Serikal jitaidini kuwa makini haiwezekani tunapoteza nguvu kazi kwa mambo ya kipuuzi kama haya milioni 10 inatoa uhai wa mtu kweli,SIO poa,Nina Imani kwa uwezo wa mwenyezi mungu hakuna kinacho shindikan, MWENYEZI MUNGU AKUWEKE MAHARA PEMA PEPONI.ASIKARI WETU
Safety box zipo simple sana nadhani haya yameshatokea palipobakia tumuombeeni sana Dua ndugu yetu,na tuzidi kuchukua tahadhari juu ya matukio kama haya.
Haiwezekan Yani haiingii akilin kabsa Sheri ilipo na kituo cha polisi kilipo na mahakama ilipo ni pua na mdomo Ina maana asikari waliokuwepo pale mahakamani hawakuona tukio
Tujazieni tu hao wabara wenzenu waje kutumaliza maana mlouwa 64 na kila uchaguzi hawajatosha masikini zanzibar yatima inozulumiwa na watawala makaburu tanganyika
Kwa iyo kamanda huuamini ulinzi wa JKU? Wamiliki wa vituo vya mafuta waimarishe ulinzi vipi unavyoshauri ww wakati teyari wamekodi JKU kulinda vituo vyao? Na mbona unaiita kampuni? Wakati hicho ni kikisi cha ulinzi cha serikali
Sawari langu nikwamba je hao majambazi wamejuwaje kama hapo ela zinalala?napalikuwa hamna wauza mafuta nikimaanisha wafanyakazi wà sheri kusema labda walikuwa bado wapo wanauza mafuta na ela zipo
Hahaha, inachekesha sana!! Watu Wana risasi za moto eti wamevamiwa na silaha za jadi Tena wamepokonywa silaha zao za moto!! Kumbe munatamba ikifika kipindi cha uchaguzi tu!! Wapumbavu wakubwa nyie
Ndugu passport SIO suruhisho,ila tu suruhisho la matukio kama haya ni vyombo vyetu vya ulinzi na usalaama,Kuna JWTZ, POLICE,JKU,KMKM,KVZ ,ZIMAMOTO PAMOJA NA MAFUNZO VIKOSI VYOTE HIVI VINGEKUWA NA USHILIKIANO WA PATROL KILA SEHEMU MATUKIO KAMA HAYA YASINGETOKEA ZANZIBAR NI NDOGO SANA RAIA MA VYOMBO VYA USALAMA INAWEZEKANA KUZUIA MAYUKIO KAMA HAYA.
acheni ujinga uwoo hii ni ajali hata kama wangelilinda na bomu la nyuklia wakati wa kufa ukifika utakufa tu. na huyu kamanda vp? jeshi analiita kampuni yaani hawa jamaa wajiona vibaya sanaa.
Mwenyenzi mungu tuondoshee mabalaa haya yanayoendelea kutokea katika kisiwa chetu hapa tupofika siku tu tulichotegemea kabisa
Serikal jitaidini kuwa makini haiwezekani tunapoteza nguvu kazi kwa mambo ya kipuuzi kama haya milioni 10 inatoa uhai wa mtu kweli,SIO poa,Nina Imani kwa uwezo wa mwenyezi mungu hakuna kinacho shindikan,
MWENYEZI MUNGU AKUWEKE MAHARA PEMA PEPONI.ASIKARI WETU
Hio ndio Zanzibar ni njema atakae aje hapo ndio tulipofikia hamna tena Amani poleni sana wafiwa Allah amsameh makosa yake
Milioni kumi wanatoa roho ya mtu daah ukatili ulioje
Jamani ndugu zanguni mungu siyo asumani
Sasa mbona hawo hawana kabila kama siyo ubaguzi ambayo ipo kwa wamasai nini sasa 😡😡
mbona kama ni mchongo,mmoja auliwe mwengine ajeruhiwe tena wana silaha ya moto
Tatizo nyinyi wakuu wapolisi nyote mnatokea bara nahao waporaji ni ndugu zrnu wanatokea hukohuko kwahio uhalifu zanzibar utaendelea mana weye arps hata ukisema utembee chochoro za zanzibar hamzijui ndomana uhalifu unazidi
Hiyo inayofanya uhalifu mitwana kutoka bara zanzibar
Musiseme. Km watu. Wa bara hamuezi jua. Mm mzanzazibar ila sipendi ubaguzi kwetu ss na hata wao
Tajeni kabila acheni ubaguzi 😡😡😡
Ni watu wasiojulikana nadhani ni wale aliompiga shamte sasa hawana pesa wanaingia kwenye bweta za sheli mnawajuaepolisi msitudanganyey
Wabongo wanaingia visiwani awa
Safety box zipo simple sana nadhani haya yameshatokea palipobakia tumuombeeni sana Dua ndugu yetu,na tuzidi kuchukua tahadhari juu ya matukio kama haya.
Huyu ana zungumzanini mbona anazalilisha askari wa serekali ya mapinduzi ana waita walinzi anasemanini askar ana waita walinzi wakampuni
Serekali mnasababisha kuuwawa kwa askari tanzania .. sera zenu za matumiz ya silaha ni ngumu
Imefikia raia wanachezachezq na majeshi yetu
@@marrowog8975 yaani. Kuna mengi ya kujiuliza
Hi I huyo alio jeruhiwa kwakupigwa mateke ingia akilini.?. Mchungu zeni vizuri.
Mimi nawalaumu askari inaonesha hamna ulizi katika maeneo hayo au doria
Nyinyi police mnajiona,,,,hao ni askari sio walinzi acha kudogesha vyombo vyetu vya ulinzi
Maisha ni magumu watu wanamichongo saivi
Haiwezekan Yani haiingii akilin kabsa Sheri ilipo na kituo cha polisi kilipo na mahakama ilipo ni pua na mdomo Ina maana asikari waliokuwepo pale mahakamani hawakuona tukio
Haiwezekani mwingine auwawe mwingine apigwe mateke hapana huyo mmoja wamateke ni mmoja nahao waharifu waliotekeleza mauwaji
Tujazieni tu hao wabara wenzenu waje kutumaliza maana mlouwa 64 na kila uchaguzi hawajatosha masikini zanzibar yatima inozulumiwa na watawala makaburu tanganyika
Inalillah wainaillah rajighuun😢😢😢
Innallilah wainna illah rajjiun
Ila mmewaona kwenye cctv camera hembo njoon na tarifa kamili ctaki hizi
Kwa habari za mawio Mimi ni bin Nyange media
Kwa iyo kamanda huuamini ulinzi wa JKU? Wamiliki wa vituo vya mafuta waimarishe ulinzi vipi unavyoshauri ww wakati teyari wamekodi JKU kulinda vituo vyao? Na mbona unaiita kampuni? Wakati hicho ni kikisi cha ulinzi cha serikali
Kuna wale wakala wa ulinz JKU ambao sio waajiriwa
Kwa hyo jamaa alikuwa si JKU au mbona wamempa Silaha ? Kisha hao hao jamaa alovamia kwel walikuwa na mapanga au na wao walikuwa na silaha z moto?
@@thabitdeco1575 kwa taarfa iliotoka walsem wamewavizia
@@thabitdeco1575 cjui kwnn wanpew silaha ila wanakuw wameptia mafunzo ya kujenga taifa
Sawari langu nikwamba je hao majambazi wamejuwaje kama hapo ela zinalala?napalikuwa hamna wauza mafuta nikimaanisha wafanyakazi wà sheri kusema labda walikuwa bado wapo wanauza mafuta na ela zipo
Hahaha, inachekesha sana!! Watu Wana risasi za moto eti wamevamiwa na silaha za jadi Tena wamepokonywa silaha zao za moto!! Kumbe munatamba ikifika kipindi cha uchaguzi tu!! Wapumbavu wakubwa nyie
Zanzibar haijawahi kuwepo na matokeo kama haya ya ajabu kwanini isirejeshwe passport Zanzibar
Ndugu passport SIO suruhisho,ila tu suruhisho la matukio kama haya ni vyombo vyetu vya ulinzi na usalaama,Kuna JWTZ, POLICE,JKU,KMKM,KVZ ,ZIMAMOTO PAMOJA NA MAFUNZO VIKOSI VYOTE HIVI VINGEKUWA NA USHILIKIANO WA PATROL KILA SEHEMU MATUKIO KAMA HAYA YASINGETOKEA ZANZIBAR NI NDOGO SANA RAIA MA VYOMBO VYA USALAMA INAWEZEKANA KUZUIA MAYUKIO KAMA HAYA.
Hakuna njia nyengine ispokua hyo sababu watu wa ajabu ajabu wapo wengi kisiwani
Yaan watu wenye silaha za jadi wamewavamia watu wenye silaha za moto😂😂 si la kuchek lakn Tuna mafunzo ya kuwaongeza askar wet
Yaani najiuliza sipati jawabu au walilala
Watu kumi wakikiwahiii , silaha yakooo sio chcht
@@mwanaidimussa mbn camanda anasema walikuwa 3
sina la kucheka hao jamaa wakija wanakuja wengi wala sio uzembe
@@mwanaidimussa 10 wametokea wap watu wamesemw ni watatu tu mean askar wap wawil na silaha alafu wahalifu wa3 na silah za jad
Mtu ameshafariki na kuumizwa halafu wananchi wasiwe na shaka vp?
acheni ujinga uwoo hii ni ajali hata kama wangelilinda na bomu la nyuklia wakati wa kufa ukifika utakufa tu. na huyu kamanda vp? jeshi analiita kampuni yaani hawa jamaa wajiona vibaya sanaa.
Mlinzi anakamata bunduki
Badilisha kauli jku si kampun ni kikosi Cha smz
Hao silaha zao hazifanyi kazi mpaka kipindi cha uchaguzi tu
Dah mtihani Amani ipo kweli ?
Poln jmn😢
Poleni Sana 😂
Ndo faida ya muungano hiyo!
Innalillahi wainnalillah rajiun
Dah😢