#PART

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 жов 2024
  • #PART 2: "UKIONA MWANAMKE AMECHEPUKA, KUNA MLANGO MWANAUME AMEFUNGUA"- MCHUNGAJI HANANJA |HARD TALK
    KWENYE sehemu ya pili ya HARD TALK ya Mtumishi wa Mungu na Mwandishi wa vitabu nchini Lilian Mwasha amezungumza na Mchungaji Richard Hananja ambaye ameeleza mengi juu ya maisha ya mwanadamu.
    Mchungaji Hananja ameeleza mazito juu ya ushirikina na namna alivyowahi kuchezewa na washirikina bila kumuweza...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

КОМЕНТАРІ • 100

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Рік тому +5

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE UWE WA KWANZA KUONA:🏾 bit.ly/3MraYdQ

  • @farajashaban1073
    @farajashaban1073 Рік тому +18

    Nakubali na maisha yangu yanakwenda kwa falsafa zake huyu mchungaji ndio mchungaji wangu pendwa pamoja na pastor Mgogo

  • @inviolatamalifa6871
    @inviolatamalifa6871 Рік тому +11

    Hongera kwa tumbo lililokuzaa Baba unatufundisha mengi asante kwako

  • @claramrosso2566
    @claramrosso2566 Рік тому +6

    Jamani sister Lily nakupendaga vipindi vyako vzr na vile ulivyo mrembooo mmwaaaa!

  • @mossesisaack5066
    @mossesisaack5066 Рік тому +2

    Nimejifunza sana dada Lilian kupitia mazungumzo yako na mchungaji Hananja.Mungu awabariki sana

  • @bryfrancis7879
    @bryfrancis7879 Рік тому +11

    Best interview,I enjoyed Big time,Maswali yameulizwa vizuri,most interesting thing there was a gap between Q&A,most interviewers,they always interrupt interviewee,Congrats to You Sis,your level ni ya juu sana

  • @Bbwaoy
    @Bbwaoy Рік тому +10

    Point hii “ kuna vitu una kufa navyo kama siri yako na Mungu wako”.

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 Рік тому +3

    Binafsi nimesikiliza Viongozi wengi wa Dini. Kwa huyu Mchungaji nimemkubali Salute kwake Napenda Sana anavyoelezea mambo mbalimbali kwa ustadi mkubwa. Big up Mchungaji wangu wa Karne hii kwangu mimi.

  • @devothamwinyi4288
    @devothamwinyi4288 Рік тому +5

    Dada Lilian nakupenda sana mpaka natamani kusikiliza vipindi vyako muda woooote. Nakupenda na umependeza mpendwa hongera sanaaaaa

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 Рік тому +2

    Best interview ever mchungaji umeniua dhambi kabisa mm ndo nifunzwe na baba angu sikuwahi ambiwa niwe Malia Lia ovyo hata nipate magumu vipi Wala kupiga magoti mwiko kabisa mm napigiwa goti na MKE wangu.. na Bible umeandikwa enyi wanawake watiini waume zenu na enyi waume wapendeni wake zenu.

  • @biashaqtr-xd2mf
    @biashaqtr-xd2mf 3 місяці тому

    Mashallah Mwenye Enzi mungu akuzidishie hikma zaidi hivyo busara.

  • @sospeteriganjagabriel7944
    @sospeteriganjagabriel7944 Рік тому +1

    Mch. Hananja, nakukubali sana Baba, hongera pia kwa kipaji cha uelewa wa neno la Mwenyezi Mungu kwa ufasaha katika vifungu husika

  • @tonykaribu6705
    @tonykaribu6705 Рік тому +3

    Mchungaji Hananja yuko vizuri kwa Neno

  • @halfankipande9903
    @halfankipande9903 2 місяці тому

    Ongera xn mchungaji hananja

  • @aureliayuktankabebwa5066
    @aureliayuktankabebwa5066 Рік тому +2

    Nimependa sana hii conversation🙏🏾,MUNGU atusaidie.Dada Lily your so Blessed🙏🏾

  • @HappinessGomezulu
    @HappinessGomezulu 6 місяців тому

    Raha sana kujifunza na Mchungaji hananja Barikiwa sana

  • @nantaembanusurupia5674
    @nantaembanusurupia5674 Рік тому +5

    Mchungaji ubarikiwe, umenibariki sana🙏

  • @user-exauceimani
    @user-exauceimani 11 місяців тому

    u barikiwe sana mchungaji na dada mtangazaji

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 Рік тому +1

    Mahojiano ya
    G Hando
    S.Jabir
    L Mwasha
    Ndo Mahojiano Mazuri mno wanajua jinsi ya kuuliza Maswali ya Kujenga..
    Big up sana Kwenu

