Ni Hatua - Heavenly Singers Banana Dsm

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 38

  • @johanesskakuru1069
    @johanesskakuru1069 Рік тому +1

    Mubarikiwe sana...mnasuuza moyo wangu

  • @sebonikegobi6244
    @sebonikegobi6244 2 роки тому +1

    Mmeimba vizuri wanangu inapendeza watoto wetu mnapoungana kumsifu Mungu mbarikiwe waombeeni na wenzenu walio nje ya yesu

  • @matthewkalonzomusyoka4372
    @matthewkalonzomusyoka4372 Місяць тому +1

    kwa kweli ni hatua,,

  • @richardmutisya6588
    @richardmutisya6588 Рік тому +1

    Amen amenitoa mbali

  • @patriciamusyoka375
    @patriciamusyoka375 Рік тому +1

    It is🔥🔥🔥🔥. Be blessed my favorite.

  • @duncanmusyoka5262
    @duncanmusyoka5262 2 роки тому +1

    Mziki mzuri sana ambao umepagwa,naomba No.naeza wapata nayo

  • @linetmusee6431
    @linetmusee6431 8 місяців тому +2

    Imbeni na nia ya kumpendeza muumba, sio kuimba na kuvaa kiusanii ili kuwafurahisha na kuwachekesha watu, maana kilichotukuka machoni pa watu ni chukizo kwa mungu. Nyinyi mnabahati kwa kuwa mnayo idea ya neno la mungu Kwa hivyo natumai mmeokoka na mnajua kuomba, basi ni sharti kumuomba mungu awape roho mtakatifu atakayewaekezeni ninyi na kuwaongoza jinsi ya kumsifu , kuvalia mavazi ya utukufu tokea ndani ya roho zenu na nje kwa miili zenu. Roho mtakatifu ndiye afundishae. Asante sana.

    • @NyumbaniHabariMedia
      @NyumbaniHabariMedia  8 місяців тому

      ua-cam.com/video/xGLWUgfBXKo/v-deo.html

    • @michaeljackson3855
      @michaeljackson3855 6 місяців тому

      okoka MUNGU AKUSAIDIE NA WEWE UTABARIKIWA ACHA

    • @MahraKhan-gd7pb
      @MahraKhan-gd7pb 3 місяці тому

      Amesema kwl kbs mavaz yajampa Mungu utukufu huo sionubunifunmzuri mavazi yamechanika chanika binafsi sijabarikiwa

  • @AnnMueni-c7p
    @AnnMueni-c7p 7 місяців тому

    Mbarikiwe sana,napenda nyimbo zenu.mvumilivu,mpende jirani ,kukurukakara,popo,

  • @Richard_Kilimba
    @Richard_Kilimba Рік тому +1

    Kwa Yesu raha

  • @Ubtwa
    @Ubtwa 2 роки тому +1

    Mbarikiwe sana wana wa Mungu kwa ujumbe utakatifu .🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏.kweli yuandelea kutenda.

  • @gloryjoo6475
    @gloryjoo6475 Рік тому +1

    Vzuriii sana

  • @tumainmwakalonge8907
    @tumainmwakalonge8907 2 роки тому +2

    More blessing watu wa Mungu

  • @JonathanMrema-p5m
    @JonathanMrema-p5m 18 днів тому +1

    Igunyuluuuuu🎉

  • @francischongo8347
    @francischongo8347 2 роки тому +1

    Hatua, Naona hatua hata Mimi, May the Almighty God keep on inspiring you 🙏🙏

  • @shangweremiofficial4124
    @shangweremiofficial4124 2 роки тому +2

    Kazio yao njema 🙏

  • @demetrianangela7793
    @demetrianangela7793 2 роки тому +1

    Mbarikiwe na Bwana Yesu vijana! 🙏🤗

  • @esterlazaro7070
    @esterlazaro7070 2 роки тому

    Balikiwa mno ma huu wimbo

  • @elizabethmella7864
    @elizabethmella7864 Рік тому

    Mungu awabariki sana

  • @kavekesaid6757
    @kavekesaid6757 3 місяці тому

    safi sana wadau, nawapenda sana

  • @linetmusee6431
    @linetmusee6431 8 місяців тому +1

    Nini inakuwanga mbaya na ninyi ndio mnamuiga Michael Jackson vile mmevaa na sera zenu zote. Mnamuimbia Mungu lakini mmevaa kama wakanga,! Wachawi! Watu waliojanganyikiwa ! Acheni kuiga mashetani!

    • @NyumbaniHabariMedia
      @NyumbaniHabariMedia  8 місяців тому

      Asante kwa ushari, pia tusamehe sana.
      ua-cam.com/video/VhKtnxAf6KA/v-deo.html
      Kwa hii unatushari nini?

  • @benjaminkenga2382
    @benjaminkenga2382 2 роки тому +1

    Heavenly singers God bless you 🔥🔥

  • @winniekisindo6335
    @winniekisindo6335 2 роки тому +1

    Santiii kwa kutubariki

  • @robertmagua9764
    @robertmagua9764 2 роки тому +1

    Wooow wonderful ni hatua kwa kweli barikiweni mno

    • @NyumbaniHabariMedia
      @NyumbaniHabariMedia  2 роки тому +1

      Amen

    • @robertmagua9764
      @robertmagua9764 2 роки тому

      Naombeni mnitumie nyimbo zenu Whatsapp ...nazipendaga sana ......kwanza Kuna hii inaitwa sukuma nyuma, shetani muongo,hii Dunia,nasikia Raha,jiangalieni wanadamu,mkong'oto,Mvumilivu,Mungu mkuu,mateso ya Bwana Yesu, ni hatua, tumetumwa kazi,.....I like all songs

  • @tomkyalo1107
    @tomkyalo1107 2 роки тому +1

    I can see new release coming, naigojea sana nawapenda bure

  • @DamsLifestyle
    @DamsLifestyle 2 роки тому +1

    Amazing music

  • @MteuleMabuku
    @MteuleMabuku 2 роки тому +1

    😀😀Well come new Album.

  • @JonathanMrema-p5m
    @JonathanMrema-p5m 18 днів тому

    Safi🎉

  • @PhilipoMasenha
    @PhilipoMasenha 6 місяців тому

    K nn n .n nn nn. J .jj n ..nm lol