JOANNA | SIMULIZI FUPI | ALIKATALIWA TANGU ALIVYOZALIWA
Вставка
- Опубліковано 9 тра 2024
- Jamani huyu mtu anaejiita mume wangu ndio naniii,nilitoka na kurudi ndani kisha nikachukua sm nikapiga haikuwa ilipatikana kama kawaida yake nilivurugwa na kushindwa kuelewa huyu ni nani na anafanya hivi kwann .
Ukweli niliogopa hata kulala nikihofia huenda anaweza kuja na kunifanyia kitu kibaya - Розваги
Usiya wa bi pendo
1. Kumtanguliza MUNGU kwa Kila jambo yeye peke ndo hujuwa kesho ya Mtu
2. Kuwa mkarimu kwa Kila mtu Ila kwa kiasi
3. Kufanya kazi na kukata uvivu na tamaa mbaya
4. Jifunze kusameh msamah huleta Amani
5. Usi endeshwe na Pesa na kubadili utu wako...
6. Kuwa makini na mapenzi maana yanaweza kubadili hatma ya maisha yako kuwa nzuri ao mbayaaa
Shukran Lucas na mtunziiii wa simuliziiiii❤❤❤❤
Mashabiki mm wakwanza mapema sana nione like zenu asante Kaka Lucas kwa simulizi ulikua umetubania sana🎉🎉❤
Namie nimewah san wa5 mashaallah 🥳🥳🥳🥳
😂😂 watu hamlali mnachungulia tu Lucas kama kafanya jambo😁😁❤❤
😂😂😂😂 mim kwanza Niko machungu tokea juzi Sina internet
@@MwanakomboMangwe 🤣🤣🤣 hata mimi nimeona kwakwel lucas katulaza njaa siku 3 zote🥲 sema tu tunampenda atuwez muadhibu ila asirudie🥰🥰
No Caption ❤❤❤ kaka wa mboga saba
❤❤❤❤❤nimpenda. Ikikisa. Chauyu. Bidada. JOANNA. Daaah. Inamafunzo🎉🎉🎉🎉
Naitwa Jackson naishi kibaha vijijini pwani napenda sana kuzisikiliza simulizi zako kwa sababu zinafundisha jinsi ya maisha yalivyo na kumtegemea mungu na simulizi zako zina uhalisia kongole
Lukas lumbasinice job pamojasana brootùnakupenda sana❤❤❤
Thank you bro nilimiss xn simulizi jmn
I'm the first one today❤
Thank Lucas umekuwa wapi tulikumiss sana ❤❤❤
Nice story be blessed ❤❤❤🎉🎉🎉
🎉🎉🎉🎉🎉wow thanks Kaka Lucas❤❤❤❤
Usitukawizi lakini niombi Lumbasi utatuwuwa mana nikimariza Siku mbiri nasikiyaga Niko Niko ceko sauti weacatu🎉🎉🎉🎉🎉💪💪
Ndio naamka😢
Tumekumiss lucas❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Rachel alionesha ushetani wake toka zamani kwa tamaa mbaya,hakuna tabia halisi ya mtu inayoweza kubadilika ghafla,hapo ni tahadhali
Kuamka t jmn kitu hicho had raha❤❤🎉🎉😂😂❤
Waoooooh
Asante sana kaka Lucas Lumbas ❤❤❤❤. Allah akujaalie kila la kheri Inshaallah
Amin
Kaka ukulala
Afazali jamani tulikuwa wapweke sana
Yaan Joana mungu amekulipa Kwa ulichomfanyia, x wako ,, uliahindwaje mpenda mwanaume anakupa Kila kitu anakupenda vizur, unajiendekeza eti moyo haumpend, ukome tu
Ali mfanyia vibaya na malipo n Dunia
@@FatumaRamadan.Mwalim watu wengne bana mtu anakupenda Kila kitu anakupa, huwa unapenda mbona moyo wenyewe unamkubali , tatizo wanajiendekeza tu na fikra Moja mda wote
@@scollamwanisisi2739 😀😀😀
Hatimae umetukumbuka😊
Asante sana broo
Asantee
😂😂😂😂eeehn hamulali watu kumbe
Mashaal asant sana kwasimurinzi
Mi ndio maana sitsk marafik .
Marafk mbwaaa
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 Asante San
Plz na omba seemu ya pili ❤❤
Wakwanza leo ❤❤❤
Mhh mtihan
Mhm, Joana huyo siyo rafiki hilo ni bonu,tamaa mbele mauti nyuma kwani ukifa tajiri kuna faida gani humo kaburini kuna tofauti kama ukiwa tajiri au maskini,upumbavu tu,mjanja ni anayetafakari uhusiano wake na Mungu
Mungu akutunze wewe na mtunzi 🙏
🫶🫶🫶🙏🇨🇩
Mbona mbilinge bayoyo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
🎉🎉❤❤
🎉🎉🎉
❤❤❤
🌹🌹🌹🏃
💯
Ina Uma sana Pole daa
❤❤❤❤
❤❤❤❤❤
Waganga wa kwenye simulizi niwakweli sana😂😂😂😂😂
🥰🥰🥰
Unaroga mtu hadi kufakisa humpendi jamani binadamu kazi hadi mtoto amekua amekujakutafuta baba lkn kwakua walimlisha madawa hata hakutambui..huku nako marafiki wengine loo unauzaa mwezako kisa pesa jaman majanga tele ww nawe pia ulitegamtu mwenyewee hukuhumpendii sasa kama hupendi mtu kwann uishii naye kama sio tamaaa ndonaww ukapigwaa tukio na huyo fatuma nasijui kama nayy alimlishamidawa huyo jamaa mana alikupigaa hadi mimba kutoka lkn hakujali.
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hakika kumtegemea MWOKOZI ni jambo la heri mnoo na kunafaida ingawa kuna mitihani ila amani yake haipimiki furaha ndio kama yote
🎉🎉🎉🎉
Umekua wapi kala Lucas mbona kututia hofu hivo
HahHH Yan nilikumaind
😂😂😂😂
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
🧎🏻♀️🙏🥲🥲🫣
❤❤❤
❤❤❤❤
❤❤❤❤❤
❤❤❤
❤❤❤
❤❤❤