Waziri mkuu toa maelekezo na karipio kwa jeshi la police pia unapaswa kumwambia IGP awajibike kwa kushindwa kuwalinda watanzania huku kila mwezi wanaliowa mishahara kwa kodi zetu
Ulinzi unaanzia kwako binafsi ikiwa unajua bibi babu mama baba au jirani yako mshirikina anafanya dhambi yakuulisha watu kwa nini hutoi taarifa kwa vyombo vya usalama kwani IGP anapiga ramli au ana darubini ni lazima apatiwe taarifa ajue pa kuanzia kazi yake. Mkikaa kimya mnaficha waovu matokeo yake ndio hayo.
Ukistaajabu ya musa utaona ya Firaun sikutegemea kusikia majibu kama haya kutoka kwa mwanamkeee mwenye uchungu anayebeba mimba mie Tisa na kwa maelezo haya ya spika kama kuna watu, watu wenye mpango wa kuendelea kujiweka hiki chama madarakani itakua hatujielewi. Dawa ya msiba ni kuzika hawa kwa maneno haya wameshapoteza uhalali wa kutusimia na kutuongoza wakapumzike hicho kiburi ni cha hali juu
Naomba selikali itwambie na itoe tamuko kwamba watanzania Sasa tusikubari kukamatwa na polisi kwani Atujui nani polisi nani mtekaji mbona la nganga wa singida limekua kama kakigezo mpaka tutaanza kukatiliaha shaka au tutaambiwa twende kwa waganga wa kienyeji kutafuta ndugu zetu uwenda wamezikwa na waganga nitaanza kushutukia hii njia
Aliyeshiba hajali mwenye njaa,yaani vitu viko wazi kila siku polisi wanakamata watu wanatoweka alafu mnajitoa akili,Stupid Government! Hivi nyinyi kina Tulia watoto wenu au yule Sativa angekua mdogoako ungeongea hivyo? Sijui mnayapigiaga kura ya nini majitu mabinafsi ,bure kabisa!Mxiiiiiiu
Hivyo akiongea na kule usoni utadhani anakamuliwa majipu.Eti tunawakilisha wananchi!ni wananchi gani mnaowawakilisha?Mpina tu ndie alikuwa mwakilishi wetu,sio nyie
Ukisema watu wamekutwa kwa mganga wamezkwa iyo n tofauti kabixa DC longido kasema wanapeleka watu kwenye mapori akamatwe ahojiwe sio rais samia anaishia kuwatengua 2 aitoshi akasema ccm 2020 walishinda kwa dhuluma
Hivi huyu spika amezaliwa bungeni au mitaaani kama wengine ? Mungu wa mbinguni utashusha hukumu wewe unajua ukweli halisi utawafuta machozi hivi hawaoni tatizo la sativa na bado mnasema nchi ya amani
Mhusika wa utekaji ni yule anayefukia watu. Kamuulizeni yeye atakupeni jibu sahihi. Tamaa na uchu wa mali na madaraka ndivyo vinavyosibu watu. Mnakwenda kwa wagaganga na mkiambiwa kafara ipatikane roho ya mtu mnatekeleza amri za kishetani za waganga wenu halafu mnatupia lawama jeshi la polisi halifanyi kazi. Ili tu akiwa salama tuache hivyo vitu.
Watu wa Mbeya tunaomba msifanye makosa tena kutuletea mtu mbinafsi kama huyu mama.
Ukweli ni kwamba wabunge wote kuanzia spika hawajaweka na wananchi. Ndiyo maana wanakiburi.
