Zuuuuuuuuuuu amezimia mpaka muda huu mapenzi shikamoooooooooooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nimekupenda hiyooo et anatak kwenda kwa kaiiii alikokimbiaaaaa😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Wale ambao atupendi mimba ya zuuh kutoka nipeni like please 😢❤🎉🙌tangu nianze kuangalia ihi movie ndo kuomba like zangu sasa 😢😢❤ 🙌na mungu awabariki Vyote 🙏❤️🙏🙌
Ila kuteka watu inazidi familia mbili zote zinataka kutekwa Tasha na Kai hapana. Naona kwa Tasha Chiko kaambulia patupu Tasha atashinda hii vita. Naomba Chiko ambulie kulia yy na jambazi wake.Hapa tunata raha hadi Zatiti atuletee kitoto kizuri kama Tasha
Tujuane tunaoamin kipara mtelezo hana akil mtu mzima ovyo unamuona adui afu unamwacha hatua tatu mbele apite so muda wote huo anaongea na simu alijua jamaa kaganda😊😅
😂😂😂 sasa sania ataenda wapi,kwa mama candy aliharibu,kiburi ilimjaa akaongelesha candy vile anataka😂😂,damasosi naye aliolewa 😂😂😂😂😂😂,nakuhurumia sana sania
Hahahaha hahaha kelel wew Malaika na zuu sas mutakiona sas vita zimeanza tu vizuri,, hila hii mambo ya watu kushikwa sioni kama ndio mwanzo wa kufaulo,, wew chiko hio ni shimo hunalichimba mwisho hutaitiya tu mwenyawa
Busati nawapenda bure ila sania wewe hery uende kwa bwanako ngonde acha kushobokea ndoa za wenzako ngonde kimamula yuko na surprise yako ya jogoo huko jaman huna hata haya ubwa wewe nakuchukia aky 😂😂😂😂
Sania kimemramba 😂😂😂😂😂Tasha nakupenda sana kwa msimamo wako,usiwe bwege kama kai eti candy aje hadi kwa ke nyumbani ampigie makelele na yupo kimya tuu kama zuzu
Mm ukwel nina nampenda xana suri na satiti natamani ningepata hata mmoja wao walai, mm natokey kenya migori County,hvyo nampenda sana satiti na hata mwenye ako na satiti na suri wako na wanawake wazuri sana ni sawa kua na maua mazuri kwenye boma yake ❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Jamani kwawote tuliommiss baba ake naKai tujuane apo chini
Kamuangalie kwenye connection sinema zetu
Jamani mm ap 🥰🥰
😢😢mi pia
Ad nilianza kumsahau jamm kha😢😢
Mashallah ❤❤❤❤❤❤mungu abaliki sana kazi zenu kilamba mchuzi😂😂😂😂😂
Me naomba zatiti abebe mimba kabla move haijaishaa
Inshaallah
Asapobeba hiyo mimba watakuwa wametukosea
Inshaallah❤❤❤
Lazimaaaah
Yaa
sania kaharibu kwa kend sasa😂😂😂😂 anaenda kwa ngonde mgnga hehehe😂😂😂😂😂heh ndoa tunayo natunatamba nayo sania Mrs mgangaa mliofurahi sania kufukuzwa kwa tasha like hapa❤❤❤
😂😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂
Mama kirikuu😂😂😂😂😂😂
Wale tuliokubaliana na Tasha kumfukuza Sania gonga like ❤❤
🎉🎉
🎉🎉🎉🎉
Nmefurah mnooooooooooo
me pia nimefurah
Safiiiii
Anae amin mipango ya chiko lazima itafer likes zenu apa🎉🎉🎉
Nani kafurahishwa na bibi ake zuu jamani aloooh nimecheka sana leo,,,,hongera kwako bibi,,,tafadhali nipeni namba yake nimpe zawadi yake😂😂😂
Nakwambia apo.mwsho patamu atar 😂😂😂😂😂😂😂
@@Zenabeby nimeparudi zaidi ya mara 3 aiseee
Ameniweza kweli kweli😂😂😂
Nimecheka😂😂😂😂😂😂
😅😅😅😅😅😅
Mm wa kwanza anaefurahi sania kutimuliwa na mr tasha gonga like yaan yeye niwangonde tuu
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
Mama kirikuu 😂😂
😂😂😂Ngoja akusikie unamwambia yey ni wa ngonde atakuchambaaa😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
Safi sana Mr.Tasha hicho ndo tulikitegemea toka wali kumtimua Saniaa maana ni kapuuzi kweli. Wapi maua kwa Mr. Tasha 🎉🎉🎉🎉🎉
🎉🎉🎉🎉🎉
🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Malaika kukubali sana unajua kuigiza alafu ni mzuri🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Ila anavaa uchi sana yani kati ya wote walio igiza malaika peke yake ndio anae vaa nguo za ovyo
Malaika ni nan?
