Nazan toka nianze kujua viongoz wa sehem tofaut tofaut katika taifa hili tumebahatika kuwa na viongozi wa4 wenye busala san nyelele jpm mkapa pamoja na hers saidi napenda san zungumza yake yuko very good 👍👍
Hakika tuna jivunia sana viongozi wetu kwa kazi nzuri hakika raisi tunaye tuna jivunia wewe kuwa kwenye timu yetu unajua kuongea na wana jeshi wetu na inshallah kwa umoja wetu sote wana yanga tuta fika mbali mungu ibariki yanga mungu ifikishe yanga kwenye ndoto yetu yakuwa mabingwa wa Afrika mwaka uyu dua zetu wana yanga sote kwa ujumla kuiyombea timu yetu na fiongozi wetu kwa ujumla
Hongereni sana na mungu azidi kuwapa nguvu tuko pamoja na tunawaombea mm nikiwa Serengeti Tanzania nawakaribisha pia mjionee wanyama wetu young nguvu Moja.
Huwezi kuiga UONGOZI! YOU ARE BORN A LEADER! HERSI IS A NATURAL LEADER! T umuombe sa wanayanga, tukitaka kuwa A BIG FORCE IN AFRICAN FOOTBALL,TUMLINDE HUYU JAMAA! HAYO MANENO ,HUJIFUNZI POPOTE! UR BORN WITH IT ! GOD BLESS YANGA!
Halafu kuna yule Ngungus baada ya ushindi dhidi ya Waarabu anawabeza Yanga kuwa wamewafunga wafanyakazi wa Bank. Kummaaamakeeeee zake.... Yanga ni bora sana kuliko timu zoote Tz
Rais tuna timu nzuri San ila haimaanishi kizur hakinakasoro...asee naomba msonda aangaliwe ni Bora skudu angebaki msonda angeenda coz hajui bado anachotakiwa kufanya kweny timu kihufupi haendi sambamba na mbili za timu na mashabik bado anamchezo ambao tushahama
Good leadership, best training team, best player but we a task to make the world know that. I have something to work on attacking moves, to improve our utilization probability of scoring chance. namna Bora ya kutoa final assists pale ambapo ni muhimu, especially V assist passes it's very layer we make it. V short crosses should be our official attacking signature.
Tunaomkubaliii Raisii Eng Hers said gonga ❤❤❤❤❤like hapa🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Boss wetu yeye hanaga mambo mengi asemaga tu yanga bingwa...
We love you boss wetu GSM🎉🎉
Hersi mungu akupe maisha marefu umejua kutuheshimisha mno✅✅✅🖤🖤🖤🖤💛💛💛
Nazan toka nianze kujua viongoz wa sehem tofaut tofaut katika taifa hili tumebahatika kuwa na viongozi wa4 wenye busala san nyelele jpm mkapa pamoja na hers saidi napenda san zungumza yake yuko very good 👍👍
😂😂😂
Kwenye nafasi ya mkapa umekosea. Ni marehemu mzee Mwinyi.
kwa mkapa ondoa hapo aliwa watu wengi sana zanzibar hafai huyo
@@saliminyusuph6122 Huo ni mtizamo wake sio lazima afanane na wewe
Yupo smart sana😂😂
I love hers said nakukubali sana kiongoz wangu respect
Allah Amlinde huyu baba jaman,tunakiongozi wa maana sana
Sasa nimejua kwanini hawa wachezaji wanaupiga mwingi 😂😂😂😂
Huyu jamaa anajua jinsi ya kuwapa watu moto 🔥🔥🔥💪💪💪🏽💪🏽
Ndio maana inapasua watu
Tufunge milango ya fitna ili tuendelee na mafanikio.