Tulia acha dharau MUNGU anakuona
Huyu Tulia sijui anaelewa kama wananchi wanajua hali ilivyo kuliko yeye anavyotegemea kusikia kwa polisi
Ntashangaa sana huyu spika wakimrudisha tena bungeni
Umeulizwa wewe au kaulizwa waziri mkuu?!!!!!! We vipi? Unamwakilisha mwana nchi gani wewe!!!!!!! Roho mbaya kama hiyo sura
Guilty as charged mtu mwovu anajitetea kwy swali ambalo halimuhusu
Mimi niko mbeya ila uyu dada Mungu amsaidie kwaiyo ata yule ambae alichoma picha ya rais katekwa na mganga
Taarifa gani mnataka mpewe wakati mnaambiwa watu wanatekwa huyo spika anaongea kwa dharau na hasira utasema anaongea na mazombi
Wewe dada huna sifa ya kuwa spika umejaa upendeleo kwa maccm yako watanzania wanakuchukia vilivyo kwa namna unavyoonyesha umejaa upendeleo
Mbeya najua hakuna mbumbumbu tunaomba huyu Tulia tusimuine humu Bungeni tuleteeni mtu mwenye uchungu na wananchi.
Kumbuka cheo dhamana 😢😢😢
Waziri mkuu toa maelekezo na karipio kwa jeshi la police pia unapaswa kumwambia IGP awajibike kwa kushindwa kuwalinda watanzania huku kila mwezi wanaliowa mishahara kwa kodi zetu
Ulinzi unaanzia kwako binafsi ikiwa unajua bibi babu mama baba au jirani yako mshirikina anafanya dhambi yakuulisha watu kwa nini hutoi taarifa kwa vyombo vya usalama kwani IGP anapiga ramli au ana darubini ni lazima apatiwe taarifa ajue pa kuanzia kazi yake.
Mkikaa kimya mnaficha waovu matokeo yake ndio hayo.
Mungu uliyemkuu,mfalme wa mbingu na Ardhi ,hakimu mkuu usiyesinzia wala kulala,tupe utulivu wa nafsi ,tujaze subra .Ameen
Kweli Tulia ni hadui kweli kweli wamechoka na kazi kweli CCM wizi tu hakuna lolote
Kwa hatusikii wana ccm hawapotei wala hawatekwi kila kukicha wanaopotea ni wana cdm tu
Ukistaajabu ya musa utaona ya Firaun sikutegemea kusikia majibu kama haya kutoka kwa mwanamkeee mwenye uchungu anayebeba mimba mie Tisa na kwa maelezo haya ya spika kama kuna watu, watu wenye mpango wa kuendelea kujiweka hiki chama madarakani itakua hatujielewi. Dawa ya msiba ni kuzika hawa kwa maneno haya wameshapoteza uhalali wa kutusimia na kutuongoza wakapumzike hicho kiburi ni cha hali juu
Nasikia hasira
Mungu ni mwaminifu, ipo siku shilingi itageuka,,
Acha wahusika wajibu maswali jukumu la jeshi la police linao wajibu kulinda raia na mali zao
Kwa kauli hizi akinasoka biashara imeisha tusahau.Lakini Tulia ana Mama yake mzazi anastahili kutekwa Tena Yuko Tukuyu.
Duuuuu
Duh,sijawahi kupiga kula lakini safari hii ntajaribu kupiga kwa kweli
Utaniambia na mm tena naomba unikumbushe
Mungu anajibu kwa wakati wake, ipo siku
🇹🇿🇹🇿🇹🇿watu wana potea alafu wabunge wana piga makofi hiii nnchi hiii
Na kwanini ninyi bunge hamna miemko y kukemeaa hays yanayotkea ndani y nchi yetu au ninyi mnachukulia ni sawa maana tayari mnatolea mfno kwa mganga
Naomba selikali itwambie na itoe tamuko kwamba watanzania Sasa tusikubari kukamatwa na polisi kwani Atujui nani polisi nani mtekaji mbona la nganga wa singida limekua kama kakigezo mpaka tutaanza kukatiliaha shaka au tutaambiwa twende kwa waganga wa kienyeji kutafuta ndugu zetu uwenda wamezikwa na waganga nitaanza kushutukia hii njia
Duh...kazi ipo
Ooh Bwana Yesu tuokoe hatuna tutetee zaidi Yako.
Kwani anayetakiwa kujibu watu kupotea ni spika au ni nani? Mbona spika anachukua nafasi ya serikali?
