Nchimbi ni mwanasiasa na mdiplomasia ambae kama akiendelea na kasi na speed yake 4R zitaeleweka na kutekelezeka. Wanasiasa vizuri kuwa na siasa za kidiplomasia zenye kuzingatia 4R . Kila chama kikizingatia 4R sisasa zitakuwa za ustaarabu mkubwa. Watanzania sio watu wa vurugu.
Simba na ynga ww na mama yk cc tunatk maendeleo hz timu zintk jasho letu hali yakuwa cc wenyewe hatuna kitu jez 46 uwanjani 5000 cc hz hela tunapt wp ndo mana mnafirika kusport timu zisizo Tija miaka 90 hazijabeba club bingwa timu zote za mpira zishabeba cc c watu wa mpira cc tunatumika kuwapa mtjr maisha na wachezaji shtuka
inamani bado tanzani kimvuli mataifa yano endelea warabu na waxungu migonfi minginkuna makapuni yao wana safirisha dhhabu almasi wakati wtanzani wanaisha ufukara na maskiniwakati wolao wana chenga kwao tena sisi tuna kopa
Iyo ndio tanganyika yani ndio Tanzania ya babayenu nyerere sasaivi ya mamayenu kazi mnayo sio kupigwa tu bado kutekwa na watu wasio julikana kwaiyo muizoee nyinyi bado watumwa tu
Awa porisi awataki kujifunza kwa mwambukusi jinsi alivyosumbuliwa kugombea urahisi ndio alipopatq wafuasi wengi majibu yake sio umeyaona wangewaacha tu awa chadema na yasingekuwa makubwa ivyo kwa wananchi wengi waiojua iyo mikutano yao
Iv ccm mbona inawaona kama Wana nchi kama watoto iv kwani police anaweza kukamata Wana siasa bila kauli ya juu tufike mahala hii nchi tusiiharibu jmn haya
MKUU WA ULINZI NA USALAMA MBEYA AJITATHIMINI ANAPOTEZA KAZI,AMETENNGENEZEWA TATIZO,KWANI KIJANA ALIYECHOMA PICHA KAPOEA NA SASA KAZUIA MAANDAMANO NA KUWAKAMATA VIONGOZZI WA CHADEMA ,ANATAKIWA AJIUZURU
kanunu ipi na seria ipi na katiba ipi kifungo nagni iinachosema jeshi polisi kujihushisha siasa polisi wanatumia chama mapinduzi kuvuruga amani uchanguzi 2025
Kitenge kumbuka wenzako uliotoka nao ktk tamsilia ya habari ulifahamika sana redio one kipindi cha michezo wakati ule wmeznzako mwegamba marehemu leo alienda bbc na wengi tuu walitoka wakaenda nmnje wewe umebaki hapa au wewe ni chawa mbona ulikua ktk msafara wa dubai kuhusu bandani
Ccm na polisi lao moja hawawez kufanya hivyo bila kutumwa na Rais achane danganya toto wameona dunia imepata taarifa wanaweweseka Kila chenye mwanzo wake up I ipo sku utafka tu mung yupo anawaona hawa mungu watu.
taifa ihili kama wewe sio ccm wewe sio tanzania wanalazimisha kila tanzanai awe ccm wakati kiseria kikatiba nchi seio swa kila tanzani sawa kuchangu chama anachokipenda kukipingia kurs ccm wanalazimisha kila tanzani kukipingia kura ccm wakati wameshidwa madaraka
Nawapenda.mnavyochambua..magazeti.hongereni
Nchimbi Mungu akubariki naakuongezee umri wa kuishi UENDELEE kutetea HAKI za Wat.z.
Si kweli CCM haisikitiki hii ni kawaida yao kubabaisha wanapoona mambo yameshtukiwa.
NCHIMBI MHHH
Jamani huyu mama wa kambo hata watotoze hawajali sembuse sie arudi tu maana tunaamini ukiwa munene akili hushikwa na jigugumizi
Nchimbi ni muelewa kagundua kawapa mileage Chadema maana wengi hakuna aliyejua Kuna nini
Waliwatuma Polisi halafu wajifanya kukerwa ni unafiki mtupu
Polisi wanafanya kazi kwa nguvu na sio akili😂😂😂
Sasa we unafikiri hao police wameanza tu...!
