp
    @AbdalahMtambuka-rh1dp Рік тому +1

    kazi yaselikali asilimia 70 .wizimtupu 1 ospitali lushua.2 maakamani lushua.3 ..trufk.lushua. selikali zakijiji lushua.maliasili ndousiseme.wizi mtupu.tekibaya zaidi maliasili.awana mashamba yakupanda miti..kiongoz.waselikali kuupata ufalume wambingu.eli yangamia .kupita katka .tundu yasindano.

  • @PatricePaskalia-iw9zu
    @PatricePaskalia-iw9zu Рік тому +1

    Inafika wakati hata police wenyewe wanataka rushwa kwa nguvu wakidai hawajala Toka Jana sijui serekali inajadili vipi swala hili kwamaana kama uchimi wa nchi hukuzwa na biashara afu police wanataka wale wao je Kuna kukua kiuchumi?

  • @rahimukayela297
    @rahimukayela297 Рік тому +3

    Brother K

  • @gadielshedaffa3333
    @gadielshedaffa3333 Рік тому +1

    Sijui watu wanenda kusomea nini na kazi wanazofanya! Nchi hii inamhitaji Raisi mkali!!

  • @peterkissiry6432
    @peterkissiry6432 Рік тому +1

    Kiukwel sema ukwel ngoja tuone

  • @safinahanga476
    @safinahanga476 Рік тому +1

    Asante chambu..pambana🙏🙏😂

  • @Manyara-Jr
    @Manyara-Jr Рік тому +2

    KUNA WATU WAMEPEWA DHAMANA NA WANATUMIA VIBAYA DHAMANA ZAO MAMA ANAONEKA MMBAYA. INAUMIZA SANA. MAMA PITISHA PANGA HUKO TRA

  • @keithapeter7854
    @keithapeter7854 Рік тому +2

    Huko poa sana mzee

  • @jumamayonga8914
    @jumamayonga8914 Рік тому

    Hapo nyuma kulikuwa na utaratibu wa viongozi kwenda kwa wananchi ili kusikiliza kero zao lkn sasa hivi utaratibu huo haupo (mfn mzuri ni huu ambao waziri mkuu umejionea hapo kariakoo. Lkn haya mambo yapo nchi nzima.

  • @andrewlimbe-vo8tg
    @andrewlimbe-vo8tg Рік тому +1

    Mtam miss sana magufuli

  • @timotheomwamahonje-kb2tq
    @timotheomwamahonje-kb2tq Рік тому

    Kunawatu mpaka wanauza magali kisa tialaie

  • @amanimlengwa9202
    @amanimlengwa9202 Рік тому

    Kwani mha anapaswa kuwa muoga, hafai kuwa muwazi?

  • @africandarling6925
    @africandarling6925 Рік тому

    Yani nimecheka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣utazani mazuri Aahhh

  • @rajabmadebo5570
    @rajabmadebo5570 Рік тому

    Mwaga mafuta mzee baba umetisha mbaya mbaya

  • @thomastemu3332
    @thomastemu3332 Рік тому

    Safi sana 😂😂😂😂

  • @adolphriwa3857
    @adolphriwa3857 Рік тому

    Brother k

  • @OscarBosco-up5td
    @OscarBosco-up5td Рік тому

    Mmmmm

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe9976 Рік тому

    A

  • @rajabmadebo5570
    @rajabmadebo5570 Рік тому

    Sureeeeeee

  • @dicksonjailos670
    @dicksonjailos670 Рік тому +1

    Nimekukubali hasa kigoma serikari iende kukagua reli zetu usafirishaji mbovu