Usijali mama Jikaze mwanao ndio ameenda kupambania maisha na kutimiza ndoto zake. N kwa uwezo wa Mungu Founder atarudi na mazuri juu yko. Chazaidi kumuombea tu Founder Tz azidi kuwika ndani na hta nje ya Africa. May Allah shower you with more blessings and indeed all will be good aameen...🇰🇪🇧🇭🥰💐🥀🌷💝
Mungu linda kijana yako kaka Dogo Founder TZ na Familia yake linda mama mzazi na dadazake ,may God uplift and use brother Dogo Founder TZ kunawiri sana Dunia, its only time that will tell,Dogo Founder TZ is comparable to king David in the Bible as small as he is, with God all things are possible,Amen.
Familia nzima ya wakimbizi wa nyarugusu tunamuombea kijana wetu huko Aendako Mungu Akawe kiongozi wa kila hatua Atakayoipitia,, Pia ubarikiwe sana Mama yetu najua Mungu Alisikia Maombi yako na Atimae utaanza kuona Matunda ya uzao wa tumbo lako mama yangu.
Stella Joseph,ujue Babake Dogo Founder TZ hayuko as aliaga dunia Kwa hivyo ni kijana analewa na mamake mzazi akiwa ni mjane.ulipo ombea Sana hii familia ya kina Founder TZ mungu aweze kuinua kijana kimuziki ili aweze kusaidia mamake mzazi na dadazake na nduguye mdogo.
@@zachariahtomemba9070 Tunamuombea mungu amsaidie, mpaka Sasa nyota yake imeanza kunghaa ,atakua msanii mkubwa Sana, na tayaria ameanza kubadilika, kwa muda mfupi tu, tunaba mungu azidi kumuinua.
Usijali mama Jikaze mwanao ndio ameenda kupambania maisha na kutimiza ndoto zake. N kwa uwezo wa Mungu Founder atarudi na mazuri juu yko. Chazaidi kumuombea tu Founder Tz azidi kuwika ndani na hta nje ya Africa. May Allah shower you with more blessings and indeed all will be good aameen...🇰🇪🇧🇭🥰💐🥀🌷💝
Kweli asiwe na wasi sana
Mungu linda kijana yako kaka Dogo Founder TZ na Familia yake linda mama mzazi na dadazake ,may God uplift and use brother Dogo Founder TZ kunawiri sana Dunia, its only time that will tell,Dogo Founder TZ is comparable to king David in the Bible as small as he is, with God all things are possible,Amen.
Familia nzima ya wakimbizi wa nyarugusu tunamuombea kijana wetu huko Aendako Mungu Akawe kiongozi wa kila hatua Atakayoipitia,, Pia ubarikiwe sana Mama yetu najua Mungu Alisikia Maombi yako na Atimae utaanza kuona Matunda ya uzao wa tumbo lako mama yangu.
Usiwaze sana mama umesha zaha kiho cha jamiii yule ni dume atarudi
Wishing all the best Dogo faunda and his family...
Wa Congomani wetu, 🇨🇩 wa bembe
Usiwe na wasiwasi Najua mungu Nimlizi tosha naatatenda
Mungu amuongoze
Muombe munqu mna duh
Kwani baba yupo wapi?
Alifariki toka mwaka jana
@@masifaentertainment ooh! Maskini pole yake, mungu atamfanyia wepesi ktk kazi zake.
Baba alifariki
Stella Joseph,ujue Babake Dogo Founder TZ hayuko as aliaga dunia Kwa hivyo ni kijana analewa na mamake mzazi akiwa ni mjane.ulipo ombea Sana hii familia ya kina Founder TZ mungu aweze kuinua kijana kimuziki ili aweze kusaidia mamake mzazi na dadazake na nduguye mdogo.
@@zachariahtomemba9070 Tunamuombea mungu amsaidie, mpaka Sasa nyota yake imeanza kunghaa ,atakua msanii mkubwa Sana, na tayaria ameanza kubadilika, kwa muda mfupi tu, tunaba mungu azidi kumuinua.