#PART
Вставка
- Опубліковано 18 жов 2024
- #PART 2: "UKIONA MWANAMKE AMECHEPUKA, KUNA MLANGO MWANAUME AMEFUNGUA"- MCHUNGAJI HANANJA |HARD TALK
KWENYE sehemu ya pili ya HARD TALK ya Mtumishi wa Mungu na Mwandishi wa vitabu nchini Lilian Mwasha amezungumza na Mchungaji Richard Hananja ambaye ameeleza mengi juu ya maisha ya mwanadamu.
Mchungaji Hananja ameeleza mazito juu ya ushirikina na namna alivyowahi kuchezewa na washirikina bila kumuweza...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE UWE WA KWANZA KUONA:🏾 bit.ly/3MraYdQ
Nakubali na maisha yangu yanakwenda kwa falsafa zake huyu mchungaji ndio mchungaji wangu pendwa pamoja na pastor Mgogo
Hongera kwa tumbo lililokuzaa Baba unatufundisha mengi asante kwako
Jamani sister Lily nakupendaga vipindi vyako vzr na vile ulivyo mrembooo mmwaaaa!
Nimejifunza sana dada Lilian kupitia mazungumzo yako na mchungaji Hananja.Mungu awabariki sana
Best interview,I enjoyed Big time,Maswali yameulizwa vizuri,most interesting thing there was a gap between Q&A,most interviewers,they always interrupt interviewee,Congrats to You Sis,your level ni ya juu sana
Point hii “ kuna vitu una kufa navyo kama siri yako na Mungu wako”.
Ndioo
Binafsi nimesikiliza Viongozi wengi wa Dini. Kwa huyu Mchungaji nimemkubali Salute kwake Napenda Sana anavyoelezea mambo mbalimbali kwa ustadi mkubwa. Big up Mchungaji wangu wa Karne hii kwangu mimi.
Dada Lilian nakupenda sana mpaka natamani kusikiliza vipindi vyako muda woooote. Nakupenda na umependeza mpendwa hongera sanaaaaa
Best interview ever mchungaji umeniua dhambi kabisa mm ndo nifunzwe na baba angu sikuwahi ambiwa niwe Malia Lia ovyo hata nipate magumu vipi Wala kupiga magoti mwiko kabisa mm napigiwa goti na MKE wangu.. na Bible umeandikwa enyi wanawake watiini waume zenu na enyi waume wapendeni wake zenu.
Mashallah Mwenye Enzi mungu akuzidishie hikma zaidi hivyo busara.
Mch. Hananja, nakukubali sana Baba, hongera pia kwa kipaji cha uelewa wa neno la Mwenyezi Mungu kwa ufasaha katika vifungu husika
Mchungaji Hananja yuko vizuri kwa Neno
Ongera xn mchungaji hananja
Nimependa sana hii conversation🙏🏾,MUNGU atusaidie.Dada Lily your so Blessed🙏🏾
Raha sana kujifunza na Mchungaji hananja Barikiwa sana
Mchungaji ubarikiwe, umenibariki sana🙏
u barikiwe sana mchungaji na dada mtangazaji
Mahojiano ya
G Hando
S.Jabir
L Mwasha
Ndo Mahojiano Mazuri mno wanajua jinsi ya kuuliza Maswali ya Kujenga..
Big up sana Kwenu
Be blessed pastor 🙏🙏
Huyu mchungaji nimempenda 😊
Asante sana Mchungaji umeeleweka sana
Ahsante,nimejifunza!
Niliisubiria sannnna huyu jamaa tumtengezee.. Sanamu kariakoo
Mrudishe tafadhali Lilian huyo mzee. Mungu akubariki!
Part 3 jaman mzee ana madinii njia inatokaa hii
Uyu ndie mchungaji anae ijua kazi yake
AMEN pastor
Hiyo ya bange hiyoo nimecheka sana hili linamkuta mchungaji masanja kila kitu ulichapiwa mwanamke
Yesu kristo alisema niwaambialo sirini lisemeni nuruni,mlisikialo gizani lihubirini juu ya dari
Shukrani hard talk
👏👏👏👏Mubarikiwe Na Mungu
Good job
Amen
Nikweli kabisa mchungaji
Uko sahihi mzee
Huyu ni mchungaji kweli Kila anacho ongea anatoka reference ya vifungu kwenye bible
huyu mzee ana hekima sana
Hatalii sana uko poa sana
God bless u all❤❤ good interview ever
Amazing 😂😂😂😂
Safi Pastor
This is really interview
Nakukubali mchungaji nakufatilia nikiwa dubai 😂😂😂😂
Beautiful Lilian 😍
🤣🤣🤣 Lilian congratulations maswali mazuri sana majibu mazuri sana.
Baba kama baba
Naamini hii sio dira ya maendeleo 2050. Naamini hawa sio designer wa nchi. Mwezeshe mwanaume.
