Founder TZ - Nitatokaje (Official Music Video )
Вставка
- Опубліковано 26 вер 2024
- Hello !! Amjambo Naitwa Founder Tz naweletea official video ya NITATOKAJE naitaji sapoti yenu ya kuniwesha hili nifike usisahau
#SUBSCRIBE #LIKE #COMMENT #SHARE Artist : Founder Tz
Song : Nitatokaje
Producer : Spadebeatz
Shukrani sana kwenu maana sina cha kuwalipa 🙏🙏🙏🙏
Dogo uko fiti sana kila la kheri katika safari yako ya mziki usikate tamaa dogo
Pambana mdogo wangu tumeshaona kipaji unacho Huwa napost mpaka Whatsapp kazi zako mfano Ile ya mnisapoti kusaport tu japo sikujui
Dogo inakuwaje trending haupo una 103k for 1day na ommy dimpoz ana 73k for 1 day yupo trending how? Jitahidi uijaze account yako ya youtube yaani founder tz ni nani zaidi kama jina lako la kiserikal kama Diamond platinumz alivyo jaza na mitandao mingine uliyonayo kama Spotify etc.
@@TITOtzcomment mzuri sana iyo nikweli kabisa kama hajawa basata ajitaidi sana kwasababu upanda wa views Yuko powa sana
Lets go hit song
Wakati wasanii wengine wanahangaika na Amapiano,
Dogo katuletea bongofleva Safi kabisa, embu tumsapoti🔥🔥🔥🔥
Kweli kabisss
Akitoboa anaanza kuhangaika na amapiano😂😂😂
Yaani dah kweli kabisa
@@epafrapaulo7137😅😅😅
Mungu amsaidie
Team gulf wenye tumekuja ku support huyu Dogo juu ana kipaji piteni na likes jameni🇰🇪🇶🇦
Ausio 🎉
Tuko hapa❤❤❤
Tumooooooo
Kijana yuko vizuri
Dogo anajua mpka anakera
Simba plus konde boy pamoja,,,much love from Kenya,,, congrats younger BT talented,, keep it up 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ushatoka bro ...niko Kenya nasubiri🇰🇪#2023
Walio msuppoort mdogo wetu Mungu awabariki sana, much love from Kenya 🇰🇪
Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 ikishaitikia brother count yourself a celebrity already.guys let's support this massive talent 💥🏆
That's a must
Ndo ina zidi ku sambaa🇰🇪
WHo lied to you...kenya hamjui kuimba so why should we need approval from yourl...lol
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@damascusshady6954 we don't know but without us ,akuna mtaenda tu
From Zambia for the first time to hear the song of this young boy congratulations 💐💐💐🎉🎉🎉🎉🎉
Thank God ❤🎉❤❤🎉
Wa kenya kumbe ninyi ni wapenda maedeleo,, toka Congo DRC 🇨🇩 nime wa kubali, sapoti yenu kwa mdogo wetu ni nyingi sana ,gonga Link apa wa kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mkimbizi toka congo anaishi Tanzania sio kenya
@@Thekidp3702 mimi comenti yangu, bahada ya ku ona wa kenya wana ji tokeza kwa uwingi ku msapoti dogo, ndo happy nikawa nime sema kuwa wa kenya ni wapenda maeneleo, ku sema kweli dogo, ni mkimbizi toka congo, ambae ana ishi Tanzania, na anaye sapotiwa na WA kenya, bonjour my dada
@@EddyEdgard-q8d Saw a😊 ila dogo si mkimbizi tena kashakuwa raia wa Tz ,Na kuhusu wakenya ku support Tz hiyo ni kawaida
Kiukweli mm mwenyewe nmewakubali wakenya hawana husuda bali wanaombea kila mtu mafanikio hilo nmeliona kwa kila komenti
Wanaobaki muda Kwa muda kusukia hii ngoma tujuwane love from Zambia 🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲
Nimewahi sana tupite na like kwa mdogo wetu founder tz ili twend sawa❤❤❤❤
Mwanangu ushauri tu unakubalika na wakubwa kwa wadogo nyimbo zako zinasikilizika na rika zote.angalizo usipotoshwe au kuiga mashairi yasio na maadili nenda namwendo wako kama vile nitoke vp.we nimwanamuziki mzuri mungu azid kukuinulia kipaji chako.
