Wa alaykum salaaam warahmatullahi wabarakatuh shekhe letu Salim nafrahi kuwaona mnabaghilishia umma uislamu bendera inapepea juuu juu kabisa yaani... jazzahkumullahukhairan
Assalaam alaikum warahmatullah wabarakatu hongereni saana mashekh wetu kwa kazi nzuri ALLAH awalipe hapa duniani na kesho akhera ,,,nilikuwa nauliza ,vp Hali ya sheikh yusufu
ukiwa unafanya mazuri huwa umeongoka na sio kuokoka, kuna KUONGOKA na KUOKOKA, hapa duniani ni KUONGOKA na kesho ni KUOKOKA, nafikiri umeelewa sheikh Salim
Sheikh Salim umepoteza muda mwingi sana na huyo jamaa wakwanza , it's clear hakuwa anajua anaongelea nini. Watu kama hawa si wakujadiliana nao sana. Hajui maandiko wala hana khabari na dini yake. Ye anaongea tu story zake.
aSalaamu Aleikum warahmatulullahi wabarakatuh ustadhi mm nmekua mwanafunzi wako ila naomba unionyeshie pale naeza pata bibilia ya Africa au king James 1952
@@daru2549 Biblia ya kiafrika nenda kwa book shop za kikatoliki utazipata ila Biblia 1952 imekua ghaibu sana kuzipata sio rahisi vile huwa twazipata kwa bahati sana lakini iwapo una mtu Tanzania anaweza kutafutia....!!!
52:18 Huyo dogo asielewa anadhani neno NINGEPENDA Litamufanya aonekane msomi na mwenye busara wakati anaharibu zaidi na kuonekena mpumvu kwani mjinga anakubari kujifunza lakini mpumbavu utapoteza muda kumufundisha kwani anaamini kama anajuwa
Alhamdulillah no one leo , Allah awajaalie wakristo wakiona kweli waifuate aamiin
Wa alaykum salaaam warahmatullahi wabarakatuh shekhe letu Salim nafrahi kuwaona mnabaghilishia umma uislamu bendera inapepea juuu juu kabisa yaani... jazzahkumullahukhairan
Kabisa sheikh
Asalam alykum warhamatulahi wabarakatu BarakaAllah kazi nzurii
Waaalaykum Salaam Warhamatullah Wabarakatuh
Kisha usiwacheke kwa sababu ya kuteleza kidogo.
Asalam aleikum warahmatullahi wabarakatuh MashaAllah Allah awabariki inshaAllah tuko pamoja
Walaikum salam warhmatillah wabarakat
Waleikum salaam warahmatullah wabarakatuh
Wlkum msalm waratulahyh wabarakatuh
Assalaam alaikum warahmatullah wabarakatu hongereni saana mashekh wetu kwa kazi nzuri ALLAH awalipe hapa duniani na kesho akhera ,,,nilikuwa nauliza ,vp Hali ya sheikh yusufu
ukiwa unafanya mazuri huwa umeongoka na sio kuokoka, kuna KUONGOKA na KUOKOKA, hapa duniani ni KUONGOKA na kesho ni KUOKOKA, nafikiri umeelewa sheikh Salim
Yeah
SUBHANALLAH
Walimu naomba Mwenyezi Mungu awape uvumilivu naafyanjema
😅😅😅huyo yuwamaanisha KUONGOKA, ila hajui kujielexa Wala kutofaiutisha na Kuokoka
Assalamu Alaykum sheikh salim na team
Allahdhulahih 🤲
Masha Allah
Allahamdhulla
Sheikh Salim umepoteza muda mwingi sana na huyo jamaa wakwanza , it's clear hakuwa anajua anaongelea nini. Watu kama hawa si wakujadiliana nao sana. Hajui maandiko wala hana khabari na dini yake. Ye anaongea tu story zake.
aSalaamu Aleikum warahmatulullahi wabarakatuh ustadhi mm nmekua mwanafunzi wako ila naomba unionyeshie pale naeza pata bibilia ya Africa au king James 1952
We wataka msahafu au bibilia
@@daru2549 Biblia ya kiafrika nenda kwa book shop za kikatoliki utazipata ila Biblia 1952 imekua ghaibu sana kuzipata sio rahisi vile huwa twazipata kwa bahati sana lakini iwapo una mtu Tanzania anaweza kutafutia....!!!
Alhamdullilah
Ukija kiwanja cha Reuben uje umejipanga, ukileta maandiko yakirongo utashikwa tu. 😅😅
Mpaka kieleweke inn shaa Allah
Kaka mtu kama huyo wa mwanzo kwa dakika tano utamuelewa vizuri,asiaribu mda kwa kubisha na hajui lolote plz
Inn shaa Allah
Huyo anaharibu muda hana point.
Alhamdhulirah ❤❤❤🙏🙏🙏🙏
Masha Allah
Assalam Alaykum Warahmatullahi Wabatakatuhu.. mazbut wallah ndani ya railway grounds,, Jannatul Firdaus iwe makao yenu Amin
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aamiin amiin amiin sote
Sawa
Kutoelewa Ni shida
Kuwa ba subra kidogo ustadh. Wawache waulize maswali mwanzo. Sasa wewe unwachanganya na kuuliza maswali yako. Hawataelewa ukienda kwa hiyo njia
Wlhi Ustadh ajawachagania lkni, Wchungaji wao ndio ame wapoteza.
HATUTAKI SHADRAK KUULIZA MASUALI YAKE YA KIJINGA, TAFADHALI!
52:18 Huyo dogo asielewa anadhani neno NINGEPENDA
Litamufanya aonekane msomi na mwenye busara wakati anaharibu zaidi na kuonekena mpumvu kwani mjinga anakubari kujifunza lakini mpumbavu utapoteza muda kumufundisha kwani anaamini kama anajuwa
Masheikh hapa nahuyu kijana wote viswahili vyenu havieleweki jitahidi masheikh wetu kuzungumza kiswahili kinachoeleweka ndio maana hamuelewani sio kwabaya masheikh nilitamani ningekua hapo tusaidiane kiswahili
Kaka kiswahili unaosikia ndio mwisho hakuna la ziada kama wewe umelelewa katika sehemu wanazungumza kiswahili sanifu tofauti na huku kwetu vumilia😂
Icho ndo kiswahili cha Kenya kaka na.wote wanaelewana hao
Iko sawa Wakristo waelewe pole pole, think ni ile, brain washed wZungu waliwafanyia Mungu ni mmoja, even me dio nmekuja kuelewa
Asalamu aleykum That’s Christian rules must lie yourself . Shula tulikuwa kitanda weli. Chora chora Hajui Ana chora.
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh