Happiest birthday, man of God. Mimi ni msikilizaji wa mahubiri yako kutoka Kitale,.Kenya. Naomba Mungu akupe neema yake ili undelete kutujenga katika imani.❤
Hbd mtumishi,, umeniheshimisha sana kwa neno lako ,umeyabadili na kutageuza maisha yangu, mungu pekee aikumbuke sadaka hii njema mkono wake usitupungukie wakati wote 🙏
Waumini wenzangu tujitahidi kuyasikiliza mafundisho ya huyu mchungaji.Anatufundisha sana bila mafuta ya upako na bila kutoa mamilion ,bure kabisa.Ubarikiwe ba b a🎉
Happy Birthday Baba Mchungaji,Mungu akuhifadhi na kukulinda kwaajili ya wengi.❤❤❤
Happy birthyday baba angu wa kiroho Mungu akutunze mtumishi 🎉
Heri siku yako yakuzaliwa Baba mchungaji mungu akupe maisha marefu tuendelee kuona uwepo wako na kutulisha Neno.❤🎉❤
Happy birthday Man of the most high God 🙏 blessings and many more years 🙏
Happy birthday to you Pastor 🎉🎉🎉🎉🎉
Happiest birthday,
man of God.
Mimi ni msikilizaji wa mahubiri yako kutoka Kitale,.Kenya.
Naomba Mungu akupe neema yake ili undelete kutujenga katika imani.❤
Happy birthday mtumishi wa MUNGU, barikiwa mnooo
Happy Birthday Baba Mchungaji.
Heri ya sku yako ya kuzaliwa Baba Mchungaji,Mungu wetu aendelee kukutunza na kukuongezea sku nyingi za kuishi
Happy Belated Birthday Pastor Eliona,naomba MUNGU aendelee kukupa NEEMA YA KUFUNDISHA NA KUHUBIRI.Mimi nabarikiwa na kujifunza vingi nikiwa KENYA.
Hbd mtumishi,, umeniheshimisha sana kwa neno lako ,umeyabadili na kutageuza maisha yangu, mungu pekee aikumbuke sadaka hii njema mkono wake usitupungukie wakati wote 🙏
Happy birthday baba mchungaji Mungu akutunze
Asante Mungu kwa maisha ya huyu mchungaji,muinue asikilizwe na dunia na haya maneno yawe msaada kwa ulimwengu
Happy birthday 🎂 baba umekuwa wa msaada kwa maisha yangu kupitia mafundisho yako
Smart brains.
God bless you Pastor
Endelea kunifinyanga nani nitasinama Tena
Happy birthday Baba Mchungaji
Baba ubarikiwe sana,hili somo linanihusu mimi.
Mungu akupe miaka mingi baba ya baraka na aman uzid kutufungua
Asante Kwa neno mtumishi wa Mungu
Happy birthday 🎉🎉
Kheri ya siku ya kuzaliwa mchungaji kimaro.🎉🎉
Happy birthday Baba Dr. Eliona Kimaro. You are a blessing to many.
Happy birthday Pastor, Almighty God bless you.
Waumini wenzangu tujitahidi kuyasikiliza mafundisho ya huyu mchungaji.Anatufundisha sana bila mafuta ya upako na bila kutoa mamilion ,bure kabisa.Ubarikiwe ba b a🎉
Happy Belated birthday Mchungaji wangu,tunakupenda sanaa,Mungu akupe miaka ya heri
Happy birthay baba wa Mataifa mengii. MUNGU Akuongezee neema
Happy brithday baba mchungaji mungu akupe maisha malefu
HBD baba Mchungaji Mungu akutunze uwaone wajukuu na vitukuu
Kheri ya kuzaliwa mchungaji wetu kimaro
Mungu akupe maisha marefu mzee wetu nakukubari sana