@@mauamshindo2558 dada yake zuuli
Mwenye kumpepeaa daa zuuu kitandani😢😢 @@mauamshindo2558
wangapi 2meisubiri episode ya 38 mauwa yenu 2losubiria pa1🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Hongera bibi zuu kwa hilo kofi maanake zuu pia kaanza kuzingua juu ni yeye kaacha mumeo hadi kapata utekaji 😂😂😂😂
Kwa kweli mama Tasha Yuko vizuri ila apunguze kuamini watu wengine mama Tasha huruma itakuponza mamaangu❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤Yani mama tasha ni kama mama yangu Kwa huruma
@@oman1oman179 watu wenye huruma tuko shida sana
Kutoka Kenya 🇰🇪 Bwana Yesu asifiwe watu wa Mungu yoyote atakaye soma comment hii Mungu ampe maisha marefu
Amen
Amina
Amina
Amina
Amina
Asante sana mama tasha kwa kujua ukweli ,chiku sio mtu mnzuri shertani yule.
Zuuuuuuuuuuu amezimia mpaka muda huu mapenzi shikamoooooooooooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nimekupenda hiyooo et anatak kwenda kwa kaiiii alikokimbiaaaaa😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Hahaha Kilamba anashitushwa na Vibao vya Bi, Zuu. Bila shaka anahisi akicheza vibaya kitamlamba kama. Jina lake
@@VicentPaschal-w7x 😂😂😂ajiangalie kinachofuata chake maana wote wametembezewa
Ss hv inazidi kuwa tamu house garl
Bibi zuu kashachaluka 😂😂😂anatembeza viganja to pongezi sana kwa wana busati TV mana mmejua kutubuludisha Sana..
👏👏👏👏😂😂😂😂😂
😅😅 Nimependa Hilo Kofi la bibi zuu😆😆😆
😂😂😂
Wanao kubari chiko atashindwa like zenu 😂😂😂
Ila pana vita nzito
😂😂😂😂
🔥🔥🔥🔥
Huyu Hana chake. Na candy nae anamalizwa vihela akae kwa kutulia arudi kwa mama na hatakikani uko pia
@@HidayaMbodze 🤣🤣🤣🤣🤣
Kma unakubali na msimamo wa zatiti Kwa thania weka like from Oman 🇴🇲🇴🇲
Nami nimependa sana jinsi zatiti na musimamo wake
Bibi kachafukwa haelewi
Aaah wap upo oman ya wap wakat jana ty tumepixhana kalikoo umefikaje wew uko
Hivi Riziki hulali
Your good iam from kenya
Wale ambao atupendi mimba ya zuuh kutoka nipeni like please 😢❤🎉🙌tangu nianze kuangalia ihi movie ndo kuomba like zangu sasa 😢😢❤ 🙌na mungu awabariki Vyote 🙏❤️🙏🙌
Bib wa zuuu leo amevulugwa kbs😂😂😂
Much love from kenya 🇰🇪🇰🇪
Wale watakao taka tufuatane, kujeni hapa❤❤❤❤
Ukweli zuu ungekaa kwako utulie kai angeteswa. Na tunaomba team kai chiko asifanikiwe ata kidogo
Jamani bibi ni hatari nimeipenda sana hii
mnatak hii movie iwe ya kivita au mbn majambazi wanaongezeka mnaharibu bhn wapungue hao majmbazi
😂😂😂😂😂
Washaanza kuboesha na hao majambaz wao
Haiboeshi bn kama ww huwez kuitazama acha 😂😂😂😂😂😂
@@YusraSiyaleo-yk2fzhujui movie ww
Ila kuteka watu inazidi familia mbili zote zinataka kutekwa Tasha na Kai hapana. Naona kwa Tasha Chiko kaambulia patupu Tasha atashinda hii vita. Naomba Chiko ambulie kulia yy na jambazi wake.Hapa tunata raha hadi Zatiti atuletee kitoto kizuri kama Tasha
Walioona kilamba ameona zamu yke kupigwa kibao anipe like japo 1 jmn hhhh
Bibi akutenda aky agempa nayeye
😂😂😂😂😂😂😂anakwepesha kicwa😂😂😂😂
😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Yan mi sania ananikela akiwa anamfokea mama ake Tasha na huyo kendi anavyomtukana mama ake
