Nawashauri act wazalendo ngome ya vijana tufanyeni midahalo na ccm katika hoja za maendeleo ya znz kuwepo n judge kuwepo n media kuwepo n vyomb vya usalam ili kutoa elimu y kweli kwa wananchi
Siasa haifai muda wote walikua wapi hakuna lolote litakalokua nilazima tuwache huhuu ujinga wa kuwanufausha watu walio tufanya sisi mitaji tusipotezeane muda miaka ishakua mingi hakuna lolote huyua anaesema yeye ni wazir
usione kama unadanganywa kutafuta haki ni process ndef wee chukulia mfano senega t wapinzani walipambana Kwan muda gani wafikiria lakin sas hivi siyo wapa madarakani kwahiyo ucivunjike moyo mungu anaweza kufanya lolote tunatakiwa kuwa na Subra t
Ndio baba. ❤❤❤❤❤
Upande mmoja tukae act upande mwengine wakae ccm
Tunataka kongamano na ccm
Wazanxibar wanataka kula yani chakula sio story
Tutaka kongamano na ccm
Napia hawamtaki wanamtukana kukicha
Nawashauri act wazalendo ngome ya vijana tufanyeni midahalo na ccm katika hoja za maendeleo ya znz kuwepo n judge kuwepo n media kuwepo n vyomb vya usalam ili kutoa elimu y kweli kwa wananchi
Siasa haifai muda wote walikua wapi hakuna lolote litakalokua nilazima tuwache huhuu ujinga wa kuwanufausha watu walio tufanya sisi mitaji tusipotezeane muda miaka ishakua mingi hakuna lolote huyua anaesema yeye ni wazir
usione kama unadanganywa kutafuta haki ni process ndef wee chukulia mfano senega t wapinzani walipambana Kwan muda gani wafikiria lakin sas hivi siyo wapa madarakani kwahiyo ucivunjike moyo mungu anaweza kufanya lolote tunatakiwa kuwa na Subra t
Huyu mwenyewe ni ccm hana lolote
Nyote ccm
Hahaha mtu akiwa hana hoja hubaki na dhana zisizo na mashiko
Hakuna anaetukanwa acheni reputation zenu hebu kuweni na akili anaambiwa kweli na ndio kazi za upinzani