Ukikutwa na makosa, unaweza hata kufilisiwa.. Usipokutwa na hatia wale waliokuharibia maisha wanakuwa huru bila hata kulipishwa chochote.. Mtu anatumwa tu kukuharibia maisha.. Dunia hii ina Watu Wana roho ngumu sanaaaaa
Let this be a lesson for artists and superstars especially from Africa…. Please know that women in the west will weaponize their whiteness/ western less against your blackness. They can make. Up lies about rape and other crimes so as to access your money. He is lucky he was not found guilty. Others have not been lucky. Wakija hizi nchi za wazungu, Tahadhari sana! I am glad he got off.
Hapo tunapata fundisho sisi watu weusi tunapo faulu kwenye maisha tukiwa na wazungu tusione kama nasisi tumeshakua wazungu, wazungu hawatupendi na hawapendi mafanikio yetu kamwe.
hawa wachezaji wa kiafrika wanapata tabu tu ulaya wakati huku wameacha mademu wa kiafrika kibao ambao kamwe hawawezi kuwafanyia unyama wanaofanyiwa na wazungu...!
Kunaajagani ya hawa wachezaji kufanya sherehe namna hii ilihali wanajua hawapendwi na watu weupe? Kwann wasijiepushe na mambo hayo? Alhamdulillah, umenusuliwa
Ipo ivyo wakikuhitaji ukakataa wanakuanzia visa,au mpaka kukuua kabisaa,ata niliona sehemu ata Sean kingston mwanamziki iyo siku izi ndo karudi tena lakini alitengenezewa mizengwe mpaka basi kisa kakataa
Sky huyo Louis Saha Matturie si yule Louis Saha mchezaji wa Ufaransa. Huyo ni kuwadi a.k.a chawa tu anatokea Sierra Leone. Yule mchezaji anaitwa Louis Laurent Saha ana asili ya Guadeloupe
Funzo unapotoka nchi yenu ukaenda tafuta nchi za watu fatakilicho kupeleka wekeza kwenu owa kwenu wanawake wa kizungu siyo watu ni mashetani wanawake wa kizungu wakishakujua ww unapesa aise utaona dunia chungu aise wekeza kwenye likitokea hata ukirudi kwenu unacho cha kuanzia
Kama walivyo wageuza watoto kuwa biashara zao pia ,ndio maana leo hii ukizaa na mwanamke yeyote duniani hakawachi unchukuwe mtoto ili uwe unantumia pesa kila mwisho wa mwezi
Alhamudillillah Yaa Allah to protect Our love brother
Ukikutwa na makosa, unaweza hata kufilisiwa..
Usipokutwa na hatia wale waliokuharibia maisha wanakuwa huru bila hata kulipishwa chochote..
Mtu anatumwa tu kukuharibia maisha..
Dunia hii ina Watu Wana roho ngumu sanaaaaa
Asee Hii kitu huwa inanipa hasira kuaribiana tu maisha
Umeniletea story niliokua naifikiria kuiyomba kutoka kwako Asante sana kwa kutupa vitu bora
3:37 e
Let this be a lesson for artists and superstars especially from Africa…. Please know that women in the west will weaponize their whiteness/ western less against your blackness. They can make. Up lies about rape and other crimes so as to access your money. He is lucky he was not found guilty. Others have not been lucky. Wakija hizi nchi za wazungu,
Tahadhari sana! I am glad he got off.
Alhamdulillah _
Shukran zote ni Kwa ALLAH
God is Good all the time 🙏
Walimkamia sana. Mungu mkubwa
Unapokua tajiri kuwa makini sana maana watu walio wengi hujifanya Wanakupenda,amini nakwambia watu hupenda kile ulichonacho
Wanawake barani ulaya kuwaongopea mastaa kwa kuwafanyia unyanyasaji wa kijinsiya Wamefanya kuwa ni biashara yao sana sana mastaa wenye asili ya África
Niliwaza snaa hii story❤❤❤❤
Asante sana mkuu tuko pamoja ❤ 💪💪🇰🇪🇰🇪💪💯
Mashallah, hongera sana ndugu yetu katika Imani,Mungu mkubwa.
Dah 😣 Mungu kamsaidia 🙏🏾
🗣️*Alhamdullilah* Hilo Ndilo Neno Alilotamka ila Mbona Wachezaji Weusi Ndo hufikiriwa Au Kutupiwa Kesi zakubaka🤷🏾♂️🥺Huzuni Sana
Like zangu🎉
Ukiwa na hela ni shida tu ukiwa huna shida yani stress tu
Ukiwa na Hella alafu uwe MTU mweusi ndio tatizo huko nje
kuridhika ni furah kubwa ya maish
Mungu mkubwa kila laher Mendy
Apewe maua yake sky💐💐💐
Sky nakukubali sana bro✊
Here US 🇺🇸 is alot of black People are in prison 40 ro 50 years for crime they didn't commit 😢😢
Fact;
They tainted black peoples talent.
Kwanini Matukio Kama Haya Yanatokea Kwa Kiasi Kikubwa Kwa Watu Wesi?
Alhamdulilah
That's why I like so much #sns
Mnatupatia habari sahihi❤️❤️❤️
Sky tunaomba story ya dele Ali. 🇧🇮🇨🇭
Alhamdulillah
Hapo tunapata fundisho sisi watu weusi tunapo faulu kwenye maisha tukiwa na wazungu tusione kama nasisi tumeshakua wazungu, wazungu hawatupendi na hawapendi mafanikio yetu kamwe.
Ulaya Yani wanazinguliwa Sana ukiwa tu star na tajir,,Kila mtu anakuja kwako kimaslahi alafu baadae wanapanga mpango wakukudhurumu pesa,,sio haki
kesi hizi husikii kukutwa nazo wazungu...yaani kila siku wanabebeshwa watu weusi...!!