  • @kazungubinti
    @kazungubinti 11 місяців тому +1

    Be blessed pastor 🙏🙏

  • @susancharles1660
    @susancharles1660 11 місяців тому

    Huyu mchungaji nimempenda 😊

  • @muhsinirasuli2473
    @muhsinirasuli2473 Рік тому +2

    Asante sana Mchungaji umeeleweka sana

  • @kulwamigo9127
    @kulwamigo9127 Рік тому +1

    Ahsante,nimejifunza!

  • @drsilo
    @drsilo Рік тому +4

    Niliisubiria sannnna huyu jamaa tumtengezee.. Sanamu kariakoo

  • @pastorvincent9851
    @pastorvincent9851 Рік тому +2

    Mrudishe tafadhali Lilian huyo mzee. Mungu akubariki!

  • @brunomwacha8880
    @brunomwacha8880 Рік тому +7

    Part 3 jaman mzee ana madinii njia inatokaa hii

  • @kapelotz9967
    @kapelotz9967 Рік тому

    Uyu ndie mchungaji anae ijua kazi yake

  • @MAGOHABENEDICTOTv
    @MAGOHABENEDICTOTv Рік тому +4

    AMEN pastor

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 Рік тому +3

    Hiyo ya bange hiyoo nimecheka sana hili linamkuta mchungaji masanja kila kitu ulichapiwa mwanamke

  • @ebenezerchurchsupremetv9490
    @ebenezerchurchsupremetv9490 Рік тому +4

    Yesu kristo alisema niwaambialo sirini lisemeni nuruni,mlisikialo gizani lihubirini juu ya dari

  • @yuathmtenzi2114
    @yuathmtenzi2114 Рік тому +2

    Shukrani hard talk

  • @irakozegracia183
    @irakozegracia183 Рік тому +2

    👏👏👏👏Mubarikiwe Na Mungu

  • @joshuamariki3798
    @joshuamariki3798 Рік тому

    Good job

  • @LinusOngore-o5k
    @LinusOngore-o5k 7 місяців тому

    Amen

  • @laurentnkoko9122
    @laurentnkoko9122 Рік тому

    Nikweli kabisa mchungaji

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Рік тому +3

    Uko sahihi mzee

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 Рік тому +1

    Huyu ni mchungaji kweli Kila anacho ongea anatoka reference ya vifungu kwenye bible

  • @annalyamuya3160
    @annalyamuya3160 Рік тому +2

    huyu mzee ana hekima sana

  • @AzaelNdoliki
    @AzaelNdoliki 3 місяці тому

    Hatalii sana uko poa sana

  • @rasheedford241
    @rasheedford241 Рік тому +1

    God bless u all❤❤ good interview ever

  • @RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny
    @RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny 9 місяців тому

    Amazing 😂😂😂😂

  • @chesconkwera2005
    @chesconkwera2005 Рік тому

    Safi Pastor

  • @smartboythefighter9256
    @smartboythefighter9256 Рік тому +1

    This is really interview

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570 2 місяці тому

    Nakukubali mchungaji nakufatilia nikiwa dubai 😂😂😂😂

  • @tamarali8325
    @tamarali8325 Рік тому +2

    Beautiful Lilian 😍

  • @tamarali8325
    @tamarali8325 Рік тому +6

    🤣🤣🤣 Lilian congratulations maswali mazuri sana majibu mazuri sana.

  • @lovenesslukas5360
    @lovenesslukas5360 Рік тому +2

    Baba kama baba

  • @timothmatiku6115
    @timothmatiku6115 3 місяці тому

    Naamini hii sio dira ya maendeleo 2050. Naamini hawa sio designer wa nchi. Mwezeshe mwanaume.