Mimi nilijua mtu akiwa na PHD au akawa na masters anakuwa ni mwenye akili, kumbe😢
angekuwa mwanaye katekwa angeongea lugha hiyo, kilio kikubwa ktk nchi
Au basi wacha nikae kimyaa tuu, ila haya mambo yana mwisho wake
Mbona spika unang'ang'ania kwa mganga tu
Mheshimiwa ameilizia kwa kugusa pote gusa vyombo vya dola
Spika watanzania hatakiw kujibu hoja kama hz kaonyesha zalau kubwa kwa bunge pia kwa watanzania
Uwiiiii tanzania nchi yangu😭😭😭
Aliyeshiba hajali mwenye njaa,yaani vitu viko wazi kila siku polisi wanakamata watu wanatoweka alafu mnajitoa akili,Stupid Government! Hivi nyinyi kina Tulia watoto wenu au yule Sativa angekua mdogoako ungeongea hivyo? Sijui mnayapigiaga kura ya nini majitu mabinafsi ,bure kabisa!Mxiiiiiiu
Kwanini umtangulizie majb waziri mkuu!!? Acha ajibu alie ulizwa hii sio poa
Hivyo akiongea na kule usoni utadhani anakamuliwa majipu.Eti tunawakilisha wananchi!ni wananchi gani mnaowawakilisha?Mpina tu ndie alikuwa mwakilishi wetu,sio nyie
Mmmmm duuu sawa mam mungu akubariki
Nilitaka niachie bonge laa tusi kwa spika , ila kwakuwa naye ashaungana na watawala ngoja ninyamaze tu😊
Ama kweli Dunia Ina Mambo!!? Hata akina soka wamechukuliwa na mganga!!?
Acheni blaaa blaaaa!!!
Huyu spika anaishi nanani anaishi wapi
Mungu anatenda kw wakti wke acha inyeshe tu
Sasa km polisi wasiusushwe ni nani wa kulaumiwa wakati wao ndio usalama wa raia
CCM HATARI SANA
Ikitawala chadema
Watatekwa sana
Kwa majibu haya sikutegemea kabisa wala wabunge kpiga makofi.
mimi ni ccm lakini napenda kuuliza iweje iwe wa upinzani tu.hasa chadema.
Tulia aksoni hakushinda uchaguzi Mbeya waliiba kura masanduku na Masunduku
Tuwe kama marekani!! jamani kila siku matembeleeeee lini nyama!?
Ukisema watu wamekutwa kwa mganga wamezkwa iyo n tofauti kabixa DC longido kasema wanapeleka watu kwenye mapori akamatwe ahojiwe sio rais samia anaishia kuwatengua 2 aitoshi akasema ccm 2020 walishinda kwa dhuluma
Hili jini mnaloliita cjui sound bar hivi linaelewa tunavyofeel vibaya mbwa kabsa
Unaweza ukawa msomi kumbe Bado mjinga
Hivi hawa wanatekwa ni mbuzi au ni watu mmetukosea sana kwanza wenyewe nanyi ni marehemu watalajiwa sema tu hamujielewi
Huyu SPIKA ni mpuuzi KABISA hajali uhai WA binadamu
Hivi huyu spika amezaliwa bungeni au mitaaani kama wengine ? Mungu wa mbinguni utashusha hukumu wewe unajua ukweli halisi utawafuta machozi hivi hawaoni tatizo la sativa na bado mnasema nchi ya amani
Swala la waziri sio la spika 😮
Wewe spika hao watu wakubwa wamepotea nawao wamepanda magari hivi mnaona watu niwajinga kiasihicho kweli gari zinachukua watu mchana kweupe ww unasema kiholela hivyo kwanini usiwe nahofu hujui wazazi wanaumia
Sawa lakin na ninyi wakuu mnakufa yuko wp MAGU?? Majaliwa/ Tulia kumbukeni nanyiny ni Maity Watarajiw saw jizimeni Data
Wewe dada mbona hupendi Serikali ikikosolewa kwani mali ya ukoo wenu hili ni Taifa letu sote wa Tanzania
Nafikiri unamwakilisha mmeo na mtoto. Shame on you na vibaraka venu vyote kuanzia chura na team yote. Mungu akapigane nanyi
Ipo siku Bible inasema jisaidie utasaidiwa Mungu pekee atachoka nafsi zinatumia za wananchi ok
Na humo bungeni hamna wabunge wa chadema MUNGU anawaona ipo cku
Haki utaipata kwa mungu tu peke yake!
