Mtoto apatikane 🙏 Na hio cctv imecheza pro sana sana....she thot she was too smart walking confidently in the shop lakini Mungu naye ni nani her face imemurikwa kabisa
Huyo si mwanake au binadamu ...ni shetani hatari..mwanamke anakuwa na huruma...naomba mungu amuadhubu ipasavyo Kwa kutenganisha mama na mtoto mdogo...machozi ya mama itampata
Very sad indeed sorry to the family .Kenya should use an amber alert the rate of children been stolen is crazy. She purchased the tumblers via what? If through Mpesa she can be traced.
Oh, God please 🙏 heal our country Kenya 🇰🇪, it's in your hands only that we are safe.May you, Almighty God, protect that baby and get her back to the family safely, Amen 🙏. SHALOM 😇 KENYA
Hehehehe watoto wanaibwa na kuuzwa alot of money na wengine kutolewa kafara. Wazazi na watu wote kueni makini sana. Biashara za haramu zinaendelea jamani.
Huyo atashikwa within a few days and the baby will be safe
Amen
Amen
True ameonekana poa
Amen
*She should be charged as a Child trafficker.!* 😡
Wakenya ..hiyo sura itrend tupate ni nani huyu.
Kabisaa, hiyo picture izungushwe.
alipatikana hii january
Mtoto apatikane 🙏
Na hio cctv imecheza pro sana sana....she thot she was too smart walking confidently in the shop lakini Mungu naye ni nani her face imemurikwa kabisa
Her face is very clear unless DCI is not serious on their job
Huyo si mwanake au binadamu ...ni shetani hatari..mwanamke anakuwa na huruma...naomba mungu amuadhubu ipasavyo Kwa kutenganisha mama na mtoto mdogo...machozi ya mama itampata
The only problem is, asitoke na mtoto inje ya inchi. Maybe she's a Child trafficker
Help them pliz
remember you can help arrest if you report to law authorities
Its very painful 😭 that thief should return that baby ASAP and be apprehended. She doesn't know the pain of a mother!
This is a painful story. May the Almighty God bring baby rehema bck while she's safe n sound.
Children should be tought on the dangers of strenggers
The don't listen or understand some children they love people
Any child less than 12yrs should not be a child minder..
Never allow your kids to accept anything from stranger please
9 month old baby
Can be clearly seen on the cctv. It's very possible to trace her
Hawa ma mubwa wanaiba watoto inafaa wakishikwa Wana chomwa , this very painful si mutu azaee wake😊
Vle kesi zingine tumeshuhudia zikifuatiliwa kwa haraka, tunaomba pia hii ichukuliwe kwa haraka uyu culprit alatikane mtoto amrudie mama yake
I have anxiety when my niece leaves my sight in public imagine a parent missing/stolen kids....truly heartbreaking walahi 💔
Machozi ya mama sio mchezo....huyo shetani atapatikana Tu.
Very sad indeed sorry to the family .Kenya should use an amber alert the rate of children been stolen is crazy. She purchased the tumblers via what? If through Mpesa she can be traced.
Tuma hio face yake kwa groups........atashikwa....
Eee mungu wangu lakini binadamu mbona tunapenda kutesana😢😢
Kama Serikali wamempata Hashim si wa msaidie huyu mama jamani. Ni uchungu sana aki
Huyu mama ako na pesa ya mafuta kweli? 😢😢
Pole sana kwa yaliyokupata.Try to be patient.Kilicho chako kitarudi tu.Hata baada ya muda mrefu.
