Watu wa Bukoba mji wenu ni msafi ila mzibue hiyo mitaro basi iliyojaa michanga tele sijui mvua sikinyesha maji yanapitaje kwenye mitaro hiyo and ndio mji unakuwaga dimbwi maana hakuna drainers kunaonyesha.
Kuna watu eti wanasema asikilize kero za wananchi asipite tu kuwasalimia. Hivi hizi pesa alizozipeleka katika kila sekta nchi nzima ili kutekelezwa miradi mbalimbali kama elimu afya barabara maji umeme si ndio kero zenyewe hizo ambazo hutatuliwa kwa kupelekwa pesa? Au kero zinatatuliwa kwa porojo na maigizo? Pesa ndio zinazotatua kero. Na SAMIA amepeleka pesa kila wilaya ili kutatua hizo kero.
Rais ninaempenda sana kwa dhati ya moyo wangu mama tutakuunga mkono mama yetu ,tunakupenda sana sana mama
Asante kwa ziara ya Bukoba, umeupiga mwingi
Mama safi sana
Safiii sana my president
Kazi iendelee
Mama Samiath Suluhu Hassan.... UNAPENDWA BILA PINGAMIZI LOLOTE 2025 NI NJIA NYEUPE SANA.
Mhe Mama Rais wetu. Tunakuomba ufanye ZIARA ya mkoa wa Shinyanga uone mwenyewe hali ya maendeleo ilivyo
Watu wa Bukoba mji wenu ni msafi ila mzibue hiyo mitaro basi iliyojaa michanga tele sijui mvua sikinyesha maji yanapitaje kwenye mitaro hiyo and ndio mji unakuwaga dimbwi maana hakuna drainers kunaonyesha.
My president hadi 2030
Sawa mama tumaliZe
Mbona walinzi ni wengi wakati Hannah Shoshote chamana
We ndo huna maana
Kuna watu eti wanasema asikilize kero za wananchi asipite tu kuwasalimia.
Hivi hizi pesa alizozipeleka katika kila sekta nchi nzima ili kutekelezwa miradi mbalimbali kama elimu afya barabara maji umeme si ndio kero
zenyewe hizo ambazo hutatuliwa kwa kupelekwa pesa? Au kero zinatatuliwa kwa porojo na maigizo?
Pesa ndio zinazotatua kero.
Na SAMIA amepeleka pesa kila wilaya ili kutatua hizo kero.
We hata usijari watu wengi hawana akili walisha tekwa na maneno ya Majukwani hao
Watu wamechoka na Chama Kimoja watuwenye akili hawezi kuchangiliya ushenzi huo wizituu