Imbeni na nia ya kumpendeza muumba, sio kuimba na kuvaa kiusanii ili kuwafurahisha na kuwachekesha watu, maana kilichotukuka machoni pa watu ni chukizo kwa mungu. Nyinyi mnabahati kwa kuwa mnayo idea ya neno la mungu Kwa hivyo natumai mmeokoka na mnajua kuomba, basi ni sharti kumuomba mungu awape roho mtakatifu atakayewaekezeni ninyi na kuwaongoza jinsi ya kumsifu , kuvalia mavazi ya utukufu tokea ndani ya roho zenu na nje kwa miili zenu. Roho mtakatifu ndiye afundishae. Asante sana.
Nini inakuwanga mbaya na ninyi ndio mnamuiga Michael Jackson vile mmevaa na sera zenu zote. Mnamuimbia Mungu lakini mmevaa kama wakanga,! Wachawi! Watu waliojanganyikiwa ! Acheni kuiga mashetani!
Naombeni mnitumie nyimbo zenu Whatsapp ...nazipendaga sana ......kwanza Kuna hii inaitwa sukuma nyuma, shetani muongo,hii Dunia,nasikia Raha,jiangalieni wanadamu,mkong'oto,Mvumilivu,Mungu mkuu,mateso ya Bwana Yesu, ni hatua, tumetumwa kazi,.....I like all songs
Mubarikiwe sana...mnasuuza moyo wangu
Mmeimba vizuri wanangu inapendeza watoto wetu mnapoungana kumsifu Mungu mbarikiwe waombeeni na wenzenu walio nje ya yesu
kwa kweli ni hatua,,
Amen amenitoa mbali
It is🔥🔥🔥🔥. Be blessed my favorite.
Mziki mzuri sana ambao umepagwa,naomba No.naeza wapata nayo
+255767409032
Imbeni na nia ya kumpendeza muumba, sio kuimba na kuvaa kiusanii ili kuwafurahisha na kuwachekesha watu, maana kilichotukuka machoni pa watu ni chukizo kwa mungu. Nyinyi mnabahati kwa kuwa mnayo idea ya neno la mungu Kwa hivyo natumai mmeokoka na mnajua kuomba, basi ni sharti kumuomba mungu awape roho mtakatifu atakayewaekezeni ninyi na kuwaongoza jinsi ya kumsifu , kuvalia mavazi ya utukufu tokea ndani ya roho zenu na nje kwa miili zenu. Roho mtakatifu ndiye afundishae. Asante sana.
ua-cam.com/video/xGLWUgfBXKo/v-deo.html
okoka MUNGU AKUSAIDIE NA WEWE UTABARIKIWA ACHA
Amesema kwl kbs mavaz yajampa Mungu utukufu huo sionubunifunmzuri mavazi yamechanika chanika binafsi sijabarikiwa
Mbarikiwe sana,napenda nyimbo zenu.mvumilivu,mpende jirani ,kukurukakara,popo,
Kwa Yesu raha
Mbarikiwe sana wana wa Mungu kwa ujumbe utakatifu .🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏.kweli yuandelea kutenda.
Vzuriii sana
More blessing watu wa Mungu
Igunyuluuuuu🎉
Hatua, Naona hatua hata Mimi, May the Almighty God keep on inspiring you 🙏🙏
Kazio yao njema 🙏
Mbarikiwe na Bwana Yesu vijana! 🙏🤗
Balikiwa mno ma huu wimbo
Mungu awabariki sana
safi sana wadau, nawapenda sana
Asante sana Karibu
Nini inakuwanga mbaya na ninyi ndio mnamuiga Michael Jackson vile mmevaa na sera zenu zote. Mnamuimbia Mungu lakini mmevaa kama wakanga,! Wachawi! Watu waliojanganyikiwa ! Acheni kuiga mashetani!
Asante kwa ushari, pia tusamehe sana.
ua-cam.com/video/VhKtnxAf6KA/v-deo.html
Kwa hii unatushari nini?
Heavenly singers God bless you 🔥🔥
Santiii kwa kutubariki
Amen, Karibu sn
Wooow wonderful ni hatua kwa kweli barikiweni mno
Amen
Naombeni mnitumie nyimbo zenu Whatsapp ...nazipendaga sana ......kwanza Kuna hii inaitwa sukuma nyuma, shetani muongo,hii Dunia,nasikia Raha,jiangalieni wanadamu,mkong'oto,Mvumilivu,Mungu mkuu,mateso ya Bwana Yesu, ni hatua, tumetumwa kazi,.....I like all songs
I can see new release coming, naigojea sana nawapenda bure
Asante sana, Barikiwa
Amazing music
😀😀Well come new Album.
Safi🎉
K nn n .n nn nn. J .jj n ..nm lol