JEMEDALI AWAVAA YANGA KUMSAJILI BALEKE/AICHAMBUA YANGA KUCHEZA NA KAIZE CHIEFS YA SOUTH AFRICA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 сер 2024
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 38

  • @Feitoto-rk1tv
    @Feitoto-rk1tv Місяць тому +2

    Lingekua kwa Yanga,ungeongea adi mishipa ingekutoka

  • @SelemaniMarko
    @SelemaniMarko Місяць тому +2

    Ingekua yanga tungeona makala mpaka yaliyoandikwa kwa kimakonde ila kwa makolo aaaah

  • @michaelthobias9967
    @michaelthobias9967 Місяць тому +1

    Mashabiki wa yanga kitendo Cha mumfata huyu jamaa kwenye mitandao yake na kumponda kinampa nafasi ya yeye kufanya anachota acheni kumtafuta itasaidia Sana kuliko kumjibu kama hivi msikilizeni mpuuzeni

  • @reginaldmapunda6702
    @reginaldmapunda6702 Місяць тому +7

    Ikiwa Simba unaongea kwa adabu lakini ingekuwa wamefanya Yanga ungekenua mpaka gego la mwisho.

  • @HappyKitindi
    @HappyKitindi Місяць тому +2

    Mbona ya Yanga unaonaga sio sawa, ila ya simba umesema ni kama umeolewa ukubali kulala bila nguo kwahiyo hata kama inaumiza inabidi ukubaliane nayo. Kwa mantiki hiyo ww ni simba au umeolewa na simba kwahiyo chochote wanachofanya huwezi kuwapinga 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kutetea makolo tu, kusema mazuri kwa Yanga aaaaaah

  • @hockingsshangali1747
    @hockingsshangali1747 Місяць тому +9

    Jemadari hilo ni kwa simba na azam. Lingekuwa upande wa yanga ugelisema sana chawa wewe. Umesahau ulivyokuwa wayasema ya fei toto

    • @fadhilisalmu723
      @fadhilisalmu723 Місяць тому +2

      Huyu ni shabiki wa Simba ndiyo maana anasema ninyonge, haijalishi vyovyote haipendi Yanga hata kidogo

  • @mohdkhatib223
    @mohdkhatib223 Місяць тому +1

    Huyu jamaa hujui lolote kuhusu soka ni upenzi tu alionao kwa simba

  • @twahakabajemi9716
    @twahakabajemi9716 Місяць тому +3

    Yanga wa kisajili roho inakuuma

  • @josephmwise3177
    @josephmwise3177 Місяць тому +2

    Manura namuonea huruma, lkn kwa huyu Jemedar ni sawa tu, Natamani siku moja nisikie Manura kamtema Jemedar.

  • @samsonmwaipaja5231
    @samsonmwaipaja5231 Місяць тому +3

    simba wahun hawana shukran watakula kumi

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 Місяць тому +3

    Ingekuwa yanga mngesikia maneno

  • @matiankomola2391
    @matiankomola2391 Місяць тому +1

    Huyo hana jambo jema la Yanga!

  • @Evance-op4jw
    @Evance-op4jw Місяць тому +2

    ingekuwa yanga ungetoa maneno .. haya ni maisha tu safari inaendelea..
    lakin nibora ungekuwa shabiki tu kuliko kuwa mchabuzi wa kuchambua umeegemea mti fulani tu hivo
    kuwa shabiki hapo tutakubali wewe mtani tu kuliko unafki

  • @rasakakaombwe
    @rasakakaombwe Місяць тому +1

    Sema nyie simba mna vihoro sana

  • @christianjohnmwalugaja8090
    @christianjohnmwalugaja8090 Місяць тому +1

    Utakoma na wachezaji wako (Haishi Manula). Azam haendi utakoma.

  • @NickmasGozi-tt2sh
    @NickmasGozi-tt2sh Місяць тому

    ww jemedar acha upumbavu uo niusenge2 hiyo sio simba

  • @saidmbarouk3553
    @saidmbarouk3553 Місяць тому

    HUYO MCHAMBUZI AU NJA TU MUOKOSI WA YANGA

  • @rashidmaulid7312
    @rashidmaulid7312 Місяць тому

    Naona ktk comments kumetajwa yanga ....hii ni studio au maana sielew....i

  • @bennieoswald8140
    @bennieoswald8140 Місяць тому +1

    Wachambuzi wengi Nanyi ni washabiki

  • @MjMohammed-nt6fq
    @MjMohammed-nt6fq Місяць тому +1

    Yaan huyu kumbe akiri hana yaaan anadai viongozi hawafati uweledi lkn yeye nae ni kiongozi amekiri boko kaisha lkn katumia uwongozi wake kumsajir boko jkt ambaye ameisha sasa uweledi wake upo wap mbwea wewe

  • @robertchazya2351
    @robertchazya2351 Місяць тому +1

    Pumbav ndo maana hamuendelei

    • @JUU-lw2je
      @JUU-lw2je Місяць тому

      Wewe umeendelea?

  • @stephanSandika
    @stephanSandika Місяць тому

    Uwezi kuwa kiongozi bila kuwa mshabiki

  • @AhmedMussa-q9f
    @AhmedMussa-q9f Місяць тому

    Wacha maneno ya kishenzi wee ngedere

  • @kasimumughuna201
    @kasimumughuna201 Місяць тому

    Wapi alipowavaa yanga mwandishi????😮😮😮

  • @Dula707
    @Dula707 Місяць тому +1

    Kama ww tu pia ni shabiki tu Ila unajikuta wewe umenyooka

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 Місяць тому

    Ww muongo sanaaa mpuuzi

  • @musamusa6213
    @musamusa6213 Місяць тому

    Timu yako simba waseme kama unavyotoaga maneno machafu Kwa yanga

  • @halson827
    @halson827 Місяць тому

    Sipendi taarifa zinatotumia clickbait ni ushamba...

  • @hellenmchomvu6296
    @hellenmchomvu6296 Місяць тому

    Sura tu haina nuru😂kisa kuchukia yanga

  • @shaameshaame2837
    @shaameshaame2837 Місяць тому +1

    Apumzike kama mudathir tu mwakani ataondoka bure. Kikubwa uhai na afya tu

    • @yunusimchala6569
      @yunusimchala6569 Місяць тому

      Tena huyu amendable kuiharibu crown

    • @B.M-ix4rz
      @B.M-ix4rz Місяць тому +1

      Kiba hapa amefeli bora angalimchukua. Mwanduke

  • @LovelyOmbreSky-pu4jt
    @LovelyOmbreSky-pu4jt Місяць тому

    Hapo kwa simba unyooshi maneno wewe mchambuzi uchambuziwako ni wa kubabaisha tu sasa aish kukaajukwaani unaona sahihi semaukweli

  • @HalidMuhammad-gi9qy
    @HalidMuhammad-gi9qy Місяць тому

    Wewe mmakonde kua muazi tu ww ni chawa wa simba

  • @DENISURIO-r3v
    @DENISURIO-r3v Місяць тому

    Hujielewi wewe