254..Kenya.. tunarudia mara isiyohesabika...ebu wakenya leteni likes hapa🎉
Check this comment after 10 yrs. This talent is going far. The next diamond of his time. May God help you lil bro❤❤ 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Thanks,God 🙏 kwakumpa kipaji mdogo wetu naeaikomboe family yake naiman Mdogo wangu Founder Tupo nyuma yako nenda nenda Mdogo wangu Nyimbo kali sanaaaa unaweza namwnyzi Mungu akupe Maisha marefu sanaa nadhan waTanzania tumekuona tupo kutimiza ndotozako nausimwache Mungu ktk Maisha naiman atakutendea wakati sahihi my blood❤✍️🎶🎵🙏🇹🇿
UNYAMA ni Mwingi Dogo ..jipe kwa mola utatoka Dogo inshallah 🙏🙏big love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 kenya
This is another LION in Tanzania, keep going my son much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
See what other countries are doing 😢😢😢😢...hope kenya watasaidiana hivo
Dogo Dua tu
ua-cam.com/video/PRbkT-CKvd8/v-deo.htmlsi=_pNBuJ5aq2xbSteD
youtube.com/@bulangathedon2604?si=czfv91098qCLBCZV
Kweli
Tanzania Kuanzia Mtoto Hadi Watu wa umri Mkubwa wana Vipaji Ilove My Motherland
Mombasa Kenya ndio daraja la kwanza la musiki wako mdogo wetu uko vizuri imepenya na bado chupa lina pasua anga Keep it up GOD bless your efforts kijana wetu EAST AFRICA to the world
Kila siku Bongo flava Ina wakuiendeleza much love for TZ
Haki
Tuliorudia ngoma hii mara nyingi tujuane apa❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Ambaho tumerudia Mara 10 gonga tujuane❤❤
🇰🇪🇰🇪🇰🇪this song made me cry 😢 mob love you TZ well talented
Mdgo angu nipo pamoja nawe usisite kuwa mpambanaji utafika mbali sana kusema kweli MUNGU awe nawe kila SIKU na azidi kukupaisha see you at the top 🎉🎉🎉
Mpeni mauwa yake huyu dogo jamani,wimbo mzuri mno!Mungu akutangulie kwa kila atuw ya kazi yako dogo🙏🙏 ,this is a natural Talent 👌
👑👑👑👑👑💯💯💯💯🥀🥀🥀🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Daaah guy's tumpeleke trending huyu dogo hii nyimbo kalisana
Founder Tz anaweza kabixa❤.anashangaza kweli,mtoto wa miaka 15❤❤❤❤❤
400k plus viewa in 4 days,,, thats really amazing and nyota ya dogo inangaa ni vigumu sana kupata views hivyo kwa siku chache maze.... Wish you all the best kwenye kioaji chako,, nitafurahi sana nikiona unapiga 1 million plus in two weeks... Kama unatambua dogo piga like tukisonga❤❤
100k kila siku....
In 10 days 1M... 🎉
Kama huna mkubali huyu dogo kwa mziki wake weka like
haha 😂😂
Founder tz congratulations 🎉🎉 mpen mauwa yake jamani
usikate tamaa mdogo wangu zidi kupambana hivo hivo mwenyezi mungu atakusaidia na ameanza kukusaidia 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Founder tz tuko pamoja 🎉🎉🎉 na kazi yako twaikubali n tutaipeperusha kila kono watu wazidi kusubscribe your channel
Hongera sana young lion ngoma iko sawa kipaji kipo.Hakuna kurudi nyuma hiyo ni mwanzo tu
Sio Kwa huruma labda kwasababu ya maisha anayopitia huyu kijana, LAKINI nampa sofa kwasababu anakipaji kikubwa sana, melody nzuri. Hii sio huruma lakini KIJANA ANAJUA ANATAKIWA KUANGALIWA KWA JICHO KALI SANA.
