Kwa nini baadhi ya wakaazi wa Nairobi huita eneo la kibiashara (CBD) nyumbani
Вставка
- Опубліковано 11 вер 2023
- Kwa kawaida wakazi wa jiji la Nairobi huishi katika mitaa iliyo nje ya eneo la kibiashara la jiji hili. Hata hivyo, kuna wale wanaoliita jiji la Nairobi nyumbani. Wengine wanaposongamana kuabiri magari ya kutoka nje ya jiji wakishafunga kazi, wao hutembea tu kuelekea nyumbani kwao.
- Розваги
This news Haina maana coz haieleki what was it for?
Off topic kabisa
DO they care about high levels of high air pollution
Sasa hii news iko je
😂😂😂😂ATI zero grazing
🤣🤣🤣
Very lazy reporting.
chai surely🤣🤣🤣🤣🤣
Ilikuwa meaning of cbd ama garama