Wasitudanganye hao polisi wametumwa na hao CCM wenyewe chini ya msimamizi wa mwenyekiti wao kama c hivyo tunataka uwajibikaji kwa wote waliohusika.
Sasa akili wapate wapi 😂😂😂
😅😅😅😅😅😅@@uwembatvonline
Nchimbi ni mwanasiasa na mdiplomasia ambae kama akiendelea na kasi na speed yake 4R zitaeleweka na kutekelezeka. Wanasiasa vizuri kuwa na siasa za kidiplomasia zenye kuzingatia 4R . Kila chama kikizingatia 4R sisasa zitakuwa za ustaarabu mkubwa. Watanzania sio watu wa vurugu.
Jesh la tanzania niaibu kukamata na kujelui wapinzani wao kubaka na kulawiti wao au ndo sela za mcc?kudhulu winch?
😮Hivi kombe la pombe alalobwia Hando asubuhi yote hii inarihusiwa hapo Clouds?😮
Safi
Simba na ynga ww na mama yk cc tunatk maendeleo hz timu zintk jasho letu hali yakuwa cc wenyewe hatuna kitu jez 46 uwanjani 5000 cc hz hela tunapt wp ndo mana mnafirika kusport timu zisizo Tija miaka 90 hazijabeba club bingwa timu zote za mpira zishabeba cc c watu wa mpira cc tunatumika kuwapa mtjr maisha na wachezaji shtuka
Kweli.polisi.wamekosea
MAKONDA YUKO WAPI?
Mh. Nchimbi asante kwa uelewa wako mazuzu wengine walikuwa wanafukiri wakiwakama cdm watapata vyeo kumbe hawajui kesho yao.
Anakuhusu nini
Waliowatuma ndio hao hao wanawashangaa Tanzania hii apana Kwa kwer
Mupo Sawa wasafi bigap
Safari hii mmenifurahisha
inamani bado tanzani kimvuli mataifa yano endelea warabu na waxungu migonfi minginkuna makapuni yao wana safirisha dhhabu almasi wakati wtanzani wanaisha ufukara na maskiniwakati wolao wana chenga kwao tena sisi tuna kopa
Makonda ni ccm na ccm wamenyamaza wana juwa wenyewe hao leo chadema watu achie viongozi wetu bwana
Mmhh! Waliosoma Cuba ......
Tunajua ni agizo lao.. wanajifanya hhawakuwatuma sheeeenziii kabsa
Iyo ndio tanganyika yani ndio Tanzania ya babayenu nyerere sasaivi ya mamayenu kazi mnayo sio kupigwa tu bado kutekwa na watu wasio julikana kwaiyo muizoee nyinyi bado watumwa tu
Aliyetoa tamko Nan? Kwa hivi siasa haipo chadema sio ya kushikia mabunduki
Ni spika tulia akson ndio kawaingiza chaka anahofia kitumbua kuingia mchanga
Awa porisi awataki kujifunza kwa mwambukusi jinsi alivyosumbuliwa kugombea urahisi ndio alipopatq wafuasi wengi majibu yake sio umeyaona wangewaacha tu awa chadema na yasingekuwa makubwa ivyo kwa wananchi wengi waiojua iyo mikutano yao
Iv ccm mbona inawaona kama Wana nchi kama watoto iv kwani police anaweza kukamata Wana siasa bila kauli ya juu tufike mahala hii nchi tusiiharibu jmn haya
MKUU WA ULINZI NA USALAMA MBEYA AJITATHIMINI ANAPOTEZA KAZI,AMETENNGENEZEWA TATIZO,KWANI KIJANA ALIYECHOMA PICHA KAPOEA NA SASA KAZUIA MAANDAMANO NA KUWAKAMATA VIONGOZZI WA CHADEMA ,ANATAKIWA AJIUZURU
MUTUNGI AMESHAZEEKA KAMA MUTUNGI, HANA AKILI NA MAPOLISI WAKE!
