Haifai kumchukia mwanadamu mwenzako km ingekuwa hvyo basi ata sisi allah angetuchukia kwa tunayoyafanya mengine aya mridhidhishi yy aliyetuomba unapoongea usimalize maneno uwezi jua unapoongea atakayekuja kukisaidia nn
Ivi kweli mnaijuwa dini nyinyi wallah kike kiume kukaa pamoja ivo Haram fanyeni vitu venye kueleweka sometimes. Nyinyi ndo ma ustadh kasda zenu nzur mashallah lakini jaribuni kutengana kike kiume mnapoelekeya ivo saiv pabaya.
munapoandika caption za video zenu ziwe na maana na sio ugombanishi kama utasema wajutia sasa hapo wanajutia kwa kipi na kama kushirikian kinachofanyika Qadiria basi wapo pamoja.
Ahlulmadina ni zaid ya qadiria maana hapo mm sijaona cha ajabu
Ulicho kicema ni kweli mm pia cjaona kipya ahlul madina ni zaidi ya qadiria
innaalillahi wainnaailayhi raaji'uun kwa hali hii tunamtihani tuandae la kumjibu Allah siku ya siku
MPKA SAUTI HAINA TOFAUTI NA KIBANATI, MTIHANI MKUBWA
we hakuna km ahlul madina wao ni moto wa kuotea mbali pend sana ostadh hafidh 😍😍😍
Hahaha unampenda kwamengine tu uyo hafidh juzi ulisema unatamani anekuwa mime wako...au ulishafuta ile comment hahahah atari fire qadiria wanavocal na niwastarab atakucheza kwao
Sikio lahizidi kichwa
@@mohdomar109 Hehee Mmmh
Humairah Tomicky ww nini ndio yan icho kipaji wamepata kutoka kwa qadiria yan ahlulmadina mzim n shekh khafidh t na yy anatoka qadiria apo huna kitu
Kadiria kama Kawa Allah azidi kuwapa nguvu
Mashallha! Muko wakali sana!
Mnajitahidi lkn ahlu madina wapo vizuri zaidi yenu
Bin Mussa hawa hatar mimi sio mzanzibar ila Fakh hatar alafu ndio Hafidhi
Nakukubali wajipange ahlul madina wapo juu
Aqaz haitokei asa kuzidiwa hamaa waachiwe tu
Aqaz mziki mwingine
mnaharibu kazi zenu mnapochnganyika kike kiume.msiifnye kharam kua hulali
Kweli
Mungu atuhifadhi
Mbona ahlumadina nao pia wanaweza jamni msiseme ivo wote tunawapenda
Maryam Maryam sio sote m siwapend hawana ishu
Hawauwezi huu moto mwingine
Napita tu naona kawaida mnajipa mawazo waangaliaji wenzenu wapo poa
Haifai kumchukia mwanadamu mwenzako km ingekuwa hvyo basi ata sisi allah angetuchukia kwa tunayoyafanya mengine aya mridhidhishi yy aliyetuomba unapoongea usimalize maneno uwezi jua unapoongea atakayekuja kukisaidia nn
Mashaallah 👌🏽👌🏽😍😍
Mtihan huu tujiandae lakwenda kumjibu Allah
hakika ni nzr sana
mashaallah
Mashaallah aqaz
☺ kwakweliiiii👌👌👌👌 مشاالله
Ila kiukweli Fakh hatar kuliko ila anafuata Hafidh alafu Juma Fakh hao kwangu sina neno wanajua sana
Juma fak is member
Upo Sawa kaka fakh anajua sana Ata Hao wengine
Hatar sana
Wapumbavu wakumba hiyo nikasida
Ivi kweli mnaijuwa dini nyinyi wallah kike kiume kukaa pamoja ivo Haram fanyeni vitu venye kueleweka sometimes. Nyinyi ndo ma ustadh kasda zenu nzur mashallah lakini jaribuni kutengana kike kiume mnapoelekeya ivo saiv pabaya.
damamu hujambo
@@salhaothman4038 sijambo alhamdulillah. Vp na ww?
Mm nimpenz wa kaswida ila kuchanganikana kike kiume hili si jambo zuri uko sahihi da mamu
Mashaallah
munapoandika caption za video zenu ziwe na maana na sio ugombanishi kama utasema wajutia sasa hapo wanajutia kwa kipi na kama kushirikian kinachofanyika Qadiria basi wapo pamoja.
Hahhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
Siti abubakari
Uko sahihi
Aziza Ali Abdalla uko sahh
Nzuri kadiria hao hawana mbaya
Upuzi wako
Eddy Kocha nice
Mashaa Allah😘😘
Mashaa Allah
Ally.ahmad.ongera
Hawez kujuta sababu wappo vizur
umeonaeeee
Naungana na ww
Jaman naomben hi kaswid kwenye wht sp
Rahma Ali
+96892307493 naomben kwenye what ssp
Jaman hadi kukumbatiana maulid bidaa
hhhhhh kasema nani maulidi bidaa
Asante kaka faki
Halihamdulillah mungu anatunusuru na maisha ya dunia
😚😚😚😚😚😚😚😚😚😚mwa
Aqaz mipaka mnaivuka lkn
Kka unafeli post zako
One.t video_shooting sawa sawa
Kashaacha mumezoea vibaya Aqazi
Cut shot hueki kwnin
Hahaaa kwa kitu gani???
Kaka jikaze
Huu sio mchezo mwema jitambueni mumjuwe allah
pyee
Panga vizur maneno yako, sasa walichojutia hapo ni kipi kwanza qadiria kwa kaswida za harusi bado kabisa.
waislam kwel majanga kila siku kutengana mnafundisha nn utengano ama mana sijaona kipya alaf jamn kama taarabu duuuuh
Wajutie tu mana wanajifanya sana
Ww vipi awo ahlul madina ndo wanajidai mbona ww muongo
mashaallah
MashaaAllah
Mashaallah
Masha allah
wanajuta kwakip hiyo ni fitina mtuwangu
nashangaa hio ni fitina tu wala msiziskize sis sote tuna pendana