Selekali ndiyo chanzo nawengine wanafata wewe sipika hakuna niselekali hiyohaipo ninyie ccm msikali tabia mbaya kwendauko hakuna ulinzi tanzania mnatekawatu hatugani maneno tu
Waojulikane wako wapi wakati wanapeleleza
Kweli huna hakili ww
Duh jaman hii nchi hatutoboi
Hili lispika ni liko mwezini kila siku?
Na Huyu waziri mkuu picha, sura Kaa " upinde wa mvuA" ni mwanaume??
Bunge la ccm oyeee 😂😂😂😂😂😂 daaaah et watu wanamihemuko hiv Kuna hata ndg yko kishatekwa na watu wasiojulikana km tayar utaona kua hpo hmn bunge
Nyumba baba kwazia lin mama akaongoza
Hamna kitu hapo majaliwaaa unaongea tu km vile hamuoni yanaoyendelea
Kama akiingia chini ya basi akidondoka c ataonekana? Kinacho tuuma kwauhakka kijana deo alichukulia, chakula nae alichukulia ss mnatuambiaj serikali?
Jamani muogopeninamungu basi
Kazi ya police ni usalama wa raia na mali zao
Alafu kuna Nyumbu zilizopitishwa na mwendazake zinapiga makofi..Na hili ndilo lilikuwa lengo la mwandazake kuwa na bunge la kijinga kama hili
Nikiongea mengi naogopa.yasije yakanikuta lkn scha tuongee tu
mwachien soka na wenzaka, nyie watekaji mnafanya maovu makubwa kwa nchi yetu, mnainajis nchi
Viongonzi mnasahau uongozi ni nguo ya kuazima
Huyu majaliwa ni yule wa magufuli au mwingine???????
We mama sijui unaongea nini hata
Tunahitaji aujibikaji
Hao wanao piga makofi, tunaomba pia muwe mnationyesha.
Tulia kumbuka na wewe ni mzazi ulizaa je wakwako wakitekwa utasemaje.
Hiyo miwani haikutoshi
Ndo spika wetu huyo
Ngoja siku wakuteke wewe ndio utajua.
Wanaopiga meza na Wao hawajaelewa swali hatuna viongoz TZ MUNGU utulinde
yan ni mambulula tu🤔🤔
Acha ujinga ww mama kiongozi ngan ww kuma ww
Kuhusu yule kiongozi wa chama tawala aliyesema Hawa tukiwapoteza polic msiwatafute.
Mpaka wamuuwe mtoto wake ndo utaamka
NI DHAMBI WAACHIEN HARAKA
Leo ndo nimejua kumbe Hawa viongonzi lao Moja kutetea watekaji dah bc Tena hakuna kitu hapo uwiiii eeeee dah
Khaa khaa jamani
Mhusika wa utekaji ni yule anayefukia watu.
Kamuulizeni yeye atakupeni jibu sahihi.
Tamaa na uchu wa mali na madaraka ndivyo vinavyosibu watu.
Mnakwenda kwa wagaganga na mkiambiwa kafara ipatikane roho ya mtu mnatekeleza amri za kishetani za waganga wenu
halafu mnatupia lawama jeshi la polisi halifanyi kazi.
Ili tu akiwa salama tuache hivyo vitu.
A country with no accountability
mlitakiwa muwakamte, na mseme makosa yao, kama mmeshindwa kufanya hivyo hawana hatia waachieni
MAJALIWA NILITAKA NOKUCHIKULIE FORM 2030 NISHAGHAIRI
spika tulia hutendi haki angekuwa mwanao katekwa kwel ungeongea hivyo unavyoongea sasa, kwa nafas yko unatakiwa usaide wananchi
Nyinyiwatuwambeya kamaunauzarendo msimchanguetena huyu atawamariza watuwanatekwa watotowanaibiwa
Tunakoenda kubaya ila twende tu kwa kuwa safari tulishaianza
Hamna spika hp