Nyie msitutoe kwenye reli,hapa najua mnazima ishu ya yule Binti aliyebakwa na wajeda na pia mnazima ishu ya Makonda isijadiliwe
Mtu Mdogo sana huyu wanabakwa watoto kibao zinapotezewa Sembuse huyo danga.
Sio kweli kuwa ccm wanasikitishwa hizo propaganda tu
CCM endeleeni na unafiki ila naamini muda utaongeaaa
kanunu ipi na seria ipi na katiba ipi kifungo nagni iinachosema jeshi polisi kujihushisha siasa polisi wanatumia chama mapinduzi kuvuruga amani uchanguzi 2025
CCM wanajuana kwa vilemba. Hakuna cha R4
Mambo ya hovyo sana police wamekurupuka,Mama hataki mambo hayo ya kukatili watu hapendi
Acha utoto!
Unadam ya uchawa
Kitenge kumbuka wenzako uliotoka nao ktk tamsilia ya habari ulifahamika sana redio one kipindi cha michezo wakati ule wmeznzako mwegamba marehemu leo alienda bbc na wengi tuu walitoka wakaenda nmnje wewe umebaki hapa au wewe ni chawa mbona ulikua ktk msafara wa dubai kuhusu bandani
CCM waache unafiki lao no 1.
Tanzanian yetu niyamazuzu makonda yupo wapi? Wanapotenza honja
Sugu ana dada hawaelewa ije ikawa dada kaingiza chaka wenziwe
Ni kweli walikuwa hawajui, wameshangaa kuona magari ya washa, washa na magari yenye watu wanabunduki.kama kuna vita
Bongo siami 😂😂😂🇹🇿🇹🇿 NCHI yangu
Samia ndio ameruhusu hofu ya urais muuza n chi kwa waharabu pumbavu
Nchimbi muongo wao CCM ndo wameyatengeneza lkn wamejua wamebugi
serekari tanzani ikitakwi umoja mataiaf wansema wanavuja amni taifa wakati uku mttaani polisi wanapinga rai na kua mbona awasema wanavuja amani
Nimeipenda bure hawa watangazaji
Nchi ya ajabu hii dah
Polisi mchongo
police police na CCM mmmmmhhhh!!!!!!
Msgwa vpi
Polisi ni ndg zetu ni baba zetu kaka zetu, dd zetu watutendee vyema mambo mazr
Ccm na polisi lao moja hawawez kufanya hivyo bila kutumwa na Rais achane danganya toto wameona dunia imepata taarifa wanaweweseka Kila chenye mwanzo wake up I ipo sku utafka tu mung yupo anawaona hawa mungu watu.
Point
Kwani RPC Mbeya ana mamlaka na mikoa mingine ambako misafara ilizuiliwa kuelekea Mbeya! Tafakari kwa kina!
Uwezo wako wakufikiri uko vizuri sana,wanacheza na akir zetu
Utafikiri sio wasomi mambo ya blaa blaa ya kitoto kwa jamii ni uzalilishaji hata nchi na wananchi wote mnaonekana hamna akili
Unafki wa kupotezea watu wasio na kazi muda wao.
SWALA LA YULEEE BINTI ALIYEBAKWA NA POLISI LINAZIMWAA TARATIBU🤣
Ulijuaje?
Una ajili kama mchwa
Akili
Halizimiki,na likizimika hapa duniani,kamwe kwa Mungu halitazimika,litaanza kuwaadhibu viongozi wakubwa hadi makapupu wanao shangilia uovu huu.
😂😂😂😂😂 😂 nimecheka haswaaaaaa!
Yaani Police imewanyanyua Chadema ililala watu wanaongelea Simba na Yanga, siasa weshaweka pembeni
Kila lenye mwanzo alikosi mwisho
Watangazaji.nyie.hamsomi.mpakamjichetuwe.
