Km kweli anafanya hivyo basi viongozi watatuelewa kwann tulisema abaki kramo na sio onana maana onana mpira anaujua ila anadeka km watoto wadodo au km wanawake
Uchambuzi maandazi..!!Kucheza na Timu ya Daraja la 2 sio hoja kwenye mechi za pre season..!!Ndo maana kina Bayern Munich wanacheza na Timu za madaraja ya chini! Hata Leicester hali kadhalika..!! Vipi kuhusu timu za Taifa ambazo hukutana wachezaji wageni na kocha mpya pia..? Ingekuwa ni kujipima na timu ngumu baadhi ya timu za Ulaya zisingecheza na timu dhaifu..!! Kuweni weledi Acheni umaandazi..!!
Kiwango cha ushindani national team na vilabu ni vitu viwili tofauti timu za taifa zote zinaitwa once hata hivyo timu zinazopata wachezaji kuanzia saba kwenye timu zao za taifa kutoka club moja hufanya vzr zaidi tulieni maendeleo hayaji kama radi kutoka kwenye wingu la blue
Swala la Simba kuwa na wachezaji wapya si jambo la kuhofia. Mbona timu za taifa wanaitwa kutoka kabla mbalix2 na nchi tofauti na wanafanya makubwa? Simba ni timu ya Taifa ya CUF la Tanzania.
Bora mzee julio umeongea vzur
Km kweli anafanya hivyo basi viongozi watatuelewa kwann tulisema abaki kramo na sio onana maana onana mpira anaujua ila anadeka km watoto wadodo au km wanawake
Hawa wachambuzi njaa kweli timu sio lazima kucheza mechi za kirafiki Simba tumuachie kocha anajua zaidi.
Kwani msimu mzima timu inajiandaa kucheza mechi mbili tu.
Uchambuzi maandazi..!!Kucheza na Timu ya Daraja la 2 sio hoja kwenye mechi za pre season..!!Ndo maana kina Bayern Munich wanacheza na Timu za madaraja ya chini! Hata Leicester hali kadhalika..!! Vipi kuhusu timu za Taifa ambazo hukutana wachezaji wageni na kocha mpya pia..? Ingekuwa ni kujipima na timu ngumu baadhi ya timu za Ulaya zisingecheza na timu dhaifu..!! Kuweni weledi Acheni umaandazi..!!
nyinyi watangazaji wa hiki kipindi kweli ni michezo mbona siwaelewi mnatangaza hovyo
Dada si uchambuzi umepita we unarudia nini? Acha miyeyusho
Onana aende
MAMAKO KAENDA?
Chamsingi ni matokeo , muunganiko badaye hivyo point 3 @ mechi ni muhimu na muunganiko utakuja taratibu
Siwanafanya mazoezi @ siku
Timu ya taifa mbona wachezaji wanatoka sehemu mbalimbali na mbona timu zinashinda
Kiwango cha ushindani national team na vilabu ni vitu viwili tofauti timu za taifa zote zinaitwa once hata hivyo timu zinazopata wachezaji kuanzia saba kwenye timu zao za taifa kutoka club moja hufanya vzr zaidi tulieni maendeleo hayaji kama radi kutoka kwenye wingu la blue
Swala la Simba kuwa na wachezaji wapya si jambo la kuhofia. Mbona timu za taifa wanaitwa kutoka kabla mbalix2 na nchi tofauti na wanafanya makubwa? Simba ni timu ya Taifa ya CUF la Tanzania.
Ww Julio c mtu mipira miezi miwili watu wazima wasishike flsafa ya mwalimu
Kwani Kuna nchezanji ambaye hujui mmjukumu yake
Kwahy timu za taifa Zina kaaga miaka mingap??yaaaan wachambuz wa mchongo bn
Timu za Taifa ni watu wanaojuana wanaongea lugha moja ni kama ndugu
@@Dhulqarnain-qc6gz kujuana au kuongea lugha Moja sio muunganiko wa timuu!