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 Рік тому

    Jamani hananja anaakili sana

  • @jamesjoseph6825
    @jamesjoseph6825 Рік тому +3

    😂😂😂😂Dada kwa huyo mpakwa mafuta utacheka hadi ujambe, yaani huyu mzee wallah unajivunia mbele za watu, Mungu akuweke Mchungaji

  • @machoguhamery3731
    @machoguhamery3731 Рік тому +1

    Kweli kabisa mchungaji Namkumbuka Mwalimu wetu toka Goshen University College Marekani Dr Norman Cloud aliwahi kutufundisha juu ya "Ukweli umizao", Kwamba sio kila ukweli husemwa hadhalani ukweli mwingine hubakizwa kuepusha shali.,hii ndiyo hekima,"Sema kweli tupu lakini usiseme yote" Magumu tubu katika chumba chako cha siri wewe na Mungu wako ili usilete farakano kanisani au katika jamii unayoishi.Mepesi yasiyo kwaza tubu hadhalani au kwa yule uliyemkosea. Hii ndiyo busara ya ki-Mungu.

  • @RonnieBertin-f7f
    @RonnieBertin-f7f 4 місяці тому

    madini juu ya madini

  • @mariasmith4301
    @mariasmith4301 Рік тому

    Ameeen nimekuelewa Mchungaji, Asanteee 😂😂😂😂😂

  • @jenipherj2456
    @jenipherj2456 Рік тому +3

    dada Llilian aki hakuna intrview umewahi kufanya ukacheka kama hii😀😀😀

  • @neemaburetha8011
    @neemaburetha8011 Рік тому +1

    Mtumishi wa MUNGU Lilian mwasha nina shida na wewentakupajez?

  • @sarahwawuda5164
    @sarahwawuda5164 Рік тому +7

    🤣🤣🤣🤣mchungaji msema kweli huku wanivunja mbavu mie

  • @richardrwechungura2798
    @richardrwechungura2798 Рік тому

    Umepiga mwingi @Lilian junkets Mchungaji

  • @WTC492
    @WTC492 Рік тому +1

    Lilian nakupenda

  • @annamulungu2876
    @annamulungu2876 Рік тому +5

    Ila baba, usisahau kwamba kama mume ni MC kwa mfano anaweza tu kurudi saa nane usiku nyumbani na nikampokea kwa amani.

  • @unjuinkuganda1991
    @unjuinkuganda1991 Рік тому

    MY G

  • @benardwankoka3447
    @benardwankoka3447 Рік тому

    Hahaaa unanibariki sana

  • @clausemsemwa297
    @clausemsemwa297 Рік тому +1

    HII SIO HARD TALK......TUSIHARIBU MAANA......HAYA NI MAZUNGUMZO TENA YA KAWAIDA SANA....

  • @tausinguvuyamaombi3879
    @tausinguvuyamaombi3879 Рік тому +1

    Hahahaaa!nyumba kama studio?

  • @Bless-b.DL-babyofficial8769
    @Bless-b.DL-babyofficial8769 Рік тому +1

    Please one day bring afande sele for the next interview

  • @JohnwaJohn
    @JohnwaJohn 11 місяців тому +1

    Mtu wangu 🇺🇸🇺🇸🇺🇸 nakuitaji tena 😂😂😂😂😂😂

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula2220 Рік тому +6

    Wanaume gani hao wanaobeba maswali sijui majibu ya uchumi na wako busy kutafuta wanawake wenye kipato kukwepa majukumu

    • @vickydan2869
      @vickydan2869 Рік тому

      Cyo hao sasa waliotengenezwa na mungu

    • @sarahgaula2220
      @sarahgaula2220 Рік тому

      @@vickydan2869 so wameumbwa na nani. Wameumbwa na Mungu Ila wamekengeika na ndio wapo.

