Enzi Zao: Ezekiel Barngetuny

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 жов 2024
  • Hebu tafakari kwamba rais wa jamhuri anakuamini kiasi cha kwamba wewe ni mmoja wa wachache wanaoweza hata kutuliza hasira zake akikasirika.Hebu fikiria ukiwa na uwezo wa hata kugeuza mawazo ya rais na kumshawishi atende au asitende jambo fulani. Basi huo ndio uwezo ambao mzee Ezekiel Barngetuny alikuwa nao dhidi ya Rais mstaafu Daniel Moi, wakati Moi alipokuwa mamlakani. Wiki hii kwenye makala ya enzi zao, Franklin Macharia anamwangazia Ezekiel Barngetuny, mwandani wa rais mstaafu Daniel Moi.

КОМЕНТАРІ • 30

  • @josseskosgey
    @josseskosgey 5 років тому +2

    He was a respected man. Barng'etuny Secondary School - Kapchumba was established in honor of his memory.

  • @mtuwawatuhoyee6549
    @mtuwawatuhoyee6549 2 роки тому +1

    Hii kabila liliumiza na kuteza kenya !, Tuliumia sana miaka ishirini na nine bila maendeleo na ukabila mwingi bila aibu.

  • @Temboz
    @Temboz 5 років тому +5

    is it me or does this guy sound exactly like Nyayo(Moi).

  • @gideongathekiamkoloni5043
    @gideongathekiamkoloni5043 5 років тому +2

    Barngetuny the Legend

  • @mwendapoleee
    @mwendapoleee 7 років тому +2

    Anataja Mungu lakini accumulate wealth while others Hunger!

  • @sammycharomwalili6728
    @sammycharomwalili6728 2 роки тому

    Huwa napenda hizi mazungumzo ya wazeee

  • @curiosity151
    @curiosity151 11 років тому +6

    Ha ha ha, he sounds like Moi!!

  • @indivirabonnymatenje7290
    @indivirabonnymatenje7290 8 років тому +3

    Rip mzee

  • @mwendapoleee
    @mwendapoleee 10 місяців тому

    Ulimwengu sio yeti lakini 2k acres ya nini.

  • @siasabora
    @siasabora 13 років тому +5

    the era of mediocrity n sycophancy....that wrecked a nation.

  • @SololoMutai
    @SololoMutai 5 років тому

    Gotab Sololo 🐝🐝

  • @Jasubakende
    @Jasubakende 13 років тому

    He is in remarkable health the old codger!

  • @angelatwist8085
    @angelatwist8085 5 років тому +2

    Barngetuny plaza

  • @wwjd3792
    @wwjd3792 4 роки тому +1

    This goon Moi should have died in prison, he committed alot of crimes against humanity towards his people and squandered Kenyans resources. May he rot in hell where he belongs.

  • @HannahmTV
    @HannahmTV 12 років тому +1

    god 2000 acres rundisha ardhi ya wakenya ndio ata even with 91 years your keys to heaven or hell r missing!!!! waizi

  • @erickwainaina1504
    @erickwainaina1504 5 років тому +1

    naguwa mashintano

  • @djumoja
    @djumoja 11 років тому +4

    people asking him to donate his land to idps are sick.. kwani he does not have family and people in his community that are poor.. this man is 91 and he got his land during kenyattas time with his own money.. stop being jealous and thinking everyone with land stole land shit.. go to another african country and buy land there instead of demonizing everyone with land..clowns

  • @BelindaOkech
    @BelindaOkech 11 років тому +1

    umesema ukweli jambopatty.how many people work from morning to evening and cant even afford 1 acre?kama chma fulani kingefanya mtu apate haya mali yote,anyone would say KANU TAMU!we never know which damu they are talking about.yao ama ya watu wengine.oops.so funny ati alikuwa anaenda kuongea na moi kumwmbia mambo ya mungu na kadhalika,basi pia mimi nataka hiyo kazi niwe milionare.Mtu wa mungu,na hiyo shamba iko tu hapo,while pple elsewhere hawana chao.hope hell is big enough.

  • @geoffreyokwemba7876
    @geoffreyokwemba7876 5 років тому +1

    2k acres!?🤔🤔 mine is barely 2 acres

    • @paulkabira543
      @paulkabira543 4 роки тому

      So it is enough for you

    • @ericotieno8331
      @ericotieno8331 3 роки тому

      Heri wewe uko na mbili. Wengine hatuna kitu buana.

  • @michaelheery7427
    @michaelheery7427 5 років тому +1

    Kenyatts has 600,000.

  • @alisinyayala1
    @alisinyayala1 12 років тому

    Donate some land to the IDPS

  • @oslojeremy
    @oslojeremy 12 років тому

    no wonder we hade idps xxxxxxx20000000 ha ulipata wapi aje vipi

  • @gideongathekiamkoloni5043
    @gideongathekiamkoloni5043 5 років тому

    Ganu ntamu