Bob Njagi na Ndugu wawili waliotoweka Kitengela wapatikana
Вставка
- Опубліковано 19 вер 2024
- Ni afueni kwa familia na marafiki wa ndugu wawili Aslam na Jamil Longton pamoja na Bob Njagi baada ya kupatikana wakiwa hai katika mazingira tatanishi maeneo ya kitusuru. haya yanajiri baada ya juhudi kutoka kwa mashirika ya kutetea haki za binadamu pamoja chama cha mawakili LSK wakiwemo wanahabari kushinikiza kuachiliwa kwao
Let us thank God for protecting these people. Mentioning the captors and the powers that be is glorifying them for nothing. They are not worthy the mention. The battle belongs to the Lord!
Yaani mngenyamaza kidogo tuu aky wangeuliwa thanks to whoever was involved.
And above all the Almighty
Here's ,what a miracle my friend,weee mungu amekataa na hawa.
Ruto anatakikana kuwekwa ndani, yaani haezitesa Kenya hivi as if ni ya mamake😢
Alafu utaskia Huster!!...bottom up!
Wheelbarrow juu...tano tena😢
Shame on you Ruto...look at the age you are compiting with😂😂😂
The whole thing is working against Ruto.let him stop these abductions
Eti bado mtarudisha Ruto uongozini,vifo zitazidi walai tunashukuru Mungu wako hai,unashikwa na hakuna chenye umefanya ulaaaniwe wewe Rais
We will be mad if we do so
Hutaki kurudisha mtu yetu kwa uongozi
@@tinasanta9920 Hata kwa ndoto ama mfano
Hello Kenya iam anant from India I love Kenya ❤
Wina mbeca kana no muhahi
Thank you, greeting and.. I love lndia too.
Love kenya at your own risk, krnya is a crime scene and banditry society it's not a country.
After such an episode you dare say you live Kenya?
@@marymutero7212 thnq so Much kenya citizen
Ruto MUST go NOW
Poleni sana na Mungu a wabariki. Our Mau Mau freedom Fighters went through hard time and they never got what they wanted. 2nd liberation heroes also suffered a lot.
Thank You Lord
Ruto na regime yoote pamoja ig.wafunguliwe mashtaka.
Alhamdulillah
Alhamdullilahi
@@alimohamed6270 hello brother iam anant from India
@@anantbhatta4765 I'm from Kenya 🇰🇪brother
Too many coincidences....the police knew where they were
Hapo hata wana biashara wanaweza cordinate na police wee hii kenya🙄🙄🙄
Kenyans never learn the writing was on the wall. But they still went ahead so dont be surprised
Kenya should remind them police officer that we are not under colonial error,, those police who are abducting Kenyans to killed your days are counted na hamta penda
Kazi ya masengeli hiyo
A human being doing this to another human being.....Mungu tusamehe tu... humanity is out of us but again the Almighty God punish this ideots who are hurting the fellow human..... please reaveal this ideots who are hurting fellow human
Glory to GOD
If masengali could not have been given pressure wange😢enda
To God be the glory
A police state.
Alshabaab
Ruto 😈👿👿👿👿👿👿👹👹👹🕊️
Ruto, Ruto, Ruto 😢😢😢😮
Kwa bahati mbaya uskie Ndege ya prezo imeanguka, 😂😂 ile sherehe itafanyika duh...
Sijasema prezo wa Kenya 😂😂
Kwani unaficha Nini ...Mimi nili votia Ruto but nikisikia ndenge imefinya mtu na royalists kumbafu...nitasema Mungu Ako na mipango zake
Apa ni sherehe hadi chee😂😂
In forensic investigations, it's possible to recover fingerprints from cash money/ bank notes. this can help track down the conspirators too if they were careless giving away the cash