Yaani bibi zuu akionekana kwa hii movie inanoga kùnoga wanakubali bibi zuu anaweza tujuane kwa like
Dooo leo n cku ya bibi kuzaba watu vinganja,waigizaji nyte n mashabiki wenzangu nawapenda nyte kwa ajili y Allah muwe n usiku mwema
Team strong oyeeeeeh
Oyeee
Chiko anapenda sifa jamani
Jamani Leo nimewahi nipeni like zangu hata kumi tu timu tasha😅😅
😂😂😂😂😂😂Weee yaani Kila mtu na Kofi la size yake bibi Zuuu nakupenda Bure bibi ❤❤❤❤❤❤
Nacheka Kama mazur bibi hongera sana❤❤❤
Nafurahi sana kai na zatiti wakiitana kwamajina mazuri mke wangu na mume wangu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Ugoni huo Kai nan vile😂😂😂😂
Haka Sania kananichekesha yaani hakajui kunyenyekea kabisa mdomo wake unamponza ,hivi kataenda wap na candy ashamtusi😂😂😂
Karibu nishtuke nikijiuliza mamake Tasha asiseme ni mjamzito wa chiko 😢😢
Tujuane tunaoamin kipara mtelezo hana akil mtu mzima ovyo unamuona adui afu unamwacha hatua tatu mbele apite so muda wote huo anaongea na simu alijua jamaa kaganda😊😅
Awapenda mumenikubalia ombi rakutupa ingine❤❤❤ alafu nimecekeshwa n'a kupara muterezo😮😮😮
Bibi zuu hongera sana kwa makofi haya nmecheka paka basi 😂😂😂😂😂😂😂😂
Ivi toka umehaziy kupamban ju yazatit hucoki😂😂
wanaotaman utokee mkono wa maana alafu tasha awagonge wooote na afanikiwe tuungane
Bibi zuri fanya jambo
Yani chiko wew utadondokea pua we mandevu
Vibao vya Bibi vi menichekesha simanzi zote zikaniisha hongera sn bibi🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
🎉🎉🎉
Ila we chiko mchokozi Sana eti kipara mtelezoo😅😅😅😅 nimecheka sanaa
Tobaaa😂😂😂
Anaita watu majina ya ajabu mara amuite Tasha ety kipochi manyoya 😄
Kpara mterezo😅 ungemkanda kwanza mr chiko maana anakuenjoe😅😅
😂😂😂😂 kipara mterezo 😂 chiko 😂
@@PaulCecyl-jz4mr haaaa
Amkande wap na hana akil unamwacha adui apite hatua tsno 😅😅😅
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@celestinemakolo3954kwakweli akili ni nywele na yeye hana lolote😅😅😅😅😅😅😅
Chiko wajisahau sana kumbuka ww huzae wacha zatiti wetu apate mimba kwa Mr tasha awanyamazishe walimwengu 😂😂
Woooooiiii vita imekua nzito xxx apo weee mambo n moto ila nmefurahi jinsi tasha alivyomtimua sania
Sania si aende kwa mgangangonde kimamulaaa
😂😂😂😂😂😂😂😂❤
wanpgi wamefurai kumuon jafari kipara mtu kazi 😅😅
Asantee bibi zuri kwa kumtuliza mama k❤wetu
Ila mama kirikuu😅😅😅nenda kwa mvuta bange menzio candy mkale bange😅😅
Bbi Zuu kachngnyikiwa anatmbeza vibao t hhhhhhh kilamba jiangalieee 😅😅😅😅😅
Pameanza kuchangamka ndugu watazamaji kama mnavyoona🤠🤠🤠
Afadhali.kiramba ukwanju hukusema ungepingwa chako.kibao😂😂😂😂😂 helooooo bibiake zuuli
😅😅😅😅😅😅 mamayoooo
Chiku na Sania mpango umefeli😂😂😂😂
Yaani leo episode imenonga bibi walambe makofi wote
Wavunje hata hivyo viuno😅😅😅😅
House girl kumeanza kuchangamka 😂😂😂
Hatari sana😂😂😂😂😅😅
Chico Ni mwanamke mbona hanatengemea wanaume wengine hapambani mwenyewe kama mwenyewe
Jamani namimi acheni tu nicomety tu namimi naombeni like hata 10 nione kama mnanipenda wanafaria wa busat
Asante bibi kwa vibao umewaweka saw
Wewe chiko mpuuzi kweli 😅😅😅 zatiti hakuitaj kwann usimuache na mumewake Tasha ala