Jamani hananja anaakili sana
😂😂😂😂Dada kwa huyo mpakwa mafuta utacheka hadi ujambe, yaani huyu mzee wallah unajivunia mbele za watu, Mungu akuweke Mchungaji
Kweli kabisa mchungaji Namkumbuka Mwalimu wetu toka Goshen University College Marekani Dr Norman Cloud aliwahi kutufundisha juu ya "Ukweli umizao", Kwamba sio kila ukweli husemwa hadhalani ukweli mwingine hubakizwa kuepusha shali.,hii ndiyo hekima,"Sema kweli tupu lakini usiseme yote" Magumu tubu katika chumba chako cha siri wewe na Mungu wako ili usilete farakano kanisani au katika jamii unayoishi.Mepesi yasiyo kwaza tubu hadhalani au kwa yule uliyemkosea. Hii ndiyo busara ya ki-Mungu.
madini juu ya madini
Ameeen nimekuelewa Mchungaji, Asanteee 😂😂😂😂😂
dada Llilian aki hakuna intrview umewahi kufanya ukacheka kama hii😀😀😀
Mtumishi wa MUNGU Lilian mwasha nina shida na wewentakupajez?
🤣🤣🤣🤣mchungaji msema kweli huku wanivunja mbavu mie
Umepiga mwingi @Lilian junkets Mchungaji
Lilian nakupenda
Ila baba, usisahau kwamba kama mume ni MC kwa mfano anaweza tu kurudi saa nane usiku nyumbani na nikampokea kwa amani.
MY G
Hahaaa unanibariki sana
HII SIO HARD TALK......TUSIHARIBU MAANA......HAYA NI MAZUNGUMZO TENA YA KAWAIDA SANA....
Ni neno la brand yake.
So
Hahahaaa!nyumba kama studio?
Please one day bring afande sele for the next interview
Mtu wangu 🇺🇸🇺🇸🇺🇸 nakuitaji tena 😂😂😂😂😂😂
Wanaume gani hao wanaobeba maswali sijui majibu ya uchumi na wako busy kutafuta wanawake wenye kipato kukwepa majukumu
Cyo hao sasa waliotengenezwa na mungu
@@vickydan2869 so wameumbwa na nani. Wameumbwa na Mungu Ila wamekengeika na ndio wapo.
@@sarahgaula2220bakhresa mo dewji ,gsm,msukuma,kishimba,
David mlokozi ,
Nimecheka hiyo 😄👆
Huyu mzee biblia yote ipo kichwani, kifungu kwa kifungu, yaani yakiandaliwa mashindano pengine hata Africa yupo peke yake
Ni mchungaji ni wajibu ajue
Kabisa kaisoma mno
Pilipili alilia
Kuwa mwanaume ni neema mwanaume unatakiwa kuwa mwanaume hao wanao piga magoti ni wavulana sio wanaume
Kupiga magoti ni mavitu wakipuuzi tu ambayo juzi juzi tu tumeangalia kwenye tv leo tunaiga nakujifanya tunalia, siamini miaka 20 iliyopita kuna mtz alipiga magoti kumvisha mtu pete, tunakurupuka mnoo kuiga vitu ambavyo hata hatujui yalipotokea
Huyu mzee namkubali saana ananitia nguvu ktk mapambano yangu! Huyu ni miongon mwa wanamapinduz na falsafa za mabadiriko ktk mbongo yangu asseeee!! Well
Kabisa huwà haliwataki watumiaji wanao toa afundisho ya namna hii! Wanataka wachungaji wanao hubiri habari za sadaka Basi mengine utajijuwa mwenyewe, Ya kijitonyama alijitokeza mchungaji Kama huyu wakamliba barua Ila nguvu ya waumini ikafanya Kazi yake,
Huyu mtumishi nimemkubali kabisa, yuko vizuri kuliko hao matapeli wengine wa injili. Party tafadhali.
Matonge semi trailer😂😂😂😂😂
Tutasimama wote aise...kwani magoti lazima?
Mhhh
Dad iz Helen vp😂
Kkkkkmjiskie watoto wa mwaka elf2 wahaki sawa mwanaume anapiga goti mwanamke kaa juu yakiti...ndio mana ndo nyingi mnaendeshwa kwa hiyo ukitaka kuishi kaulize kwa waisalam kwann mwanaume akishagmfunha ndoa muda wakwanza kumsomea dua mkewa kwann hukanyaga miguu wa mwanamke namuwekea mikononkichwa
Dah bange hilo kila kitu bange kkkk
Kitabu kinaitwa Darling what?? Sikuelewa kabisa
Wanawake wasikimbilie kwa waganga
Wanaopiga magoti niwajinga
Hizo ni tamaduni za west wanaume wanabebeleza kwanza hawatoi mahali na mwanamke anakuwa na wa chumba zaidi ya mmoja ana pesa ana nyumba na usafiri kila kitu. Ndio maana miji dume unapiga magoti kwani kuna jitu limebunda. Ukimucha yupo pembeni anaendeleza.
Maoni yangu ni kwamba, uhuru wa mtu ni wake, akijisikia kumpigia goti sawa, akijisikia kulia sawa maana wapenzi watazamaji hawajui wametoka naye wapi na kwann machozi yanamtoka... Kha
Niko na wewe....!
Hili swala la uhuru ndio changamoto inayotutesa mpaka sasa.kwamaana hiyo uhuru wa mtu kuwa shoga ni sawa?
Ebu tusimame kwenye misingi ya kimungu.
Kwaiyo swala la uhuru sio sahii
Ukioa malaya ni lazima achepuke tu
Mc pilipili alilia