POLISI WA TANZANIA NIWAJINGAA YANATUMIKAGA OVYO OVYO😂😂😂😂
Polisi wetu wanafanya kazi kwa mhemko! Haikupaswa kuwatreat Wanasiasa wa chadema kias kile
taifa ihili kama wewe sio ccm wewe sio tanzania wanalazimisha kila tanzanai awe ccm wakati kiseria kikatiba nchi seio swa kila tanzani sawa kuchangu chama anachokipenda kukipingia kurs ccm wanalazimisha kila tanzani kukipingia kura ccm wakati wameshidwa madaraka
Hapana mm naungana na police walikua sahihi.
Kwani una akili ya maana?
mjinga wewe na waliowakamata pumbavu
𝖨𝗆𝖾𝗄𝖾𝗋𝗐𝖺 𝗏𝗂𝗉𝗂.."𝖯𝗂𝗇𝖽𝗂 𝗆𝖺𝖾𝗅𝖾𝗄𝖾𝗓𝗈 𝗒𝖺𝗆𝖾𝗍𝗈𝗄𝖺 𝖭𝖦𝖠𝖹𝖨 𝗓𝖺 𝖩𝖴𝖴????
𝖬𝖻𝗈𝗇𝖺 𝗆𝗇𝖺𝗍𝗎𝗓𝖾𝗏𝖾𝗇𝗓𝖺 𝗇𝗂𝗇𝗒𝗂 𝗃𝖺𝗆𝖺𝗇𝗂...𝗆𝗇𝖺𝗍𝗎𝗈𝗇𝖺 𝗇𝗂 𝗐𝖺𝗃𝗂𝗇𝗀𝖺 𝗌𝗂𝗒𝗈 𝖾𝖾𝗁𝗁, 𝗄𝖺𝗆𝖺 𝗌𝗂𝖺𝗌𝖺 𝗒𝖺 𝖳𝖺𝗇𝗓𝖺𝗇𝗂𝖺 𝗇𝖽𝗂𝗒𝗈 𝗁𝗂𝗏𝗂 𝗇𝗀𝗈𝗃𝖺 𝗇𝗂𝗄𝖺𝖾 𝗄𝗂𝗆𝗒𝖺 𝗆𝖺𝖺𝗇𝖺 𝗆𝗂𝗆𝗂 𝗇𝗂 𝖱𝖺𝗂𝖺 𝗐𝖺 𝗄𝖺𝗐𝖺𝗂𝖽𝖺 𝗌𝖺𝗇𝖺, 𝖪𝗐𝖺 𝖬𝖺𝖺𝗇𝖺 𝗁𝗂𝗂 𝖩𝖾𝗌𝗁𝗂 𝗅𝖺 𝖯𝗈𝗅𝗂𝖼𝖾 𝗅𝗂𝗆𝖾𝗄𝗎𝗋𝗎𝗉𝗎𝗄𝖺 𝗉𝖺𝗋𝖾𝖽 𝗓𝖺 𝗄𝗎𝗍𝗈𝗌𝗁𝖺 𝖬𝖻𝖾𝗒𝖺, 𝖦𝖺𝗋𝗂 𝗅𝖺 𝗆𝖺𝗃𝗂 𝗒𝖺 𝗐𝖺𝗌𝗁𝖺𝗐𝖺𝗌𝗁𝖺 𝖫𝖺𝗇𝖽 𝖼𝗋𝗎𝗂𝗌𝖾𝗋 𝗄𝗎𝗉𝗂𝗀𝗐𝖺 𝗅𝖾𝗌𝗌 𝗇𝗈𝗅𝗂𝗇𝖽𝖺 𝗓𝖺 𝖺𝖿𝖾 𝗄𝗂𝗉𝗉𝖾𝗋 𝖺𝗎 𝖡𝖾𝗄𝗄 𝖽𝗎𝗁𝗁, 𝗄𝗐𝖾𝗅𝗂 𝖪𝗈𝖽𝗂 𝗒𝖺 𝗆𝗅𝖺𝗅𝖺 𝗁𝗈𝗂 𝗂𝗇𝖺𝖼𝗁𝖾𝗓𝖾𝗐𝖺 𝗌𝖺𝗇𝖺!!