TUNU MWENDESHA BAJAJI ALIYEFANIKIWA KUJENGA NYUMBA YA ZAIDI YA MILIONI 30 NA MIRADI MINGINE
Вставка
- Опубліковано 19 жов 2024
- Tunu Ndege ni Mkazi wa mkoa wa Mara aliyeanza kazi kwa kuajiriwa kwenye kiwanda cha Samaki na badae kupata mtaji wa kununua pikipiki, alifanya kazi ya bodaboda kwa miaka kadhaa na kufanikiwa kununua Bajaji, Amejenga Nyumba anaduka la rejareja na miradi mingine, fuatilia makala hii kwa undani zaidi. Mtayarishaji Gigwa Mhule, MpigaPicha na Mhariri Picha ni Lucas Maziku, Jarida Maridhawa liliruka Star Tv
Safi Sana nimependa mno
Hongera saana dada tunu.
Hy Mmama mmoja anawivu eti mwanamke kuendesha bajaj cy kz yk
hongrea sanaaa
Wa tz washambatu tulizoea umbea mwanaume ndio alete pesa sasa tunapambana adi wanawake
Yuyomwna mke ongera dureva wabajaj
Huyo mama anaeleza kuwa mwanamke siyo jasiri, nataman nimchape vibao
Niwivu alonao nchi za waarabu madereva wengi wanawake uku nijambo la kawaidatu