😂😂😂😂😂 kilamba tamuka neno moja wakupe kofi lako😂😂😂😂
😅😅.😅😅😅😅
😂😂😂 leo episode imeisha vizuri sanaaa
Jamani hamna kulala hadi tunaona house girl, team strong hoyeee🎉🎉🎉🎉
Hongereni kwa kazi nzuri 🙏 🙏🙏🙏🙏
Kwan haukuangalia 20 final 😮😮
@@AntonyDaniel-pr1vc kwanini mbona umeniuliza
@@Mygirl_1032 ilisha ep 20
Busat mnazingua kipand dakik 5 kweli
😂😂😂 khee dk 5 zipi jaman
Safi Sana tasha umefanya lamanaa
Heeee bibi zuu kagawa dozi safi😂😂
Chiko unamaneno nyoko kipar mterezo hahahaah mar butii ndundoo
Bibi aende kumuokoa Kai ingekua tamu sanaaaaa
Asante kwa busat tv maana nilikuwa naisubiri kwa hamu
Bola bibi alivolipiga zuli çöz anajuwa yeye ndio chanzo alafu anapiga piga kelele
Kipara mtelezo jameni chiko 😂😂😂
😂😂😂 sasa sania ataenda wapi,kwa mama candy aliharibu,kiburi ilimjaa akaongelesha candy vile anataka😂😂,damasosi naye aliolewa 😂😂😂😂😂😂,nakuhurumia sana sania
Ataenda kwa ngonde wake 😂😂🎉😂🎉😂😂😂
Rahma jamn umenikosha mpaka nataman nimwambie mumewangu aoewe jmn
Nimejifunza sana asanten busati tv na kundi lote mko biye
Kipara mterezoo😂😂😂😂😂
Kazi nzuri team Busati tv🇹🇿
Maua kwa tasha kumtimua sania🎉🎉🎉
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😢😢😢😢
Hahahaha hahaha kelel wew Malaika na zuu sas mutakiona sas vita zimeanza tu vizuri,, hila hii mambo ya watu kushikwa sioni kama ndio mwanzo wa kufaulo,, wew chiko hio ni shimo hunalichimba mwisho hutaitiya tu mwenyawa
Tatzo sasa hii move munataka uizidishia sana maujambazi inatakiwa mpunguze
Safi San Tasha 🎉🎉🎉🎉🎉 Kwa kumfukuz Sania jamn wale tulio furahia tujuan
Kichapo cha bibi😂😂😂😂😅
Kiukweli sania ameuvaa uhusika kwa asilimia 100%, apewe mauwa yake. Sania anajuwa kuigiza
😂😂😂😂Bibi zuu ananimaliza mimi na ako kamsemo kake ka yenyewe hayo
😂😂😂😂niuwe
😂😂😂😂😂 nimalize
Nipo njee huku nilikuwa nataman kumtandika zuu kibao bibi maua yako umenisaidia🎉🎉🎉🎉😮😮
😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Kwel kabisa
Chiko na nicknames 😂😂😂😂 kipara mtelezo😂😂
Waah 😂😂😂bibi zuu kwakweli wewe ni mtu mhimu sana kwa hii busati❤❤❤❤🎉🎉
Mbonasasa maneno yanakuwa mengi vitendo vidogo
Bibi anatia vibao tu kama kasa😂😂😂😂😂 kanifurahisha kweli
Uyu nae wanaume wenzake wanajidifia pesa yeye anajisifia kua mbeae
Busati nawapenda bure ila sania wewe hery uende kwa bwanako ngonde acha kushobokea ndoa za wenzako ngonde kimamula yuko na surprise yako ya jogoo huko jaman huna hata haya ubwa wewe nakuchukia aky 😂😂😂😂
Sania kimemramba 😂😂😂😂😂Tasha nakupenda sana kwa msimamo wako,usiwe bwege kama kai eti candy aje hadi kwa ke nyumbani ampigie makelele na yupo kimya tuu kama zuzu
Bibi kapiga vibao vya kutoa mawenge😅😅 wote kimyaaa
Jaman zuri hicho kijora kimeshakoma tena badilisha pia vaa vizuri
N Mimi nmkuwa wa kwanza ❤❤❤ unae kuballi Sania anamimba ya mganga gonga like 😂😂😂
Mm ukwel nina nampenda xana suri na satiti natamani ningepata hata mmoja wao walai, mm natokey kenya migori County,hvyo nampenda sana satiti na hata mwenye ako na satiti na suri wako na wanawake wazuri sana ni sawa kua na maua mazuri kwenye boma yake ❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