TAHARUKI; BABA AMCHINJA MWANAE NA KUTENGANISHA KICHWA NA KIWILI WILI NA KUWEKA KWENYE NDOO TOFAUTI
Вставка
- Опубліковано 17 вер 2024
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
UA-cam : www.youtube.co...
Tiktok. www.tiktok.com...
Jamani, Sheria ya kunyongwa lini? Huyu Mzee anatakuwa kunyongwa. Mungu umlaze kiumbe huyu pema. Amina😭😭😭😭😭😭
Mwili umenisisimka jaman😭😭😭😭😭😭
Dunia tulipofika Ni Bora kuishi na wanyama kuliko mwanadamu mungu tusaidie
SubhanaAllh hidunia sjui tunaelekea wapi hasa arusha kila siku ukatili tu
SubhanaAllah yaa rabbi tupe mwisho mwema 😢😢
Mungu ww uliee muumba huyu mtoto shusha hukumu kali juu ya huuyu muuwaji akamatwe mala saaaba lana iwee juu yako ww ulie mchinja maalaika wa mungu
Jaman huyo ni baba angu mzazi vyote anavoongea sijamuelewa mm pia alinifanyia ukatili. Ikiwezekana police pia imkamate .muulizeni binti yake silivya yuko wapi.
Subhanallah 😢😢 kwani kulivuka biashara ya vichwa nn mbona ndio watu wachinjwa 😢😢😢
Dunia haina huruma, sasa yule kijana alimchinja mtoto bila kosa lolote, sasa hakujuwa kwamba yule mtoto ni malaika wa Mungu na mkombozi wake! Mungu hamtupi mja wake, wengine wanaonea sana watoto bila kujuwa Mtetezi yupo, anaona yote na anasikia yote. Huyo mzee asingefungua ndoo ya maji na kuongea ukweli, ndo ingechanganya watu, ila tunashukuru Mungu kwa kufunua kinywa cha huyo mzee. 🙏🙏🙏Sifa kwa Mungu mkombozi wetu.
Mungu turehemu sjui tunaelekea wp!
Motoni
Mama wa mtoto yuko wapi?
Pole sana mzee kweli dunia ya MIUNGU tuna iharibu sisi wenyewe watanzania
Subhanaallaah
Poleni sana
Duuh mbn kuguma ivi jaman
hii ni unyama au ushirikina
Vyote
SubhanaAllah 😭 dunia imeisha
Doh pole😢😢😢
mungu asaidie watoto wetu tunaowaacha Kwanzaa baba zao
😭😭😭 jaman
Ee mwenyenzi Mungu tusaidie waja wako Dunia imekuwa ya vita watu hawana hofu Yako Tena ! Hatuogopi wanyama tunaogopa wanadamu ! Mungu tusamehe sisi na Dunia nzima ! Pumzika Kwa amani mtoto mzuri 😢😢
Very sad 😭😭
Yan hawa watu wote wanatakiwa kuwajibika kwanini mwenyekiti anahuzunuka lakin babu anaongea kama stor tu yan mpaka tumbo limeniuma kweli
Subhanallah 😢😢😢
Babu pole sana
😭😭😭😭😭
Duhu hii duni jmn
Unamtenda.mtoto jambo gumu ukimuangalia usoni kweli mtoto awezi hata kujitetea inakuwaje.Mungu tusahidie sana😢
Huyu babu anavyoelezea km story haiendani na jinsi alivyo na macheni alovaa na umri wake. Polisi wafanye kazi yao inawezekana sio baba aliyemchinja mwanae
Kalewa
Pamoja na yoote..kuna tatizo zito kwenye family hii wakaseme na wazee
😭😭😭😭😭😭subhannallah dunia simama nishuke poleni wafiwa lakini inauma sanaa jamani anamakosa ganii mtoto huyoo kudhulhmiwa roho yake?
