Hoja zlizoshiba big up Sana maneno yako ayako kbaguz.inatakiwa rais wetu awe na uchungu na nchi yetu hayat jpm alitfumbua macho Sana katika hii nchii rest in peace 🙏 kwake
safi sana huyu Mtumishi ana hoja anajua kupangilia mambo. Ana busara sana. Yani ukiona mpaka viongozi wa dini wana piga maswali kuhusu bandari ujue ni swala nyeti kuna shida.
Tatizo la viongozi WA tz wanafikiri sekta ni kukabidhi rasilimali zenye utajiri mkubwa za nchi kwa wawekezaji na serikali ibaki kutoza Kodi TU Hilo ni tatizo Mnatengeneza serikali tegemezi
BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ
Uyu Padre anajua sana! Genius! Amebarikiwa mwanamke aliyekuzaa!
Kabisaaaaa kaka
Namshukuru sana father kitime,mungu akubariki sana akujaalie afya njema endelea kuelimisha walioganda bongo za vichwa vyetu
Mungu/MUNGU sio mungu
Akili kubwa kama hii zinapatikana mara chache sana tena sana Umeongea point kubwa sana Father barikiwe
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Grateful ideas
Padri uishi milele
Aishi milele yeye nani? Mungu pekee yupo milele, yeye na wengine wote njia ni moja, Kufa haikwepeki.
Hoja zlizoshiba big up Sana maneno yako ayako kbaguz.inatakiwa rais wetu awe na uchungu na nchi yetu hayat jpm alitfumbua macho Sana katika hii nchii rest in peace 🙏 kwake
Viongozi wanaoegemes upande na kutetea mkataba tata tuna mashaka nao,huenda kuna namna wamepata manufaa tayari,wachunguzwe kwa undani zaidi
Safi sana bab padri. Nimekuelewa vizur sana
Mungu akubariki sana pastor
Natumaini serikali itachukua haya mawazo uo mkataba upitiwe UPYA.
Padri big up sana. Ubarikiwe
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Upo vizuri p❤❤
Mungu yupo nyuma yako mtumishi labdawatasikia
Padre anaongea point sanaa!!
Tunakupenda watanzania wote
safi sana huyu Mtumishi ana hoja anajua kupangilia mambo. Ana busara sana. Yani ukiona mpaka viongozi wa dini wana piga maswali kuhusu bandari ujue ni swala nyeti kuna shida.
Ana akili nyingi na pia kanyooka
Bora hata ww umeongea ukweli
Wazo zuri.tusigenishe tujali wazawa
Charles kitima MUNGU AENDELEEE KUKUPA UMRI MREFU ZAIDI JUUA YA UTETEZI WA NCHI YETU
Umeeleza vema Baba
Mnaogopa kupoteza hisa zenu na fursa za kiholela za misamaha ya kulipa kodi... Time will tell.
Sawa si nyie mnalipa. Time 'll tell
Ubongo wa mende mwili wa binaadamu!
Padre amenikumbusha mabasi ya Digidigi ya safari za Mwanza-Kayenze
Hawa mapadri wanahisa za upigaji bandarini bora leo lema ameongea honestly
👍👍👍👍👍👍👍👍👍
Kwa hilo nimekuelewa una mawazo mazuri tujenge uwezo wetu wenyewe tujifunze tupate ujuzi kutoka kwao
Wewe. Pia hujaelewa hapo hakuna mkataba ulosainiwa inawezekana wewe ni Kati ya waliokuwa wananufaika na hiyo bandari
Dah inauma sana hii nchi kuchukuliwa na asiye kuwa na uchungu na nchi yake watanzania tuko wapi katika hili tuonyeshe umoja wetu
Mjomba mpaka watu wameweza kukaa na kujadili hii inaonesha serikali inasikiliza pia inania njema
Kwelikabis mjenga nchi n mwananchi.
Tatizo la viongozi WA tz wanafikiri sekta ni kukabidhi rasilimali zenye utajiri mkubwa za nchi kwa wawekezaji na serikali ibaki kutoza Kodi TU Hilo ni tatizo Mnatengeneza serikali tegemezi
Wanaosema ni udini wamefilisika kifkra,na ni waliolishwa maneno na wamepangwa na watawala na hatupaswi kuwasikiliza hata kidogo
Watu wenye busara wapo wengi nchi hii
Duuuh Padre KITIMA unamadini
Yaani nikiwasikiliza mawaziri nikamsikiliza magufuri nalala maana namwamini magufuri
Wao wauze tu si sisi wanatuona wajinga Mungu yupo
😄😄😄
Huyu padre nimemkubari
Mtu makini Anaongea hoja makini ubalikiwa
Tunazo akili macho mikono ufahamu Isaya 62;2---18
Wapewe wachaga wapewe waluo wafanye biashara
Umesahau na Waking a wapewe bandari wsux