Kama ni nakuru nayo sio mchezo wanakuanga mbiombio mtaskia ameshikwa
As a mother i geel her pain by God's grace huyo mtoi akuesafe aki
Mungu alete huyo mtoto akiwa mzima
18yr old mom 😢 anyways she is still a kid she'll bore another .. still sad
Tuma picha kwa group ya whasap ...na akishikwa wadau mfanye Ile kitu juu huyu na jambas hakuna tofauti
Mimi naona akuna haja ya kuwapeleka watu kama hawa police wakishikwa hivi ni kuchomwa direct wanasabavisha kilio sana kwa wenye watoto very painful
Huyo mama siazae mtoto wake?hii ni mateso kwa mtoto mwenyewe na wazazi wake
Wengine wanalipwa to steal children for rituals ...
Sasa huyu amechukua mtoi wa wenyewe anaenda kufanya richuals na ana wake gasia hii vile kuzaa ni ngumu yeye anachukua TU mbona asichukue wake
This is Diabolical
Oh, God please 🙏 heal our country Kenya 🇰🇪, it's in your hands only that we are safe.May you, Almighty God, protect that baby and get her back to the family safely, Amen 🙏. SHALOM 😇 KENYA
Damu ni mzito kuliko maji uyo mumama ata umia sana kuiba mtoto
So unfathomable!
They should be educated
This is so devastating
😢😢oooh sorry for that,huyo mtoi atapatikana katika jina la yesu
Too bad 😢
Hehehehe watoto wanaibwa na kuuzwa alot of money na wengine kutolewa kafara. Wazazi na watu wote kueni makini sana. Biashara za haramu zinaendelea jamani.
Ongeza volume wajue kabisa juu wako kwa giza
Share hii video kila mahali mtoi atapatika Mungu yuko
Aiiii bana😢
Thank God there was CCTV you will be cought
Wah😢
They will catch her within a flash after the CCTV footage so clear sungura mjinga haendi mahali
Atapatikana juu sura inaonekana Kwa CCTV
Ooooh, my God, this is heart rending
For sure someone knows this woman..
How foolish of her 😢😢😢
Hii serikali ni nn iko safe surely
This is sickening.....
Ghoi si akuje tu nimpee mimba gaki nkieke bono🙄
Wanauza viungo za mwili😢😢
Naomba mtoto apatikane akiwa safe
😭😭😭 may God bring her back safely 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Sorry God protect the baby and come back sefely
Subuhanallah. Mungu mkubwa wasimuuetu. Inshaallah poleni familia
Huyu haezifika mahali, atapatikana in less than a week
What the hell?
Anafaa anapigwa kwanza hakishikwa
please teach your children not to take things from strangers
CCTV imeonesha wazi sura yake huyu mama in shaa Allah apatikane mtoto,
Huu ndio umuhimu wa CCTV
Nkt! How can we help?
Of course pick the clip of her face & share on socials
Sad
Huyu atakamatwa tu,anaonekana tena vizuri
Woishee,aki apatikane😢
Very unfortunate.
Alaaar i hope atapatwa😢😢😢😢😢
Haki Hii nji Yetu Mungu aturehemu tu Sana.
whaaat ? What do we call this God
CCTV zinasaidia sana of late
Atakamatwa
Mkisii tena.. Nkt
Anaonekana vizuri mtoto atapatikana
Did she pay on cash or through phone?
At least the face is clear atapatikana
Huyu atapatikana sooon ngojeeni mtaona tu
Imagine mtoi hajawai patikanq
Uzuri the footage is clear with her face na mwili
Tunataka sura ya huyo ghasia tuipost all over!!!!
this world is broken completely. Cruelty at its core
MUUGU saida mtoto apatikane salama
Watu wanauwa watoto wawatu kuwatoa viongo am kafara aki
Huyu atashikwa tu akuna mahali ataenda
Hii picha hizambazwe kila mahali hii nugu itapatikanq
Na mbona mostly thseee kind of evil inafanywa na women?
leta chips kuku sichips pekee. People can be evil
😂😂😂😂sitaki kucheka
Ohh God aki some of this stories zinashtua 😢may the baby be found safe
0We
😢😢😢huyo dem msupu hivyo ni mwizi wa watoto.jesus.hope kapatikane soon