''TUMEWEKEZA TRILIONI 1, TUMTAFUTE MTU TUFANYE BIASHARA" - PADRE KITIMA AJILIPUA SAKATA la BANDARI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 48

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Рік тому +1

    BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ

  • @chrissg4026
    @chrissg4026 Рік тому +6

    Uyu Padre anajua sana! Genius! Amebarikiwa mwanamke aliyekuzaa!

  • @jumakilinja6341
    @jumakilinja6341 Рік тому +6

    Namshukuru sana father kitime,mungu akubariki sana akujaalie afya njema endelea kuelimisha walioganda bongo za vichwa vyetu

    • @Zaburi-
      @Zaburi- Рік тому

      Mungu/MUNGU sio mungu

  • @godfreygeorge9070
    @godfreygeorge9070 Рік тому +2

    Akili kubwa kama hii zinapatikana mara chache sana tena sana Umeongea point kubwa sana Father barikiwe

  • @ziyadanyandwi2908
    @ziyadanyandwi2908 Рік тому +1

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu

  • @luganomwaigomole7441
    @luganomwaigomole7441 Рік тому +1

    Grateful ideas

  • @naldclever
    @naldclever Рік тому +4

    Padri uishi milele

    • @albertjames6845
      @albertjames6845 Рік тому

      Aishi milele yeye nani? Mungu pekee yupo milele, yeye na wengine wote njia ni moja, Kufa haikwepeki.

  • @johnycavishe5207
    @johnycavishe5207 Рік тому +3

    Hoja zlizoshiba big up Sana maneno yako ayako kbaguz.inatakiwa rais wetu awe na uchungu na nchi yetu hayat jpm alitfumbua macho Sana katika hii nchii rest in peace 🙏 kwake

    • @MashallaShimbi-pw7ix
      @MashallaShimbi-pw7ix Рік тому

      Viongozi wanaoegemes upande na kutetea mkataba tata tuna mashaka nao,huenda kuna namna wamepata manufaa tayari,wachunguzwe kwa undani zaidi

  • @julianaswai7846
    @julianaswai7846 Рік тому

    Safi sana bab padri. Nimekuelewa vizur sana

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 Рік тому

    Mungu akubariki sana pastor

  • @mariangulu8909
    @mariangulu8909 Рік тому

    Natumaini serikali itachukua haya mawazo uo mkataba upitiwe UPYA.
    Padri big up sana. Ubarikiwe

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 Рік тому

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @tato8979
    @tato8979 Рік тому

    Upo vizuri p❤❤

  • @flaviankitowa5439
    @flaviankitowa5439 Рік тому

    Mungu yupo nyuma yako mtumishi labdawatasikia

  • @linkreuben3108
    @linkreuben3108 Рік тому

    Padre anaongea point sanaa!!

  • @Focusm-se2sd
    @Focusm-se2sd Рік тому

    Tunakupenda watanzania wote

  • @mariangulu8909
    @mariangulu8909 Рік тому

    safi sana huyu Mtumishi ana hoja anajua kupangilia mambo. Ana busara sana. Yani ukiona mpaka viongozi wa dini wana piga maswali kuhusu bandari ujue ni swala nyeti kuna shida.

    • @andrew29468
      @andrew29468 Рік тому

      Ana akili nyingi na pia kanyooka

  • @karimjuma4019
    @karimjuma4019 Рік тому +4

    Bora hata ww umeongea ukweli

  • @jacksonmtese9313
    @jacksonmtese9313 Рік тому

    Wazo zuri.tusigenishe tujali wazawa

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 Рік тому +3

    Charles kitima MUNGU AENDELEEE KUKUPA UMRI MREFU ZAIDI JUUA YA UTETEZI WA NCHI YETU

  • @isakanicholaus6779
    @isakanicholaus6779 Рік тому +1

    Umeeleza vema Baba

  • @noorbazaar9063
    @noorbazaar9063 Рік тому +2

    Mnaogopa kupoteza hisa zenu na fursa za kiholela za misamaha ya kulipa kodi... Time will tell.

  • @omolomaxfitnessbodylifetim8252

    Padre amenikumbusha mabasi ya Digidigi ya safari za Mwanza-Kayenze

  • @mobilespecialschool4216
    @mobilespecialschool4216 Рік тому +2

    Hawa mapadri wanahisa za upigaji bandarini bora leo lema ameongea honestly

  • @jamaa2760
    @jamaa2760 Рік тому

    👍👍👍👍👍👍👍👍👍

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 Рік тому +1

    Kwa hilo nimekuelewa una mawazo mazuri tujenge uwezo wetu wenyewe tujifunze tupate ujuzi kutoka kwao

  • @2003hintay
    @2003hintay Рік тому +2

    Wewe. Pia hujaelewa hapo hakuna mkataba ulosainiwa inawezekana wewe ni Kati ya waliokuwa wananufaika na hiyo bandari

  • @JacobJohn-q3w
    @JacobJohn-q3w Рік тому

    Dah inauma sana hii nchi kuchukuliwa na asiye kuwa na uchungu na nchi yake watanzania tuko wapi katika hili tuonyeshe umoja wetu

    • @birianination7097
      @birianination7097 Рік тому

      Mjomba mpaka watu wameweza kukaa na kujadili hii inaonesha serikali inasikiliza pia inania njema

  • @julianaswai7846
    @julianaswai7846 Рік тому +1

    Kwelikabis mjenga nchi n mwananchi.

  • @issakwisamwasanjobe541
    @issakwisamwasanjobe541 Рік тому

    Tatizo la viongozi WA tz wanafikiri sekta ni kukabidhi rasilimali zenye utajiri mkubwa za nchi kwa wawekezaji na serikali ibaki kutoza Kodi TU Hilo ni tatizo Mnatengeneza serikali tegemezi

  • @MashallaShimbi-pw7ix
    @MashallaShimbi-pw7ix Рік тому

    Wanaosema ni udini wamefilisika kifkra,na ni waliolishwa maneno na wamepangwa na watawala na hatupaswi kuwasikiliza hata kidogo

  • @zeelamipango
    @zeelamipango Рік тому

    Watu wenye busara wapo wengi nchi hii

  • @jamaa2760
    @jamaa2760 Рік тому

    Duuuh Padre KITIMA unamadini

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 Рік тому

    Yaani nikiwasikiliza mawaziri nikamsikiliza magufuri nalala maana namwamini magufuri

  • @MgetamafuruMgeta
    @MgetamafuruMgeta Рік тому +1

    Wao wauze tu si sisi wanatuona wajinga Mungu yupo

  • @prospermsemwa1433
    @prospermsemwa1433 Рік тому

    Huyu padre nimemkubari

  • @danielmgeni1703
    @danielmgeni1703 Рік тому

    Mtu makini Anaongea hoja makini ubalikiwa

  • @stellamuyenjwamboyi7559
    @stellamuyenjwamboyi7559 Рік тому

    Tunazo akili macho mikono ufahamu Isaya 62;2---18
    Wapewe wachaga wapewe waluo wafanye biashara