Jaman dah hii dunia mbna imekua na majaribu sana malaika mdogo kama huyo amemkosea nini jaman du binadamu tumekua na roho za ajabu sana 😢😢😢
Hii dunia daaah 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
😢😢😢😢😢😢😢😢
Hii familia sio salama huyu baba anaongea lakini kuna jambo hajui kwenye familia bibi Wa mama na kijana wake kuna walakini ila hakuna siri duniani hapa
wote watakuwa wanajua kitu skilizen maongez yao vizuli na bibi pia haojiwe wanapasiana hao wachaw wakubwa
mtoto mdogo sana jamani.....kwa nini mama alimuacha nyuma
UYO MAMA AKIJITOKEZA TUU KUULIZA MAJIBU YAKE YAWE KUWEKWA RUMANDE AFU ASJIBIWE CHOCHOTE BAADA YA SIKU TATU AACHILIWE AKIULIZA TENA WEKA RUMANDE, LABDA KAMA MAHAKAMA ILIAMURU MTOTO KUISHI NA BABAYE APO MAMA ATAKUWA HANA HATIA
Wazazi hakuna sikuizi
user-lt1bi5nr1x yani kuna WENDAWAZIMU TU😢
Lahaula walakuwat ilabilah 😢😢😢😢😢😢😢
Ukiua uuliwe aya mambo yataisha. Ila kwa sheria za nchi hii polisi wanafanya uchunguzi. Yatatokea mengi
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Akikamatwa auawe na wew
Jamani TANZANIA tuna WAGONJWA wa AKILI ni wengi mnoo sana Waziri wa Afya watu wapimwe AKILI
Bima ya afya
Arusha teena!!!🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Arushaaaaaa ,AISEEE, WAZAZI AMBAO KWENU SI ARUSHAAAAAA, MSIRUHUSU WATOTO WENU WAKAISHI ARUSHAAAAAA, ARUSHAAAAAA NI ZAIDI YA WANYAMA,PYUUUU,TUPA KULE😢
Tunaishi tu hakuna namna
Roho za mashetani
Kichwa kimo kwenye ndoo na amekuta mjuu wake ameuwawa mmefahamu?
Alitaka akauze figooo
Wote wa kamatwe ina onekana wana husika
Au.waye.kwapanga.naye.atakufa.panga
😭😭😭😭😭😭
Mshilikina alitaka utajiri
Sasa mshaaona kichwa kimekatwa, huo mwili mnaenda kuuchunguza nini?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Uenda wazimu na kutaka Mali. Na wanawake mchunguze wanaotaka kuwaoa sio kuolews tu mnawashwawashwa
MBONA UYU BABU HANA UJASIRI ANAPOONGEA? ETI STRES KWA AJILI YA BODA BODA, PORICE FINYA MASKIO NA PUA KWA PRAIZ UYU BABU ATAJIELEZA YOTE
Utamwonea bure, mzee anaeleweka! Ukumbuke mauaji yakitokea ndani ya familia ni kizunguzungu!
@@bcozhenry2698 kWERII KABISAA NDUGU, HATA MI ILIWAI KUTOKEA NYUMBANI, KWER INAUZUNISHA NA NI KIZUNGUMKUT
@@urbanmission3072 🥲pole
@@bcozhenry2698babu anaeleweka sanasana na anauchungu sana
Mbona Arusha kuna matukio ya ajabu Sanaaaa hawana hofu ya Mungu hawasali na hawaswali Mungu ingilia kati matatizo haya ya Mkoa wa Arusha Kilimanjaro
😭😭😭 MUNGU wangu ashikwe piya yeye yani a wacha kwenda kutafuta kazi kumleteya chakula mtt amuuwa
MABODABODA KUPOTEA NA UHAI WA MTOTO WAPI NA WAPI, NA KWANINI BIBI AMESAFIR UKU NYUMA TUKIO LINAONEKANA? MI SITOSHEKI NA MAELEZO YA BABU
bibi kuondoka kwake ni safar za kawaida tu kijana Alisha dhamiria jambo kutekeleza hivo alipopata Nafac ndo alitekeleza
Mama anakosa gani hapo? Usiwe unamuingiza mtu mwingine unamhisi vby kwakosa gan hapo? Wewe ukifanya tukio ahusishwe mzaz wako?
@@lazarosoja6522 YAANI SJUI NINI KIMEMPATA KIJANA
@@iantussa9064SAWA MZAZI HANA KOSA LAKINI MBONA MAELEZO YAKE HAYANYOOK? AU AMEPATA HUZUNI SANA LABDA, BAS MUNGU WA MBINGUNI AMPE NGUVU YA KUSTAHIMILI KWA KIPINDI ICHI, KAMA IVI WENGINE TUNA LAUM LAKIN FAMILY HUSIKA IMEHUZUNISHWA ZAIDI