Aziz anaulizia ela kwa tajiriii safiii😂😂😂😂😂
We are young Africa I appreciate all ma players, technical staff and leadership
Hakika tuna jivunia sana viongozi wetu kwa kazi nzuri hakika raisi tunaye tuna jivunia wewe kuwa kwenye timu yetu unajua kuongea na wana jeshi wetu na inshallah kwa umoja wetu sote wana yanga tuta fika mbali mungu ibariki yanga mungu ifikishe yanga kwenye ndoto yetu yakuwa mabingwa wa Afrika mwaka uyu dua zetu wana yanga sote kwa ujumla kuiyombea timu yetu na fiongozi wetu kwa ujumla
mungu awatie nguvu wanayanga wote na viongozi wetu wote
THE GOOD PRESIDENT WE HAVE...... THANKS FOR THE GOOD WORDS THAT MAKES OUR TEAM MORE STRONG
Mungu ibariki young africans
Allahmdulilah 💚💛 wananchiiiiiiiiiiiiiii naipenda yanga ya GSM
Mimi ni simba la lakini huyu rais mungu kambariki sana kwenye uongozi❤
Mungu ibariki young Africans
Hongereni sana chamalangu nawapenda sana 🎉🎉🎉🎉🎉😅
Wallah nakumbuk tulikua na team mtaan lakin tukachukua ubingwa nilkua kipa no 2 lakn vaibu langu 😂😂😂
Daaah injinia hadi machozi ya menitoka chukua maua yako 💐💐
Safi sana raisi wa ball huna baya emdelea kuipambania Yamga yetu Daima mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉
Hongereni sana na mungu azidi kuwapa nguvu tuko pamoja na tunawaombea mm nikiwa Serengeti Tanzania nawakaribisha pia mjionee wanyama wetu young nguvu Moja.
The Besty President 🙌🏼🙌🏼Maana Halisi Ya Kiongozi Wa Mpira Brain Brain Brain 🧠🧠
Shikamoooooo🎉🎉🎉🎉🎉🎉 injinia thenyou
Huyu heris kweli nikiongozi wa mpira haswaaa anastaili
Huwezi kuiga UONGOZI! YOU ARE BORN A LEADER! HERSI IS A NATURAL LEADER! T umuombe sa wanayanga, tukitaka kuwa A BIG FORCE IN AFRICAN FOOTBALL,TUMLINDE HUYU JAMAA! HAYO MANENO ,HUJIFUNZI POPOTE! UR BORN WITH IT ! GOD BLESS YANGA!
Daima mbele nyuma mwiko💚💚💚💛💛💛💛
Halafu kuna yule Ngungus baada ya ushindi dhidi ya Waarabu anawabeza Yanga kuwa wamewafunga wafanyakazi wa Bank. Kummaaamakeeeee zake.... Yanga ni bora sana kuliko timu zoote Tz
Mkumbushe kuwa hata yeye na madudunka wenzie walikula 5 ama nawao niwafanyakazi wa bar🍸
Ngunguz ni wetu yule .... Anawapa vyeo wajinga
Mbn hivivitu Huwa mnaposti baada ya mechi.. nawakati vinafaa vipostiwe kabla yamechi
Eti jamani boka anakulaga makande ?au 😮mlenda?😂😂
RESULTS ARE SEEN BY EVERY BODY BUT THERE'S ALOT OF WORK BEHIND SCENES... WHA A TEAM, WHAT A COMBINATION🔰🔰🔰🙌🙌🙌
Perez❤❤❤
Hongera sana president wetu❤ pamoja na jeshi letu
Jamaa ni hodar sana yupo very very smart congregation🎉🎉🎉rais
Asa kwa madini ayo mzee magoma ataweza English tu kwake shida 😂😂Respect Mr.president kwa Nondo zilizo na madini
Hii timu ndiyo yenye wachezaji wenye furaha Africa mashariki na kati
Mr president 🔥🔥🔥
Tuliwahi kushinda 1998 4-2 Kama sijasahau Kama hawakuwa St George basi Ni wale coffee ambao walipokuja dar walipigwa 6-1
Yanga is the best of best💚💚💛💛🇹🇿
President wa ball
We are very grateful and proud to be with you heris and your team
💚💚💛💛🙏🙏
Amina viongoz wetu wayanga
Raisi wetu mpore sana mtuwawatu anapendwa na Kira mtuu Mungu akutunzebbaba etuu unaetueshimisha kuwa mabingwa wa nchi
Huyu rais tusipo mueka kwenye maombi watu watamuhujumu huyu
Ongera xaaan Rais
Haya maneno makali ya Engineer yalichochea tanuli la moto kwenye mioyo ya wachezaji ndo maana walikuwa na hasira kiasi kile🫡🫡🫡to you engineer
Hapo ndio utaona tofauti ya KIONGOZI,na wahujumu uchumi piga kazi KAKA
WA kwanza kucomment, NAOMBA LIKES ZAKO ILA NA KUFOLLOW CHANNEL YANGU PLEASE USISAHAU❤ ALL
Ukafungue ngege sasa tushakupa like 😂😂😂😂😂😂
Kazi kazi
huyu jamaaa ni wamaaana saaana
Mwamba kweli kweli
Sanaaaaaa yaaaani
wakwanza leo nipewe like jmn
mwambaa apewe hata uraisiii wa caf
Aziz anauliza "Sh ngap?"😂😂😂
Injinia 💪
Pigakazi baba mzaz
💛💚
Azz hajui kiswahiri🎉🎉🎉
Sio mpira tu hata nchi uyuu jamaa yuppo poa kabisa
Ukiwa unamsikiliza Eng. Unasikia raha yaani unakuwa unatamani hata asimalize kutoa speech 😂😂
Yanga ina watu
Tukazie hapo wana nchi nusufainali naiona tayali.
