Karibuni tena wapenzi kwenye video nyingine. Ninafuraha kuwambia kwamba kuna vitu ambavyo nauza kwa bei ya kawaida sana mafuta, sabuni aloe Vera gel, sabuni ya kunawa uso ( facial cleanser) foundation Ila vitu ni kidogo kwahiyo wai mapema😘 Njoo instagram ndo nimepost kila kitu kwa jina Instagram: kutibu__chunusi Kama hauna instagram niambie nitakutumi picha WhatsApp Nitafurahi sana kuonana na nyie pia 😘
Karibuni tena wapenzi kwenye video nyingine.
Ninafuraha kuwambia kwamba kuna vitu ambavyo nauza kwa bei ya kawaida sana
mafuta, sabuni aloe Vera gel, sabuni ya kunawa uso ( facial cleanser) foundation
Ila vitu ni kidogo kwahiyo wai mapema😘
Njoo instagram ndo nimepost kila kitu kwa jina
Instagram: kutibu__chunusi
Kama hauna instagram niambie nitakutumi picha WhatsApp
Nitafurahi sana kuonana na nyie pia 😘
Mbona nineishac hilo jina my hakuna kutibu chunusi
mi trip moja tu nilipata safari na my brother and dad ilikua more fun kuliko kusafiri alone
Enjoy your vacation and ukiwa TZ salimia wakenya wenzangu
Iyo cleancer ya Cetaphil kwa Tanzania inapatikana wapi
Uwiiii umenitamanisha kwenda dar aise nakutakia safari njema mpenzi
ivi covid test ni bora kupima one day before the flight? au inategemea na mda wa results kurudishiwa ?
Inapendeza ukifanya pcr ndani ya masaa 24 kabla ya flight kwa sababu huwa test inakuwa valid for 72 hours
Na mm soon nakuja dar
Mimi jinsi wanapima Corona kwakweli nitasubiri tu kusafiri uwiiii naweza ruka
😂
Umepata chanjo kabla ya kuja dar?
Hapana bado
Naitaji dear uso wangu Wa mafuta
Okay njoo instagram jina kutibu__chunusi
Bariki ntapata lotion ya kunitoa Darksport
Ndiyo dear njoo instagram: kutibu__chunusi
Nilikumiss Sanaa nibamuda sijakuona nimefurai
😘
😉👍
Da bariki nakupenda bure
💕
Mbona sijasikia km umekuja? Vipi usharudi au bado?
Nipo bado
@@barikikaroli6088 dar unapatikanika wapi
Jaman ntakumic
Mashallah❤️
Sweden to Dar unatumia muda gan dear
Waooo welcome dear
Asante dear
We dada nakupenda bureeeee👌👌
💕💕
Bariki umeshafika dar? Nami niko dar
Ndiyo nipo dar
@@barikikaroli6088 upo sehem gani??
Safe flight
Video fupi jamani...
Nilikuwa nasahau ku vlog 😂 nalala
Namimi nataka ngozi yangu ni yamafuta
Njoo kwa instagram yangu ya kutibu__chunusi
Tunapataje Sasa Kama mim mwanza
Kama una mtu yupo dar akununulie
Tunaomaba uwe na wakala
Niko mwanza nataka mafuta nitakupataje?
Kwa sasa nataka kwanza kujaribu dar dear