Wanawake wakizungu Wana mapenzi yakitapeli kwa watu weusi
Ukiwa unafanya kazi ulaya Bora upige Puri .✍️✍️✍️
hawa wachezaji wa kiafrika wanapata tabu tu ulaya wakati huku wameacha mademu wa kiafrika kibao ambao kamwe hawawezi kuwafanyia unyama wanaofanyiwa na wazungu...!
Kunaajagani ya hawa wachezaji kufanya sherehe namna hii ilihali wanajua hawapendwi na watu weupe? Kwann wasijiepushe na mambo hayo?
Alhamdulillah, umenusuliwa
👏👏👏
Hawati kukubali kua mungu ametupa talents wanataka kua wao juu kila siku
Wazungu sijui watatuacha lini ss ngozi nyeusi yaani awapendi ngozi nyeusi ikifanikiwa
Yan nilichogundua hawa wajenzihuru ukiwahaupo kwenyechama chao wanakutengenezea mazingira mengi yakukufilisi hawa washenzi sana
Ipo ivyo wakikuhitaji ukakataa wanakuanzia visa,au mpaka kukuua kabisaa,ata niliona sehemu ata Sean kingston mwanamziki iyo siku izi ndo karudi tena lakini alitengenezewa mizengwe mpaka basi kisa kakataa
Kwakwl nimekuw nasubir Sana iyo story asant
Fredrick bundala sitokataa tamaa ila ninachotamani uwe mtangasaji wa crown media
Dah ila kawagonga sana! Sema walimkamia sana..
Mungu die mteteanji wetu
GOOD
👏🏽
Sky huyo Louis Saha Matturie si yule Louis Saha mchezaji wa Ufaransa. Huyo ni kuwadi a.k.a chawa tu anatokea Sierra Leone. Yule mchezaji anaitwa Louis Laurent Saha ana asili ya Guadeloupe
Mungu hana utamaduni wakumudhulumu mwenye haki
Funzo unapotoka nchi yenu ukaenda tafuta nchi za watu fatakilicho kupeleka wekeza kwenu owa kwenu wanawake wa kizungu siyo watu ni mashetani wanawake wa kizungu wakishakujua ww unapesa aise utaona dunia chungu aise wekeza kwenye likitokea hata ukirudi kwenu unacho cha kuanzia
Nimuda sasa wa afrika tuboreshe maisha ili tuepukane na manyanyaso ya wazungu
Kaka haitowezekana kwasababu viongozi wetu wengi wao niwafiki
First viewer nipe maua yangu
Mwamba anaogopa kuingia kwenye mausiano 😂😂😂
Watawamaliza wasipo Rudi Afrika
Hapa kilichompelekea yote ni mtindo wake wa maisha so for niw i bet atapunguza
Pole broo huenda hujabaka kweli ila na wewe kwa huko kukiri mlikua munakubaliana unaonesha ngono unaipenda😅
Oha sasa nitiani kutoka kwa mungu acha mambo ya kujilusha dawa tafuta mweusi mwenzio owa tu
Hawo wazungu tu wanakuja kuowa africa atasijui kwann na kwao kunawanawake wazuri mno
Wanawake qanafata nini kwake ss
Ao wanawake walienda kuangalia Tv au
Wanawake wa ulaya ni mashetani wanataka pesa za mtu kwà lazima
Kama walivyo wageuza watoto kuwa biashara zao pia ,ndio maana leo hii ukizaa na mwanamke yeyote duniani hakawachi unchukuwe mtoto ili uwe unantumia pesa kila mwisho wa mwezi
Unavitu vikali sana
Jitahdii bs angalau hii uifanye tv rasmi tuwe tunaipata kwenye vingamuzi😢😢
Ssa bwana sky hivi uyo Franck Luckman tutamuona lini mbna tunashabikia Ghost writer
Naam, Frank ni mtu wa behind the scene tu, si mtu wa camera
@@SimuliziNaSautije jina lake linaandikwaje me huwa napenda unavyolitamka😂
Unapokua na hela basi muogope ssana mwanamke🤦♂️
ukweli huo hua hawafwati wewe wanafwata tu hela
Tena ukiwa nchi za watu weupe
Kaka samahani naomba simulizi ya YNW MELLY na hatima ya kesi yake
Wazungu hao
❤❤❤
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌.
Kwani Mason greenwood yupo bado man united
Stay always from them British girls
Walikua na tamaa tu pili wislam wake
Wanawake Sio wa mchezo mchezo ni wa kukaa nao Mbali sana uwe na hela usiwe na hela
Very true. Ukiendekeza wanawake umechagua matatizo na umasikini.
Hata wanaume pia wapo wa hivyo muhimu ni kuwa makini kwenye kuchagua na kumpima nq ujue ataweza yote utakayopitia
Hawa wanawake wengine ni mashetani wamemuharibia future
Nilikuwq na kutang kwq tiktok bora umeileta
Kwanini wafrica wakiwa na mafanikio ulaya wanafanyiwa figisu
20/07/2023____04:24 pm
Mungu mkubwa lakin wameua kipaji chake
Wanawake ni mashetani kweli
Ndio wakome umalaya hawa wanaume. Ingelikuwa hawalali na wanawake hovyo hovyo yasingemkuta.
Fuatilia kwa makini kuhusu wanawake wa magharibi (Ulaya) juu ya mastar wa Kiafrika. Usilaumu tu kwa kukariri, fuatilia utapata ukweli.
Wacha watu wakacheze arabuni
Napata wasiwasi wanawake 13 wote wakusingizie wewe"!!?
We ujui wanawake wa ulaya
@@mubabray9845mwambie huyo
Sky nakukubali sana bro✊
👏👏👏👏👏