Love yanga
Yanga tmuuuuu
Anatokea mula sukari mmoja anasema eti engineer aondoke yanga ili yeye ndo rudi yanga😂😂😊
uyu ni zaid ya kiongozi jamani yani ata nchi ana faa kuogoza
Kwani Azizi ki amesemaje
Wew ni Rais wa mpira
❤❤❤
Tujuane wana yanga hap hap ❤❤❤❤
Baada ya hayo maneno,ukaja 6-0😂
🎉🎉🎉🎉🎉
❤
smart
Rais tuna timu nzuri San ila haimaanishi kizur hakinakasoro...asee naomba msonda aangaliwe ni Bora skudu angebaki msonda angeenda coz hajui bado anachotakiwa kufanya kweny timu kihufupi haendi sambamba na mbili za timu na mashabik bado anamchezo ambao tushahama
💚💛💚💛
Yanga ndio tim Bora Africa na mashariki wewe ubishe ukubali wewe ilete Tim Yako kama unabisha tuione Tim yako
Rais wa mpira
Coment zinazo vunja moy usisome bro
Wakwanza like pls🙏
Viongoz wa yanga wanafanya kazi kubwa ambayo tunaiona uwanjani ikiwa transformed na wachezaji
Yangaaaaaaaaaaaaqaa mamerodi aje tumalizane nae
Yuko wapi Haji Manara au ameamua kuwa mute
Hongera.sana.kiongozi.wetu.allah.akupe.afyanjema.iliuzidi.kuingoza.timuyetu.tunakukubali.raisiwetu.big.up.sana
❤
Timu Yangu Ya maisha Yanga bingwa 💛💚💛💚💛💛💛💛💛💛💞💞💞💪💪💪💪💪💪💪💪💪🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
aisee napend jins kiswahili kinavyotumika na kueleweka
Mungu awabariki viongozi wetu wote kwa kuipambania team yetu pamoja na wachezaji wote
Daima mbele nyuma mwiko hongereni nyote 🎉🎉🎉💚💚💛💛
Magoma angeweza sasa kuongea ivyo mzee kaixha
Napenda sana anavyoongea nakuchanganya lugha kwa wengine wasio jua kiswahili...😅😅😅
Kuna international staffs n players pamoja na local staffs n players hivyo lazima kiswanglish ki take place hapo
WA kwanza kucomment, NAOMBA LIKES ZAKO ILA NA KUFOLLOW CHANNEL YANGU PLEASE USISAHAU❤ ALL
Good
Uongozi bora ndio kila kitu kwa kweli hongera President(Orya) kwa wanaojua kisomali wanajua maana yake😂
Good leadership, best training team, best player but we a task to make the world know that. I have something to work on attacking moves, to improve our utilization probability of scoring chance.
namna Bora ya kutoa final assists pale ambapo ni muhimu, especially V assist passes it's very layer we make it. V short crosses should be our official attacking signature.
Hersi alizaliwa kwaajili ya yang a ila Mungu aliiweka yanga kwaajili ya Hersi pia
Naommba wachezaji wangu tunawategemea sana tupo vizuri sana msim huu naiona fainaili hoyeee
Kila hatua Dua 🙏
Tunawadai kombe la Africa
Eng hersi ni rais wa mfano 💪
My Prezdent 💛💚💛💚💛💚 Mwenyezi Mungu akuweke sanaaa baba
Just imagine hapo sasa angekuwa anaongea Mzee Magoma .....kaaah hii nchi ngumu sana
😂😂😂😂angewasomea kurujuani
RAIS🙌🏾😎
Wewe ni kuongozi