Wasichana Mkoani Simiyu Kufikiwa Na Elimu Ya Kuepuka Mimba Za Utotoni
Вставка
- Опубліковано 16 лис 2017
- Wasichana elfu kumi na tano mkoani Simiyu wakiwemo wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wanatarajiwa kufikiwa na elimu ya jinsi ya kuepuka mimba za utotoni na ukatili wa kijinsia.