Astaghfirullah ndio ukht uyo mtoto wa kiislamu harusi yako unajipigia tarabu mwenyeo, ndio mana ndoa zinakua hazidumu munamkera mola wenu, ukht Shara nakuonea huruma omba msamaha kwa mola wako
Sauti nzurii mashallaah lkn huku paswa kumuimbia mbele ya hadhara hayoo ni mambo ya makafiriii alafu unajiita ukhti gani wewe any way sishangai Sana maaana ya ukhti ni Dada kwa iyoo sijui unatufunza nini hapoo Dada Eti duuuuhhh tubu kwa mungu Wako yy ni mwenye rehma na mwenye huruma kukusamehe hashindwdiiiii
Allah akujaalie kil l kheri kweny ndoa yk Dada yng lkn musijibadilishe majina mukishafikia kuwango CH kuw mastaa jiite jin lako n ulipolelew uoathamini n waluokulea pia uwathamini
Onesheni mifano mizuri ktk jamii kwa mtuakiolewa kajistili juba nagauni lisilokua na marembolembo nakamaunajipodoa ufiche ulicho kupaka ndo Sheria ya kiislmu
Yaan ndigu zangu WA kiislam tunapinga Aya ya Allah SW inayosema Wala musionyeshe mapambo yeni isipokuwa Kwa waume zenu SS tunafanya mm halafu tunajiita maukhty mtume Saw anasema hakika ya kujistir hakupunguz k2 ktk uzur wako SS kama hatujakaa na nguo ambazi sizo hatujaridhika bd turudini Kwa Allah SW jamani akhera kuzito sana
Subhaanallah, Kasomen dini ndugu zang hio so mila za waislam .Acheni kabsa Taften radhi za Allah sw.
Kabisa wallah
Inallillah waina ilayhi rajuuun Allah SW atufanyie wepes
Duuuuh wanawake WA kiislamu tunapoelekea ni pabaya tutaenda kujibu huko subhanallah 😭😭😭😭😭
Mtihan mzito 😢
Astaghfirullah ndio ukht uyo mtoto wa kiislamu harusi yako unajipigia tarabu mwenyeo, ndio mana ndoa zinakua hazidumu munamkera mola wenu, ukht Shara nakuonea huruma omba msamaha kwa mola wako
Honger ukht shara mungu awape maisha marefu muwe wa wa kufa kuzikana🫶🫶👌👌❤️❤️
Hizo sio qaswida ni tarabu za enzi tukiskia tunajua muda ya chuoni na skuli 🎉
Kwan nan hajui km hio ni nyimbo acha ufala uo we kaz kuangalia na kucomnt km wataka pamoja na like
Ahahahaheeeeeeee😂😂😂😂
Hata hujapendeza mwaya unge yafanya ndani kwako mim ningekupa mashaallah lakini hapo hamnakitu dada angu shara
Sjui Hawa wanakuaga wanafata mkumbo sio wawo kuto kujielewa
Maukhuti zangu jieleweni ktkt uwisilam wenu mapenzi yako wote mpe mumeo chumbani sio uwajani
Mashaallah Ukhty shara Allah akup lil la kheri katk ndoa yak
Subuhana llah hiyo sitaarabu jamani
Masha Allah umependeza ukhty shara
mashaallah kumpata muume hb
Mashallah ukhty shara 😂 🙌
Hii taarab au qaswida
Sauti nzurii mashallaah lkn huku paswa kumuimbia mbele ya hadhara hayoo ni mambo ya makafiriii alafu unajiita ukhti gani wewe any way sishangai Sana maaana ya ukhti ni Dada kwa iyoo sijui unatufunza nini hapoo Dada Eti duuuuhhh tubu kwa mungu Wako yy ni mwenye rehma na mwenye huruma kukusamehe hashindwdiiiii
Ukhty shara amuimbia taarabu mumewe
Subhaanallah
ASTAGHFIRULLAH LAZIM WA ATUBU ILAIHI MIMI KMA NINASAUTI HIYO NAMUIMBIA MUMEWANGU NDANI
❤❤❤
Maisha mema ukhty zuchu
Aaaaaa , mmeisha tofautisheni kati ya kaswida na nyimbo , hii nitarabu safi bila tochi
Allah akujaalie kil l kheri kweny ndoa yk Dada yng lkn musijibadilishe majina mukishafikia kuwango CH kuw mastaa jiite jin lako n ulipolelew uoathamini n waluokulea pia uwathamini
Onesheni mifano mizuri ktk jamii kwa mtuakiolewa kajistili juba nagauni lisilokua na marembolembo nakamaunajipodoa ufiche ulicho kupaka ndo Sheria ya kiislmu
Mashaallah
Maisha mema ukhty
Nakwamungu unazima maana wew umesoma madrasa mwalimu wako alikufundisha kujistili mwili na mengine hapo hamna kitu
Yaan nguo mtihan yuko waz mbele ya ummat wa watu
Ndo mana ndoa nyingi hazidumu wenyewe tunakosea njia
Hio sio qasda
Kumbe umeolewa hongera kwa sara😅
Ulidamshi kipenz ❤
C qaswida Tena hizo ... ni Taarabt...iblis huyo ashawachanganya jamani ...ukhty law ufikirie
Kharamu dadaangu japo najua nifuraha ya ndoa umepata ila katubu dada omba masamaha kwa Allah haramu hiyo unayoifanya
Hiyo sio kawaida ni nyimbo
Na nyinyi wanume hamuna akili kuingiza maholini mbele ya wanawake aibu tupu musipelekeshwe nyie
Yaan ndigu zangu WA kiislam tunapinga Aya ya Allah SW inayosema Wala musionyeshe mapambo yeni isipokuwa Kwa waume zenu SS tunafanya mm halafu tunajiita maukhty mtume Saw anasema hakika ya kujistir hakupunguz k2 ktk uzur wako SS kama hatujakaa na nguo ambazi sizo hatujaridhika bd turudini Kwa Allah SW jamani akhera kuzito sana
Hamna mwari apo😢😢😢
Sasa mbona naona habari za msiba ameolewa tayari juzi na amekufa🤔🤔
Tena ata aibu huna wewe na mumeo apo ovyoo
Hiii qasda au nyimbo?
Vanga ilo
Kasda za sasa nyimbo tu
Izo sio kasida mzee ufaham jiambie kwanza mnakua mnatuharibia majina tu kwan cc tulisema qasida iyo ni burudani tu ukhty kaamua kuimba
@@princekheir7267 mbn mmeandakia hpo ukhty amsomea mumewe qaswida,..hakuna qaswida hapo Allaha awasamehe n atuongoze vema waislam wote
@@princekheir7267nasru ipo sherehe ya van maan mwenzan huy c huw munamfanyia sherehe mwenzen
Maisha mema ukhty zuchu
❤❤❤❤❤❤❤❤