    • @MujuniKamugisha
      @MujuniKamugisha 6 місяців тому

      ​@@sarahgaula2220bakhresa mo dewji ,gsm,msukuma,kishimba,
      David mlokozi ,

  • @rachelnadeau3484
    @rachelnadeau3484 Рік тому +1

    Nimecheka hiyo 😄👆

  • @jamesjoseph6825
    @jamesjoseph6825 Рік тому +7

    Huyu mzee biblia yote ipo kichwani, kifungu kwa kifungu, yaani yakiandaliwa mashindano pengine hata Africa yupo peke yake

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Рік тому

    Pilipili alilia

  • @shivobs4485
    @shivobs4485 Рік тому +2

    Kuwa mwanaume ni neema mwanaume unatakiwa kuwa mwanaume hao wanao piga magoti ni wavulana sio wanaume

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Рік тому

      Kupiga magoti ni mavitu wakipuuzi tu ambayo juzi juzi tu tumeangalia kwenye tv leo tunaiga nakujifanya tunalia, siamini miaka 20 iliyopita kuna mtz alipiga magoti kumvisha mtu pete, tunakurupuka mnoo kuiga vitu ambavyo hata hatujui yalipotokea

  • @tumkithemr933
    @tumkithemr933 Рік тому +1

    Huyu mzee namkubali saana ananitia nguvu ktk mapambano yangu! Huyu ni miongon mwa wanamapinduz na falsafa za mabadiriko ktk mbongo yangu asseeee!! Well

    • @issayasosolo6033
      @issayasosolo6033 Рік тому

      Kabisa huwà haliwataki watumiaji wanao toa afundisho ya namna hii! Wanataka wachungaji wanao hubiri habari za sadaka Basi mengine utajijuwa mwenyewe, Ya kijitonyama alijitokeza mchungaji Kama huyu wakamliba barua Ila nguvu ya waumini ikafanya Kazi yake,

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Рік тому +3

    Huyu mtumishi nimemkubali kabisa, yuko vizuri kuliko hao matapeli wengine wa injili. Party tafadhali.

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 Рік тому

    Matonge semi trailer😂😂😂😂😂

  • @vivianbampikya4484
    @vivianbampikya4484 Рік тому +1

    Tutasimama wote aise...kwani magoti lazima?

  • @zachariagutawemo1291
    @zachariagutawemo1291 8 місяців тому

    Dad iz Helen vp😂

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Рік тому

    Kkkkkmjiskie watoto wa mwaka elf2 wahaki sawa mwanaume anapiga goti mwanamke kaa juu yakiti...ndio mana ndo nyingi mnaendeshwa kwa hiyo ukitaka kuishi kaulize kwa waisalam kwann mwanaume akishagmfunha ndoa muda wakwanza kumsomea dua mkewa kwann hukanyaga miguu wa mwanamke namuwekea mikononkichwa

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Рік тому

    Dah bange hilo kila kitu bange kkkk

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Рік тому +1

    Kitabu kinaitwa Darling what?? Sikuelewa kabisa

  • @milliardere9177
    @milliardere9177 Рік тому

    Wanaopiga magoti niwajinga

  • @NtanunuraWillsonBaru
    @NtanunuraWillsonBaru Рік тому

    Hizo ni tamaduni za west wanaume wanabebeleza kwanza hawatoi mahali na mwanamke anakuwa na wa chumba zaidi ya mmoja ana pesa ana nyumba na usafiri kila kitu. Ndio maana miji dume unapiga magoti kwani kuna jitu limebunda. Ukimucha yupo pembeni anaendeleza.

  • @MyMercy84
    @MyMercy84 Рік тому +1

    Maoni yangu ni kwamba, uhuru wa mtu ni wake, akijisikia kumpigia goti sawa, akijisikia kulia sawa maana wapenzi watazamaji hawajui wametoka naye wapi na kwann machozi yanamtoka... Kha

    • @tuzopeter8132
      @tuzopeter8132 Рік тому +1

      Niko na wewe....!

    • @gospelamani1968
      @gospelamani1968 Рік тому

      Hili swala la uhuru ndio changamoto inayotutesa mpaka sasa.kwamaana hiyo uhuru wa mtu kuwa shoga ni sawa?
      Ebu tusimame kwenye misingi ya kimungu.
      Kwaiyo swala la uhuru sio sahii

  • @heritier5119
    @heritier5119 Рік тому +1

    Ukioa malaya ni lazima achepuke tu

  • @rennyleo4874
    @rennyleo4874 Рік тому

    Mc pilipili alilia