That's reality❤
Nakubali Mdogo wangu, Shabiki yako namba 1 nakubali sana kazi nzuri endelea kupambana mafanikio ya Mziki yapo mbali Sana
Kutoka kambini mpaka duniani. Mungu hana mshirika 💪💪💪💪 #Nitatokaje 🙌🙌
This little Boe Jamaniiii He Makes Me feel free the Moment Nackiliza Ngoma zake, Any way Well done ✅, Kazania Pia Na Masomo Mungu Hatokuacha Kaka Mdogo" ❤❤ We Much Appreciate You Moreeee
Una kipaji kikubwa sana dogo. We as Kenyans are praying for you that may God lift you up all the days of your life 🙏🙏
Ajulikane popote mtoto Ana kipaji
Burundi tukopamoja mtoto wetu mungu akupe nguvu usonge mbele❤
Talent from the street camp! MUNGU Hamtupi mja wake Mimi binafsi namuombea Sana huyu kijana MUNGU amuinue kipaji chake
Amin
Mungu amwepushe na wabaya ili asaaidie mamake na mandugu zake maana waaah mashallah kipaji mungu kamjali
Kenyans loves good music sisi ndo judge ....let's gang up na liles Kama tuko kimoja🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
✊✊
Very very hit song, mond wa badae keep it up 🔥
Nyimbo ni kari sana dogo anajua mwenyezi mungu ampe nguvu atimize malengo yake
Kwa wanaamin dogo anaenda kuipeperusha bendera ya Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 ulimwenguni kote likes ❤❤hapa
Daah huyu wimbo mkali sana ukipiga collaboration na SIMBA inaweza kiwa tishio EA kabisa❤❤❤
Mimi si fan wa Bongo na I've never been a fan of any bongo artist, but kwako natangaza kuwa fan wako mkubwa hapa Kenya. I wanna grow with you to your greater heights
He has talent wallah may allah help him amen let's support this young boy please world wide please
Ukishakubalika Kenya mziki wako ushapenya 🇰🇪
Tunashukuru Kenya Kwa Support yenu aisee
Kabisaa
Dogo ndo umetoka
Btw
Kaka me nependa❤❤❤❤❤❤
MUNGU akufikishe mbali mdgoang,unajua MUNGU abarik kipaji alichokupa kifike mbali❤❤
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 mungu akulinde dogo uko na kipaji kizuri sana
Kenya 🇰🇪 from gulf congratulations
Kenya 🇰🇪🇰🇪... love the vibe of this young talented man.
Huyu kijana ananirudisha zile enzi za kitambo...music was so cool...❤️❤️
🇰🇪🇰🇪 tushamkubali dogo 🎉🎉🎉🎉 bonge la hit ❤❤ asiyopenda na akajiuwe na mbali maana kijani anafaa taji kwa hakika❤❤
Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪. ❤️❤️❤️ Kazi nzuri hii, utaenda mbali
Waweza sana dogo pambana sana utafika mbali sana kweli napenda sana wimbo wako
Guys let's all support this young superstar 🙌🙌 @Marioo @Harmonize chukueni kijana msimuachie kopa watamnyonya ila mwenye hali hoi😢
I love you more my young blood ❤
Mwenyezimungu akujalie 😢 ufikie ndoto zako , mdogo wangu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
All the love from South Africa 🇿🇦 ❤
Umeuwa sana bwana mdogo , huo ndo mziki wa kibongo big up.
True talented boy more love from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🙏🙏❤️❤️❤️❤️❤️🥰🥰🥰
❤Maisha hayana araka dogo .ukiwa na mungu. Tuna kupenda sana sisi wakenya mungu akubariki na Miaka mingi mizuri naomba endelea na kipaji chako❤❤❤❤❤❤❤❤
Mtoto yuko vizuri sanaa Mungu akusaidia umeshatoka tayari
From TikTok to UA-cam juu yako little boy congrats 👏 and never give up God is always there for you siku moja itakuwa story tu na utaenda far sana wakenya tumependa nyimbo zako all the best 🎉🎉❤
USA 🇺🇸 well represented 🇰🇪 🇹🇿 we love you, Founder TZ💞💞
Nipitie kwangu
Awesome Awoooote weweeeeeee @dianakemmylifestyl522
dianakemmy sasa❤
ua-cam.com/video/QWvxIpzJ6dk/v-deo.html
Hi miss Diana
Watching from kenya 🇰🇪 we love you Founder na our prayers to you ni God akuzidishie kipaji zaidi..tuko apa kwajili yako sisi kama team strong 💪🏼
Bonge la hit..... keep shining dogo wangu ...let's sapoti kadri ya uwezo wetu❤❤❤
Huyu dogo, mambo mbaya naomba Diamond usimuache huyu dogo,atapeleka WCB to the next level,lo❤ from 254
Ushaatoka kaka❤
🇰🇪😎🙏
Kama unakubali vaibu ya huyu ndogo gonga like tumtoe❤...🇰🇪
Nimekubali.Acha tumwombe Mungu siku moja tupige kolabo ya gospel pamoja🙏🙏🙏🙏
From +254🇰🇪 hii ni masterpiece plz let support n nurture this young talented
Kazana mdogo wangu Mungu azidi kukuinua viwango vya juu❤❤❤🙏🙏🔥
I was suggested here while listening to the song “Dupe - Dost” 😅😅
Félicitations mon frère. En RDC nous sommes fiers de toi. Congo 🇨🇩🇨🇩na tanzania🇹🇿🇹🇿 tuko familia.
