Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Nafaka kwa ajiliUlezi kilo mojaMahindi nusu kiloMchele nusu kiloMtama nusu kiloKaranga( zilizokaangwa) nusu kiloNgano Soya ( zilizokaangwa)
Mbegu za maboga je azifai?
Unaweza kuweka lakini sio lazima Kwa maana virutubisho vyote mhimu vimo
Huuo unga unatumika je? Kwa uji ama?
Kwa uji
Asante sana. Ni kwa watoto tu ama kwa Kila mtu?
Kwa watu wote na Malika yote
Apo ulezi si umezidi watoto wengi uwa wanaalisha
Ukosawa akikisha unasafisha vizuri na kutoa uchafu ote pia uoshe baada ya kukauka anza usindikaji wako sasa
👍👍🙏
Mbona hujasema soya kiasi gani
Tuwasiliane kwa WhatsApp 0768-852151
Bila kuziosha?
Nitumie ujumbe WhatsApp 0768852151 kwa maelekezo zaidi
Kwa hii elimu mtu hawezi kufaulu🚶
Mbona nirahisi nawengi mpaka Sasa wanatengeneza Kama utakuwa hujaelewa andika swali lako nami nitakusaidia uweze kuelewa au niandike kwa WhatsApp namba yangu nami nitakusaidia ili uweze kujua
Mm swali langu ule wa kuuza Ili ukae muda mrefu naongeza nini ukae mwezi au miezi
Mhhhhh mchele tenaaaa,???? Hii lishe badoooo sio
Tazama upya kwa makini
Mchele + mtama+!ulezi+ makindi mbona vyote ni kundi moja tu
Nafaka hizo zinatofautiana kwa asilimia kubwa
Nafaka kwa ajili
Ulezi kilo moja
Mahindi nusu kilo
Mchele nusu kilo
Mtama nusu kilo
Karanga( zilizokaangwa) nusu kilo
Ngano
Soya ( zilizokaangwa)
Mbegu za maboga je azifai?
Unaweza kuweka lakini sio lazima Kwa maana virutubisho vyote mhimu vimo
Huuo unga unatumika je? Kwa uji ama?
Kwa uji
Asante sana. Ni kwa watoto tu ama kwa Kila mtu?
Kwa watu wote na Malika yote
Apo ulezi si umezidi watoto wengi uwa wanaalisha
Ukosawa akikisha unasafisha vizuri na kutoa uchafu ote pia uoshe baada ya kukauka anza usindikaji wako sasa
👍👍🙏
Mbona hujasema soya kiasi gani
Tuwasiliane kwa WhatsApp 0768-852151
Bila kuziosha?
Nitumie ujumbe WhatsApp 0768852151 kwa maelekezo zaidi
Kwa hii elimu mtu hawezi kufaulu🚶
Mbona nirahisi nawengi mpaka Sasa wanatengeneza Kama utakuwa hujaelewa andika swali lako nami nitakusaidia uweze kuelewa au niandike kwa WhatsApp namba yangu nami nitakusaidia ili uweze kujua
Mm swali langu ule wa kuuza Ili ukae muda mrefu naongeza nini ukae mwezi au miezi
Mhhhhh mchele tenaaaa,???? Hii lishe badoooo sio
Tazama upya kwa makini
Mchele + mtama+!ulezi+ makindi mbona vyote ni kundi moja tu
Nafaka hizo zinatofautiana kwa asilimia kubwa