#Live
Вставка
- Опубліковано 10 вер 2024
- #arisendshinetanzania #2024mwakawakutembeachiniyambinguzilizofunguka #mwamposalive
#tanzania #daresalam #afrika #afrikamashariki #ariseandshine #AFRICA#tanzania#dar#tanganyika#ubaloziwambinguni#kawe
Don't Forget to Subscribe to get The Latest Videos
From Apostle Boniface Mwamposa Bulldozer.
WATCH ARISE AND SHINE TV
AZAM CHANNEL 469
STATIMES ANTENA CHANNEL 117 | STARTIMES DISH CHANNEL 198.
Mungu wa mwamposa nakuomba yeyote anae tajirika kutumia nyota yangu arundishe haraka sana tena mara saba.
Najiunganisha na mathabau ya mungu kufungua njia zangu za pesa utajiri uchumi ndoa watoto wangu katika jina la yesu cristo amen 🙏
Eee bwana yesu naomba thomas wAngu nae akombolewe aache pombe apate kazi anaamini ee mwamposa ulietumwa na mungu nitendee kijana wangu nateseka nae mimi mungu mponye kwa jina la yezu amen
Pia katika jina la Yesu naomba binti wangu akutane na mume sai
Napokea uponyaji kwa jina la Yesu Kristo 🙏
Mungu naomba unilindie familia yangu yote Niko mbali kuwatafutia riziki
Ee mungu NAMI naomba baba yangu afunguliwe apone magonjwa ambayo yanamsumbua
Mungu niponye sauti inayokwama na mponye bibi yangu.
Katika jina la Yesu naomba baba yule alie chukua pesa zangu azirudishe kabla mwezi ii haiya isha,
Mungu naomba unipe kibali kazini kwangu mabosi zangu na familia yao wanipende Kila siku pia mungu naomba unilinde kiafya
Yesu nisaidie nipate nuru usiku na mchana amina
Asante sana mungu kukombowa familiya zetu Amina Amina ❤❤
Eeeh Yesu nsaidie mm mwanao n mkosaj nmekukosea Sana nmeanguka Sana nsamehe mim mwanao naomba untoe kwenye hil gumu
Amen 🙏
Pia mungu wasaidie Irene na prudens kwe mitihani Yao mwaka huu
Ebaba ukayainushe mahusiano yangu na kuyabariki yakarudi kama mwazo baba amee
Mungu naomba umkutanishe venansi na mtu sahihi pia awe salama
Mungu naomba kupitiya mazabawu arese and shene mumewangu aponetumbo lake kwajinalayesu Amina
Mungu Nataka peace myovela awe mke wangu sahihi Kwa jina la yesu.
Napokea peace myovela kuwa mkesahihi Kwa jina la yesu.
Napokea mke sahihi peace myovela Kwa jina la yesu.
Asante Mungu Kwa kunipa afya nguvu pumzi na mke sahihi peace chirstian I myovela
Pia mungu naomba unifungue kwe kifungo Cha madeni futa kesi zangu zote
Naomba nifunguliwe nipate Mme na ninao wadai wanilipe
Mungu naomba umkomboe bless akili aelewe anavyofundishwa shuleni
Najiunga kama mqdhabahu hii Leo mimi ndio gidion nataka nigunguliwe kiuchumi kiafya utajili biashara kubwa kulipwa kiinuamgongo changu katika jinalayesu Kristo Ameee
Zulfa abdallah nataka mamaangu saida ngoma amsaidie mdogo wake mwamtoro ngoma maisha na nawatenganisha na watu wasio sahihi
Zulfa abdallah nataka NAMTENGANISHA annuary Ally Hassani Kukera na kila mwanamke aliekuwa na mahusiano yakimapenzi tofauti na mimi😊
Namuunganisha mwanangu Adrian afaulu wastan wa A ktk masomo yake darasa la saba afaulu vipaji maalum kwa jina la Yesu
kesi ya kushindwa kulipa kodi ya nyumba trh 25-08-2024 Imekwisha
Amen
Zulfa abdallah nataka ndugu zetu wa ulaya wote warudi tanzania kwa haraka wahamie zinga bagamoyo wafukuzwe huko ulaya
Zulfa abdallah nataka dadaangu mwali Abillahi njema afirisiwe huko ulaya wote warudi tanzania kwa haraka wahamie zinga bagamoyo
Asante sana
Zulfa abdallah nataka mamaangu mwamtoro ngoma NAMTENGANISHA na na watu wasio sahihi
Napokea mafanikoo naomba niwekichwa sio mkiabkwajina layesu
zulfa abdallah nataka nizione siku zangu kwanjia sahihi na kwa haraka na nipate mtoto wakiume na baba wa mtoto awe annuary Ally Hassani Kukera
Zulfa abdallah nataka mwali shuruti saida talk na faidha ña ngoma warudi tanzania kwa haraka wahamie zinga bagamoyo
Zulfa abdallah nataka Kujuakusuka kwa haraka na kwanjia sahihi
🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🙌🇺🇲
Zulfa abdallah nataka nilipe madeni kwa haraka na kwanjia sahihi
Zulfa abdallah nataka naitenganisha nyumba yetu na vitu vyote vibaya vitoke kwa haraka na kwanjia sahihi
Napokea kulipw ela yangu ya likiz ya mwez huu yote
Nataka sasa ivi muda huu wa saa 8 usiku kupitia operation komboa familia nataka baba Adrian asilale kwa ajili yangu na awakumbuke watoto wake awahudumie pia
Mtume nataka nipate kazi yamgu ya ualimu niliomba mwaka huu
Jimmy apate kaz kilahis
Zulfa abdallah nataka nipone maradhi yote kwa haraka na kwanjia sahihi
Zulfa abdallah nataka nipate pesa yakodì kwa haraka nihamie ninapopataka
Zulfa abdallah nataka mwanangu binur juma aache kukojoa kitandani usiku
Zulfa abdallah nataka nipone tumbo na uvimbe
Zulfa abdallah nataka nipone macho kwa haraka na kwanjia sahihi
Zulfa abdallah nataka kakaangu iddi abdallah apate cheo cha uwenyekiti achaguliwe na wanakijiji wote wa zinga bagamoyo na wampende
Zulfa abdallah nataka mamaangu aache uchawi
Em mungu naomba nifunguliwe na mimi, 😂
Zulfa abdallah nataka mwanangu binur juma NAMTENGANISHA na na watu wasio sahihi naitenganisha na aache uzizi
Zulfa abdallah nataka nipone UTI na pid
Yesu nisaidie nipate nuru usiku na mchana amina
Zulfa abdallah nataka nizidiwe na wateja kwenye biashara zangu
Yesu nisaidie nipate nuru usiku na mchana amina
Ee bwana mimi nimkosaji nisamee makosa yaguyot
Mimi izengo mahuma nisaidie bwana katika familia yangu nakaziyagu nauzamiwa
Nisaidie baba niko kwenye atali
Yesu nisaidie nipate nuru usiku na mchana amina
Nisaidie mim jamani
Nisaidie Mimi izengo mahuma