Unakipaji kaza mwanangu
Merci
ua-cam.com/video/7VeIH6_JdXE/v-deo.htmlsi=XxtIhdb7GDxBI3je
ua-cam.com/video/CgcgivdVJmo/v-deo.htmlsi=-SZe68yHLNeJx_cU
Mungu ni mkuu bro atainua kipaji chako cha uimbaji na utakuwa msanii mkuu barikiwa sana
I Hope itafika 1M soon 🔥🔥🔥✅✅
Tukutane kwa like wanao amini ilo 👍👍
Watu wakenya mm na wakubaligi sana yani amnaga ubaguzi big up sana wanangu tu msapoty dogo
Sijawai penda bongo but hii ni pure talent..nimefall in love na huyu kijana🫂🫂
Sie wenyew hatukupend 😂😂
Hujawahi pendwa nayoyote fyata mkia bana pumbu utafilwa
Mdogo wangu unajua Sana mungu aendelee kukulinda nakuiyongelea kipaji zaid
Mungu ambariki sana kijana wetu,kwakuwakilisha wacongo wote,tunafurahi sana
From Kenya,
This boy has a huge talent, may God see him through 🙏
Wanaoirudia hii ngoma mara kwa mara tujuane
YEEEA
24/7 PLAY
❤❤❤❤❤ dogo achanikupe mauwa yako napenda hiyi style toka Goma Congo DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Kazi Nzuri Dogo 🎉Najua wasanii Ni wengi hapo Camp 🏕️ But ww Dogo Umekuja kwenye Kama Bomu 🎉5K ku 1h🎉 congratulations san na wakupe Mauwa yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉Dezy Classic 🎉Nakukubali Dogo langu na Support Lazm 🎉🎉🎉🎉🎉
THIS KID IS THE NEXT BIG THING IN TZ... WATCHING FROM ZAMBIA 🇿🇲. YOU WILL ALL WITNESS.
I totally agree with you my fellow Zambian.
I'm also watching from ZAMBIA ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
True
Wenye tunarundi kuuona huu wimbo mala kwa mala kujeni hapa na like zenu. Kenya hoyeeeeeeee🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💃💃💃💃💃💃💃💃💃
Dogonamkubali n mzima
Kipaji unacho, tena nyimbo ni nzuri, from Burundi ,I'm watching for🇧🇮
Kizuri kinajiuza bwana mdogo pigakazi uko vizuri🎉 shabiki Yako toka Congo 🇨🇩 je suis fière de toi car c'est l'Afrique qui gagne 🎉🎉🙌🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Sema nini kigoma wamebalikiwa sanaa upande wa bongoflava kama wewe niwa kigoma gonga like
Unajua kuimba sana ndugu yetu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
I'm in love with this song, keep up the good job my Nyaruboy, 🇨🇩🇹🇿big up from Cape Town/SA nakubali hiyi
🎉🎉🎉
Wakenya wakikubali ngoma jua nyota Yako imeng'aa waenda mbali.🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Sure
♥♥♥♥♥tumemisi ngoma mpya CONGRATULATIONS mdogo wangu utafika MBALI♥♥♥♥♥🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎤
Dogo salute Sana hiyo nimeipenda Sana komaa
From Kenya am so happy my country boy Tz to the fullest🇹🇿🇹🇿🇰🇪
My son,you are going far 🙏🙏🙏 watching you from USA❤🥰🇺🇲🇰🇪
It’s love all the way founder Tz 🇰🇪 in the building
Much love ❤️💕 from Kampala Uganda🎉
Veryy impressive Big up san Kenya 🇰🇪🇰🇪 tuko na wewe
Hongera sana Founder Tz kwa safi unayoifanya nyimbo nzuri naipenda hii..pia hongara kwa speed beat na director wa video hi ni kali sana aisee dogo utafika mbali twakuombea sana ufike level za juu 💖💖💖
Kabisa hivo ndo twaomba dogo afike level ya juu
ua-cam.com/video/GRXxs6Hg40M/v-deo.html
Asante sana by director tolo
Congratulations mdogo wangu Mungu akuinue ufikie malengo yako kwa jina la yesu kristo 🙏🙏❤❤
❤1M VIEWS WITHIN 11 DAYS CONGRATULATIONS FOUNDER TZ KENYA TWAKUPENDA SANA🔥🔥
twampenda sana
❤❤❤🎉🎉dogo #FUTURE IS BRIGHT 🌞 KEEP PUSHING KAKAAAAAAAAAA🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kama unaamini dogo huyu tayari katoka weka likes hapa tumsupport